MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAANZA KURUDISHWA KWA WATOTO NA SERIKALI

  Рет қаралды 192,148

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 653
@henrickovicent2933
@henrickovicent2933 5 жыл бұрын
Hongera sna mhe dc kwa hekima uliyo nayo, mwenyezi Mungu akubariki. Ahsante
@georgechalondunda6599
@georgechalondunda6599 5 жыл бұрын
Jerry Muro amepewa kipawa na Mungu. .Ndio maana naipenda inchi ya Tanzania. ..Naona niki hamia huko. .Viongozi wanao mpenda Mungu. .Mimi natoka Kenya and I am in love with Tanzania and it's leaders. .wapi likes .Tanzania oyeeee
@rosempunga9973
@rosempunga9973 5 жыл бұрын
Tunaishukuru serikali kwa kusikia kilio cha hao watoto.mungu akubariki sana mkuu was wilaya.
@saramsemo1536
@saramsemo1536 5 жыл бұрын
Watoto wabilionea
@feisalsalum1258
@feisalsalum1258 5 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya hoyeeeeeeeeeeeeeeeee mungu akubariki nimefurahi sana
@EK-kp2np
@EK-kp2np 5 жыл бұрын
Tunakushukuru msaidizi wa raisi ngazi ya wilaya, hivi ndivyo inavyotakiwa katika ngazi ya uongozi, siyo kila kitu lazima kiende ikulu wakati kuna ikulu ndogo wilayani👏🏻👏🏻👏🏻🇹🇿🇹🇿🇹🇿 DC Muro👏🏻👏🏻
@kiatu
@kiatu 5 жыл бұрын
E K 💯 %
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 5 жыл бұрын
Kweli kabisa. Si kila kero isikilizwe au kutatuliwa wakati Rais atakapofanya ziara maeneo husika. Hongera sana DC Muro!
@julianacostantine6682
@julianacostantine6682 5 жыл бұрын
Dah Safi Sana mheshimiwa mungu akuongoze Kwa kila hatua 🙏🙏
@augustinomwanjabike5157
@augustinomwanjabike5157 5 жыл бұрын
sijawahi comment kwa hili machozi ya furaha yamenitoka kuona haki inapatikana BIG UP DC
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 жыл бұрын
HUYO MAMA ANATAMAA SANA. MAANA ANAKIHELHELE.
@Rbmate
@Rbmate 5 жыл бұрын
Na ukiona mama ana kiherehere ivo OGOPA sana watoto wake..
@loganoipatrick7744
@loganoipatrick7744 5 жыл бұрын
tena kiherehere mpk anawashwa mpumbavu sn huyu mama
@Mwinyi79
@Mwinyi79 5 жыл бұрын
DC Jerry Muro hongera saana, inaonyesha ww ni mwanafunzi sahihi wa Awamu hii ya Rais Magufuli. Umeivaa saana
@veronicatweve4786
@veronicatweve4786 5 жыл бұрын
Daaa! Nimekupenda saaana mkuu wa wilaya Jerry Muro na Mungu akulinde 🙏
@petermollel1471
@petermollel1471 5 жыл бұрын
Nimekupenda sana DC Muro kwa hekima zako na busara. Endelea kusimamia haki. Kikubwa watoto sasa wamezidi miaka kumi na nane, wana uwezo fulani kisheria. Hiko liangaliwe. Naamini pia hao wazazi hawana shida na watoto wa marehemu mtoto wao Erasto. Bifu liko kati ya wazazi na mke wa marehemu (mama wa watoto wa marehemu). Ni issue ngumu sana inayohitaji neema ya Mungu ili hii familia ielewane
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 5 жыл бұрын
Jerry umekuwa mwakilishi mzuri sana wa rais. Safi sana mungu akubariki
@paulkisatulusana1142
@paulkisatulusana1142 5 жыл бұрын
Mama hajielewi vizuri Tamaaa duuu Asante Jerry muro hapa kazi tuuu
@sharoombay8997
@sharoombay8997 5 жыл бұрын
Jeriiiiiiiiiiiii!!!!!!Asanteeeeee Babake . Mungu akubariki Babaaaa.
