No video

NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

  Рет қаралды 65,092

Reality of Christ Church

Reality of Christ Church

2 жыл бұрын

Zaburi 74:20
[20]Ulitafakari agano;
Maana mahali penye giza katika nchi
Pamejaa makao ya ukatili.
Anaongelea eneo(location) katika nchi(ardhi) ambapo mambo yanayotendeka hapo ni ya ukatili,kama mambo hayo yanatendeka ina maana wapo wanaoyatenda hayo na wanakaa juu ya nchi.
Uchawi upo,wachawi wapo..na hawa watu wanaweza kuwa mtaani kwako na usiwajue ila ukabaki unajua kuna vitendo vya uchawi vinavyotendeka mtaani kwako.Hawa watu hufanya kazi kwa kujificha sana na ndio maana mchawi anaweza kukuroga ukashindwa kutembea na asubuhi ndio akawa mtu wa kwanza kuja kukusaidia.
Wakati Mungu anamtuma Musa kwenda kuwatoa waisraeli Misri alimpa pia ishara za kufanya ili Farao aamini kuwa ni Mungu aliyemtuma,na mojawapo ya ishara hizo ni kuangusha fimbo na kugeuka nyoka.Baada ya Musa kwenda kwa Farao akafanya hivyo kama Mungu alivyomuagiza,lakini Farao naye akawaita wachawi na waganga wake nao wakaangusha fimbo zao chini na zikageuka kuwa nyoka.Maandiko yanasema kuwa nyoka wa Musa akawameza wale nyoka wote wa wachawi.Ndani ya nyoka mmoja Mungu aliweka uwezo wa kuwameza nyoka wengi.Ndani yako kuna uwezo ambao Mungu ameuweka,ukiuangalia unaweza ukajiona kuwa una uwezo mdogo bila kujua kuwa kwa uwezo huo unaweza kutenda mambo makubwa sana kuliko fahamu za wanadamu zinavyofikiri.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZbin: www.youtube.co....
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando KZbin
/ @pastorsunbellakyando

Пікірлер: 125
@danstonecool1734
@danstonecool1734 2 жыл бұрын
tangu nianze kufuatilia mahubirii from reality church maisha yangu yamebadilika kwa wema sawa sawa na maombiii
@mariathomas4850
@mariathomas4850 2 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor Sunbella,nami napokea kwa jina la Yesu!
@neemashabani5860
@neemashabani5860 Жыл бұрын
MUNGU nikonboe kupitia madhabah hii ameen
@breakingnewstz8396
@breakingnewstz8396 4 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@karolshirima8935
@karolshirima8935 2 жыл бұрын
Ninachojua Mungu niliyenaye ni mkuu kuliko wachawi....waungane wachawi wote Tanzania au Africa...maadamu ninaye Yesu...ni sisimizi tu hao
@olivermfinanga9387
@olivermfinanga9387 5 ай бұрын
@karolshirima8935 nilikuw na ufahamu kam wako Ila kilichonipat n huzun 😂😂upande wa giza wanamaarifa afu pia wanatumia kanuni zle zle ambzo Mungu alizitoa so n laxm uwe smart ili kuweza kudeal nao
@sethkambaza5946
@sethkambaza5946 7 ай бұрын
Amen
@andrewmukuru6357
@andrewmukuru6357 3 ай бұрын
YESU ni BWANA!!!!!
@ezekieljob8679
@ezekieljob8679 2 жыл бұрын
Roho mtakatifu nakusihi usinipte Bwana nijaze maarifa yako ndani yangu
@moseskimaro7430
@moseskimaro7430 2 жыл бұрын
Wisdom at peak. You are a blessing to this generation . I desire your Grace Sir
@AdelaKauki
@AdelaKauki 4 ай бұрын
Nabarikiwa ila upande wa mkono wa kushoto hauko vizuri.Naomba maombi.
