Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny71835 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson72115 ай бұрын
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif56485 ай бұрын
@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann5 ай бұрын
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarack4 ай бұрын
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
@FayBen-kh4ln4 ай бұрын
Truly God is everything he poses everything
@arya-star535 ай бұрын
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
@RamadhanMadiluuАй бұрын
Mama nice njia
@RehemaMasalu5 ай бұрын
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
@EvelynNatasha-yj5vg5 ай бұрын
Jesus is caming soon
@khadijab70665 ай бұрын
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
@BiafraSeleman4 ай бұрын
Subhanallah.
@mercylinekerubo68835 ай бұрын
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
@juliethhope72813 ай бұрын
Mungu ninusuruuuuuuu mwanaoooo
@BiafraSeleman4 ай бұрын
Subhanallah
@HannahSamira-z5d5 ай бұрын
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
@SmilingCityMap-xb9md5 ай бұрын
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson72115 ай бұрын
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
@BettyJoram-td1jb4 ай бұрын
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
@maryamkokani46833 ай бұрын
Maisha magumu unapesa na hata vacation dubai na paris hukufika very sad indeed...
@chunaabdullah13335 ай бұрын
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
@tanzcanmediatv44735 ай бұрын
Yesu wangu waepushe hawa watu
@Zenygoldsuperwoman5 ай бұрын
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
@DafiMohamed-dz8xk5 ай бұрын
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
@TatuTatu-f1v5 ай бұрын
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
@abuqusay89125 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
@kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
@ashuranahoda25645 ай бұрын
Subuhannallah
@jacquelinemwakasala95635 ай бұрын
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
@salisali37385 ай бұрын
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
@Cyrile-yv1er5 ай бұрын
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
@AlfaMtulo4 ай бұрын
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
@LucasTimotheo-xw7ik5 ай бұрын
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
@phaustineokitwi70435 ай бұрын
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
@gastosalehe36585 ай бұрын
Mama Hasani.
@RukiaHassan-w4u5 ай бұрын
😂😂
@BrackWolf-el6bt5 ай бұрын
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
@arjunmutotowadzaleka5 ай бұрын
Maswali mengee Sana brother
@shantellemwanakombo37035 ай бұрын
Duh kumbe wapo wengi eeh??
@JaneMutuga-xi4jq4 ай бұрын
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
@Oderabrenda5 ай бұрын
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
@aairraahseif56485 ай бұрын
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@RukiaHassan-w4u5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
@valentinanduku87185 ай бұрын
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
@omarikiringo2605 ай бұрын
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa48355 ай бұрын
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif56485 ай бұрын
@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
@LatiphaSalim5 ай бұрын
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
@Rasta-ys9lz4 ай бұрын
Sasa uyo dada ana umaharufugani yeye na yesu nani maharufu acheujinga nyoka nishetani anaishi na shatani kama hajui
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
@TatuTatu-f1v5 ай бұрын
Pole kwa majukumu Yako
@FeroozRashid27 күн бұрын
Je unapopewa huyo nyoka unakuwa umeshajenga nyumba au ?
@baruanikalenga22465 ай бұрын
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma32315 ай бұрын
Anakula nini
@veronicajohn76455 ай бұрын
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
@JaneNderitu-fp6hl4 ай бұрын
Like to join them now
@rahmahasan325 ай бұрын
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
@ApollinaireBalolage5 ай бұрын
Mungu awalaani
@phiahofficialtv71405 ай бұрын
Hii channel ya mganga nyoka
@FatumaAmisi4 ай бұрын
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
@marksafaritz80765 ай бұрын
Jichanyeni mtapeliwe 😂
@AsnatSaid-zp2kr5 ай бұрын
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
@tanzcanmediatv44735 ай бұрын
Jesus christ
@HannahSamira-z5d5 ай бұрын
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson72115 ай бұрын
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
@Zenygoldsuperwoman5 ай бұрын
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
@veroclement-xv7kx5 ай бұрын
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga22465 ай бұрын
Kumbe nawe umeona
@AntoinetteMufuka5 ай бұрын
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
@erickndelwa69754 ай бұрын
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
@NabosJuma5 ай бұрын
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
@SarahKizito-q8y5 ай бұрын
Nani anamjua huyu mama jamani
@MercyOdhiambo-r1g5 ай бұрын
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall5 ай бұрын
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
@salamarashid36875 ай бұрын
Yajayo yanafurahisha
@kiriistaicy1835 ай бұрын
Alijitoa ki vipi?
@firdaushamid82005 ай бұрын
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson72115 ай бұрын
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
@gracekagoma32315 ай бұрын
Anakula nini 😢
@LatiphaSalim5 ай бұрын
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
@LilianMbele5 ай бұрын
Kulala na ngoja una maana gani,
@Maria-dg6ik5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@danieljoseph16105 ай бұрын
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga5 ай бұрын
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu61195 ай бұрын
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko5 ай бұрын
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko5 ай бұрын
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson72115 ай бұрын
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
@OmanOman-ru4eu5 ай бұрын
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
@AndrewMartin-yr8rh5 ай бұрын
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
@browskymuba69235 ай бұрын
Ehh mwingine tena wa 3
@MoinaminaAmina-qh1jb5 ай бұрын
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
@germainndayishimiye86845 ай бұрын
Alajuela awana aibu kusema
@gracekagoma32315 ай бұрын
Chatu Huyo 😢
@fardoshnassor78475 ай бұрын
😢😢
@JosephGakome5 ай бұрын
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
@RukiaHassan-w4u5 ай бұрын
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
@paramaa58395 ай бұрын
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@aboudijaaboudija5 ай бұрын
😂😂😂
@MaishaBabu-m2g5 ай бұрын
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
@JosephGakome5 ай бұрын
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
@marthamvanga80285 ай бұрын
Usitamani mali ya mtu mwingine
@farhannahkulishwaburekunam53605 ай бұрын
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
@JosephGakome5 ай бұрын
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
@farhannahkulishwaburekunam53605 ай бұрын
Je inakuaje ukisafiri
@phiahofficialtv71405 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂karanga
@janesaru93775 ай бұрын
Hakai tajiri ata
@JosephGakome5 ай бұрын
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson72115 ай бұрын
watoto wachanga
@aairraahseif56485 ай бұрын
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi