PART4.MREMBO AFICHUA MASHARTI MAGUMU YA UTAJIRI,MALI NA PESA NIMEPATA KWA MAUMIVU MAKALI ILA...

  Рет қаралды 63,722

Maks Media

Maks Media

Күн бұрын

Пікірлер: 129
@angle3600
@angle3600 5 ай бұрын
Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 ай бұрын
​@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann
@MuniraHassann 5 ай бұрын
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarack
@ZuhuraBarack 4 ай бұрын
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
@FayBen-kh4ln
@FayBen-kh4ln 4 ай бұрын
Truly God is everything he poses everything
@arya-star53
@arya-star53 5 ай бұрын
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
@RamadhanMadiluu
@RamadhanMadiluu Ай бұрын
Mama nice njia
@RehemaMasalu
@RehemaMasalu 5 ай бұрын
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
@EvelynNatasha-yj5vg
@EvelynNatasha-yj5vg 5 ай бұрын
Jesus is caming soon
@khadijab7066
@khadijab7066 5 ай бұрын
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
@BiafraSeleman
@BiafraSeleman 4 ай бұрын
Subhanallah.
@mercylinekerubo6883
@mercylinekerubo6883 5 ай бұрын
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
@juliethhope7281
@juliethhope7281 3 ай бұрын
Mungu ninusuruuuuuuu mwanaoooo
@BiafraSeleman
@BiafraSeleman 4 ай бұрын
Subhanallah
@HannahSamira-z5d
@HannahSamira-z5d 5 ай бұрын
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 5 ай бұрын
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
@BettyJoram-td1jb
@BettyJoram-td1jb 4 ай бұрын
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
@maryamkokani4683
@maryamkokani4683 3 ай бұрын
Maisha magumu unapesa na hata vacation dubai na paris hukufika very sad indeed...
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 5 ай бұрын
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 ай бұрын
Yesu wangu waepushe hawa watu
@Zenygoldsuperwoman
@Zenygoldsuperwoman 5 ай бұрын
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 5 ай бұрын
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 5 ай бұрын
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
@abuqusay8912
@abuqusay8912 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 5 ай бұрын
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
@ashuranahoda2564
@ashuranahoda2564 5 ай бұрын
Subuhannallah
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 5 ай бұрын
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
@EdwardDismass
@EdwardDismass 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy
@NajmaBarry04
@NajmaBarry04 5 ай бұрын
nyinyi n wapuuz mtakufa vibaya ety unachukia umaskini innalillah wainaileh rajiun 😢😢
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 5 ай бұрын
Ndege ndege
@khadijaHatungimana
@khadijaHatungimana 5 ай бұрын
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
@salisali3738
@salisali3738 5 ай бұрын
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
@Cyrile-yv1er
@Cyrile-yv1er 5 ай бұрын
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
@AlfaMtulo
@AlfaMtulo 4 ай бұрын
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
@LucasTimotheo-xw7ik
@LucasTimotheo-xw7ik 5 ай бұрын
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
@phaustineokitwi7043
@phaustineokitwi7043 5 ай бұрын
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
@gastosalehe3658
@gastosalehe3658 5 ай бұрын
Mama Hasani.
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 5 ай бұрын
😂😂
@BrackWolf-el6bt
@BrackWolf-el6bt 5 ай бұрын
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
@arjunmutotowadzaleka
@arjunmutotowadzaleka 5 ай бұрын
Maswali mengee Sana brother
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 5 ай бұрын
Duh kumbe wapo wengi eeh??
@JaneMutuga-xi4jq
@JaneMutuga-xi4jq 4 ай бұрын
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
@Oderabrenda
@Oderabrenda 5 ай бұрын
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 ай бұрын
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 5 ай бұрын
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
@omarikiringo260
@omarikiringo260 5 ай бұрын
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 5 ай бұрын
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 ай бұрын
​@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
@LatiphaSalim
@LatiphaSalim 5 ай бұрын
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
@Rasta-ys9lz
@Rasta-ys9lz 4 ай бұрын
Sasa uyo dada ana umaharufugani yeye na yesu nani maharufu acheujinga nyoka nishetani anaishi na shatani kama hajui
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 5 ай бұрын
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 5 ай бұрын
Pole kwa majukumu Yako
@FeroozRashid
@FeroozRashid 27 күн бұрын
Je unapopewa huyo nyoka unakuwa umeshajenga nyumba au ?
@baruanikalenga2246
@baruanikalenga2246 5 ай бұрын
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
Anakula nini
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 5 ай бұрын
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
@JaneNderitu-fp6hl
@JaneNderitu-fp6hl 4 ай бұрын
Like to join them now
@rahmahasan32
@rahmahasan32 5 ай бұрын
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
@ApollinaireBalolage
@ApollinaireBalolage 5 ай бұрын
Mungu awalaani
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 5 ай бұрын