@El9a
@El9a 2 жыл бұрын
Somo tamu halichoshi kusikiliza... Nimebarikiwa na maarifa ya Neno la Mungu🙏
@halmakalage4566
@halmakalage4566 2 жыл бұрын
Nmejifunza kitu Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
@chantalmwipata8820
@chantalmwipata8820 2 жыл бұрын
Mimi niko canada 🇨🇦 I am touched up by your messages
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Wapi huko mie niko Montreal Quebec
@chantalmwipata8820
@chantalmwipata8820 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 ottawa
@annadaffi1273
@annadaffi1273 2 жыл бұрын
Yaani baba, sijawahi kuchoka kusikiliza masomo yako🙌 Asante kwa powerful message🙌 Mwenyewezi Mungu azidi kukutunza🙏
@faridajohn9231
@faridajohn9231 2 жыл бұрын
Amina BWANA YESU nirehem na kunisaidia
@truthforthelastgenerationt6920
@truthforthelastgenerationt6920 2 жыл бұрын
Amina nafuatilia kutoka Kenya barikiwa mtumishi
@neemashabani5860
@neemashabani5860 Жыл бұрын
Najiungamanisha na madhabah hii
@paulchristian5071
@paulchristian5071 Жыл бұрын
Barkiwa saana
@farajimgonja8042
@farajimgonja8042 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU nakufuatilia sana Baba una wanafunzi wengi sana online
@ArumeruMlili
@ArumeruMlili 8 ай бұрын
barikiwa sana pastor!!!
@loycekatorogo828
@loycekatorogo828 2 жыл бұрын
Amina
@jaelmudoga2542
@jaelmudoga2542 2 жыл бұрын
I'm learning alot through this channel. We bless the name of the Lord.
@sesiliabahath4806
@sesiliabahath4806 Жыл бұрын
Pastor Leo natoa Kwa sadak kwajina layesuu naamin nitafanikiwaa amen
@edinashaurishauri5223
@edinashaurishauri5223 2 жыл бұрын
Barkiwa Sana mtumish kwa fundisho zur
@florencekwamboka9717
@florencekwamboka9717 Жыл бұрын
Mungu nikumbuke nami
@elizabethkivuruga5351
@elizabethkivuruga5351 2 жыл бұрын
Pastor naelewa mno!!unakarama ya ualimu endelea kutumika na Ubarikiwe mno!!
@pastordrmathewmaholla8789
@pastordrmathewmaholla8789 2 жыл бұрын
Pastor Sunbella am so proud of you. Roho mtakatifu anakutumia sanaa, Mungu akubariki sanaa napata maarifa yakunivusha sanaa in many circumstances.... Utukufu kwa Bwana Yesu...
@emanuelalwambano621
@emanuelalwambano621 2 жыл бұрын
Hbb
@patriciakanote5465
@patriciakanote5465 2 жыл бұрын
Namtukuza mungu kwa ajili yako mtumishi hakika nimepata kujifunza kitu.
@frankmshana1331
@frankmshana1331 2 жыл бұрын
GOD BLESS YOUR
@danstonecool1734
@danstonecool1734 2 жыл бұрын
nikumbuke kwa maombi pia uchumi wangu watawachia in jesus name
@barmedastv
@barmedastv 2 жыл бұрын
Asante sana unafundisha vizuri sana imekuwa destuli silali bila kukusikiliza najifunza
@leytcastle9402
@leytcastle9402 2 жыл бұрын
Huna Mungu huna shetani haki nmecheka 🤣🤣 Tunashukuru sana kwa Somo tukutane kesho kanisani
@tupokengwala2027
@tupokengwala2027 2 жыл бұрын
Asante Bwana Yesu kwa jinsi unavyomtumia mtumishi wako kutufundisha.
@danstonecool1734
@danstonecool1734 2 жыл бұрын
tuned from kenya
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Ni usiku Niko chumbani usingizi imekosa watoto wangu wanajirusha rusha ,siku nyingine nakuta wa kiume amegeuzwa,Asante Sana nimejifunza kitu, muombee na familia yangu,najisikia kuokoka!
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
Kukupenda Dad Sanbella kyando.tu ndo najuwa...toka nmekujua sijawai choka kukufatilia on line....Niko nakusubir ukienda Dom..tu.nakujaa..wallah!barikiwa Sana pastor Sanbella kyando 🙏🙏
@josephinshana4653
@josephinshana4653 2 жыл бұрын
Ninaamin utumishi ulionao,Ni really!!!
@SecretglowbymsBecky
@SecretglowbymsBecky 2 жыл бұрын
Muendelezo wa hili somo 🙏🏽 Mungu akubariki pastor Sunbella
@mercynanjala6053
@mercynanjala6053 Жыл бұрын
Amen from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@meshackmanofgod8151
@meshackmanofgod8151 2 жыл бұрын
Mtumishi Mimi napatikana morogoro nidreva wa mabasi makubwa nakuelewagasanaaaaaa haisee nafunguka kupitiawewe
@julietmboya3021
@julietmboya3021 2 жыл бұрын
May God continue blessing you Mtumishi wa Mungu,
@neemashabani5860
@neemashabani5860 Жыл бұрын
Mtumishi mimi nakukuelewa amen
@lucyngoje1546
@lucyngoje1546 2 жыл бұрын
Muendelezo wa somo pastor
@Nahomi_Laurenne
@Nahomi_Laurenne Жыл бұрын
Amen Amen 🙏
@mauricekipchemboi9656
@mauricekipchemboi9656 Жыл бұрын
waaaa waaa ufunuo wa ajabu ... napenda sana....
