POWERFULL WORDS. Nguvu ya kusaidia wengine huongeza marambili nguvu ya kujituma kwako kwani itakuingia moyoni na akili kwamba wapo wengi watakao hitaji msaada wako na kukupa nafasi ya kushukuru kwa hapo ulipo. Kitu pekee tunachosahau ni kwamba Kila unayekutana naye analo la kukufunza mbali na vile ambavyo unamtazama. nimejifunza mengi sana, Dima kuna wazungumzaji wengi ambao nimewahi kuwasikia, kama unakumbuka nilishwahi kukueleza mara ya kwanza kabisa kabla hata kitabu cha TIMIZA MALENGO Hakija toka, kulipokuwa kwenye promotion, kwamba wazungumzaji wengi au wajasilia mali wengi, wanafundisha sio yake wanayoishi au kuyafanya ndio maana wengi wakisoma kazi zao hakuna mabadiliko, but tangu nilipoanza kukufuatilia nikakubali kwamba sasa yupo mzungumzaji Tanzania
@charlesjoseph24775 жыл бұрын
thanks
@mosesrichard4594 жыл бұрын
Unaweza!
@katsongowasi Жыл бұрын
Nafurai
@issashekh943711 ай бұрын
Thanks
@MustafaShomari-nh7pn8 ай бұрын
🎉 l0
@eliezermtokoma20576 жыл бұрын
Kaka nakuelewa saana ipo siku nitatoa ushuhuda kwaajiri yako MUNGU akutunze
@successpathnetwork5 жыл бұрын
Kaka this is deep, deep very deep!!!
@revocatusclevery15406 жыл бұрын
dah!! hii hakika ni passion yako🙌 Mungu akutunze ndugu yangu,, unafanya kwa kiwango cha juu sana..! A man of de impact ( a strong effect)
@abuuharuna42786 жыл бұрын
iyo ni kweli kuna wengi tunajidhalau wenyewe ndo maana wengi tunakufa na malengo yetu bila hata kuyanusa na wengi tunavipaji ila hatuvinoi vipaji vyetu ndo maana havitusaidii kufikia malengo ila naamini wengi tutafanikiwa kupitia wewe na mafundisho yako
@leticiampeka14885 жыл бұрын
Thank you so much, may God bless your work brother!
@mercypedha55195 жыл бұрын
The biggest enemy that is killing my dream is Myself ! There is always a potential but we are afraid to fail and learn ! I must step out of my Comfort zone! !! Thank you Hon.Joel 🙏🏿🙏🏿🙏🏿💕
@rizikifumao36856 жыл бұрын
asante kwa ujumbe mzuri
@safiaabubakar11205 жыл бұрын
Haijawahi kutokea kuskiza vipindi vyoko Joel nikamwagika machozi kama leo Wallah nimelia imenigusa in my heart
@anthonykimaro8076 жыл бұрын
Thanks much dear brother nimebadilika zaidi ubarikiwe Sana.
@luciewajesus7315 жыл бұрын
I can't wait to subscribe I need more of this wisdom ❤❤😍😍
@judithmtaliki28605 жыл бұрын
safi sana nimejifunza vitu vingi leo kupitia somo lako
@b5342s25 жыл бұрын
unafundisha vizuri Sana Ila kingereza kingi wakati unafundisha wenye Elim nawasio naelim mungu akubariki
@levinamrema82 жыл бұрын
Nataka niwe motivation speaker nifanyee mambo gani
@HalfaniSaid5 ай бұрын
Vizuri Sana Kila kitu kinawezekana endapo wewe mwenyewe ukiamua Jambo la kwanza la kufanya motivation speaker unae mjua ili akupe muongozo Jambo la pili ni kusoma vitabu vinavyo husiana na motivation speaker Na jambo la tatu ni kununua course mtandaoni zinazo husiana motivation speaker
@mercyadam98035 жыл бұрын
Nimegundua Mungu hawezi kufunua siri kwa mtu mchoyo utoaji wako pia umekufikisha hapo
@stevenimush31535 жыл бұрын
Kaka ututafsirie vingine wengine hatujasoma
@zawadimghero67215 жыл бұрын
Nimefrahi kuusikia haya Namba kushiriki na wadau wangu maana yapo yaliyotugusa kiundani. Niombe next time jaribu kumove na tumia mic ambayo unatembea nayo ukiwa umeivaa napende the way unatoa body language ila umezuiwa na izo mic na vimeza. Ni mawazo yangu lakini
@joelnanauka2 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa ushauri
@carolineifee8005 жыл бұрын
Asante sana ju nilikuwa mnyonge lkn niliposkia mafunzo yako nikapata nguvu mpya
@josephkessy54865 жыл бұрын
You are making me Joel. One day I will invite you in my graduation of the classes you are teaching me.
