Hutakufa Makonda utaishi kwaajii ya wale wanao onewa😭
@Alladin.maskin2 ай бұрын
❤
@AsungaSteven2 ай бұрын
Makonda ni kiongozi tena mwenye huruma sana na binadamu wenzake.
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Sema tu ndugu yetu mana ndio majukumu uliyopewa na waheshimiwa sana,ila tunachojua wananchi wewe uko nafasi ya msaidizi wa Rais kisiasa-mkoa,na hizi ni taarifu ulizopewa na mamlaka kujaribu kujirudi tu lakini amechelewa mno kutangua operesheni hii ya ngorongoro na sehemu zingine wakati wamasai wameshateswa sana na kufa,na kuleta taharuki nchi nzima inakulilia wewe tu mbele za Mungu.
@HekimaSalama2 ай бұрын
Siasa izi
@humphreymkony89152 ай бұрын
Kwani huyo waziri aliyetoa tangazo la kufutwa vijiji vya Ngorongoro kwenye gazette la Serikali alipata wapi madaraka hayo?
@wilsonyeza82022 ай бұрын
Ya uwongo hii
@simonzelote59982 ай бұрын
Hivi kwa nini serikali imekopa tilion 30 kwa miaka 3 tu wakati marais watatu waliopita walikopa tilioni 60?
@MnubiMm2 ай бұрын
Tuko kwenye mgogoro wa ngorongoro please hebu tuache kwanza
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
Anzisha mjadala MWENGINE mpaka MAPAROKO WAAMKE 😢😢😢😢