Sasa ulimuaga ya Nini jamani kujitakia tu mwenyewe na picha Tena Bora usingepiga ata izo picha
@MiltraudNyagali-fw3hu18 сағат бұрын
Ni kweli cc wakristo hatuabudu mungu mmoja na waislam wao hawamwamini kama Yesu ni Mungu na wao wana Mungu wao ambae ni Allah
@ashurasaid840918 сағат бұрын
Alipewa nafasi ya kutafuta wafuasi wake wa kwendanao motoni
@gladysmapenzi208918 сағат бұрын
Bro kimbia na mapema usije ķujutia badae huyo dada anakuficha maana Maelezo ya barua iko wazi. Chukua simu ya huyo dada uangalie messages kama wakaongeza nini.
@JoyceManyuka-ot7sg19 сағат бұрын
Tunaomba No baba
@JoyceManyuka-ot7sg19 сағат бұрын
Nakupenda sana we Mtumishi.
@kitosmayunga872219 сағат бұрын
Kim ww umehalbu mwnyew
@MareMa-kb3iy19 сағат бұрын
Hizo zote ni mali ya baba yetu aliye mbinguni lazima kumiliki kwa jina la yesu
@veronicaagonga741519 сағат бұрын
Ndugu mtangazaji huyu dada muongo sana .usikubali huyu kijana kukaa naye eti ndoa . Ndoa hakuna hapo huyu dada amefuata pesa lakini anapenda enriki
@gladysmapenzi208919 сағат бұрын
Kaka ùkae njonzo juu hiyo barua ýaeleza wazi kabisa. Kwa hiyo ukae ukijua waisha na mke wa mwenyewe wa Milele
Kijana mdogo mungu akusaidie update mbavu Yako lakini si huyo kahaba
@strategienumerique20 сағат бұрын
Wwe ndacha Mungu akubariki,
@marychiwowa175920 сағат бұрын
There's one problem with this generation..we think that we are whites😢.yaan kwakweli muntu unaolewa alafu unafunga safari eti kwenda kumuaga X kweli? Kizazi hiki jaman hadi naogopa
Wakati Kuna sisi tuna tamani kupata anaye kujalie mbele ya watu ilaa hatuna bahati waaah single tena
@ShemsaKiobya-x8h21 сағат бұрын
Huyu anerudi kwa yule mwanaume wanaume hawapendi hivyo mdogo wangu akikuoa hapendi kujua ya nyuma
@ShemsaKiobya-x8h21 сағат бұрын
Ulienda kifanya nini hukutumia akili bint
@user-fd5pb1dt4j22 сағат бұрын
Uyu dada muongo awezi kuachana nae uyo bwana
@CharityChao22 сағат бұрын
Hio sio kweli Kwani msichana hatoki inje akiwa anangoja harusi sasa mapezi alienda kumpatia wapi,hapo kunakizungu mkuti
@AnnaMzava-yl1su23 сағат бұрын
Picha isisabishe kuachana huyo anakuonea wivu ili umwache
@user-ui6rf8yx7s23 сағат бұрын
Uongo mtupu wapuuz nyie Ata kuekti hamjui
@user-hn3lx6ys8n23 сағат бұрын
We uyu dada anatuigiziy mtizame vizur 😂😂😂
@fatimaharoun-np8uv23 сағат бұрын
Hakuna mwanamke ambae hana mtu saiv sasa ww kama ushamuowa na ulikua nae kwenye mausiano kwa mda wa miez miwili hujauliza saiv wanawake tunaacha wasio na malengo tunaenda kwa wenye akili zao zilotulia mm nimeachana na mtu wangu ambae nilikua nampenda nikaolewa na anaenipenda mana mtu anakupanga tu unaendelea kupoteza mda bas muhim ww upo nae ishi nae mpe onyo huyo jamaa yake maisha yaendelee
@user-mk6eu2jq6j23 сағат бұрын
Pole sana mwanangu yohana
@christophermotonyi2547Күн бұрын
