MALAIKA amjibu ESMA: Mimi sikuchepuka na MSIZWA, Niko tayari kuapa, Akili zimemruka ananichafua

  Рет қаралды 190,734

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!

Пікірлер: 973
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 4 жыл бұрын
Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 4 жыл бұрын
Ahsante malaika unajielewa hongera dada namna hio nimekupenda bureee
@ruthmdamo7661
@ruthmdamo7661 4 жыл бұрын
Hunishindi Mimi marafiki Hawa mmmmh
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Momo umepata mke mwenye hekma hongera
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 9 ай бұрын
Kabda ya kubadil mwil alikuwa mzur😢
@ikrammahonda4566
@ikrammahonda4566 4 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa malaika esma amezid. Mdomo anajifanya kaxoea mitandao
@azaabdallah3186
@azaabdallah3186 4 жыл бұрын
Esma kivuruge ,mama yake nae yaleyale ,mtu mzima ovyo...malaika angalia familia yako. Nimeipenda uko strong
@nasrimohamed7556
@nasrimohamed7556 4 жыл бұрын
Dah ile familia jamn
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 4 жыл бұрын
Esma ni mchawi wa ndugu zake ana wivu na mawifi zake coz niwazuri kumliko ndio maana domo hakai na wanawake coz anawasikiliza sana esma na mamake
@saumushabani3170
@saumushabani3170 4 жыл бұрын
Hahaha
@chundemayala6641
@chundemayala6641 4 жыл бұрын
Kama umemsikia huyu malaika kamwambia esma ni mpumbavu shule hakna gonga like nataka kuzipeleka sokon
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 4 жыл бұрын
Kama mmeona malaika kafanana na wolper like
@onlytecna9498
@onlytecna9498 4 жыл бұрын
Yaan sanaaa hata m nilikua nataka nicomment hvo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Kweli wanafanana mnoo na wolper
@m-blnlabenie3138
@m-blnlabenie3138 4 жыл бұрын
👍👍👍👍
@catherinemsoffe8366
@catherinemsoffe8366 4 жыл бұрын
Wolpa Hana uzuri huu, angekuwa nao tungekoma
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 жыл бұрын
@@catherinemsoffe8366 naunga hojaaaa
@zahrasulaiman8827
@zahrasulaiman8827 4 жыл бұрын
Nakupenda Maraika kiukweli ww umemzidi ESMA iyo ndio tatizo
@sallygrace1495
@sallygrace1495 4 жыл бұрын
Umependeza Malaika. God bless you sis 💞
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 4 жыл бұрын
Pole Malaika Allah akupe subra na uishi na mumeo vizuri
@salmanyangasa1171
@salmanyangasa1171 4 жыл бұрын
Nimempenda Sana huyu dada yan anajielewa Sana wallah...hongera Ricardo una mke anaejielewa
@medaihatungimana107
@medaihatungimana107 4 жыл бұрын
Nilikupenda juu hawuna mikucaaa kama watanzania wengine❤️❤️❤️❤️aace kukupanikisha uyooo esma ashacoka na maishaa😳
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 4 жыл бұрын
One of the best interview chris
@elizabethjames2693
@elizabethjames2693 4 жыл бұрын
Wow wewe dada ni mzuri pia una roho nzur sana mungu akubariki Mimi nimekupenda hongera sana 🌹 yani
@salmafikirini4899
@salmafikirini4899 4 жыл бұрын
Mungu atakulipia dada nimekuonea mpaka huruma na mwenyezi mungu ataisimamia ndoa yako itadumu milele inshaallah
@zaraannabell3195
@zaraannabell3195 4 жыл бұрын
Uko mzuri dada kama namuona dada jacky wolpa❤❤ acana na esma. hananyota ule domo tu la bure. Kacoka
@elizabethsakina9987
@elizabethsakina9987 4 жыл бұрын
That’s why I love SNS awachelewi kumtafuta muhusika good job
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Hii ndiyo Tz🤣🤣🤣
@dianamadege1703
@dianamadege1703 4 жыл бұрын
Ila esma ni muongo jaman
@mariamniko9470
@mariamniko9470 4 жыл бұрын
