MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...

  Рет қаралды 192,558

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 131
@globaltv_online
@globaltv_online 3 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 3 ай бұрын
Mkuu wa mkoa, upo vizuri kabisa, wewe unabahati sana mshukuru sana Mungu wako fanya sana ibada umeifanya Arusha kuwa pamoja na wewe wengi tulijua unaenda mahala pagumu kumbe hakuna mkate mguu mbele ya chai
@AmanMbise-n1k
@AmanMbise-n1k 15 сағат бұрын
Nakukubali sana Mh RCMakonda
@JeremiasikilianiJeremiasikilia
@JeremiasikilianiJeremiasikilia 3 ай бұрын
Yes chief, Makonda I give u a big respect for that you are right🙏
@binamungulameck8655
@binamungulameck8655 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha unachapa kazi🙏
@M_tika
@M_tika 3 ай бұрын
Huyo kibaka kitu ataenda kufanyiwa huko 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@BakariKhatibu-t3w
@BakariKhatibu-t3w 4 күн бұрын
we ndo una sifa zote zakuwa kiongozi was hili taifa la Tanzania mungu akubariki
@kyannickk2be
@kyannickk2be 3 ай бұрын
tumepokea tunafanyia kazi....so Mkuu wa Mkoa asingekuja msingefanyia kazi!!!?
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 ай бұрын
Noma sana
@David-if6nk
@David-if6nk 3 ай бұрын
😂
@JuliusHatari
@JuliusHatari 2 ай бұрын
SI apo sasa ,yaani ni hatari
@johnrambo9642
@johnrambo9642 3 ай бұрын
Mwenye kiti mbona ana akili sana kuliko police na wengine
@ondaomari6255
@ondaomari6255 3 ай бұрын
Wote wakiwa kama Makonda Tz kama ulaya moja kwa moja
@videralfred8889
@videralfred8889 2 ай бұрын
ni kweli kila mtu akisimama kwenye nafasi yake kikamilifu maisha yatakiwa rahisi tz
@nshishiponsian8853
@nshishiponsian8853 2 ай бұрын
Yaani kijiji kizima mnasumbuliwa na kibaka mmoja,vizieni mmalize kimyakimya
@MichaelPius-k4d
@MichaelPius-k4d 3 ай бұрын
Sipatii picha siku Makonda ajekua Rais wa Nchi hii walahi tutakoma😂😂😂😂😂😂😂😂
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo 3 ай бұрын
Hongerasana makonda munguakubariki
@Nestoemanuel
@Nestoemanuel 3 ай бұрын
Habari mbana ya zamani😂😂😂
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 ай бұрын
Huenda Polisi wanashiriki na Wizi anaotendenda na kuvuncha Nyumba za Wananchi wanapokuwa kazini Kijana huyo asante
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 2 ай бұрын
Baraka 🙆 kwisha kabisa...
@JacrineKibira
@JacrineKibira 2 ай бұрын
Mwenyezi ametuletea ww kama magufuri tunataman ungekuwa uku kagera mzee
@LilianKisumbi
@LilianKisumbi 3 ай бұрын
Kazi nzuri
@JamesJames-b4u
@JamesJames-b4u 2 ай бұрын
Piga kazi baba❤
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 2 ай бұрын
Mungu irehemu nchi yetu
@BarakaNestory-x6d
@BarakaNestory-x6d Ай бұрын
Safi makonda
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 3 ай бұрын
Polisi wa tz ni wahovyo sana tatizo ra mapolisi tz hawajui kabsaaa usarama hakuna,,uku Oman ukipga sm polisi tu wanakuja hawangari wiraya wara kata mazari kunatukio tu wanarishugurikia nashangaha viongozi wanasafri nchi za watu hawajifundi
@shamzone388
@shamzone388 3 ай бұрын
Kila nchi na sheria zake Usijivunie police wa oman ni nchi yao na ni wajibu wa kulinda nchi yao… Nchi yetu hata ikiwa vipi tutarudi makwetu tukamalize maisha yetu Makonda hoyeee❤❤❤
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 3 ай бұрын
Mbona kama vile mkurya anaishi Oman?
