Maashallah kijana wetu Makonda mungu azidi kukupaisha juuuuu zaidi na awafumbe macho maadui zako 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@ombenipenieli143213 күн бұрын
Watu walisema Makonda hajasoma mara hili mara lile ila hiki kichwa ni zaidi ya PhDs kadhaa,piga kazi mkuu
@oswaldsambaya442215 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akutangulie katika kazi hii ambayo imetawaliwa na UZALENDO asilimia 100+
@user-xk7vy4gb6g15 күн бұрын
Hongera sana Mh kwakugundua km dereva wako alikuwa mwizi. Ila hizo nyama uwe makini watu wanapenda unyunyu. Mungu akulinde sana
@clevermgedzi470815 күн бұрын
Makonda uwe makini na nyama hizo tunakuhitaji
@GodfreyMhando-gn7ok15 күн бұрын
brother unajuwa sanaaaaa hongera raisi tz Mama sami
@MariaMdemu-xt5cv12 күн бұрын
Nakupenda bure , Mungu akupe maisha marefu...Mungu akupe na vya uvunguni kwaajiri wa wananchi ....tunakukubali sanaa
@Zawadilwiche13 күн бұрын
mtu sana mwenyezi mungu akupe ulinzi tunahitaji viongozi wenye kumkumbuka mwenyezi mungu japo kazi unayo fanya ningum pengine hata kuhatarisha maisha yako ila mungu atakupambania zidisha kusimamamia ukweli maana ukweli ndio mungu anataka ❤❤❤❤❤❤❤
@jenestermakyala84715 күн бұрын
Mungu akulinde muheshimiwa,mimi naomba mkopo wa samia niendeleze kiwanda chang cha maziwa niondoke kwenye umaskini.
@nicodemashaggite842915 күн бұрын
Ila ukweli Makonda anajua kuunganisha watu nafursa kuliko tunavyodhani🎉🎉
@StivinWambuto-zy5ft15 күн бұрын
MUNGU azidi kukulinda na kutupa ujasiri, umenifurahisha Sana ulivyo mwakilisha YESU KRISTO bila woga, hakuna kuruhusu pombe , wewe ni kiongozi wa kuitwa na viongozi wengine.
@emmanuelmbwile324015 күн бұрын
Munguuu akulindee makondaaa wetuu
@aivekidai520015 күн бұрын
Mtoto mungu akutenze kiukweli big up
@leylaruhabaye901715 күн бұрын
Mungu akulinde MAKONDA wetu
@HamadHamza-x5b9 күн бұрын
Acha UONGO!! Dereva hanaga hizoo
@user-yh9yh8no2q15 күн бұрын
Sema baba.Mungu akulindee
@OscarKasalile15 күн бұрын
Katika watu ninao waamini mheshimiwa makonda nakukubali sanaaa
@AlfanMwiru15 күн бұрын
Mwamba ni jembe sana. Namkubali sana sana
@boychidu15 күн бұрын
My blood makonda hao wote wapangie kazi zingine za kufanya maana hawafai katika jamii
@VeredianaKalembi-gs4vs15 күн бұрын
Aisee huyu ni kiongozi muunganisha njia
@GodfreyMhando-gn7ok15 күн бұрын
Makonda unajuwa sanaaaaa
@medardkihekaabel260115 күн бұрын
Wewe ndo Ulimfundisha😂
@kivatirokitojo65715 күн бұрын
😂huyu jamaa ni very straightforward
@amosmachibya180015 күн бұрын
Kiongozi bora na si bora kiongozi
@giztony200915 күн бұрын
Maana halisi ya kujaa kwenye mfumo ndo hii hapa hatimaye kajitaja
@samirshabani-yu4xu15 күн бұрын
Jitaje nawewe mbona unabanduliwa au nawewe kunasiku utajitangaza
@OscarMathew-e2q15 күн бұрын
Kweli mkuu
@philimonndinadyo212014 күн бұрын
Makonda we muongo ulituongopea kuhusu mgogoro wa ardhi ulitupokea vizuri mwisho ukatukaushia
@magrethdamian219115 күн бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa Binadamu mchungu
@jasirimjasirimedia794015 күн бұрын
My leader
@richardhoseni264312 күн бұрын
Ukijua vitu anavyochuma nyuki hutakula Asali
@user-oo1vz3zi1t12 күн бұрын
Jamani Mwanangu Makonda umenitamanisha nitumie hata paja lakuku
@empafricatv14 күн бұрын
Duh
@joojombi234115 күн бұрын
Hiyo ndo bongo land aisee aibu tupu kwakweli funga tu huyo dereva
@NANGUJIMAKAME14 күн бұрын
Ok
@jumabonge857715 күн бұрын
ongea sana
@alfamgayatv87215 күн бұрын
Mungu murinde
@user-qh2bx5em6j14 күн бұрын
Kula Nyama nyamaza😅
@YamunguMatamya15 күн бұрын
Win both win😂😂
@makende8215 күн бұрын
Sijaelewa bado....
@AbediRashid15 күн бұрын
England have
@philimonndinadyo212014 күн бұрын
Kwahiyo wewe peke yako ndio ulikuwa na dereva peke yako mbona wapo wengi
@user-jm7qj6kx8c14 күн бұрын
Je umemchukulia hatua gani baada ya kugundua hilo?
@aloyceponela324915 күн бұрын
Duh RC makonda ni nomo Rudi dar mkuu
@januarypetro277415 күн бұрын
Hapana sisi tunamuhitaji sana Bado hajamaliza kazi ya Mungu