@kilolahmakondo7664 жыл бұрын
Napenda sana topic zako bro na nakufuatilia sn ktk kila video mpya KZbin ila punguza speed unapokuwa unaongea maana hatuelewi uko fsta mno
@shantaaswad95235 жыл бұрын
Am glad l come across this channel, very educative, watching from Oman, jamaani unazungumza Kama marehemu Kanumba
@peterdani62445 жыл бұрын
2019 nimependa sana mafundisho yako we we ni mwalimu ubarikiwe "god" bless you. "descover your life purpose" Amen,Amen, Amen.
@HalfaniSaid7 ай бұрын
Nashukuru sana kwenye video nimejifunza hizo hatua But it's very powerful Na miongoni mwa kitu cha thamani zaidi nilicho jifunza ni kwamba ili ufanikiwe katika kila nyanja Lazima uhitaji mtu wa kuku'coach kwa mfano Life coach mfano Nanauka Online business coach mfano Dr.said said Relationship coach mfano Chris mauki Spiritual coach mfano...... Health coach mfano ......... n.k Ahsante
@charlesngofilo45816 жыл бұрын
Kaka hakika kipaji ulipewa na una kitendea haki BARIKIWA SANA
@salmambabazi13126 жыл бұрын
Kaka unatisha mungu akujarie
@esterjohn14335 жыл бұрын
Barikiwa sana
@mariajmwakisavanga75914 жыл бұрын
Jaman n kwer
@peterswai3912 жыл бұрын
Nice fact kaka God bless more brother Dodoma Tanzania
@komboomar82756 жыл бұрын
Mm sina haja ya kutafuta elimu ya maisha kwengine hapa ndio kituo changu cha kujifunza
@jacksonkumbi32835 жыл бұрын
Kaka Kama una vitabu ulivyo andika kwa kiswaili niambie call 0756170000
@gmaemba225 жыл бұрын
Joel umesoma kibaha mwaka gani.? Nadhani nitakua nakufahamu maana mimi sio tuu nimesoma kibaha bali natokea kibaha. Nimesikiliza hii speach imenifundiasha mambo mengi sana. Thank you brother. I would like to meet you when I come back home. Cheers
@ndarojuma51286 жыл бұрын
Kaka nimeanza kufanya ujasiriamali kwa bahati mbaya nikapata hasara kweny biashara yangu real be honestly nilvunjika moyo lakini kupitia video yako naamini ninaweza na kuna engi nimejifunza. Stay blessed brother.
@salimkhamisi64902 жыл бұрын
Thank you so much from now ntayafanyia kazi maneno yko inshaallah ntafanikiwa kutimiza malengo yangu
@simonfredy23246 жыл бұрын
Duuuuh #kakaJoel!!... Sio tu kupata mafunzo mazuri....Lakin pia unauzungumzaji ambao hata kama nilikua busy lazima nitulie kusikiliza.... Nafikiri ni uwezo wa kipekee aliokupa Mungu na Kuna Mbegu umeipanda kwangu...Thank you so much!!
@DoubleDD3555 жыл бұрын
Tanzania vs lesotho
@msafiriramadhani33395 жыл бұрын
Deus Denis Uko Lesotho Deus?
@adrianaciku18126 жыл бұрын
Ooooooooooh yes this is so good to start my day.first i want to thankyou for motivatin us ..u have no idea how u have helped me to become the person iam today m fearless and doin my purpose..this is best channel ever it has enabled me to change my mind...have been employed for years but through listenin to i have realised i was doin the wrong work i have learnt alot from this tv and m a changed gal...ooh team joel let us meet at the top..may God bless u
@davidbrahi14854 жыл бұрын
Kaka upo vzur sana unanipa nguvu ya kutafta zaidi na zaidi
@sebastianmsuya6 жыл бұрын
Joel ndugu yangu ujumbe umeshiba mno, nitausikiliza tena na tena na tena, naomba nijue kitabu cha malengo nakipata wapi kesho asubuhi mapema
@omaryenock82036 жыл бұрын
Brother Joel uko Poa sana coz huna manen mengi yasiyokuwa na faida,maneno yako ni machache yenye faida
@shukranikapange6086 жыл бұрын
daaaaaah
@ramadhanabilah84504 жыл бұрын
Uyu jamaa kaka inaonekana ana matatizo ya akili sio bure tena mwenyezi mungu amuepushie mbali kwa masomo yetu ambayo unayotupatia na maisha yako kaka
@favourspapatv5 жыл бұрын
Maneno yako yanapiga Kama mawimbi ufukweni kwa samaki anayekaribia kukata tamaa.Kongole Sana Mkuu.
@lucymgata97214 жыл бұрын
Yàani wewe kaka.Mungu akubariki sana
@Saranabwire2 ай бұрын
5yaer but nimejifuza kitu 2024 God bless kaka Nanauka
@jackieroberts4868Ай бұрын
Mimi piah😊
@isakamuyagala87172 жыл бұрын
Mungu akubaliki kwa kazi njema ya kuelimisha jamiiii iliyopotea
@mwlrobinson2 жыл бұрын
Hiii speech Ina nguvu ya kumbadilisha mtu endapo atatekelza what spoken ♥️🙏🧠
@najmabajun2025 жыл бұрын
daaaah nime anza kukufatilia na hakika nikifatisha vyema masomo unayo tufunza wallah nitafika palenapo taka fika shukulan my brother 🙏🙏🙏 ume nifungua mengi
@fidestamhina40635 жыл бұрын
OMG..asante kaka, nimechelewa kusikiliza hii lakin umenisaidia kwa kiwango ambacho hakielezeki, asante
@cindymacho52826 жыл бұрын
good good naacha kuwaangalia wadangaji ngoja nipate maarifa Mungu akubariki
@mekujose85324 жыл бұрын
Nafurahia masomo yako sana brother,keep it.
@bestkimali2166 жыл бұрын
Bro ningekosa kitu kikubwa Sana, asante nimepokea bro
@racheltanzania31985 жыл бұрын
Joel nakufatilia sana na ujawah kuniangusha asante sana
Daaa!!! Teacher hapa ulitema madini mwanzo mwisho unaongea vitu hadi nahisi upo mbele yangu Kaka, "GOD BLESS YOU MY TEACHER OF MY LIFE"
@kingoman78956 жыл бұрын
Asante sana kaka joel nimejifunza mengi leo hii ubarikiwe sana kaka joel Amiin
@frankseleman89305 жыл бұрын
Gd
@wisdomofbooks69055 жыл бұрын
Gundua unaweza kufanya Nini, hakuna mtu aliyezaliwa bila uwezo wowote,Kila mtu ana kusudi lake,haupo duniani kizembe.kila mtu ana uwezo mkubwa Sana,tumia muda wako kuwekeza kwa ajili ya kipaji chako.ongeza na kuuboresha uwezo wako ulinao.heshima kwako Joel Nanauka.Naitwa Hosea.
@evanswere37195 жыл бұрын
Wonderful message! Watching from Stuttgart Germany
@hannahmichael20084 жыл бұрын
baba unanibariki sana one day I will reveal this to the world ... thank you ...
@rahemaseleiman6354 жыл бұрын
😥😥😥nilikua na huzun Sana ila umenisaidia kusimama tena mungu akutie nguvu
@officialnuh72176 жыл бұрын
Cube!!!! Kibaha sec school, umenikumbusha maisha ya Mapisi na kila kitu pale kibaha sec school!!!! God bless you, Wakati nipo pale kibaha sec school nliwahi kuugua na Sina hata sent moja, rafiki angu mmoja alinisadia pocket money yake ikaisha na akawatafuta na wengne
@sebastianmassawe95276 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa somo zuri umenigusa sana kwenye mwaliko wako ulionyesha vitu ambavyo watu hawakutarajia,
@benardpaul12714 жыл бұрын
Asanteni bro una maneno yahekima mungu akubaliki
@hafsacletty15196 жыл бұрын
Mashaallah M/mungu Akuongezee Ufahamu.Shukrani.
@issackmbotera52616 жыл бұрын
Nimejikuta asilimia 90 ya ulichokizungumza kinanigusa! Hongera sana kwa kipaji ulichonacho
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
Nanauka MUNGU AKUPE HAJA YA MOYO WAKO ,KWA JINSI UNAVYOTUPA VITU VIZURI VYA MAISHA, BE BLESSED JOEL
@abdulkadirmwalim244 жыл бұрын
Safi sana kaka kwa kweli umebarikiwa na huna hiana kutowa kwa hicho ulicho barikiwa na mungu. Mungu atazidi kua na ww na pia akuzidishie kipato cha halali ili uweze kuendesha familia yako.
@carolineifee8004 жыл бұрын
Aky nimekupenda bure kwa maneno mataaaano sana ya kutia mtu moyo wallai thanks so much and god bless u
@bck81635 жыл бұрын
My friend nimepata mtu ambaye ameniambia ukweli na ni wewe keep it up man of God
@rhinaregina58065 жыл бұрын
Amen Mungu akubariki Sana kaka Mungu akubariki Sana wow God bless you
@vedastuswilfred42693 жыл бұрын
Hakika nafurahi kukufahamu najifunza mambo mengi kupia wewe safi .
@yusufally68535 жыл бұрын
Mashallah wallah ALLAH gives jannat Firdausi... Be thanks a lot for learns big profit and target.. For ho to start in my life.
@florenciaearnest52415 жыл бұрын
I say I love your motivation. You inspired me.
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
GOD bless you my dear brother
@magrethfulgence78882 жыл бұрын
Asante kaka kwa somo, kitabu hicho naweza kukipata wapi cha timiza malengo yako
@mosesmwingira37803 жыл бұрын
Video hii ndo ili ya kwanza kuiona tena ndo ilikua chanzo cha kumjua #joel nanauka Najivunia kuwa mwanafunzi wa Joel Nanauka
@aderiderkihupi72403 жыл бұрын
Napata hamasa sana nikiangalia mafundisho yako. Mwenyez Mungu akujalie daima
@neemaerasto18425 жыл бұрын
Mungu akubariki sana maneno yako yananipa nguvu ya kufanya mambo kwa kujiamini sana sitakata tamaa be blessed more
@ZERUZERUINTERNATIONAL7 ай бұрын
Ni Mzunguko Unao Fanya kazi Ktk Ubongo Wang Iv Now
@sumiodilo11806 жыл бұрын
Ukweli unanipendeza sana. Unashawishi mafanikio kwangu Kwa video hii toka nimeanza kukufatilia, umekuwa bora zaidi. Napenda kukushauri kitu kimoja: kama nikiingereza basi kiwe mwanzo hadi mwisho ama kiswahili kiwe hivyo mwanzo hadi mwisho. Umesema create your own identity sasa ukichanganya lugha, unaenda ipoteza identity yako kaka. Ujue nakupenda. Kuna SMS niliwahi kuandika juu yakukupongea katika vitu kama vitano nilipojaribu kuifatilia sikuiona. Ila kitu kimoja nilichosema ni kwamba "napenda usivyochanganya kiswahili na kiingereza" hiyo niliiona ni uniqness yako kaka. Jaribu kusimamia uniqness yako kaka. Hapo wahindi/waarabu wasikuchanganye. Itangaze nchi yetu kaka. Mungu akubariki sana. "See you at the top"
@mosesallanadam19555 жыл бұрын
Safi sana, yaani nimechukua muda mfupi na kweli umeshusha madini!
@mrkingcamel42425 жыл бұрын
Imenifundish kit kikubwa San katik maish
@gloryolomi76 жыл бұрын
This talk is remarkable!! It is one of the stairs to my home!! Am just lucky to have a big brother like you😍😍...... Oh and the cover photo kwa this video is beautiful😂😂😂😂
@hildahillary95865 жыл бұрын
nimekuona😍
@merclyinga50975 жыл бұрын
Nice
@atubeka93175 жыл бұрын
Nimefurahi sana kusikiliza mafunzo yako
@philbertm.kajuna75496 жыл бұрын
This is the Best speech, A transforming speech, The one to immerse and bathe myself in. Thank you sir!
@YohanaMpambi7 ай бұрын
Kwa kwer Nime pata kitu Mungu aenderee kuku kuza zaidi
@abdulitwalibsalum37856 жыл бұрын
hakika wewe ni mtu mwenye mawazo yaliyobora najifunza
@dennischarles85246 жыл бұрын
Nice,ningekushauri uweke captions kwenye kila neno kwa kiingereza mafundisho haya yatapendwa na watu wengi hapa duniani
@DARAJANI_TV5 жыл бұрын
Hiyo ndio kweli nakweli inakuweka huru
@deboramoris64825 жыл бұрын
Kwakweli Mungu kakujalia hakuna kisichowezekana hapa duniani if you real know who u are nimejifunza mengi thanks
@kwizboy74495 жыл бұрын
Asante xn kwa ujumbe mzuri kaka Joel lakn unaongea sana kizungu kwa mama yangu pale kasulu anashindwa kuelewa kizungu kinachukua nafasi kubwa mbaya zaid unapofika kwenye point unaongea xn kizungu
@raymondjimmy27126 жыл бұрын
Hivi Mlio UNLIKE mna maana gan? au Mna chuki zenu Binafsi @chen ROHO MBAYA😡
@goodlovetheodus86646 жыл бұрын
Revocutus James safi
@joramchubwa37576 жыл бұрын
Ndugu watanzania hawakosagi sababu ilimladi tu wakufelishe
@katotalifestylemedia17895 жыл бұрын
Ni majirani zake waliokua hawapendi aende vyuoni kusoma
@fundieddy34905 жыл бұрын
R.J. Walio 'unlike' wana maana hii: HAWAPENDI WATU WENGINE WAFANIKIWE KTK MAISHA ILI WAO WACHACHE WAONEKANE miungu-watu mbele ya wengine.
@salmangonera77675 жыл бұрын
Hawajui
@jano254jayc45 жыл бұрын
Av learned more from you brother Joel thanku.
@AULERIAMBUNDA8 ай бұрын
Absolutely mungu akubariki sanaa
@juhudiacademy21706 жыл бұрын
Great brother. Continue to focus on telling people your real stories rather than telling people someone's story. People will change their life through your story. Congratulations.
@jojoembwaga29315 жыл бұрын
May God bless you may my God continue to shower u with blessings,u your lessons r so inspiring 🙏
@aishamathiassi17785 жыл бұрын
Ukiongea kiingereza wengine hatuelewi kwahiyo tunakosa faida Ila unatuelimisha sana
@dullybrown36355 жыл бұрын
You must have some kind of vision even you dont have the plan.
@bestkimali2166 жыл бұрын
Bro ningekosa kitu kikubwa Sana, asante nimepokea bro
@helenamusa4326 жыл бұрын
Ahsante brother nimeona faida ya kuwa na marengo
@wilbertcosmas51004 жыл бұрын
Kaka nilikua nataka number yako
@aaaavvvv42615 жыл бұрын
Wao sikujuwa hii mambo bt sifi moyo mwalimu mzuri mungu akubariki na kuepushe na shari nmejifunza mno mengi
@hajijumanne3876 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka safi sana najifunza sana mambo toka kwako kaka asante
@rehemaathumani7122 жыл бұрын
Thank you and god bless you for your help with me for work brother j.a.nanaruka