MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (IV) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

  Рет қаралды 138,997

Reality of Christ Church

Reality of Christ Church

Күн бұрын

Пікірлер: 119
@dorisigalusi4670
@dorisigalusi4670 2 жыл бұрын
Asante mungu akubarik pastor
@mankatz1
@mankatz1 2 жыл бұрын
Thanks umenifundisha sana !Mungu akubariki sana
@petermaingi1402
@petermaingi1402 2 жыл бұрын
Amen... Mtumishi wa mungu umenibariki kwa jumbe zako za ufunuo
@mariakilasile8792
@mariakilasile8792 2 жыл бұрын
Mungu mwema kutuinulia mtumishi huyu, Asante sana Yesu. Ubarikiwe Baba.
@bettywandiema6900
@bettywandiema6900 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana muchungaji nimebarikiwa sana
@aisiamkonyi4977
@aisiamkonyi4977 2 жыл бұрын
🙏barikiwa Mtumishi
@elizabethmwepa3744
@elizabethmwepa3744 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba, wengi tunapokea kilakitu bila kuhakiki kama ni cha kimungu kwa kuhisi ndo imani yenyewe na kuhakikisha ni kama kutokua na imani. Umenifunza kwakweli
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 3 жыл бұрын
Halafu mmewekewa hapo namba za sadaka, kwa wale mnaopenda miujiza bila kufanya kazi , wenzetu wanzungu wanafanya kazi usiku na mchana , ndomana wanafanikiwa, sisi tunasubili miujiza, africa,
@innocentnsengimana1600
@innocentnsengimana1600 2 жыл бұрын
Thanks for the teaching.Mungu akubariki sana
@florahovard3212
@florahovard3212 2 жыл бұрын
Ubarikiwe na Yesu aliyehai
@rosemwakyoma8371
@rosemwakyoma8371 3 жыл бұрын
Asante Mtumishi umenifundisha kitu ubarikiwe sana
@pascalmuzuri4
@pascalmuzuri4 3 жыл бұрын
Mungu akubatiki sana mtumishi wa Mungu. Akutie nguvu na akuongezee upako
@rafikiyesu3134
@rafikiyesu3134 3 жыл бұрын
Somo hili limenisaidia sana,ni halisi kabisa, mtumishi wa Bwana 🙏 Yesu aendelee kukuinua kwa kazi yake🤝
@zaudamwaisanila9150
@zaudamwaisanila9150 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi, hakika someone hili limenifungua, Mungu azidi kukutumia
@harrietwabosha1669
@harrietwabosha1669 3 жыл бұрын
Thanks Pastor God bless you nimesoma vyema kuhusu ndoto kutoka kwako..Mungu akuzidishie wisdom and knowledge🙏🇰🇪
@yudesnestory4781
@yudesnestory4781 3 жыл бұрын
Nukupenda sana baba mungu azidi kukuinua kwa viwangi vingine
@rusiwadonatrusi3603
@rusiwadonatrusi3603 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@fortunecinogerwa1471
@fortunecinogerwa1471 3 жыл бұрын
Mungu aku bariki mtumishi wa Mungu
@joharisadi873
@joharisadi873 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana,nimejifunza kitu muhimu.🙏
@lilianjoshua477
@lilianjoshua477 3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwaajili yako nimepata kitu kuhusu ndoto . Naomba Roho mtakatifu anifunulie
@wamweru9286
@wamweru9286 2 жыл бұрын
God bless you 🙏,mafundisho yenye kuelimisha watu . 🇰🇪 .
@gemamwakyusa6100
@gemamwakyusa6100 3 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa fundisho zuri
@Francinegabriella
@Francinegabriella 3 жыл бұрын
Amen 🙏 nimejifunza kitu leo kbs God bless you 🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏
@rebecapandisha
@rebecapandisha Жыл бұрын
Umesema vema baba
@mmenesibety7814
@mmenesibety7814 3 жыл бұрын
Am betty from kenya pastor ukiota unaombea watu mapepo yanatoka inamaanisha nn
@mbarikiwaamina5885
@mbarikiwaamina5885 2 жыл бұрын
Ina maanisha una huduma ndani yako
@winnyrocha1361
@winnyrocha1361 3 жыл бұрын
Asante sana mchungaji Kwa ujumbe mzuri.
@donathamallya
@donathamallya 3 жыл бұрын
Amen Mtumishi wa MUNGU Barikiwa
@amandamsangi7882
@amandamsangi7882 3 жыл бұрын
Baba my name is Amanda siku zote huwa napita tu kwenye chanel yako sikuwai kufikiri nitakusikiliza leo nimeota and hapa I was so struggling kutafuta mtumishi wa Mungu kuongea nae, baba kila ulichokiongea it's me I day dream sana na pia usiku. All I can is asante umenifundisha kitu. Thank u very much
@jacklineleonard3554
@jacklineleonard3554 Жыл бұрын
Baba nimefurahia Sana hiki somo Kuna ndoto nimeota imejirudia mala 3 na siku ya nne nikaruhusu kile kitu kitokee na nikweli kikatokea ktk ulimwingu wa mwili
@agnesmutindi3094
@agnesmutindi3094 3 жыл бұрын
Asante mtumishi was mungu. I have learned something new from you
@tinamagombeka9179
@tinamagombeka9179 2 жыл бұрын
Man of God be blessed🙏
@elsaomondi2027
@elsaomondi2027 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe.nisaidie kufafanua ndoto hili. Baba ya mwanangu alioa mke na mara mimi huota huyu mke yuanialika kwa mlo wa nyama mingi na mara tunagombana akilia ati mimi ndiye nimemsababishia machungu maishani. Hii ni nini jamani
@neemaeliezamwampeta4635
@neemaeliezamwampeta4635 3 жыл бұрын
Ameni 🙏🏼
@florahovard3212
@florahovard3212 2 жыл бұрын
Great message man of God
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kweli umenigusa sana sikujua
@robertedward7853
@robertedward7853 3 жыл бұрын
Amen mtumishi somo zuri asante mwalimu
@gilbertbada8385
@gilbertbada8385 2 жыл бұрын
TEACHER!
@julianangimba3927
@julianangimba3927 3 жыл бұрын
Hongera sana Baba Mchungaji kwa mafundisho mazuri. Mwenyezi Mungu Akubariki sana👏👏👏
@gregorynyamas1234
@gregorynyamas1234 2 жыл бұрын
Amen mchungaji
@rahabnganga2793
@rahabnganga2793 3 жыл бұрын
Mwalimu mwema sana wa neno la Mungu.
@salomeshila3671
@salomeshila3671 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana nahili somo la ndoto
@thomaspapy3519
@thomaspapy3519 3 жыл бұрын
Asante sana Mungu
@gloriapraise3313
@gloriapraise3313 3 жыл бұрын
Very true
@suzansuzzan5344
@suzansuzzan5344 3 жыл бұрын
Always blessed 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Thankyou JESUS CHRIST...May GOD bless you Man of GOD 🙏🙏
@loycegodson7754
@loycegodson7754 2 жыл бұрын
Nakuelewa Sana mtumishi...Barikiwa..
@eliasmalecela
@eliasmalecela 2 жыл бұрын
@@loycegodson7754 6
@rajabumakopa1238
@rajabumakopa1238 Жыл бұрын
are you Kenya people
@danstonecool1734
@danstonecool1734 3 жыл бұрын
tuned
@tuchannyitike
@tuchannyitike 3 жыл бұрын
Thank you for the sermon,ntazidi kutafakari it's a lot to learn 🙏
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏😓 from 🇴🇲
@luhekelondelwa9714
@luhekelondelwa9714 3 жыл бұрын
Amin ubarikiwe kwa somo zur
@emilynyaga5947
@emilynyaga5947 3 жыл бұрын
Amen ...am blessed by the teachings ave learnt alot..God bless you man of God
@marymwangi3729
@marymwangi3729 3 жыл бұрын
Have learnt alot from this sermon God bless you sir
@hakizimanayusuf780
@hakizimanayusuf780 2 жыл бұрын
5
@ruphaskwendo9183
@ruphaskwendo9183 Жыл бұрын
hallelujah
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 3 жыл бұрын
Ameen
@heavenlight5084
@heavenlight5084 3 жыл бұрын
BWANA YESU ASIFIWE watu wa MUNGU, nina mdogo wangu natamani sana awe anasali reality, mpo sehemu gani dare salaam ,mana mm nawafatilia nikiwa arusha
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 3 жыл бұрын
Dar es Salaam tupo Sinza Mori,ni karibu sana na ofisi za TAMWA. Karibuni sana.
@heavenlight5084
@heavenlight5084 3 жыл бұрын
@@realityofchristchurch asante mtu wa MUNGU
@faisalalsalhi6555
@faisalalsalhi6555 3 жыл бұрын
thank you umenifunza kitu God bless you
@IrakozeChemsadorcas
@IrakozeChemsadorcas Жыл бұрын
Ndiyo baba
@dawsonbulaga7129
@dawsonbulaga7129 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@irenemukami5735
@irenemukami5735 3 жыл бұрын
Thank you for the good topic
@vailethmbulule8339
@vailethmbulule8339 3 жыл бұрын
nabarikiwa sana
@mhamdahmd7758
@mhamdahmd7758 3 жыл бұрын
Amen barikiwa mutumishi wa Mungu
@amosjblack9614
@amosjblack9614 3 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho nimebarikiwa sana 🇰🇪 🇦🇪
@elizabethfregrin
@elizabethfregrin 3 жыл бұрын
Asante sana Man of God kwa mafundisho mazuri
@joyceyesayaswalle5947
@joyceyesayaswalle5947 3 жыл бұрын
Ameni
@joycekaijage3917
@joycekaijage3917 3 жыл бұрын
Pastor, asante kwa mafundisho yako, hii ni mara ya kwanza kusikiliza mafundisho yako. Naomba kujua kanisa lako lipo wapi ili niwe naudhulia mafundisho au semina zako.
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 3 жыл бұрын
Kanisa lipo Dar es Salaam,Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Pia tuna Huduma DODOMA kila Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama,Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.
@joycekaijage3917
@joycekaijage3917 3 жыл бұрын
@@realityofchristchurch kwa upande wa Dar, semina inafanyika siku gani na sangapi na uwa ni mara ngapi kwa wiki huduma inakuwepo
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 3 жыл бұрын
Amen. Kunakitu nimepata ubariliwe
@fhfbfcvcgfggf6844
@fhfbfcvcgfggf6844 3 жыл бұрын
Mtumishi hiyo inatokea Sana kwangu na huwa naumia kutaka Kukumbuku Ndoto nilosahsu
@irenengina233
@irenengina233 3 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@rusangdewagwan3151
@rusangdewagwan3151 3 жыл бұрын
Ansante pastor kwa mafunzo hayo. Naomba unieleze maana ya ndoto .. nimekuwa nikiomba mungu anibariki na ndoa baada ya week mbili nikaota nikiambiwa ghafula nijitayarishe kuvaa nguo ya harusi na ya suprise niliota 4am na wakati huo Sina mjumba. Lakini naona nimefanya harusi na mtu nilikuwa nimeanza kuchumbiana baada ya week mbili akapotea. Ikawa mwezi moja umepita hamna mawasiliano lakini ndiye naonyeshwa nafanya harusi naye na alikuwa mzungukutoka americani. Baada ya week moja rafiki yangu kaniambia Kuna nduguye ako ngambo familia yake ingetaka tujuane na tuoane na ako UK. Canada . Ningependa uniambie inamaana gani? From Kenya
@politicscultureandhealth5080
@politicscultureandhealth5080 3 жыл бұрын
Great message
@agnestweve7218
@agnestweve7218 2 жыл бұрын
Naombeni namba ya simu
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 3 жыл бұрын
Be blessed. A man of Jesus christ .
@stephensengo6877
@stephensengo6877 3 жыл бұрын
Amen
@isaackasembeli6707
@isaackasembeli6707 3 жыл бұрын
Asante mchungaji kutufunulia Mambo makuu
@Dolvinah254
@Dolvinah254 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@jaqueeen1
@jaqueeen1 3 жыл бұрын
Be blessed man of God
@winfridahmkoba-rs4rm
@winfridahmkoba-rs4rm Жыл бұрын
Mm nilikuw naota sana na ninakumbuka lakin hivi karibun imekuwa tofauti ninaota lakin nikiamka ckumbuki,najitaidi kukumbuk lakin haziji
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
Jaman Mimi nikiota kitu lazima kitimie sasa cjui ni ya. Mungu au vipi hmm
@piusmchalo280
@piusmchalo280 3 жыл бұрын
Barikiwa pastor
@rosenasimiyu6396
@rosenasimiyu6396 3 жыл бұрын
Pst Mimi nilikaa Kwa ndoa kwamiaka ine lakini kuna siku moja sister in law akakuja kuniambia aliota tumeachana na mume wangu tulikaa 1yaers tukaajana lakini bwana wangu anatezeka sai pls PST ni saitia, God bless you
@milkahmuringo4765
@milkahmuringo4765 3 жыл бұрын
Great revelation prophet of God,I never understood
@ernestijalis04
@ernestijalis04 3 жыл бұрын
Nitumie watsap mtumishi
@RoseRose-vf5km
@RoseRose-vf5km 3 жыл бұрын
Naji funza mana of God
@margretmumbi43
@margretmumbi43 3 жыл бұрын
God bless you sana Margaret Wambui from Nairobi
@florencendatila9183
@florencendatila9183 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@magdalenarusimbi1438
@magdalenarusimbi1438 3 жыл бұрын
Ahsante mtumishi, umenibariki sana. Mimi huwa naota niko na watu wengi kisha kuna minyama mingi ninakula. Ndoto hii inakuja mara nyingi, baada ya siku nasikia msiba mahali. Nifanyeje?
@damarisnjerunjeru399
@damarisnjerunjeru399 3 жыл бұрын
Bishop,,,kuna dugu yangu alikufa na kabla hajafa nilikuwa naletewa doto nikimwekelea mkono lakini nilikuwa bado mdogo miaka na pia kiroho,,,kipindi baada ya kumlaza,,,alikuwa ananijia kwa doto na kunishika mkono kwa umati mkubwa wa injili huku amevaa descent suit) maanake nn
@lacandylove
@lacandylove 3 жыл бұрын
Je nikawaida kuota mchana zaidi ya ndoto moja?
@farajamkuchu8458
@farajamkuchu8458 3 жыл бұрын
Nikwer pastor hatamimi mdahuo hua naota na hua zinatokea kwer
@joharijohn7005
@joharijohn7005 3 жыл бұрын
Mtumishi nimebarikiwa sana yani mimi kila siku naonyeswa matukio tofauti tofauti kunamda hadi nakuwa sijui niombee lipi niache lipi Natamani kupata namba yako ya WhatsApp tafadhari nahitaji unipongeze japo kidogo tu nitaelewa
@maureenauma7397
@maureenauma7397 3 жыл бұрын
Kila siku nina ndota za pesa,nahesabu pesa,naficha pesa,yakuficha pesa nimeota mara mbili nikificha notes kwa drawers,nikificha coins mingi kwa mifuko na chumbani.
@ruthie8466
@ruthie8466 3 жыл бұрын
Dream manipulation ✅
@ellymaz2187
@ellymaz2187 3 жыл бұрын
Nasahau karibu kila ndoto ninayoota au nakumbuka vipande vipande vidogo sana. Na kuna ndoto naiota mara nyingi sana, nifanyeje?
@hildanekesasichangi2563
@hildanekesasichangi2563 3 жыл бұрын
Bwana asifiwe mtumwishi wamungu Mm niliota kuwa Niko kwenye stage yamagari bt kila gari lilikuwa linakuja limejaa baadaye Kuna gari lapik up LA yellow likaja na ndereva alikuwa mwanamke wang'ambo yaani muzungu na mume wake na watoto wawili vijana Sasa huyu kijana mmoja alisema tuingie kwa gari lao baadae tulipo ingia harufu ya pombe na sigara ilianza kunukia bt ule kijana mmoja alisema tunyamase kimya tuSiongee Kitu Then tukaanza safari bt gafla gari likakosa control then likamake accident bt huyu mtu atoki damu mahali namtu mwenyewe ni kiwete
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 3 жыл бұрын
Hilda nekesa sichangi hapo MUNGU anazungumza nawewe huenda wapo watu wanaokuzunguka hawamjui MUNGU ndomaake kiwete mlemavu n.k.nakusubiri gar pengne una huduma ya MUNGU unapaswa ufahamu usipitwe nasauti ya MUNGU maana ndoto namaono ishara utabir nisaut ya MUNGU asemapo nawatu wake sasa muombe MUNGU akupe kujua
@goodluckwayesu2190
@goodluckwayesu2190 3 жыл бұрын
Iko vzuriiii
@constancesidi3386
@constancesidi3386 3 жыл бұрын
Thanks for this lessons. Am born again and I mostly dream of bad things and if I don't pray they will happen. Is it alright to have bad dreams? I would wish to wake up smiling after sweet dreams but it's never so.
@mwanrique
@mwanrique 2 жыл бұрын
Shalom🙏🏿 it is the holy spirit telling you of future things, so that you pray and stop them. God bless you Sister in Christ!😃
@pstbahavusylvain689
@pstbahavusylvain689 2 жыл бұрын
Sasa inakua aje wakati Mutu anatolewa unabii wake in public ijapokua ni mambo ya Siri ? Je ! Kama hapo kuna mutu mubaya hapo, hawezi iharibu ?
@pstbahavusylvain689
@pstbahavusylvain689 2 жыл бұрын
Otherwise nimebarikiwa na series hizi kabisa.
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Mm kuna ndoto ime nitatizsa sana mpaka sasa yani nime ota na zini na mwanangu fast born hii ina maana gani mtumishi
@sheilamaziku5980
@sheilamaziku5980 3 жыл бұрын
Na mimi niliota naingiliana na baba angu yanii😭😭😭😭
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 3 жыл бұрын
Hapo ujue ni jini mahaba linakuwa limejibadilisha tu umbo au sura ndio linakujia, hivyo hiyo ni ujanja tu wa jini mahaba kujibadilisha kuwa kama mwanao au mzazi wako au laweza likavaa umbo au sura ya chochote!! 2korintho 2:11 ni mbinu tu za jini mahaba,anakuja kukuchochea uzini
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 3 жыл бұрын
Unahitaji usaidiwe maombi ya kujitenganisha na hiyo roho
@geendaki7678
@geendaki7678 3 жыл бұрын
Samahani mbona namba tatu sijaona naona namba nne
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 3 жыл бұрын
Sehemu ya tatu ipo, imeandikwa MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (MAOMBEZI). Katika sehemu ya tatu tulikuwa na maombezi.
@geendaki7678
@geendaki7678 3 жыл бұрын
Ahsante Mtumishi
@jacklineerenest3211
@jacklineerenest3211 3 жыл бұрын
@@realityofchristchurch mtumishi naomba namba yako mimi nnahitaji maombezi yangu na familia yetu mimi nipo Masasi mtwara na Familia yetu ipo bukoba mtumishi Nina shida sana
@margaretogega8836
@margaretogega8836 3 жыл бұрын
@@realityofchristchurch Mchungaji ninayo shida ya kumwona mime wangu kwa ndoto na sa zingine analala namimi za zingine anatabazamu. Kwa mwil uhisiano wetu ni mbaya sana 2. Kuna kipindi fulani nasikia ni kama kitu kinanitembea kwa mwili kama nyoka na za zingine nikifunga macho naona mapicha za manyoka, Niko mbali nifanyeje, nisaidie, hela sioni nikiona ni kwa ugumu,.
@montteyfloki3953
@montteyfloki3953 2 жыл бұрын
Anaombeni watsap number ya mtumishi
@rebecapandisha
@rebecapandisha Жыл бұрын
Umesema vema baba
@rosemisiko3725
@rosemisiko3725 3 жыл бұрын
Amen and amen
THE PRINCIPLES OF HEALING/ PROPHET WILLIAM SSOZI
51:46
Prophet William Ssozi
Рет қаралды 51
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
#behindthescenes @CrissaJackson
0:11
Happy Kelli
Рет қаралды 27 МЛН
Sigma girl VS Sigma Error girl 2  #shorts #sigma
0:27
Jin and Hattie
Рет қаралды 124 МЛН
КОНЦЕРТЫ:  2 сезон | 1 выпуск | Камызяки
46:36
ТНТ Смотри еще!
Рет қаралды 3,7 МЛН
MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (V) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
55:51
Reality of Christ Church
Рет қаралды 18 М.
MADHARA YA VYAKULA MTU ANAVYOLISHWA NDOTONI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:15:00
Reality of Christ Church
Рет қаралды 49 М.
ROHO MTAKATIFU NA NGUVU ZAKE - Pastor Sunbella Kyando
1:30:43
Reality of Christ Church
Рет қаралды 31 М.
ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
30:52
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 87 М.
NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA  - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:07:06
Reality of Christ Church
Рет қаралды 67 М.
KUFAHAMU KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU NA JINSI YA KUZITUMIA || PASTOR GEORGE MUKABWA
2:03:24
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 29 М.
UMUHIMU WA KUIFAHAMU VITA UNAYOPIGANA NAYO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
45:59
Reality of Christ Church
Рет қаралды 47 М.
KANUNI ZA KUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
23:25
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 37 М.
FIKICHA MACHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
18:57
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 8 М.
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН