Makosa Makubwa Katika Utowaji Wa Talaka Kwa Wanandoa.
Пікірлер: 51
@nasraalismailiy51884 жыл бұрын
Shukran sana sheikh jazzakaAllah lkheyr Allah akuzidishie afya na ilmu yaarab 🤲
@zainabmaulidi98464 жыл бұрын
Masha Allah yaani huy sheikh anaelimisha vizuri hongereni kwa wafuatiliaj wote jmn
@abdallahhassan67403 жыл бұрын
Alhamdulillah Mimi nilimuacha make wangu talaka tatu kwaasira baada ya siku nikajirudi kutoka kwenye hasira lakini mama yake hataki nirudiane namke wangu mwanamke nishamtamkia nanikakaa nae wiki alivyoenda kwao mama yake kamzuia sijui nifanye nini
@aishamohammed35474 жыл бұрын
Allah atuekembali na mtihani watalaka tulioko kwenye Ndoa
@afric013 жыл бұрын
Aslm alkm wtw..... Hata sisi tunakupenda sanaaaa Sheikh Othman. Shukran sanaaa tume elimika vya kutosha Sheikh. Jazakallahu kheir. Allah akulinde.
@mzungumwinyiashs92444 жыл бұрын
Shukran shekh...kwa kutujuza Mungu akupe atupe umri uzidi kutuelimisha
@osamashakeeb71944 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@salimummy8524 жыл бұрын
Jambo zuri saana ulilolizungumza Shekh ... ALLAH AKBAR tunaomba kisa cha watu wa pangoni
@Aisha-om9go4 жыл бұрын
Masha Allah
@meedaafarai96774 жыл бұрын
Tabarak rahman. Jazza Allah kheir shekh. 👏
@rkenea42624 жыл бұрын
Mashaa Allaah shukran sana ya ust
@halimaomari34154 жыл бұрын
Mashaallah sheikh mola akubarik
@mzeemwamguno93674 жыл бұрын
shukranii shekhe wangu
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Shukran wajazaka llahu heri
@khadijaothman76486 ай бұрын
Assalamu alaykum Mm nimeachwa kwa kufukuzwa kwa hio eda nakaa kwetu
@user-be7nl6ep3z5 ай бұрын
Mimi pia
@user-ei9nc1so5m5 ай бұрын
Talaka kwa njia ya sms inajuzu?
@naamohamed99644 жыл бұрын
Jazakar allahu kher
@aminamichael17064 жыл бұрын
shekh allah akulipe mada nzuri imetutarch wengi
@latifamkulazi83784 жыл бұрын
Sheikh shukran Sana Ila naomba hii mada ukaizungumze chanika kwa chikila inshallah
@athumanmichael85014 жыл бұрын
Inshaallah
@ayoubnazir14934 жыл бұрын
Jazzaka Allahu khair
@faizasaid82624 жыл бұрын
Mashallah shukuran
@halimaramadhan29754 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@aquilerahchris90824 жыл бұрын
Mimi naimah,nilisilimu, sheikh naomba unijibu hili swali langu tafadhali,mimi mume kanipa talaka nakuoa aliekuwa mpango wakando, aliyekuwa akizini Naye muda mrefu,alvo toa talaka,aliniacha kwa nyumba na mtoto mchanga na kukataa kulipa nyumba,ilinibidi niende kwetu,nlivo fika kwetu, kabla eda kuisha, akaniambia mimi bado mkewe ,tuwache yalopita atakuja nyumbani, hakukja eda ikaisha,lkn baada ya miezi kaadha,alinifwata mahali nlikokuwa naishi na kufanya tendo la ndoa wkt ako na mke mwingine,nika kaa tena baada ya miezi miwili tena kaomba tena tendo la ndoa hapo ikabidii nikatae juu alikuwa hataki mtu yeyote ajue kama tunaonana,na hivi sasa matusi na kuniambia sina maana alipata aliyewamaana,nakuniambia niishi maisha yangu,nini hukumu ya mume kama huyu sheikh,wakati kakopesha pesa kwa yule mpango wakando, na kulipa mahari yangu nusu,na hapo hapo kutoa talaka,na Kuoa aliyekuwa mpango wa kando.naomba unijibu tafadhali.na hivi sasa ataka kunipeleka kotini kuwa nimnyima mwanaye, wakati ukiomba usaidizi unatukanwa na kulinganishwa na aliyemuoa hivi sasa,
@omadybinumady54274 жыл бұрын
Naam shekhe nimekuelewa
@makusuditv95962 жыл бұрын
Asaalam alaykumu warahmatullah wabarakatuh
@omadybinumady54274 жыл бұрын
Naam shukran sana shekhe othman
@ibrahimnoor98724 жыл бұрын
Mashalla shukran
@fatumamasudi21534 жыл бұрын
JazzaAllah kheir sheikh
@fatumamasudi21534 жыл бұрын
Allah akupe Afya njema hakika tunafarijika mno na mada nzur
@athumanmichael85014 жыл бұрын
@@fatumamasudi2153 shukran dadaang
@athumanmichael85014 жыл бұрын
@@fatumamasudi2153 anta kadhaalika
@mohammedsalum90792 жыл бұрын
Assalamu aleikum naomba kuliza mm nnamke lakini huyumkwe wangu anhitaji talaka sasa hivi inakaribia humwezi wapi lihajanipa unyumba ikifika miezimi tatu kamasijamuinglia bado hajachika
@laylisaid95634 жыл бұрын
W/salam shukuruni 🙏👍 unagitoa ushehe wew ni shehe 2 hataukikimbia jee unataka uituwa Nani? Mwalimu au doktori
@salimajuma55304 жыл бұрын
MashAllah shucran.swali.sasa kama mume anaeshi ulaya kikazi,muke anaeshi africa.mume yaweza kumpa talaka mkewake ? Nisahihi?
@mohammedsalum90792 жыл бұрын
Nawaombeni mnisaidie
@sakinaabdallah78744 жыл бұрын
Tufafanulie Shekh Dada mmoja aliolewa na mume aliyekuwa na mkewe ila hakuwa na kazi. Dada huyu akamtafutia kazi mumewe. Cha kushangaza sasa mume akabadilika matamshi machafu, hamjali matumizi Wala kumjulia hali ? Mume yuasema talaka hampi na atafanya atakavyo akiweza akae akishindwa shauri zake. Tafadhali Shekh nipe hoja kulingana na Quran na Sunnah.
@makusuditv95962 жыл бұрын
Nina weza ku pata namba zako unisaidiye sheikh
@greysonflams22374 жыл бұрын
Jazakallah khairy
@khadijahpretty31212 жыл бұрын
Anaondoka jumla jumla
@faizasaid82624 жыл бұрын
😁
@uwingeneyeshadia76974 жыл бұрын
Shehe ninaswali mwanamke alie fiwa namumewe mwanamke akaka eda iyo miezi mi4 na siku10 ile siku ya mwisho mwanamke anatoka eda wanasoma dua iyo siku mwanamke anaruhusiwa kuolewa apo apo?
@fahadtimimi93354 жыл бұрын
Assalam aleykum akhy....hyo dua hakuna ktka Sunna...mwanamke aliefiliwa na kumaliza eda ana ruhusiwa kuolewa hapo hpo
@Suleimansalum4 жыл бұрын
nitalaka sio taraka
@athumanmichael85014 жыл бұрын
Sawa
@zammaulidi75074 жыл бұрын
Hayo ya kulisha usiseme mke anahudumia watoto 6 mpaka 7 nini mume kaowa hapa je huyu mume anafaa kweli ? na pia anasema talaka sitoi na mahari yake 50 elf na bwana anasema talaka sikupi Hadi unipe milion7 je hii halali ? Ukipata MDA nijibu jpo neno moja tu
@athumanmichael85014 жыл бұрын
Siosahihi
@aishakhery47482 жыл бұрын
Asalaam alykumOthtadh mimi kutokana na maudhi ya mume wangu yalinipelekea nidai talaka japo nimekosea ni mjamzito halafu alikua ananifanyia vitendo vya ukatili mwanzo aliniacha moja juzi akanipa mbili kwa mpigo je anaruhusiwa kunirejea?au zimekamilika tatu au zinahesabika mbili wabilah tawfik