@quranhadith1675
@quranhadith1675 5 жыл бұрын
Jamani, ukishakufa ndo mali zinabadilika zinakuwa mtihani. Kuna umuhimu mkubwa wa kufanya sana ibada. Mungu amrehemu Msuya kwa busara yake kuacha ameandika wosia na kugawa mali. Hongera Jerry kwa kazi nzuri sana.
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 5 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa muro kwa kusimamiya hili watoto wapate khaki zao waondokana na maisha ya hofu ktk serikali ya awamu ya tano haki itapatikana
@rossejoseph9312
@rossejoseph9312 5 жыл бұрын
ahsante sana .nimefarijika sana .serikali ya magufuri hoyee:mkuu was wilaya was arumelu safiiii.hapa kazi tu.kitaeleweka tu.
@RonnieBertin
@RonnieBertin 2 ай бұрын
Big up mkuu wa wilaya habari kwisha
@bahishaalexander3641
@bahishaalexander3641 5 жыл бұрын
Mheshimiwa DC hakika ulistahili,yaani jana tu! umesikia tatizo leo hii umelishughulikia kwa asilimia Hamsini?kweli unatosha kiongozi
@jumamchina9038
@jumamchina9038 5 жыл бұрын
Hao ndio Vijana anaewataka Mh Rais wetu. Mungu amsaidie DC aumalize huo Mgogoro kwa namna nzr itakayo maliza Uhasama kwa hiyo Familia
@bahishaalexander3641
@bahishaalexander3641 5 жыл бұрын
Juma Mchina sina shaka hata kidodo yuhu mheshimiwa anaweza na hapo ndipo ninapoamini mamlaka ya Rais kuwa mara nyingi hayakosei na lake ni lefu sana.kwa stahili hii tutafika hakika
@khaithamrubea5109
@khaithamrubea5109 5 жыл бұрын
Asante nimefurahi sana
@moseelias417
@moseelias417 5 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wetu Wa mkoa kesi nyingi sana kama hizo zipo nyingi mno mungu akubariki
@berthergeorge6579
@berthergeorge6579 5 жыл бұрын
Hongera DC ur so humble hio ndio maana na tafsiri yakua kiongoz
@juliusjaliwa9887
@juliusjaliwa9887 5 жыл бұрын
Daaaaaa mungu ni mungu na atabaki kuwa mungu asante sana kuona serekali imesikia kilio cha wa toto hawa kweli ilikuwa ime niuma sana duuuuuu
@bigmachinempower4680
@bigmachinempower4680 5 жыл бұрын
big up bro thank you very much
@kiatu
@kiatu 5 жыл бұрын
Intro ya Jerry ni 🔥, hiyo confidence uzidi kuwa nayo - shida baado zipo, Mungu atazidi kufanya kazi yake ndani yako.
@hermesmsagath4738
@hermesmsagath4738 5 жыл бұрын
Great job
@gracewilsoni6632
@gracewilsoni6632 5 жыл бұрын
Baba kweli uko vizuri sana kwenye kazi mungu akubariki umetenda haki
@nazirnoor4160
@nazirnoor4160 5 жыл бұрын
Nimekukubali Muro. Hongera sana.
@suzanmgaya4323
@suzanmgaya4323 5 жыл бұрын
Asantee mungu kwakuwatee watoto wako asante mor mungu akurinde
@gasolinecheatcode8528
@gasolinecheatcode8528 5 жыл бұрын
finally...i like this goverment official. step by step.
@georgemhalla3515
@georgemhalla3515 5 жыл бұрын
Chimah The Goon @@@ Good government
@ahdahmed8383
@ahdahmed8383 5 жыл бұрын
Makufuri oyeeeeee asante mungu kutetea wawatoto
@msafiriramadhani3339
@msafiriramadhani3339 5 жыл бұрын
Ni jambo jema sana. Hongera Sana Mheshimiwa DC kwa kulitatua jambo hili kihekima.