@@dianamadege1703 L L P L Ppp L L L L Ppp l L L Ll P P L Ll l P L L P Power
@mariamniko9470
@mariamniko9470 4 жыл бұрын
@@dianamadege1703 L L P L Ppp L L L L Ppp l L L Ll P P L Ll l P L L P Power
@ms_caramel2688
@ms_caramel2688 4 жыл бұрын
@@salomewandya7257 yaan wanaichangamsha nchi ady raha
@jasnafkiser4211
@jasnafkiser4211 4 жыл бұрын
Daah Ricardo momo ongera kwakupata mwanamke mwenye hekima 😍🪝
@FelistersMejumaa-xi2ge
@FelistersMejumaa-xi2ge 5 ай бұрын
Kuja urudie comment yako hebu sahii
@jasnafkiser4211
@jasnafkiser4211 4 ай бұрын
@@FelistersMejumaa-xi2ge 🤣🤣🤣Daah
@PinnaLuoga
@PinnaLuoga 3 ай бұрын
😂😂😂
@fatmaali7605
@fatmaali7605 4 жыл бұрын
She’s vry wise mashallah keep going gurl May God bless u Malaika
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 4 жыл бұрын
uyoo malaya esma kakomaaa kama jinii majii anamuonea huyu malaika wivu mdada wa watu mremboo mashallah dumu na ndoa yako mamy achana na huyo malaya changudoa kama alizoea kina tanasha,hamissa na wengine akuache ukae kwenye ndoa yako kwa amanii na mungu atakufunika inshallah 🙏🏻
@aminalupetu3647
@aminalupetu3647 4 жыл бұрын
Malaika nakupenda bure mam na maneno yak ya busara 💖
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Mmmmh ngoja ninywe chai nirudi🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
@lovvy854
@lovvy854 4 жыл бұрын
That's great your 💯👌 write sure may God bless you and your family
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Piga kelele kwa Malaika wake love bby girl
@arefali2312
@arefali2312 4 жыл бұрын
Weweeee
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 4 жыл бұрын
nakupenda sana Malaika iyo nikweli mumewako anakupenda sana
@chauabdalah3311
@chauabdalah3311 4 жыл бұрын
Nimekupenda unajielewa na una hofu ya mungu safi endelea kusimama kwenye iman
@btylove1870
@btylove1870 4 жыл бұрын
Kweli naamini now kuwa Esma nitatizo kwenye hii familia. That's why hata kaka yake hadumu na wanawake, na yeye Esma hatodumu na ndoa kabisa mpaka aache fitna na roho mbaya!
@azaabdallah3186
@azaabdallah3186 4 жыл бұрын
Ukoo ilitolewa pesa malimbukeni, unajua ukitoka kwenye maisha ya tabu ukipata unawapanda watu wote vichwani kwao
@marywamaitha
@marywamaitha 4 жыл бұрын
I salute this lady 💪💯
@jeyshillyjack4470
@jeyshillyjack4470 4 жыл бұрын
Umetisha, alithan we ni akina Hamisa,wale anawapanda mgongo na kushuka
@mwasimbega8712
@mwasimbega8712 4 жыл бұрын
Kuanzia leo MIMI nishakua mteja wa malaika jamani....!ebu pambana na duka lako mpauko ESMA😏😏
@hawaloth7115
@hawaloth7115 4 жыл бұрын
Pambe tuu😁😁😁😁😁
@hamedaabdultaleb5341
@hamedaabdultaleb5341 4 жыл бұрын
Huyu mdada nimzur kweli lazima aonewe wivu
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 4 жыл бұрын
Umeona
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 4 жыл бұрын
Ni wivu tu
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Kwanza anaongea ukweli mtu ukimwangalia tu
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 4 жыл бұрын
Wallah
@salmaharoun7000
@salmaharoun7000 4 жыл бұрын
Lazima awone wivu anamzidi uzuri ndo mana anaamuwa kumchafuwa hivo
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Mmmm esma kiboko jina la yuda linamfaa sana 🙄 anafanya uyuda mpaka ktk familia 🙆‍♀️ da! Kiboko, malaika mrembo sana mashallah ❤🇹🇿🇨🇭
@sharinv8864
@sharinv8864 4 жыл бұрын
Esma ana matatizo amezoea kufukuza wake wa diamondplantinamz sasa hawako ameanza warecardomomo thats not good malaika usijali hayo yasikujalishe endelea na kazi zako mama.
