Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!
Пікірлер: 961
@babyhamisi53313 жыл бұрын
Momo umepata mke mwenye hekma hongera
@aairraahseif56483 жыл бұрын
Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil
@marianakapeller46993 жыл бұрын
Pole Malaika Allah akupe subra na uishi na mumeo vizuri
@shamsahaji62023 жыл бұрын
Ahsante malaika unajielewa hongera dada namna hio nimekupenda bureee
@ikrammahonda45663 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa malaika esma amezid. Mdomo anajifanya kaxoea mitandao
@zahrasulaiman88273 жыл бұрын
Nakupenda Maraika kiukweli ww umemzidi ESMA iyo ndio tatizo
@chundemayala66413 жыл бұрын
Kama umemsikia huyu malaika kamwambia esma ni mpumbavu shule hakna gonga like nataka kuzipeleka sokon
@fatmaali76053 жыл бұрын
She’s vry wise mashallah keep going gurl May God bless u Malaika
@jasnafkiser42113 жыл бұрын
Daah Ricardo momo ongera kwakupata mwanamke mwenye hekima 😍🪝
@bintqassimidarous16363 жыл бұрын
Kama mmeona malaika kafanana na wolper like
@azaabdallah31863 жыл бұрын
Esma kivuruge ,mama yake nae yaleyale ,mtu mzima ovyo...malaika angalia familia yako. Nimeipenda uko strong
@salmanyangasa11713 жыл бұрын
Nimempenda Sana huyu dada yan anajielewa Sana wallah...hongera Ricardo una mke anaejielewa
@mwasimbega87123 жыл бұрын
Kuanzia leo MIMI nishakua mteja wa malaika jamani....!ebu pambana na duka lako mpauko ESMA😏😏
@azaabdallah31863 жыл бұрын
Ukoo ilitolewa pesa malimbukeni, unajua ukitoka kwenye maisha ya tabu ukipata unawapanda watu wote vichwani kwao
@judithsidi10873 жыл бұрын
We dangote family mtatuonyesha mambo mengi basi huyu esma ame chukua tabia za mamake
@selestineosoo50453 жыл бұрын
Esma, wacha mambo mob, hiyo ndiyo malipo ya Diamond kuchezea wasichana wa watu, wembe ni ule ule
@olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын
One of the best interview chris
@hamedaabdultaleb53413 жыл бұрын
Huyu mdada nimzur kweli lazima aonewe wivu
@zaraannabell31953 жыл бұрын
Uko mzuri dada kama namuona dada jacky wolpa❤❤ acana na esma. hananyota ule domo tu la bure. Kacoka