@davidndungukihara1589
@davidndungukihara1589 2 жыл бұрын
Amen 🙏 I bless the name of the Lord God Almighty. Thank you Lord for the my redeemer and Saviour Jesus Christ and your Holy Spirit one God forever and ever 🙏 Thanks for your servant. Bless and keep him safe in Jesus name 🙏
@rispathequeen
@rispathequeen 2 жыл бұрын
Amen 🙏
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 2 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana mchungaji
@Miriam84Akizimana
@Miriam84Akizimana 2 жыл бұрын
Jesus is lord amen
@marymasanja1564
@marymasanja1564 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hili somo nakufatilia muendelezo wake mtumishi.
@peterngulili7301
@peterngulili7301 2 жыл бұрын
Haleluya Amina
@florencekwamboka9717
@florencekwamboka9717 Жыл бұрын
Amen 🙏
@muhanika77
@muhanika77 2 жыл бұрын
mtumishi na mimi nataka kuachana na waganga ila naogopa madhara yake ya kushughulikiwa au kuandamwa maisha yangu....nashukuru wa neno hili...
@mutuadickson7120
@mutuadickson7120 5 ай бұрын
Usiogope Mungu ni kila kitu kwenye maisha yetu
@linetayuma202
@linetayuma202 2 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏👏👏🇰🇪
@irenesilas2614
@irenesilas2614 2 жыл бұрын
Shaloom pastor! Mungu aendelee kukutumia...
@merinachillonwa6646
@merinachillonwa6646 Жыл бұрын
God Bless you
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen
@beatricemwaura786
@beatricemwaura786 2 жыл бұрын
Powerful preaching and teachings , am learning something
@Miriam84Akizimana
@Miriam84Akizimana 2 жыл бұрын
The bible says my people are perished for the lack of knowledge.
@gilbertwanje
@gilbertwanje 2 жыл бұрын
Ameni, nabarikiwa sana sana nikiwa Kenya🇰🇪
@danstonecool1734
@danstonecool1734 2 жыл бұрын
Gilbert you will be blesssed
@gilbertwanje
@gilbertwanje 2 жыл бұрын
Amen
@christinesavai884
@christinesavai884 2 жыл бұрын
Unatumaje sadaka yako kutoka kenya to Tanzania maelezo tafadhali
@joycemaige6838
@joycemaige6838 2 жыл бұрын
@@christinesavai884 tumia hiyo namba kuwa Chek whatsapp utapewa maelekezo mpedwa
@joycemaige6838
@joycemaige6838 2 жыл бұрын
@@christinesavai884 kutumia hizo namba zao hapo juu kwenye iyo video utapewa njia zote
@frankmshana1331
@frankmshana1331 2 жыл бұрын
Songa mbeleeeee dadyy
@paulineonkoba5792
@paulineonkoba5792 Жыл бұрын
Very insightful
@friedamkiramweni9500
@friedamkiramweni9500 2 жыл бұрын
Asante Yesu kwa somo hili. Nijalie kujifunza na uelewa zaidi.
@tumpedaudi6681
@tumpedaudi6681 2 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 2 жыл бұрын
Nakupenda Sana mtumishi wa mungu
@eliethaudax9360
@eliethaudax9360 2 жыл бұрын
Thank you so much dady🙏🏻Mungu akutunze
@starluzenja9861
@starluzenja9861 2 жыл бұрын
Always a blessing to be here
@hwenys
@hwenys Жыл бұрын
JESUS REIGNS, ASANTE YESU
@elizabethwilliam520
@elizabethwilliam520 2 жыл бұрын
Thanks alot Man of God ,it have much blessed teaching
@godwinmamkwe9825
@godwinmamkwe9825 2 жыл бұрын
Mungu anikomboe kupitia Nadhabahu hii. Nilipata usingizi alasiri ya leo jumapili sebuleni,niliota kuwa kuna mtu anakata ndizi kwenye shamba langu hapa nyumbani,mara nikaota nikitoka chubani ili nimchungulie kwa sieiahani.Nilikutana nae,mwanamke amekaa kwenye kigoda uchi mtupu,ana chata ya tatuu ya nyota ubavuni mwake, anachobga kiazi alichonionesha amekichimbua shambani mwangu. Niliona yuko pia na kijana.Nilijitahidi kumtoroka ili nikawaite majirani ila nilipotoka nje kuelekea nje ya boma langu yule kijana alinishtukia ninachotaka kukifanya akaanza kunidhibiti.Alikuwa na nguvu za ajabu kwani nilichukua ubao nikaanza kumpiga nao kwa nguvu kubwa kichwani hadi nikamjeruhi ila aliendelea kunibana hasa vidole vya mkono mmoja akaving"ata kama vile anavinyonya damu hadi nikaishiwa nguvu. Nilishtuka usingizini nikaanza kutafakari hadi sasa namwomba Mungu anilinde na kunipatia ushindi dhidi ya nguvu hizo. Nimekuwa natafakari hadi sasa sijaweza kuhisi atakuwa ni nani.Jirani au ni kutoka wapi. Naombeni maombi yenu watumishi wa Mungu na mlioko kwenye hii huduma.
@olgerahendera9807
@olgerahendera9807 2 жыл бұрын
Always blessed when hearing your teachings ,be blessed 🙏🙏🙏
@rahelmunuo1415
@rahelmunuo1415 2 жыл бұрын
Asante sana kwa hili Somo lenye ufunguo mkubwa
@anthonymoligi1352
@anthonymoligi1352 2 жыл бұрын
Amen Ndugu yangu.
@rehemakilibwa714
@rehemakilibwa714 2 жыл бұрын
Asante kwa kuachilia maarifa
@zawadielgasper8804
@zawadielgasper8804 10 ай бұрын
Pastrer jamani Mimi namfuatilia mafundisho jamani ni siku TU ya tati ila du mafungiliwa sanaa
@jeanbaptiste5512
@jeanbaptiste5512 2 жыл бұрын
Mweshimiwa Mchungaji MUNGU Akurefushie siku za kuishi ukiendelea na kazi yake ipasavyo. Hakika nimepata musada kupitia somo hili. Lakini baba tafadhali nipe fursa tuzungumze baba tafadhali. Nilisha tuma ujumbe kwa ile namba lakini naona bado tafadhali nipokee.
@suzansuzzan5344
@suzansuzzan5344 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️
@chihiyofesto6286
@chihiyofesto6286 2 жыл бұрын
Ameni babaa
@danielbasila7555
@danielbasila7555 2 жыл бұрын
Amen my mentor
@naomikalinga3042
@naomikalinga3042 2 жыл бұрын
Amen amen
@jeriahbarongo4219
@jeriahbarongo4219 2 жыл бұрын
Mamangu siku sote huniambia mweshimu tena mwogope mchawi nimeamini maana nawajua watesi wangu hao wachawi ni watu wangu wa karibu sana ombi langu nikujazwa na roho mtakatifu ili niweze kuyashinda haya majaribu
@gilbertbada8385
@gilbertbada8385 2 жыл бұрын
Powerful
@danielbasila7555
@danielbasila7555 2 жыл бұрын
Powerful word
@gemalucas5863
@gemalucas5863 2 жыл бұрын
Plz mwendelezo hamjaweka wa hili somo
@georgebugangazpoa4975
@georgebugangazpoa4975 2 жыл бұрын
AMEN
@dianaobadia6107
@dianaobadia6107 2 жыл бұрын
Amen nakufuatilia Baba
@issackwillium7246
@issackwillium7246 2 жыл бұрын
Dear Man of God, Mm kama wengine ni mfuatiliaji, na mafundisho haya yananisaidia sana, natamani siku moja nipate nafasi ya kuabudu nanyi. KZbin humu tupo pamoja. Wekeni humu kwa ajili yetu tuliombali. Mungu awabariki na kuwatunza Amina. Rgrds Isaac Mathayo
@lucyshedrack189
@lucyshedrack189 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa Mungu akutunze mtumishi
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 2 жыл бұрын
Ameeeen
@tumainimutatembwa4343
@tumainimutatembwa4343 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Mtumishi Amina sana
@heleminaamani5810
@heleminaamani5810 2 жыл бұрын
Naomba huduma
@florencendatila9183
@florencendatila9183 2 жыл бұрын
👏
@andrewmwasomola6161
@andrewmwasomola6161 2 жыл бұрын
Natamani kujua mahali kanisa. Hili lipo
@gretagonga2966
@gretagonga2966 2 жыл бұрын
Natafakari kitu Kwanini Mungu hakumponya Mussa kigugumizi hadi amtuma Aruni aende nae?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mchungaji ameshiba hasa
@mutegiezekiel3827
@mutegiezekiel3827 2 жыл бұрын
Pastor umeogelelea kuusu kufukuzwa na kitu dotoni alafu mwisho unapaa juu....halo sijaelewa hiyo do to pls
@healingsschool4630
@healingsschool4630 2 жыл бұрын
ECCLESIASTES 10:19....but money answerth all things All traps failed to catch Jesus Christ but when Chief of Priests gave 30 silver coins (money) to Judas they succeed (Mathew 16:15) Abraham the Father of Faith when he was in lack and want, this means he had no money for buying food (when there is famine we can buy from far countries) his wife Sarah was taken because she told kings Abraham is her brother in order to get favour Genesis: 12:16, 20:2, 26:6-11. A rich man got miracle because he gave to people and built a synagogue Luke 7:5. Next an altar of blessings built by Abraham Genesis 12, Galatians 3:13......In the mighty Name of Jesus Christ....