@officialaziry3305
@officialaziry3305 3 ай бұрын
Makonda ana sema ..mengine sio ya kwenye maic 😂😂😂
@ashrafuful
@ashrafuful 2 ай бұрын
maana yake hapo piga chuma hiko
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 3 ай бұрын
Huyo nyota niza nini hajuwi kitu chochote
@David-if6nk
@David-if6nk 3 ай бұрын
Hahahahaa
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 ай бұрын
Afande itakua anafaidika na huyo kibaka
@ColnCharles
@ColnCharles 8 күн бұрын
Afande yuko sahihi kesi imepelekwa kwingine badala ya sehemu husika
@JamesJames-b4u
@JamesJames-b4u 2 ай бұрын
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 3 ай бұрын
Hakuna kitu hapo Mkuu Makonda kunahitajika kitu cha ziada.
@Dr.LAZARO-j2e
@Dr.LAZARO-j2e 3 ай бұрын
❤❤
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 2 ай бұрын
Nashindwa kuwaelewa police wa tz sijui wamerogwa nanani dah
@evelina9621
@evelina9621 3 ай бұрын
Polisi.mishahara.vizuri.kazi Endele
@PetroMadada
@PetroMadada 2 ай бұрын
Makonda ishi maisha marefu Kwa hekima ya utumishi
@SadaJuma-f4t
@SadaJuma-f4t Ай бұрын
Makonda chapa kaz by ust shaabani tabora
@MussaIssa-il1kp
@MussaIssa-il1kp Ай бұрын
Nakubal paaul makonda
@HusseinElias-
@HusseinElias- 17 күн бұрын
Angalau hata makonda angekua rais ingekaa sawa sana
@SamsonMsafiri
@SamsonMsafiri 3 ай бұрын
Ila makonda anajua kuwakamata watu napendaga sana hapa kiongozi wawanyonge tunae🙏🙏🙏
@Faridkhalid-z3p
@Faridkhalid-z3p 3 ай бұрын
Nchi imeoza hii dah mpaka aibu, mifumo ya ajabu kabisa, hii mikutano ni mpaka lini? Nyerere alijitahidi kuondoa ujinga lakini mpaka leo hii majitu majinga yamekaa hapo, unatatua matatizo kama gengeni?
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 3 ай бұрын
Huyo mwizi achukuliwe hatua na wenzake kama walivyofanywa wale PANYA ROAD WA DAR.
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 2 ай бұрын
😮
@mnelahMussa
@mnelahMussa Ай бұрын
Mheshimiwa mkonda, tunaomba urudi, dar es Salaam .
@modestalois2535
@modestalois2535 2 ай бұрын
Kuna jambo mkuu ameshindwa kulitamka hadharani lakini wenye D mbili tumeelewa 🎉🎉
@rajogemzanaki3030
@rajogemzanaki3030 Ай бұрын
Ao sungu sungu ndo wezi polisi ndo wenye kazi ya kulinda sungu sungu wamesomea wapi kumdhibiti mwalif
@FrankElias-u9i
@FrankElias-u9i 3 ай бұрын
Mbona mnaweka maridio shida nin
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 2 ай бұрын
Mengine sio ya kwenye maiki walosikia hii tujuane Nawaza makonda anawaza nn kwa kauli hii😂😂😂
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 3 ай бұрын
Eti naye anaitwa police wanachafua jina serkal tyu haw
@JumaMadebe-gp7ov
@JumaMadebe-gp7ov 2 ай бұрын
Watu, Kam hawo! Mungu ana watoa, wachache tu, huyo ni mwamba
@BarakaNestory-x6d
@BarakaNestory-x6d Ай бұрын
Huyo polisi avuliwe hajielewi huyo,mtumbuweni
@IssanKipanga-d1v
@IssanKipanga-d1v 2 ай бұрын
W2 hawa huwa wachache san pia hawadum fiti huwa ni nyingii san vifo huwa mdomon mwao ee mung waepushee kwa hilo
@faustinemlelwa7448
@faustinemlelwa7448 2 ай бұрын
Piga kazi kaka
@RajabuKibwana-ol4ud
@RajabuKibwana-ol4ud 2 ай бұрын
Makonda chapa kazi mungu atakuripa
@LukaBaraka
@LukaBaraka 3 ай бұрын
Huo ndo ukweli sasa wako wapi?