@Elsie39409
@Elsie39409 4 жыл бұрын
Alifuza wa Diamond Nyange wa kwanza sasa amesonga kwa wa Ricardo Nyange wa pili
@neemaumwemasana9823
@neemaumwemasana9823 4 жыл бұрын
Pole mamy
@ndaganoanastazia2658
@ndaganoanastazia2658 4 жыл бұрын
Siyo Esma ... Msizwa kiboko kaja kuwavuruga familia nzima.... ona mama dangote amemvuruga mzee.... malaika kavurugwa na Esma.... na msipo kaaa kufamily 2021 mtaparangana sana ... yetu 👀👀👀🇧🇪
@Directorhernrypro
@Directorhernrypro 4 жыл бұрын
Fact
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 4 жыл бұрын
🤣🤣shikamoo msizwa
@salmaseif8755
@salmaseif8755 4 жыл бұрын
Huyu Esma kwani yupojee hii familia kiboko inapenda ugomvi km wanamajini cheketu vile🙌
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 4 жыл бұрын
Keeping up with the Chibus is sooo juicy than the Kardashians kwakweli😆🤣
@ashorass4431
@ashorass4431 4 жыл бұрын
😄😅🤣
@lybiajohn4122
@lybiajohn4122 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amrish1316
@amrish1316 4 жыл бұрын
😂😂
@didaamohsin6594
@didaamohsin6594 4 жыл бұрын
YAANI TODAY..IS TODAY...DANGOTEE FAMILY..MAMBO NI🔥🔥🔥
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 4 жыл бұрын
Hahaha fireee
@scolamwanisasu8499
@scolamwanisasu8499 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa hekima nimekupenda mungu awatunze mama uwe mwanake mwelevu mama angu
@chibandamwende3676
@chibandamwende3676 4 жыл бұрын
Huyo mtu wa Familia I hope si Diamond juu wewe ni type Yake unafanana sana na Zari jamani 😜😂😂😂
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 4 жыл бұрын
Sema huyu dada ajui kujipendekeza nimempenda
@lucyheigre1974
@lucyheigre1974 4 жыл бұрын
ALIYESKIA WHAT is GOES On!!!!! GONGA LIKE
@chicamoreno
@chicamoreno 4 жыл бұрын
I laughed my ass silly.she is guilty af*
@alsam4881
@alsam4881 4 жыл бұрын
😂😂😂
@shanyabdul2386
@shanyabdul2386 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mercyndujilo5363
@mercyndujilo5363 4 жыл бұрын
Ila wew mnaaa😂
@btylove1870
@btylove1870 4 жыл бұрын
😂😂😂
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 4 жыл бұрын
Upo sawa dada umesha muumbuwa wew pig kaziii mama wasikuletee useng maisha yot ukitaka uhasama udai chako
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
SO BEAUTIFUL
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 4 жыл бұрын
Safi malaika nimekupenda sana inaonekana huna shobo na unajiamin sana na unajitambua sana bishost,,safiiiiiii
@sonialand2646
@sonialand2646 4 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo nimefundwa! Safi sana!
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 4 жыл бұрын
Dada wewe nikiboko ya yuda(Esma)alizoweya wakina Amissa tanasha anawo onea
@azaabdallah3186
@azaabdallah3186 4 жыл бұрын
Malaika jina nzuri dada kama malaika kweli wa peponi nakushauri more shekh me yamini umkomeshe huyo esma yamezidi sana mdomo yy na mama yake
@ukhtynaa1096
@ukhtynaa1096 4 жыл бұрын
1.esma alikua na mimba akawa hapendi harufu , esma kasharudiana na baba taraj weuweee piga kelele
@zaitunimohd3617
@zaitunimohd3617 4 жыл бұрын
Jamani familia hii tutaona mengi
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 жыл бұрын
Umeonaeeh
@mercyndujilo5363
@mercyndujilo5363 4 жыл бұрын
Tutaambiwa uncle shamte anatembea na Esma sasa😂
@kibongobongo4608
@kibongobongo4608 4 жыл бұрын
😁 😁 Kama Egoli vile Kwa kupenda Kiki wapo tayari kwa chochote. Sasa mpaka kumkataa baba mzazi Sio kitu kidogo
@mamukassim4075
@mamukassim4075 4 жыл бұрын
Esma. Kachanganyikiwa na kuachwaaaaaaaaaaaa
@awezayesu1779
@awezayesu1779 4 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@judithgeofrey1107
@judithgeofrey1107 4 жыл бұрын
Huyu Dada mzuri MWe!
@margaretndungu5901
@margaretndungu5901 4 жыл бұрын
mzuri wapi
@jeyshillyjack4470
@jeyshillyjack4470 4 жыл бұрын
Ni kweli huyu dada anaakili Sana akiamua kuchukulia hatua anaeza mlipa
@agriparose3942
@agriparose3942 4 жыл бұрын
Esma mungu hamuachi mtu mbaya akaishi umezidi ubaya kwa wanawake wa diamond tena unajitapa kabisa kua we na mama ako mkilipanga lenu juu ya mwanamke wa dai hamsindwi...wallah Esma kutokua na maisha marefu kwa kujutia umungu na kusumbua wanawake wenzako kisa pesa na jina la kaka ako..Esma Bora ufe kina tanasha na wengine waishi vizuri na mzazi mwenzao Daimond na yule mama akifuate nyuma dai awe na maamuzi yake na kuweza kuishi na mke.
@nasrahsamwely6871
@nasrahsamwely6871 4 жыл бұрын
Maskin Dada wawatu mtarabu mwenyew 😢😢😢
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Kweli Esma hafai kuwa rafiki ana uswahili mwingi sn,ata Tanasha alishaliongea hili
@salmaseif8755
@salmaseif8755 4 жыл бұрын
Ndio mana daymond hakai na wanawake kwa tabia za mamaake na dadaake
@shabanwatabora269
@shabanwatabora269 4 жыл бұрын
Kama umiona huyu jamaa anae muhoj malaika anafanana na dj kidylaks wa wasafi ngonga like hapa
@zaraannabell3195
@zaraannabell3195 4 жыл бұрын
Unajielewa dada God bless u . Urafik aca ata ikitokea akuombe msama
@judithsidi1087
@judithsidi1087 4 жыл бұрын
We dangote family mtatuonyesha mambo mengi basi huyu esma ame chukua tabia za mamake
@selestineosoo5045
@selestineosoo5045 4 жыл бұрын
Esma, wacha mambo mob, hiyo ndiyo malipo ya Diamond kuchezea wasichana wa watu, wembe ni ule ule
@TASHAOCHUN
@TASHAOCHUN 4 жыл бұрын
This is is keeping up with diangotess family episode 2...😂😂😂
@azizayassin3623
@azizayassin3623 4 жыл бұрын
😀😀😀😀absolutely
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 4 жыл бұрын
True
@annedavienyamhanga4738
@annedavienyamhanga4738 4 жыл бұрын
So true😊😊😊
@aaa64sa13
@aaa64sa13 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 4 жыл бұрын
Sio dangotess ni nyangezzzzz
@burhanikumba2274
@burhanikumba2274 4 жыл бұрын
Upo vzr sna malaika acha na chizi yule Esma asojua maisha ni nni ndo mana ndoa zake zinshinda kwa umalaya ye anajua kila mtu anaweza kufanya anachoweza kukifnya yeye
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 4 жыл бұрын
Hii series naitaka season 2!🤣🤣
@mohhamedmasai3911
@mohhamedmasai3911 4 жыл бұрын
Mwanamke Huyu kakomaa kweli kweli Mungu Amoungoze vyema......Katika Maisha yake
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 4 жыл бұрын
Mbona Esma anasema hajabeba mimba ya msizwa? Hichi ni kizungumkuti🤣🤣
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 жыл бұрын
Sasa hapa Mama Dangote kapata mwenga anaejua kumuchamba bint yake Kutoka familia aliyoitaka. Hongera queen Darlline kuwa kimya.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Esma hapa amegonga mwamba kashazoea kuwasumbua wakina Tanasha
@blesseddaughterofzion8692
@blesseddaughterofzion8692 4 жыл бұрын
Hii ni karma mungu halali
@nahiaabdallah5871
@nahiaabdallah5871 4 жыл бұрын
Kama kweli Kaku shafuwa pole mamangu Allah Ata kusa fisha inshallah 🙏
@angelinaomare3055
@angelinaomare3055 4 жыл бұрын
Good girl Msamaha yes to make things Right....but with such a Person keep distance with Dangerous pple
@reginaakumba9509
@reginaakumba9509 4 жыл бұрын
Yeeesss
@sanuraissa3834
@sanuraissa3834 4 жыл бұрын
Endelea kumshukuru Mungu kwakukupa mume mwenyemapenzi ya dhati maana siokitu cha kawaida inshallah kwauwezo wamungu mtazeeka pamoja🙏🙏🙏
@khalossalim213
@khalossalim213 4 жыл бұрын
Esma kavurugwa na msizwa bas anataka awavuruge na wenzie
@zaraannabell3195
@zaraannabell3195 4 жыл бұрын
Kweli hujakosea
@nelsonmpolochacha5035
@nelsonmpolochacha5035 4 жыл бұрын
nimekupenda bure dada piga kazi as long as mume wako anakusapoti
@haikha-vn8sb
@haikha-vn8sb 4 жыл бұрын
Duh esma n muongo..alidai ana mimba...kumbe aliitoa huyu demu amechukua mama dangote
@y.n.g_gamer6055
@y.n.g_gamer6055 4 жыл бұрын
Muna mbwembwe kibiashara kimoja kibichi kaanza juzi hongera hongera kambee kafunguwa kumi hamushuhudii muombeeni musimfurishe kichwa na mukampromoti
@nunniznurcky9724
@nunniznurcky9724 4 жыл бұрын
Yani vitimbi na frmly ya dangonte nivingiii daaaah huyu dada kailinda ndoayake wamuache jamani nimempenda wakwanza mrembo tz kuona amedumu kwandoa yake wallai 😊👊
@salmaseif8755
@salmaseif8755 4 жыл бұрын
Safi Sana'a wabakie haohao kina tanasha hamisa na zari wasujudie, we mimi kbs ww sipendagi ujinga ujinga kusujudiana
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 4 жыл бұрын
Malika, esma alitaka ufukuzwe na Ricardo momo
@salmasaid7058
@salmasaid7058 4 жыл бұрын
@@adijaniyonkuru9731 umeonaee taratibu utashangaa wameachana
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 4 жыл бұрын
@@salmasaid7058 hachiki mtu hapo 🤣🤣
@albertdoherty9394
@albertdoherty9394 4 жыл бұрын
Mm nimekuelewa niwivu2 kwanza ww mzuri ma sha Allah
@louisedusabe825
@louisedusabe825 4 жыл бұрын
I love your dress 👗
@activestudios.
@activestudios. 4 жыл бұрын
Shout out kwa MSIZWA PELEKA MOTO BRO WATOTO WENYEWE WAKALI HAWA
@stevenmasato5787
@stevenmasato5787 4 жыл бұрын
Duh huyu Malaika ni msupuuu sanaaaaa , Ricardo momo hapa umepataaaaaa
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 4 жыл бұрын
Wallah you are soooooo cute 😘🌹
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 4 жыл бұрын
ata wy u are cute
@chainbre275
@chainbre275 4 жыл бұрын
Msizwa kaleta balaa kwa hii family hakika
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 4 жыл бұрын
Wanawake tuna mambo mengi jaamaniii haya ya nini lakin
@umutoni-roussel5233
@umutoni-roussel5233 4 жыл бұрын
🤦🙆😲Drama kama drama ,but what's wrong with that family?? I'll pray for them.
@marysaituni4584
@marysaituni4584 4 жыл бұрын
Huyu dada ni mzuri ndo maana Esma anamchukia bure jmn anataka dada wa wenyewe aachike Kama vile yeye alivyoachika .🙆🙆🙆
@pizzaz4333
@pizzaz4333 4 жыл бұрын
Sky ongeza Creez na Esco mshahara. Si kwa hustles hizi za kutuletea habari 😂
@azizamohd5728
@azizamohd5728 4 жыл бұрын
Tena exclusive kabisa very hot
@sultansultans9462
@sultansultans9462 4 жыл бұрын
Momo atapata majanga maans Malaika ni nzuri na kila mtu anamtamani Mungu atunusuru
@marynoella1752
@marynoella1752 4 жыл бұрын
Jamani family iyi inanini kweli esma mimba kutowa mama kunyanganya mtoto baba yake kwani laana gani iyo
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 4 жыл бұрын
Malaika mzuri jamani uwiiii 😊 Huyo Esma was ha so Elena kuwa Mtu mbaya wala hata hatumuamini nyoooo 😏 eti hakutoa mimba
@pizzaz4333
@pizzaz4333 4 жыл бұрын
Mmmhh, na mlidhani shida ni Hamisa! Kumbe familia yote full vituko!
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🎤
@maryamdunga3896
@maryamdunga3896 4 жыл бұрын
😄😄wale mashabiki madazi ndo waelewe hiii family niyadizaini geni
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 4 жыл бұрын
Atari na nusu😅😅😅
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
😆😆😆
@hawajarufu5707
@hawajarufu5707 2 жыл бұрын
Duuh esma kakomeshwa..hii ni kiboko ya esma 😂😂👍
@mangofish9079
@mangofish9079 4 жыл бұрын
Waongo hawa wanatafuta contents tu na view kuipaisha media ya boss wao
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 4 жыл бұрын
Mzuri sana naona kam kafanana na jack kidogo
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 4 жыл бұрын
Esma wivu na roho mbaya itampasua ubongo
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 4 жыл бұрын
Wote ni binaadamu tunaweza kufanya makosa lakini Malaika naona uko sawa. ⬆️Foward
@scolanalle7503
@scolanalle7503 4 жыл бұрын
Live your life Malaika
@mubarraqallye48
@mubarraqallye48 4 жыл бұрын
Pole xana Malaika umeeleweleka Piga moyo konde hii ndo dunia ya Wanaadam
@jenestermerchades9111
@jenestermerchades9111 4 жыл бұрын
Mara mimba Esma anasema hakuwahi kuwa nayo mara Malaika anasema Esma alikuwa mjamzito Tutasikia mengi
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 4 жыл бұрын
Msizwa Mwanamme mbaya Sana kuliko Uchebe
@yunyun799
@yunyun799 4 жыл бұрын
😂😂😂
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 4 жыл бұрын
Be humble malaika.
@shamkrause4169
@shamkrause4169 4 жыл бұрын
Hawa wanavituko
@AbdulAziz-wz4rb
@AbdulAziz-wz4rb 4 жыл бұрын
Awo ndugi zake mondi pia washambaa sanaa awo kina esma huyo mondi mwenyewe pia pimbi sazote kwenye matako yamamake Yani jitu zima lkn lapangiwa familia yake nawazazi ama madada life yakiswaili kweli ndio wanake awakai wanamuona mondi pimbi he's not a man and half💪🏽
UKWELI HAMONIZE KUFUKUZWA KWENYE NYUMBA KISA KODI?. - DALALI KIONGOZI
14:20
Is the Turkish Language Hard to Learn?
10:20
Olly Richards
Рет қаралды 1,1 МЛН
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН
UFC 287 : Перейра VS Адесанья 2
6:02
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 486 М.
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
AFARTANKII (40) QISO OO UGU SAAMEYNTA BADNAA_2022 iyo 2023_ SHEIKH MUSTAFA.
3:26:03
IFTIN BROTHERS STUDIO
Рет қаралды 2,6 МЛН
Mimi S01Ep01 (TV Series)
25:19
Elizabeth Michael
Рет қаралды 144 М.
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН