The first best online TV in TZ. If you agree click like this comment untill Bro Skywalker see it
@SimuliziNaSauti7 күн бұрын
Thank you
@abubakarimsere7 күн бұрын
Sns ❤❤
@shuwehaharuna63096 күн бұрын
Unanitisha sasa mungu atulinde tunaotafita maisha kutwa kupaa angani
@abuysalim71637 күн бұрын
Simulizi na sauti kila Leo munapiga hatua,...nimekuwa nawafuatilia Kwa karibu mda mrefu hivi karibuni nimeona jitihada zenu na naamini Kwa Kasi hii malengo yenu ya 10M per month itatikia soon tu big upo Sana
@Ahikigufa6 күн бұрын
Ni leo asubuhi, nilikuwa nawaza mlichokifanya. Nikiwa naendelea na shughuli za asubuhi, nikawaza ivi kwa nini makala 360 isisimulie sakata la malaysian mh 370. Nikawaza nitajaribu kucomment kwenye moja ya video za makala 360 ili kushawishi hili. Mchana naingia youtube nakuta mzigo uko kwa hewa, hamjui mlivyonisha kwa hili. Pongezi sana kwa sns, sky walker, lachman na makala 360
@elidiustudoy26407 күн бұрын
Nakubali SNs fredik bundala🎉
@OnesmoEphrata7 күн бұрын
Fredrick
@ELIFASMADEBHO7 күн бұрын
Hilo songs lililoanza Huwa nalkubali sana sky
@mnyotaramadhankazi73577 күн бұрын
Fredrick bundala sna nakupata vizuri kabisa from Tokyo japan
@smgfamilygroup24146 күн бұрын
😮
@yusufuheri65247 күн бұрын
Asante sana my brother from another mother
@sinatatizonamtu2 күн бұрын
Thanks Kwaku Sikiliza Ombi Langu La Malaysia Airlines, Nimechelewa Ila Now Na Subscribe ❤️✍️
@sadamissa56877 күн бұрын
Wanipe kazi me naipata hii😢😢
@theprince52537 күн бұрын
Safi sana kaka leo nimefurhi sana
@Mubarak5526 күн бұрын
Bundala huwa nakuita Mwamba, pasua mawimbi kaka, kazi nzuri simulizi ya iliojaa kusisimua
@bishweko7 күн бұрын
❤❤❤
@user-rx7te2px5d3 күн бұрын
Mungu atusaidie
@marcomathew84397 күн бұрын
Noma sana
@abuusufian65067 күн бұрын
360 ❤❤❤❤
@noelmarapachi18086 күн бұрын
Fredrick Bundala you are such an amazing Narator, train wale vijana wako hata 2 tu at least wawe wanaweza kufanya naration za serious documentaries, isiwe ni intertainment pekee, other wise SNS mnafanya kazi nzuri sana
@khamisally95596 күн бұрын
Keep it up brother. This is a wonderful piece of work.
@Brunotarimo107 күн бұрын
Hatariii. Ukicha crown media media ninayoipenda ya pili ni Sns
@JumaRick-o1e7 күн бұрын
Wakwanza kwa mara yanza likes zang pls
@hidayahidaya-vd3ze7 күн бұрын
Ndiye hiyo nawakaangaliye mkondo WA Pemba kisuwa Panza iko chini ya bahari watu huiyona nakuokota vitu
@husseinhemedi93147 күн бұрын
Hii #makala360 ni tam sana hua napendelea kila week itoke Apa hata bando likiisha limeixha xeem xahhi Hongera #SNS
@allahisone63867 күн бұрын
❤🎉
@user-cw8zn2dn6m6 күн бұрын
Sasa mbn hii ndege ilidunguliwa? Maana isingetawanyika kiasi hicho. Ingezama kwenye maji yote bila kukatikakatika. Hii ilidunguliwa bana!!
@jacksonseverin56706 күн бұрын
Niliisubir kwa ham sana hii kitu😊😊
@theophilwisdom23087 күн бұрын
Sio stimulator ni Flight Simulator Brother Sky
@alfonsimwalongo9427 күн бұрын
Sawa baba
@King_Of_Everything6 күн бұрын
👊✌️👍.