@pastordrmathewmaholla8789
@pastordrmathewmaholla8789 2 жыл бұрын
Samahan mwendelezo wa hili somo uko wap..
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 2 жыл бұрын
Somo litaendelea sehemu ya pili, likiwa tayari tutaliweka KZbin.Karibu sana.
@alisalimnzagu4091
@alisalimnzagu4091 2 жыл бұрын
Urongo mtupu huo Biashara hiyo mchangieni azidi kutajirika.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
Ali Salim wewe nimchoyo Kama mwanasiasa waccm!!!!!
@husseinchea5524
@husseinchea5524 2 жыл бұрын
Kweli hujielewi wewe 🤣
@christermlewa8471
@christermlewa8471 9 ай бұрын
Utakuwa mchawi mkubwa wewe
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Ni semina au mahubiri??mbona mtumishi hatumii Biblia anatumia Tablet jamani??
@dastanmboera8445
@dastanmboera8445 2 жыл бұрын
Elewa technolojia hiyo Bibla imewekwa humo kwenye tablet ndio Ile hajakosea
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@dastanmboera8445 hee kweli wewe umetekwa na shetani,aliyekwambia Biblia Takatifu imekosewa ni nani?naona unamsindikiza Ant Christo wewe,pole saana,na Mzungu hatumii tablet madhabahuni sembuse black huyo
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 Kwani mzungu yeye si mtu???? Unaongea nn sasa ww
@happynesssanga9729
@happynesssanga9729 2 жыл бұрын
Napend San mafndisho yako mtumishi wa MUNGU
@christermlewa8471
@christermlewa8471 9 ай бұрын
Mchawi mwingine huyu,sisi tunaamini hiyo biblia ipo kwenye tablet Sasa hivi Dunia ipo kiganjani tembelea na biblia Yako kama huna Imani huna tu
@joycesanga6951
@joycesanga6951 2 жыл бұрын
Amina
@gwimilajames1167
@gwimilajames1167 2 жыл бұрын
Amen
@samuelpmathew4266
@samuelpmathew4266 2 жыл бұрын
Amen
@serahrobath7685
@serahrobath7685 2 жыл бұрын
Amina
@mhamdahmd7758
@mhamdahmd7758 2 жыл бұрын
Amen
NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:03:52
NYOTA YAKO INAKUTAMBULISHA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
27:08
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 4,8 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 6 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 43 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 24 МЛН
KANUNI ZA KUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
23:25
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 30 М.
Ushuhuda wa aliyekua muislamu.
28:57
END TIME LOUDCRY TV
Рет қаралды 244 М.
SEHEMU ULIYOPO  INAVYOWEZA KUHUSIKA KUPINGA MAFANIKIO YAKO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
56:41
MAOMBI YA KUOMBA KAMA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA - Innocent Morris
42:03
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 26 М.
JE, UNAJUA KWANINI VITU VYAKO VINAKWAMA?
55:30
Reality of Christ Church
Рет қаралды 118 М.
NYOTA YANGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
26:23
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 1,6 М.
ROHO ZINAZOZUIA MATOKEO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:21:12
Reality of Christ Church
Рет қаралды 30 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 6 МЛН