@tumamwandu4965
@tumamwandu4965 5 жыл бұрын
Hongera xana muheshimiwa kwa maamuz hayo mungu awasimamie hao watoto
@azizauledi4108
@azizauledi4108 5 жыл бұрын
subhuhana llah mama acha tamaa million 200 bado unataka miradhi muogopni mwenyezi mungu duniani mapito tu km aliyechuma ameziacha sembuse nyie mnaoridhi
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 7 ай бұрын
Mama anatamaa sana he mshapewa na mnataka tena
@othmanali7637
@othmanali7637 5 жыл бұрын
Nadhani mama amejieleza vizuri Sana na document zipo kwaiyo muhimu ni kuaminiana Tu tujali utu na usimamizi mzuri wa urithi
@abdulahmad3818
@abdulahmad3818 5 жыл бұрын
Aisee best of best solution hongera mheshimiwa!!
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
Welldone DC
@godfreystephano304
@godfreystephano304 5 жыл бұрын
Mungu tusaidie Duniani tunapita vyote ni ubati...
@dicksonmarko7926
@dicksonmarko7926 5 жыл бұрын
Jerry muro Tangu umekuwa kiongozi leo umefanya kitu ambacho kitakishi kwenye mioyo ya hao watoto na hizo zitakuwa ni baraka za maisha yako yote. Kila la kheri mkuu Mwenyezi MUNGU akakuongoze kwa kukupatia akili na maarifa ili ukahitimishe jambo hili hiyo jumatatu.
@kingkongmadiba3174
@kingkongmadiba3174 5 жыл бұрын
Leo DC naku pongeza kwa kazi nzuri 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@munirakhalef1166
@munirakhalef1166 4 жыл бұрын
Tamaa mbay...wazee wanaaibikaaaa duuh
@jemahaonga727
@jemahaonga727 5 жыл бұрын
Asante baba kwa kuliona hilo Mungu awabariki mmalize salama
@puregamers4215
@puregamers4215 5 жыл бұрын
Nice one
@auntdorah6091
@auntdorah6091 5 жыл бұрын
Mungu atusaidie!!!
@happytz6190
@happytz6190 5 жыл бұрын
Hongera mkuu ndugu waache tamaa pia hao watoto wapate ulinzi
@olemollel5565
@olemollel5565 5 жыл бұрын
Nimeipenda sana maamuzi ya muro huuo sasa ndiyo maana ya neno kiongozi
@ostakiambilinyi6614
@ostakiambilinyi6614 7 ай бұрын
Bibi jeuli
@saidwambura2461
@saidwambura2461 5 жыл бұрын
Jamani hii familia nifamilia yenye mgogoro mkubwa,baada ya kuwawa kwa baba na kuwawa kwa shangazi.mama amejieleza vizuri na imani watapata suluhisho zuri.
@gladnessterry2465
@gladnessterry2465 2 жыл бұрын
Ee mungu sisi wazazi tunapambana watoto wetu waje waishi vizur leo hii watu wanawanyanganya we bib we bab we shangaz mjomba mungu anawaona
@rachelemmanuel6244
@rachelemmanuel6244 5 жыл бұрын
mungu akubariki mkuu wa wilaya teteeni haki za wanyonge
@damianmakala2913
@damianmakala2913 5 жыл бұрын
Kisheria hii kesi sio ngumu sana kufanyiwa maamuz bcoz marehemu aliandika mgawanyo wa mali zake zote na walishapata mgao wao ! Kilichopo ni tamaa tu hiyo ndio inayoleta shida
@frankjonas1275
@frankjonas1275 5 жыл бұрын
Yaa kisheria hiyo nikama vile maji na samaki tuu ata haina ugumu wowote kama washapata mgao wao basi ni kuwablock wasiifatilie tena mali ya woto
@veronicascottmollel7897
@veronicascottmollel7897 5 жыл бұрын
Ameen amebarikiwa mpatanishi.
@philipoelias4262
@philipoelias4262 5 жыл бұрын
KAMA WATOTO WAMESHAFIKISHA MIAKA 18 WAACHIWE WAZIENDELEZE, WEWE BIBI KAGOMBANIE MALI ZA MUME WAKO
@irenemwanaa8160
@irenemwanaa8160 5 жыл бұрын
Sawa
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 5 жыл бұрын
Hahahahahaha kweli kabisa akatafute sake na mumew
@evamlay8997
@evamlay8997 5 жыл бұрын
Kweli akaangaike na za mumewe
@isackmwaluko113
@isackmwaluko113 5 жыл бұрын
Kumsomesha mtoto ni wajibu wa mzazi hakunaga malipo..bibi ametia aibu,,sasa hao wajukuu kweli wataenda kwake..babu katulia bibi sio mtu mzuri..ameshasambaratisha ukoo wake..