Hii channel ya mganga nyoka
@FatumaAmisi
@FatumaAmisi 4 ай бұрын
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
@marksafaritz8076
@marksafaritz8076 5 ай бұрын
Jichanyeni mtapeliwe 😂
@AsnatSaid-zp2kr
@AsnatSaid-zp2kr 5 ай бұрын
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 ай бұрын
Jesus christ
@HannahSamira-z5d
@HannahSamira-z5d 5 ай бұрын
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
@Zenygoldsuperwoman
@Zenygoldsuperwoman 5 ай бұрын
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
@veroclement-xv7kx
@veroclement-xv7kx 5 ай бұрын
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga2246
@baruanikalenga2246 5 ай бұрын
Kumbe nawe umeona
@AntoinetteMufuka
@AntoinetteMufuka 5 ай бұрын
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
@erickndelwa6975
@erickndelwa6975 4 ай бұрын
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
@NabosJuma
@NabosJuma 5 ай бұрын
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
@SarahKizito-q8y
@SarahKizito-q8y 5 ай бұрын
Nani anamjua huyu mama jamani
@MercyOdhiambo-r1g
@MercyOdhiambo-r1g 5 ай бұрын
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 5 ай бұрын
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
@salamarashid3687
@salamarashid3687 5 ай бұрын
Yajayo yanafurahisha
@kiriistaicy183
@kiriistaicy183 5 ай бұрын
Alijitoa ki vipi?
@firdaushamid8200
@firdaushamid8200 5 ай бұрын
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
Anakula nini 😢
@LatiphaSalim
@LatiphaSalim 5 ай бұрын
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
@LilianMbele
@LilianMbele 5 ай бұрын
Kulala na ngoja una maana gani,
@Maria-dg6ik
@Maria-dg6ik 5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 5 ай бұрын
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga
@JacklneManonga 5 ай бұрын
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu6119
@esteroseollotu6119 5 ай бұрын
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 5 ай бұрын
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 5 ай бұрын
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 5 ай бұрын
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
@AndrewMartin-yr8rh
@AndrewMartin-yr8rh 5 ай бұрын
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
@browskymuba6923
@browskymuba6923 5 ай бұрын
Ehh mwingine tena wa 3
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 5 ай бұрын
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
@germainndayishimiye8684
@germainndayishimiye8684 5 ай бұрын
Alajuela awana aibu kusema
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
Chatu Huyo 😢
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 5 ай бұрын
😢😢
@JosephGakome
@JosephGakome 5 ай бұрын
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 5 ай бұрын
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
@MwanaidhMary
@MwanaidhMary 5 ай бұрын
Umasikini uwo mnao nyie tuu sio umasikini majiendekeza tuu
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 5 ай бұрын
Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 5 ай бұрын
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@AronzakariaLuchanganya
@AronzakariaLuchanganya 5 ай бұрын
Nawapata wapi!!! Namm nitajirike
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
hahaha umesikia hautajiriki haraka
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 5 ай бұрын
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
@paramaa5839
@paramaa5839 5 ай бұрын
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 5 ай бұрын
😂😂😂
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 5 ай бұрын
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
@JosephGakome
@JosephGakome 5 ай бұрын
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
@marthamvanga8028
@marthamvanga8028 5 ай бұрын
Usitamani mali ya mtu mwingine
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 5 ай бұрын
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
@JosephGakome
@JosephGakome 5 ай бұрын
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 5 ай бұрын
Je inakuaje ukisafiri
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂karanga
@janesaru9377
@janesaru9377 5 ай бұрын
Hakai tajiri ata
@JosephGakome
@JosephGakome 5 ай бұрын
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
watoto wachanga
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 ай бұрын
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi
@JosephGakome
@JosephGakome 5 ай бұрын
Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani
@MariamJuma-pe4sy
@MariamJuma-pe4sy 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅
@epitomeapex
@epitomeapex 5 ай бұрын
Dah kweli uhuru umezid😂😂😂
@AsnatSaid-zp2kr
@AsnatSaid-zp2kr 5 ай бұрын
😂😂😂Atari
@Marym-iw2wr
@Marym-iw2wr 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅nmekoma hp
@Amina-o8i
@Amina-o8i 5 ай бұрын
Ss uyo asan yapo wapi
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 104 М.
Hur säkrar Sverige tillgången av kritiska råmaterial?
1:18:21
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 12 МЛН
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 332 М.
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Albert Einstein's Life and Discoveries part 1 & 2 || Bright Keralite
2:09:05
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 12 МЛН