@hemedimkitu3504 күн бұрын
Weka back ringtone mzee
@NeemaMasawe-ox5tp6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@pascalmanyama23042 күн бұрын
Huwa nafuatilia sana hawa jamaa wa NTSB wanavyofanya uchunguzi wa ajali mbali mbali za ndege,huwa wapo vizuri sana lakini hii naona imewapasua kichwa,na kinachowavuruga zaidi iweje mabaki yake yaje kupatikana huku?.Hapa kuna jambo ambalo si la kawaida lakini muda utakuja kuongea kama ni njama za watu au taasisi fulani.
@frankadamz62784 күн бұрын
Big shout out To Frank
@ezzy_e24507 күн бұрын
🎉 hatariiii
@gilbertkalanda93547 күн бұрын
Hii ndege ilikuwa na majasusi waliondoka na taarifa za watu
@moseskulola69133 күн бұрын
Nakumbukasana hii siku ilikuwa siku ya mwana muke Dunia. 8.marc.2014
@mtzhalisi22327 күн бұрын
Nlikuwa naisubiri sana hii makala 360
@jacksonseverin56707 күн бұрын
Kaka ww ni balaa na nusu kwenye hii mambo🫡🫡🫡
@ShukranMwakyambo7 күн бұрын
SAUTI YANGU PENDWA
@hosnakamees54546 күн бұрын
🙏🙏🙏👊🤝
@mtupeacetz25895 күн бұрын
SKUPINGI MZEE UNAJUA. ILA KUNA KICHAA 1 ANAITWA DUPA MDUPANGE HUKO ANA ADISIA KAMA NA YEYE ALIKUWEPO KWENDA HYO FLIGHT YANI BALAAA😅
@mosesbarnabas33795 күн бұрын
Noma sana
@frankjuma72956 күн бұрын
C.I.A $ boeng will know. Because boeng MH370 is suport remoting pilot and if pilote remote remorting actvated to the MH370 the pilote canot do anything..on my think i think is the company wich deal with the,,,,,,,,,,,,,,,,,,
@saidymbagalla66227 күн бұрын
Mnatuchanganya juzi niliona kuna channel ilipost tukio hili lenye utata akisema ndege ilipoteza mawasiliano kisha ilitoa Signal sa1 :20 almost 1hr baada ya muda uliotakiwa ndegeg itue China asubui kua ndege iko angani inaruka na haina shida kisha ikaja kutoa tena Signal Masaa ma3 baadae kua bado inaruka na haina shida yeyote na walipo mpigia ruban simu ikapokelewa nila mtu kuongea chochote kisha haikutoa Signal tena na ikapotea mazima hadi leo
@djafro87297 күн бұрын
Sma ruto mwizi na muuaji. 2007 alichoma watoto moto kanisani
@innocentboykid24427 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@evansogutu41677 күн бұрын
Mbn mukampigia Tena kura ...mulisema ni maombi
@farajiissa5607 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@jacobeliufoo76357 күн бұрын
Mbona hii ndege jeshi la maji la uingereza walikuja kuiona na wali ikuta ipo chini ya maji kaskazini visiwa vya uingereza miaka hivi karibuni ipo na abiria wote wame bakia mifupa
@saidymbagalla66227 күн бұрын
Mh hii sijawai skia Na ingeonekana ingekua habar kubwa sana dunia nzima ingejua coz tukiolake liliteka hisia za watu wengisana dunian
@jacobeliufoo76357 күн бұрын
@@saidymbagalla6622 mabaki yalipatikana march 8 2024
@peterdavid201497 күн бұрын
Uvumi itakuwa
@catherineshayocwbp.20937 күн бұрын
Kuna documentary Netflix wanaelezea pia
@l.marley_25426 күн бұрын
Iyo taarifa unayo wewe peke yako umekaa ki abunuwasi😂😂
@EzekiaMyila7 күн бұрын
Ndugu maajamaa wapewe pole sana maana inaumiza sana