@isackmwaluko113
@isackmwaluko113 5 жыл бұрын
Dada wanapataje mgao jamani;;;mnawaonea watoto na mm yao 😂😂😂😂 dunia mtaroni!!!!hao wakina dada wakifa hao watoto Wa msuya watapata mgao???
@linuslinua8504
@linuslinua8504 5 жыл бұрын
Kunywa chai na kuangaria TV jerry muro umetisha
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 5 жыл бұрын
Ooh YES! Hii ni busara, nimekukubali Jerry ktk hili. Mungu akuongeze
@jumamchina9038
@jumamchina9038 5 жыл бұрын
Aamiin
@salomekessy9003
@salomekessy9003 5 жыл бұрын
Hongera sana serikali wawaachie hao watoto jamani
@agnesrichadyrichadytomass924
@agnesrichadyrichadytomass924 5 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika safari yako unahekima sana
@zanzibaronetv988
@zanzibaronetv988 5 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya douh unaakili sanaaa umejua kusuluhisha Mungu akusaidie
@davidmihambo3051
@davidmihambo3051 5 жыл бұрын
Hii familia inaongozwa na mama nini, maana naona yeye ndio mishipa imemsimama kuongelea hill swala. Ila wajue tu pesa ,dhahabu na Mali zote tutaziacha hapa hapa dunia cha msingi watengeneze mahusiano mazuri na Mungu na waache ufisadi na dhuluma kwa hao watoto wa marehemu.
@jacklineerasto6920
@jacklineerasto6920 5 жыл бұрын
Usiongee hvyo ww kumbuka yule ni mama ake na marehemu and always she wants the best kwa wajukuu zake... Siamini kama hao wajomba na hao watoto kama ni vya kweli wanavyovizungumza...
@jamessanga5453
@jamessanga5453 5 жыл бұрын
safi sana mkuu wa wilaya,nimeipenda hii
@aminangwadi7858
@aminangwadi7858 5 жыл бұрын
Safiiiii sana haki yawatoto
@samuelseverua
@samuelseverua 5 жыл бұрын
Huyoo Mama ajue.... Mali sio zake na wala siyo za mume wake.
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 5 жыл бұрын
Asante jerry umesimama kama kiongozi hapo kwenye watoto warudi kwenye nyumba
@makwayasilas1585
@makwayasilas1585 5 жыл бұрын
Safiii Sana mro Leo nimekuelewa
@frankmboyo8115
@frankmboyo8115 5 жыл бұрын
Wamama wenye kisebusebu namna hii wanaziangamiza familia nyingi sana ndoa ni muhimu,kuandika mirathi kabla ya kifo ni muhimu na kumtanguliza mungu maana kwakwel hawa wakwe saivi ni kichomi san mpka kufunga nyumba ya marehem mungu atawaaalaani
@bakarimkolehe5627
@bakarimkolehe5627 5 жыл бұрын
Jerry upo vizri nakukubari kwa busara zako nadhani mgogoro utaumaliza kwa Amani inshaallah
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 жыл бұрын
lnshallha waishi kwa amani arafu bibi anaonekana yuko mbele kishindwa babu
@danielmboya8424
@danielmboya8424 5 жыл бұрын
mediator, big up
@kipolaina
@kipolaina 5 жыл бұрын
Big up mkuu wa wilaya na wapewe ulinzi
@saidigingiri
@saidigingiri 5 жыл бұрын
Safi sana mkuu
@linnamlay3643
@linnamlay3643 5 жыл бұрын
Hapa ni fundisho jamani ,kila mtu ajifunze.Watoto wa bilionea wanaishi maisha ya ki yatima,baba hayupo,mama magereza,ndugu wametushtaki mahakamani.duuu dunia inapwaya.Mungu awapiganie wadogo zetu
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 5 жыл бұрын
Waoooo Kumbe kwenye mambo yasiyo yakisiasa huwa unahakili hakika nimefurahishwa na maamuz uliyoyachukua hapo mgogoro haupo umeshaumaliza saf kabisa DC
@josephkiphizi1020
@josephkiphizi1020 5 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni awasimamie mlimalize watoto wa enjoy jasho na husle za baba yao!!!
@yohanabillges6131
@yohanabillges6131 5 жыл бұрын
Big up Sana Her💪
@mabaragwantaho6859
@mabaragwantaho6859 5 жыл бұрын
Safi sana Mkuu kwa ushauri mzuri
@tolutolu2970
@tolutolu2970 5 жыл бұрын
Muro kwa mala ya kwanza Nakupongeza leo
@kipolaina
@kipolaina 5 жыл бұрын
Rais J.P Magufuli. Oyee CCM oyee kwa kutululetea viongozi wema na wafutiliaji mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 Magufuli 2020 🔥🔥🔥❤️❤️✌️✌️😍🇹🇿
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 5 жыл бұрын
kweli mheshimiwa uko sawa
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 5 жыл бұрын
Duh..Mapesa yote mlopata tena hamhaxitolea jasho hamjashukuru tuuu cmngefanyia biashara dah jamaniii....akaaa..bibi linatapatapA..KHAAAAAAA
@kasimuyahaya4010
@kasimuyahaya4010 5 жыл бұрын
Safi Sana mh m200 ila Bado tu unataka waachieni hao watoto pongezi kubwa kwa DC muro ubarikiwe Sana kwa uongozi bora
@aminaissah2693
@aminaissah2693 5 жыл бұрын
Safi sana
@nadirvrs6509
@nadirvrs6509 5 жыл бұрын
Hongera mkuu wa wilaya
@jamesngaya3625
@jamesngaya3625 5 жыл бұрын
ubarikiwe mh.
@noelmadalla8660
@noelmadalla8660 5 жыл бұрын
Bravo
@rajabupetermoses7338
@rajabupetermoses7338 5 жыл бұрын
Nimependa sana mh jerry muro
@mangegervas9651
@mangegervas9651 5 жыл бұрын
Saaafiii DC
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 5 жыл бұрын
Ubarikiwe DC
@mechanicaldesignbrain
@mechanicaldesignbrain 5 жыл бұрын
Vijana wenzangu ungekatiwa hi mil200 ungefanya nini?
@angelavayinga914
@angelavayinga914 2 жыл бұрын
Duuuh aise Mungu weeee
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Matajili Wote Akikisheni Mnaingilia Hii Kesi Nanyi Watoto Wenu Wasije Kuingia Majalibuni Kwakua Msipofanya Ivo Watoto Wenu Watapata Tabu Sana Lindeni Aki Kwa Wengine Nanyi Kizazi Chenu Kitendewe Aki Pindi Mkiwa Makabulini
@kazkaz1943
@kazkaz1943 5 жыл бұрын
Awadhi Rajabu hata masikin pia tuakikishe tumeandika radio ya nan, na nani atachukua sim ya kitochi, godolo mpk mashuka tuandiken jmn kwa maskini hali ndo tete zaid watu wanauana kisa mfuko wa cement
@dorahndauka3046
@dorahndauka3046 5 жыл бұрын
Kwel kbsa nao pia wanakitu cha kujifunza na kuweka waz mapema kbsa na ikiwezekana kuita kikao cha ndgu na kukabidh mal kwa watto na ndgu wote wakiwemo na kurecord juu ili hata cku likitokea kuwe na kumbukumbu za kutosha inaumiza sana kwakwel
@zakaliaugulumu3274
@zakaliaugulumu3274 5 жыл бұрын
Umeongea maneno mazito sana yenye hekma kubwa ndugu AWADH. Mungu akulinde sana
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 5 жыл бұрын
Mali ya marehem itarudi kwa kwa marehem tu
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Hussein Nyomi ..Mali Ya Marehemu Itarudi Kwa Wajukuu Mali Kawaida Zienderezwe Sio Kama Nyerere Alianzisha Viwanda Waliotakiwa Kuviendereza Awakuviendereza Rakini Mali Ya Nyumbani Kwake Watoto Wanaziendereza Hata Nyumba Ziko Imara Ukiwa Na Mali Na Uko Na Watoto Akikisha Dada Zako Ndugu Zako Wengine Wanakaa Mbali Na Mali Zako Na Ata Ukiwa Na Mtoto Mwenye Tamaa Nae Akae Pembeni Kawaida Za Mali Zinapaswa Zidumu Na Zienderezwe Kwenye Familia Kupunguza Umasikini Unachagua Mtoto Mwenye Ufahamu Na Mahamuzi Yasio Na Shaka Unamuandika Kua Msimamizi Wa Mali Na Sio Mlisi Wa Mali Akiwa Mlisi Wa Mali Atauliwa Mapema Awe Msimamizi Ziandikwe Serikalini Kabla Ya Mzazi Kufa Jamani Wazazi Ukifikia Miaka 75 Wewe Unaenda Kufa Muda Wowote Atakama Vijana Pia Twafa Rakini Miaka Iyo Ndio Ya Kuandika Msimamizi Wa Mali Nae Haakikishe Anasimama Imara Abagui Ndugu Zake Ukiwa Mke Mumeo Ausiki Na Mali Izo Na Ukiwa Mme Mkeo Ausiki Na Mali Izo Ivo Unapochukua Mahamuzi Yatoke Kichwani Mwako Na Sio Kusindikizwa Na Mkeo Hau Mumeo Apo Utaalibu Familia Nzima Mali Za Ulisi Azimfai Mke Hau Mume Bali Familia2 Mana Dunia Ya Sasa Watu Uchukua Mahamuzi Kutoka Kwa Mke Hau Mume Ndipo Wanakofeli Watu Wengi
@alfredymalata269
@alfredymalata269 5 жыл бұрын
Jibu bado sijawai lipata kwannn kina mama wengi wa kichaga ni wajane na wenye mali nyungi
@abdulhamis2393
@abdulhamis2393 5 жыл бұрын
Hongera jer mro ntakuongezea nyota 5. Ntakupandsha cheo
@kakurukakurupacha859
@kakurukakurupacha859 5 жыл бұрын
Kwa ushauri wangu tu. Maahii abari nilikuwa naifatilia sana na iliniuma sana kwa sanababu ukweli unajionyesha kabisaaaa. Sasa kwa ushauri wangu. Namshauri raisi Jerry awe mkuu wa mkoa na mgwila awe mkuu wa wilaya.
@josephbonday8510
@josephbonday8510 5 жыл бұрын
Wise words!,
@habibadhikr9406
@habibadhikr9406 5 жыл бұрын
Sahihi kabisa mkuu
@geraldsahani5315
@geraldsahani5315 5 жыл бұрын
jerr muro sasa umekomama mkuu, saf umemaliza hilo jambo kiungwana sana. viva
@kombuchahluckyMartin
@kombuchahluckyMartin 5 жыл бұрын
Good
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 5 жыл бұрын
Hongeza DC kuanza kutatua hili tatizo. Kweli Magu ana vijana wanaojua kazi zao!
@mussaharun7257
@mussaharun7257 5 жыл бұрын
Mh Dc umefanya vema sana.
@vince-vinson2945
@vince-vinson2945 5 жыл бұрын
Dah....!!! Inapokuja mambo ya mirathi hasa mali inapohusika ndugu wanatoana roho. Jamani watoto ni watu wazima achane hizo mali ni za Baba yao. Tafuteni mali zenu. Mnatia aibu mmeoa na kuolewa. Hebu malizeni hizo tofauti zenu hii ni mirathi tu.
@munguaibarikitanzanianawat9254
@munguaibarikitanzanianawat9254 5 жыл бұрын
musihimiwa umeongea vizuri mashalalah
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 5 жыл бұрын
Naipenda serikali yetu
SHEMEJI WA BILIONEA MSUYA AZIKATAA MALI, MTOTO ALIPUKA "HAWANIPENDI HAWA"
8:45
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,8 МЛН
MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAITESA FAMILIA,SERIKALI YAINGILIA KATI
4:34
KINDIKI BEWARE! How Gachagua's Impeachment spells DOOM for Ruto
53:54
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47