Sasa ivo god love hayupo freemason unataka kutuambia? Huyo ni mtumwa wa shetani bado hata useme nini na Mungu na shetani ni kama nuru na giza enda ukasome
@neempmailaneempmailaКүн бұрын
Ww dada so muolewaji ni kweli umefata pesa kwa sababu kendi Alikuwa mpenzi wako ulifata nn tena na uku ulikuwa umeachana naye nn tena ulisahu nn kwake
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ctКүн бұрын
Mh .aibu zingine jamani
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ctКүн бұрын
Akuhalibie nini malaya wewe mkubwa umeshindwa kuficha hizo picha
@saidimiarageКүн бұрын
Hizo picha ni za zamani kwa nn uzifatishe?? Wewe itakua humtaki huyo mwanamke siachi mwanamke kwa ajili ya picha zilizopigwa muda ambao umepita
@OLEDAUDIКүн бұрын
hii mbona kama tumepigwa za mandoga mmh
@saidimiarageКүн бұрын
Hiyo ni fitina umefanyiwa kama umchukue mkeo maisha yaendeleee hiyo ni memol tu je kama ungemkuta na mwanaume kitandani kwako?? Usiyafatishe hayo
Danganya mambumbumbu lakini waelewa huwezi wapeleka Chaka biblia iliyopotezwa miaka Mia sitaa wajanza wakaeka baadhi ya maneno yao
@jonathanrumenyela125Күн бұрын
Hapa naanza kumuelewa Mzee wa Upako! Mwanaume wako ni Kendrick kwa sababu ndiye aliyekutoa usichana wako ndio mana hata maelezo yako ni Tata! Bora Yohana afanye maamuzi magumu mbele yaweza kumgharimu kama mimi
@jonathanrumenyela125Күн бұрын
Ni ngumu sana kuwaamini hawa watu! Hata mimi napitia ya Yohana
@KhamisChaz-td4nzКүн бұрын
Shukuru MUNGU sana Yohana kakuonesha mapema tabia ya huyo mwanamke ukilazimisha kuendelea nae huyo mwanamke baadae atashirikiana na Kendrick kukumaliza ili wachukue mali waendelee na mapenzi Yao ya toka utotoni kua makini sana
@KhamisChaz-td4nzКүн бұрын
Kuna picha za Siri kuliko hizo je Kendrick akimwambia huyo mwanamke wakafanye mapenzi ili asimuoneshe mumewe; izo picha unadhani mwanamke atakataa!? Wakati shida yake ni ndoa?
@LeticiaGeorge-h6fКүн бұрын
Acheni matusi ashumu ugekua wewe ex wako akakufanyia hivyo ugenjiteteeje acheni hizo kaka msamehe mkeo achana na mambo ya watu nae hakudhamilia mpe msamah
@user-ew7xd1xu3sКүн бұрын
Had mekapu inavuja
@user-ew7xd1xu3sКүн бұрын
Du ❤ aibu yamwaka
@jacklinemwitaКүн бұрын
Ni kabila gani huyo kaka ??
@jacklinemwitaКүн бұрын
kumbuka Hiyo picha ilikuwa Kabla ya ndoa
@nelsonnyamleКүн бұрын
MASANJA NI MTUMISHI MWENYE MARAFIKI AINA YA AKINA NABII KIBOKO YA WACHAWI NAYE ATAKUWA FREEMASON
@jacklinemwitaКүн бұрын
sasa mbona umewaita waandishi wa habari
@kesterkanyala7718Күн бұрын
KWELI ,YOHANA....MSAMEHE MKE WAKO ...KWELI AMEOMBA RADHI NA MSAMAHA WA KWELI..MSAMEHE
@user-ih6ng6sf6oКүн бұрын
Bora watu wahachane na vurugu kwali wakihachana kwa Amani lazima watarudiana tu😂😂😂😂
@jacklinemwitaКүн бұрын
sasa ndo mnawaitaa waandishii wa Habari Sasaa maana ya kifo kitatutenganishaa ni nini?? Dada Nenda zako Apo Amna Mwanaume Mwanaume wa One-line ndoa ni siri sio Mwanaume kitu kidogo tyuu unakimbilia media😂😂