@BarakaNestory-x6d
@BarakaNestory-x6d Ай бұрын
Nahuyo afukuzwe kabisa
@myself4128
@myself4128 Ай бұрын
Yaani Mpaka Mkuu wa Mkoa Aingilie????hao Polisi basi wanafuga Majambazi
@ChiaJoseph-v3n
@ChiaJoseph-v3n Ай бұрын
Ako meshwe huyo
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 2 ай бұрын
Hivi Hawa maasikari Wana elimu Gani jamani nyinyi ndo mnaomuua makonda
@mrishoathumani-wx7gq
@mrishoathumani-wx7gq Ай бұрын
Hakika polisi ndiyo kikwazo katika ulinzi hawatendi haki
@Amirimohammedi-hb8xu
@Amirimohammedi-hb8xu 3 ай бұрын
Bombo
@HadijaMlope
@HadijaMlope 2 ай бұрын
watakuwa wana kulanaeuyo baba makonda
@dstaroficial
@dstaroficial 2 ай бұрын
Hapa makonda umenikosa yan inafikia wakat unaweza ukampenda mwiz ukanchukiabpolic hawpolic dah
@MosesLutahiwa
@MosesLutahiwa Ай бұрын
Icho cheo hakikufai baba gombea uraic
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 3 ай бұрын
Hakuna urizi shirikishi jeshi ra polisi hariereweki watu wanataka polisi wao wanasema hurinzi shirikishi unasaidya nn wengiwao ni vibaka
@sergiohalhakeem11
@sergiohalhakeem11 3 ай бұрын
Wananchi wenye hasira kali mpo wapi tena... Kajamaa kamoja kanazingua kata nzima huku😂😂😂
@milliontonne5819
@milliontonne5819 2 ай бұрын
Wakati Lita Moya ya petroli ni 3450 na inatosha kukasambaratisha
@selemanmkama-y8t
@selemanmkama-y8t Ай бұрын
wakulete huku mara
@AmiriSalum-d5c
@AmiriSalum-d5c 2 ай бұрын
Jibu nikwamba tuenda kumkamata tuna kuja nae akatumikie KIFUNGO Cha MAISHA Hilo ndio jibu sio tutalifanyia KAZI lini MKAMATENI sasahivi
@AlfredMatemu
@AlfredMatemu 2 ай бұрын
Achen kushaki vyitu kama hivi kijana anawashindaje raia wote mpunzisheni chapu mtaa utulie
@dominiclucian3828
@dominiclucian3828 2 ай бұрын
Danlod 0:28
@SalumuAsumani-z4v
@SalumuAsumani-z4v Ай бұрын
Makonda analoho nzurit kama magufur
@barakamnungamo3213
@barakamnungamo3213 3 ай бұрын
Huyo baraka msengerema sengerema hana nguvu ya kufanya kaz mpk aibe abadilishe jina kubalababaake
@Selemanjohn-se1el
@Selemanjohn-se1el 2 ай бұрын
😂😂😂😂 atimae tumepata jembe kamalilelile kwelimungu yupo
@AlifaHamis
@AlifaHamis 3 ай бұрын
Police Wana kuka Mishahala ya buletu kazi 0
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 2 ай бұрын
Mapolisi nao ni majambazi tu polisi mnaona ccm yenu wote mnatuzengua tu mtoke wote
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 ай бұрын
Mbona taharifa hii mlishaiwekaga?
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 3 ай бұрын
Mkuu wa mkoa yani polisi wa arusha walarushwaaqq ijiwezekana hamish wotee
@AllanAluma-ss8lb
@AllanAluma-ss8lb 3 ай бұрын
Wanainchi hatuna haja yakujua ma swala ya utawala, tunaitaji amani.
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 ай бұрын
Mahakama hakuna
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 ай бұрын
KWANI SI MUMUUE TU YAISHE JAMANI?
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 3 ай бұрын
HILI SUALA KAMA LA MATUKIO YA SALENDER BRIDGE HAPA DAR
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 3 ай бұрын
Oc,d,punguani
@andrewelangwa5147
@andrewelangwa5147 3 ай бұрын
Huyo afande hanyooshi maelezo
@andrewelangwa5147
@andrewelangwa5147 3 ай бұрын
Mkuu wa upelelezi ndo kanyoosha maelezo
@flova7022
@flova7022 3 ай бұрын
Kitacho mkuta huyo mwizi nko palleeeee ashikweee tuu shenzi
@Nurdinimwakisale
@Nurdinimwakisale 2 ай бұрын
Sahiz wabunge so hishu Sahiz wabunge awana umuhimu
@KindambaMtunje
@KindambaMtunje 2 ай бұрын
Achomwe moto uyoo
@GomwoMisago
@GomwoMisago 3 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda kwanini usiwape kibano hao police
@David-if6nk
@David-if6nk 3 ай бұрын
Hana mamlaka hayo
@RobertLyimo-vj3up
@RobertLyimo-vj3up 3 ай бұрын
Afande anaongea kwa logic
@evelina9621
@evelina9621 3 ай бұрын
Sheria.mahama.anafanya.n,n.polisi.wapewa.pese.wapewa.mishara.kwa.wakati Wambunge.wana.pewa.mishahara.mikubwa.wafanyakazi.hoi.hata
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 2 ай бұрын
Polisi wa tanzania wengi hawajaenda shule kazi kutumia miguvu akili hakuna
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 ай бұрын
Vunja mikono
@FridaMmari
@FridaMmari 2 ай бұрын
Ole wenu huyo kibaka ahame mkoa akija mkoa tulipo tairi naafuta ya taaa yatamkuta
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 ай бұрын
Uyo dawa yake hauwawe Mbona kitu simple sana jaman
@abdukhalnyerere8993
@abdukhalnyerere8993 2 ай бұрын
Kuua tu malizia
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 2 ай бұрын
Asilari anajikanyaga anavyovijibu avina pointi
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 3 ай бұрын
Makonda tunaomba uende ngarenaro mtaaa wa madadi jamani watu wanauza mirungi wakikamatwa wanatoa rushwa wanaachiwa
@officialaziry3305
@officialaziry3305 3 ай бұрын
Mirungi haina shida 😂😂 shida ni huo unyanyasaji wa wanainch
@Latifa123Latifa12
@Latifa123Latifa12 2 ай бұрын
Anaenda kuomba msaanda masikini
@dstaroficial
@dstaroficial 2 ай бұрын
Kiukwel xiipnd ccm ila naanz kkpnda makonda
@mandovapicture
@mandovapicture 3 ай бұрын
Makonda atengwe
@barackamtwange1925
@barackamtwange1925 2 ай бұрын
Mwamba ni huyu saasa
@GomwoMisago
@GomwoMisago 3 ай бұрын
Huyo afande aache kujiuma mdomo kama vile paka aliyekamata panya, nikwamba hata uwe Police kutoka Mkoa mwingine una haki ya kukamata muharifu,hivi kipindi unaapishwa uliapa nini si uliapa kulinda raia na mali zao Tanzania au uliapa kulinda maeneo ya mke wako kusudi akiweka maji ya ugali umwambie dkk tatu unga unafika
@JuliusHatari
@JuliusHatari 2 ай бұрын
Umeongea point ila nimecheka ety kulinda maeneo ya mke wako😂😢😂😂😂
@GomwoMisago
@GomwoMisago 2 ай бұрын
@@JuliusHatari siyo kwamba nimechekesha apana hawa Police wanakera sana hawaoni wenzao JWTZ hawana mchezo kabisa ila ukisikia wanavyoapa utasema tumepata jeshi kumbe ni mizengwe tu ila siyo Tanzania tu ni dunia nzima sijui police dunia nzima wana matatizo gani jina Police 🙊🙊 aibu tupu
@JuliusHatari
@JuliusHatari 2 ай бұрын
@@GomwoMisago kweli kabisa Mimi ni Afisa jeshi Niko Butiama ila ao baadhi ya wenzetu polisi wanakiuka taratibu,, Aya ndugu yangu
@francohaule-ci7ii
@francohaule-ci7ii 3 ай бұрын
Sasa wabunge wanafanya kazi gani
@JumanneKimuna-lo7yp
@JumanneKimuna-lo7yp 3 ай бұрын
:
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 72 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
Epic Reflex Game vs MrBeast Crew 🙈😱
00:32
Celine Dept
Рет қаралды 8 МЛН
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
The Chanzo
Рет қаралды 103 М.
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН