Hongera sna mhe dc kwa hekima uliyo nayo, mwenyezi Mungu akubariki. Ahsante
@georgechalondunda65995 жыл бұрын
Jerry Muro amepewa kipawa na Mungu. .Ndio maana naipenda inchi ya Tanzania. ..Naona niki hamia huko. .Viongozi wanao mpenda Mungu. .Mimi natoka Kenya and I am in love with Tanzania and it's leaders. .wapi likes .Tanzania oyeeee
@rosempunga99735 жыл бұрын
Tunaishukuru serikali kwa kusikia kilio cha hao watoto.mungu akubariki sana mkuu was wilaya.
@saramsemo15365 жыл бұрын
Watoto wabilionea
@feisalsalum12585 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya hoyeeeeeeeeeeeeeeeee mungu akubariki nimefurahi sana
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Tunakushukuru msaidizi wa raisi ngazi ya wilaya, hivi ndivyo inavyotakiwa katika ngazi ya uongozi, siyo kila kitu lazima kiende ikulu wakati kuna ikulu ndogo wilayani👏🏻👏🏻👏🏻🇹🇿🇹🇿🇹🇿 DC Muro👏🏻👏🏻
@kiatu5 жыл бұрын
E K 💯 %
@swahiliwithdavid59105 жыл бұрын
Kweli kabisa. Si kila kero isikilizwe au kutatuliwa wakati Rais atakapofanya ziara maeneo husika. Hongera sana DC Muro!
@julianacostantine66825 жыл бұрын
Dah Safi Sana mheshimiwa mungu akuongoze Kwa kila hatua 🙏🙏
@augustinomwanjabike51575 жыл бұрын
sijawahi comment kwa hili machozi ya furaha yamenitoka kuona haki inapatikana BIG UP DC
@valenakomba76865 жыл бұрын
HUYO MAMA ANATAMAA SANA. MAANA ANAKIHELHELE.
@Rbmate5 жыл бұрын
Na ukiona mama ana kiherehere ivo OGOPA sana watoto wake..
@loganoipatrick77445 жыл бұрын
tena kiherehere mpk anawashwa mpumbavu sn huyu mama
@Mwinyi795 жыл бұрын
DC Jerry Muro hongera saana, inaonyesha ww ni mwanafunzi sahihi wa Awamu hii ya Rais Magufuli. Umeivaa saana
@veronicatweve47865 жыл бұрын
Daaa! Nimekupenda saaana mkuu wa wilaya Jerry Muro na Mungu akulinde 🙏
@petermollel14715 жыл бұрын
Nimekupenda sana DC Muro kwa hekima zako na busara. Endelea kusimamia haki. Kikubwa watoto sasa wamezidi miaka kumi na nane, wana uwezo fulani kisheria. Hiko liangaliwe. Naamini pia hao wazazi hawana shida na watoto wa marehemu mtoto wao Erasto. Bifu liko kati ya wazazi na mke wa marehemu (mama wa watoto wa marehemu). Ni issue ngumu sana inayohitaji neema ya Mungu ili hii familia ielewane
@charlesmpemba93875 жыл бұрын
Jerry umekuwa mwakilishi mzuri sana wa rais. Safi sana mungu akubariki
@paulkisatulusana11425 жыл бұрын
Mama hajielewi vizuri Tamaaa duuu Asante Jerry muro hapa kazi tuuu
@sharoombay89975 жыл бұрын
Jeriiiiiiiiiiiii!!!!!!Asanteeeeee Babake . Mungu akubariki Babaaaa.
@quranhadith16755 жыл бұрын
Jamani, ukishakufa ndo mali zinabadilika zinakuwa mtihani. Kuna umuhimu mkubwa wa kufanya sana ibada. Mungu amrehemu Msuya kwa busara yake kuacha ameandika wosia na kugawa mali. Hongera Jerry kwa kazi nzuri sana.
@fatumahassan82125 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa muro kwa kusimamiya hili watoto wapate khaki zao waondokana na maisha ya hofu ktk serikali ya awamu ya tano haki itapatikana
@rossejoseph93125 жыл бұрын
ahsante sana .nimefarijika sana .serikali ya magufuri hoyee:mkuu was wilaya was arumelu safiiii.hapa kazi tu.kitaeleweka tu.
@RonnieBertin2 ай бұрын
Big up mkuu wa wilaya habari kwisha
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
Mheshimiwa DC hakika ulistahili,yaani jana tu! umesikia tatizo leo hii umelishughulikia kwa asilimia Hamsini?kweli unatosha kiongozi
@jumamchina90385 жыл бұрын
Hao ndio Vijana anaewataka Mh Rais wetu. Mungu amsaidie DC aumalize huo Mgogoro kwa namna nzr itakayo maliza Uhasama kwa hiyo Familia
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
Juma Mchina sina shaka hata kidodo yuhu mheshimiwa anaweza na hapo ndipo ninapoamini mamlaka ya Rais kuwa mara nyingi hayakosei na lake ni lefu sana.kwa stahili hii tutafika hakika
@khaithamrubea51095 жыл бұрын
Asante nimefurahi sana
@moseelias4175 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wetu Wa mkoa kesi nyingi sana kama hizo zipo nyingi mno mungu akubariki
@berthergeorge65795 жыл бұрын
Hongera DC ur so humble hio ndio maana na tafsiri yakua kiongoz
@juliusjaliwa98875 жыл бұрын
Daaaaaa mungu ni mungu na atabaki kuwa mungu asante sana kuona serekali imesikia kilio cha wa toto hawa kweli ilikuwa ime niuma sana duuuuuu
@bigmachinempower46805 жыл бұрын
big up bro thank you very much
@kiatu5 жыл бұрын
Intro ya Jerry ni 🔥, hiyo confidence uzidi kuwa nayo - shida baado zipo, Mungu atazidi kufanya kazi yake ndani yako.
@hermesmsagath47385 жыл бұрын
Great job
@gracewilsoni66325 жыл бұрын
Baba kweli uko vizuri sana kwenye kazi mungu akubariki umetenda haki
@nazirnoor41605 жыл бұрын
Nimekukubali Muro. Hongera sana.
@suzanmgaya43235 жыл бұрын
Asantee mungu kwakuwatee watoto wako asante mor mungu akurinde
@gasolinecheatcode85285 жыл бұрын
finally...i like this goverment official. step by step.
@georgemhalla35155 жыл бұрын
Chimah The Goon @@@ Good government
@ahdahmed83835 жыл бұрын
Makufuri oyeeeeee asante mungu kutetea wawatoto
@msafiriramadhani33395 жыл бұрын
Ni jambo jema sana. Hongera Sana Mheshimiwa DC kwa kulitatua jambo hili kihekima.
@tumamwandu49655 жыл бұрын
Hongera xana muheshimiwa kwa maamuz hayo mungu awasimamie hao watoto
@azizauledi41085 жыл бұрын
subhuhana llah mama acha tamaa million 200 bado unataka miradhi muogopni mwenyezi mungu duniani mapito tu km aliyechuma ameziacha sembuse nyie mnaoridhi
@habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын
Mama anatamaa sana he mshapewa na mnataka tena
@othmanali76375 жыл бұрын
Nadhani mama amejieleza vizuri Sana na document zipo kwaiyo muhimu ni kuaminiana Tu tujali utu na usimamizi mzuri wa urithi
@abdulahmad38185 жыл бұрын
Aisee best of best solution hongera mheshimiwa!!
@saidahj25435 жыл бұрын
Welldone DC
@godfreystephano3045 жыл бұрын
Mungu tusaidie Duniani tunapita vyote ni ubati...
@dicksonmarko79265 жыл бұрын
Jerry muro Tangu umekuwa kiongozi leo umefanya kitu ambacho kitakishi kwenye mioyo ya hao watoto na hizo zitakuwa ni baraka za maisha yako yote. Kila la kheri mkuu Mwenyezi MUNGU akakuongoze kwa kukupatia akili na maarifa ili ukahitimishe jambo hili hiyo jumatatu.
@kingkongmadiba31745 жыл бұрын
Leo DC naku pongeza kwa kazi nzuri 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@munirakhalef11664 жыл бұрын
Tamaa mbay...wazee wanaaibikaaaa duuh
@jemahaonga7275 жыл бұрын
Asante baba kwa kuliona hilo Mungu awabariki mmalize salama
@puregamers42155 жыл бұрын
Nice one
@auntdorah60915 жыл бұрын
Mungu atusaidie!!!
@happytz61905 жыл бұрын
Hongera mkuu ndugu waache tamaa pia hao watoto wapate ulinzi
@olemollel55655 жыл бұрын
Nimeipenda sana maamuzi ya muro huuo sasa ndiyo maana ya neno kiongozi
@ostakiambilinyi66147 ай бұрын
Bibi jeuli
@saidwambura24615 жыл бұрын
Jamani hii familia nifamilia yenye mgogoro mkubwa,baada ya kuwawa kwa baba na kuwawa kwa shangazi.mama amejieleza vizuri na imani watapata suluhisho zuri.
@gladnessterry24652 жыл бұрын
Ee mungu sisi wazazi tunapambana watoto wetu waje waishi vizur leo hii watu wanawanyanganya we bib we bab we shangaz mjomba mungu anawaona
@rachelemmanuel62445 жыл бұрын
mungu akubariki mkuu wa wilaya teteeni haki za wanyonge
@damianmakala29135 жыл бұрын
Kisheria hii kesi sio ngumu sana kufanyiwa maamuz bcoz marehemu aliandika mgawanyo wa mali zake zote na walishapata mgao wao ! Kilichopo ni tamaa tu hiyo ndio inayoleta shida
@frankjonas12755 жыл бұрын
Yaa kisheria hiyo nikama vile maji na samaki tuu ata haina ugumu wowote kama washapata mgao wao basi ni kuwablock wasiifatilie tena mali ya woto
@veronicascottmollel78975 жыл бұрын
Ameen amebarikiwa mpatanishi.
@philipoelias42625 жыл бұрын
KAMA WATOTO WAMESHAFIKISHA MIAKA 18 WAACHIWE WAZIENDELEZE, WEWE BIBI KAGOMBANIE MALI ZA MUME WAKO
@irenemwanaa81605 жыл бұрын
Sawa
@barakamwakapoma27025 жыл бұрын
Hahahahahaha kweli kabisa akatafute sake na mumew
@evamlay89975 жыл бұрын
Kweli akaangaike na za mumewe
@isackmwaluko1135 жыл бұрын
Kumsomesha mtoto ni wajibu wa mzazi hakunaga malipo..bibi ametia aibu,,sasa hao wajukuu kweli wataenda kwake..babu katulia bibi sio mtu mzuri..ameshasambaratisha ukoo wake..
@isackmwaluko1135 жыл бұрын
Dada wanapataje mgao jamani;;;mnawaonea watoto na mm yao 😂😂😂😂 dunia mtaroni!!!!hao wakina dada wakifa hao watoto Wa msuya watapata mgao???
@linuslinua85045 жыл бұрын
Kunywa chai na kuangaria TV jerry muro umetisha
@wilsonkaseha20345 жыл бұрын
Ooh YES! Hii ni busara, nimekukubali Jerry ktk hili. Mungu akuongeze
@jumamchina90385 жыл бұрын
Aamiin
@salomekessy90035 жыл бұрын
Hongera sana serikali wawaachie hao watoto jamani
@agnesrichadyrichadytomass9245 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika safari yako unahekima sana
@zanzibaronetv9885 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya douh unaakili sanaaa umejua kusuluhisha Mungu akusaidie
@davidmihambo30515 жыл бұрын
Hii familia inaongozwa na mama nini, maana naona yeye ndio mishipa imemsimama kuongelea hill swala. Ila wajue tu pesa ,dhahabu na Mali zote tutaziacha hapa hapa dunia cha msingi watengeneze mahusiano mazuri na Mungu na waache ufisadi na dhuluma kwa hao watoto wa marehemu.
@jacklineerasto69205 жыл бұрын
Usiongee hvyo ww kumbuka yule ni mama ake na marehemu and always she wants the best kwa wajukuu zake... Siamini kama hao wajomba na hao watoto kama ni vya kweli wanavyovizungumza...
@jamessanga54535 жыл бұрын
safi sana mkuu wa wilaya,nimeipenda hii
@aminangwadi78585 жыл бұрын
Safiiiii sana haki yawatoto
@samuelseverua5 жыл бұрын
Huyoo Mama ajue.... Mali sio zake na wala siyo za mume wake.
@shamimushittindi14185 жыл бұрын
Asante jerry umesimama kama kiongozi hapo kwenye watoto warudi kwenye nyumba
@makwayasilas15855 жыл бұрын
Safiii Sana mro Leo nimekuelewa
@frankmboyo81155 жыл бұрын
Wamama wenye kisebusebu namna hii wanaziangamiza familia nyingi sana ndoa ni muhimu,kuandika mirathi kabla ya kifo ni muhimu na kumtanguliza mungu maana kwakwel hawa wakwe saivi ni kichomi san mpka kufunga nyumba ya marehem mungu atawaaalaani
@bakarimkolehe56275 жыл бұрын
Jerry upo vizri nakukubari kwa busara zako nadhani mgogoro utaumaliza kwa Amani inshaallah
Hapa ni fundisho jamani ,kila mtu ajifunze.Watoto wa bilionea wanaishi maisha ya ki yatima,baba hayupo,mama magereza,ndugu wametushtaki mahakamani.duuu dunia inapwaya.Mungu awapiganie wadogo zetu
@philipowyinjones96455 жыл бұрын
Waoooo Kumbe kwenye mambo yasiyo yakisiasa huwa unahakili hakika nimefurahishwa na maamuz uliyoyachukua hapo mgogoro haupo umeshaumaliza saf kabisa DC
@josephkiphizi10205 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni awasimamie mlimalize watoto wa enjoy jasho na husle za baba yao!!!
@yohanabillges61315 жыл бұрын
Big up Sana Her💪
@mabaragwantaho68595 жыл бұрын
Safi sana Mkuu kwa ushauri mzuri
@tolutolu29705 жыл бұрын
Muro kwa mala ya kwanza Nakupongeza leo
@kipolaina5 жыл бұрын
Rais J.P Magufuli. Oyee CCM oyee kwa kutululetea viongozi wema na wafutiliaji mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 Magufuli 2020 🔥🔥🔥❤️❤️✌️✌️😍🇹🇿
@ladsonmshana99205 жыл бұрын
kweli mheshimiwa uko sawa
@thamiyuucute70985 жыл бұрын
Duh..Mapesa yote mlopata tena hamhaxitolea jasho hamjashukuru tuuu cmngefanyia biashara dah jamaniii....akaaa..bibi linatapatapA..KHAAAAAAA
@kasimuyahaya40105 жыл бұрын
Safi Sana mh m200 ila Bado tu unataka waachieni hao watoto pongezi kubwa kwa DC muro ubarikiwe Sana kwa uongozi bora
@aminaissah26935 жыл бұрын
Safi sana
@nadirvrs65095 жыл бұрын
Hongera mkuu wa wilaya
@jamesngaya36255 жыл бұрын
ubarikiwe mh.
@noelmadalla86605 жыл бұрын
Bravo
@rajabupetermoses73385 жыл бұрын
Nimependa sana mh jerry muro
@mangegervas96515 жыл бұрын
Saaafiii DC
@janethpallangyo26335 жыл бұрын
Ubarikiwe DC
@mechanicaldesignbrain5 жыл бұрын
Vijana wenzangu ungekatiwa hi mil200 ungefanya nini?
@angelavayinga9142 жыл бұрын
Duuuh aise Mungu weeee
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Matajili Wote Akikisheni Mnaingilia Hii Kesi Nanyi Watoto Wenu Wasije Kuingia Majalibuni Kwakua Msipofanya Ivo Watoto Wenu Watapata Tabu Sana Lindeni Aki Kwa Wengine Nanyi Kizazi Chenu Kitendewe Aki Pindi Mkiwa Makabulini
@kazkaz19435 жыл бұрын
Awadhi Rajabu hata masikin pia tuakikishe tumeandika radio ya nan, na nani atachukua sim ya kitochi, godolo mpk mashuka tuandiken jmn kwa maskini hali ndo tete zaid watu wanauana kisa mfuko wa cement
@dorahndauka30465 жыл бұрын
Kwel kbsa nao pia wanakitu cha kujifunza na kuweka waz mapema kbsa na ikiwezekana kuita kikao cha ndgu na kukabidh mal kwa watto na ndgu wote wakiwemo na kurecord juu ili hata cku likitokea kuwe na kumbukumbu za kutosha inaumiza sana kwakwel
@zakaliaugulumu32745 жыл бұрын
Umeongea maneno mazito sana yenye hekma kubwa ndugu AWADH. Mungu akulinde sana
@husseinnyomi61205 жыл бұрын
Mali ya marehem itarudi kwa kwa marehem tu
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Hussein Nyomi ..Mali Ya Marehemu Itarudi Kwa Wajukuu Mali Kawaida Zienderezwe Sio Kama Nyerere Alianzisha Viwanda Waliotakiwa Kuviendereza Awakuviendereza Rakini Mali Ya Nyumbani Kwake Watoto Wanaziendereza Hata Nyumba Ziko Imara Ukiwa Na Mali Na Uko Na Watoto Akikisha Dada Zako Ndugu Zako Wengine Wanakaa Mbali Na Mali Zako Na Ata Ukiwa Na Mtoto Mwenye Tamaa Nae Akae Pembeni Kawaida Za Mali Zinapaswa Zidumu Na Zienderezwe Kwenye Familia Kupunguza Umasikini Unachagua Mtoto Mwenye Ufahamu Na Mahamuzi Yasio Na Shaka Unamuandika Kua Msimamizi Wa Mali Na Sio Mlisi Wa Mali Akiwa Mlisi Wa Mali Atauliwa Mapema Awe Msimamizi Ziandikwe Serikalini Kabla Ya Mzazi Kufa Jamani Wazazi Ukifikia Miaka 75 Wewe Unaenda Kufa Muda Wowote Atakama Vijana Pia Twafa Rakini Miaka Iyo Ndio Ya Kuandika Msimamizi Wa Mali Nae Haakikishe Anasimama Imara Abagui Ndugu Zake Ukiwa Mke Mumeo Ausiki Na Mali Izo Na Ukiwa Mme Mkeo Ausiki Na Mali Izo Ivo Unapochukua Mahamuzi Yatoke Kichwani Mwako Na Sio Kusindikizwa Na Mkeo Hau Mumeo Apo Utaalibu Familia Nzima Mali Za Ulisi Azimfai Mke Hau Mume Bali Familia2 Mana Dunia Ya Sasa Watu Uchukua Mahamuzi Kutoka Kwa Mke Hau Mume Ndipo Wanakofeli Watu Wengi
@alfredymalata2695 жыл бұрын
Jibu bado sijawai lipata kwannn kina mama wengi wa kichaga ni wajane na wenye mali nyungi
@abdulhamis23935 жыл бұрын
Hongera jer mro ntakuongezea nyota 5. Ntakupandsha cheo
@kakurukakurupacha8595 жыл бұрын
Kwa ushauri wangu tu. Maahii abari nilikuwa naifatilia sana na iliniuma sana kwa sanababu ukweli unajionyesha kabisaaaa. Sasa kwa ushauri wangu. Namshauri raisi Jerry awe mkuu wa mkoa na mgwila awe mkuu wa wilaya.
@josephbonday85105 жыл бұрын
Wise words!,
@habibadhikr94065 жыл бұрын
Sahihi kabisa mkuu
@geraldsahani53155 жыл бұрын
jerr muro sasa umekomama mkuu, saf umemaliza hilo jambo kiungwana sana. viva
@kombuchahluckyMartin5 жыл бұрын
Good
@saidnoumani72445 жыл бұрын
Hongeza DC kuanza kutatua hili tatizo. Kweli Magu ana vijana wanaojua kazi zao!
@mussaharun72575 жыл бұрын
Mh Dc umefanya vema sana.
@vince-vinson29455 жыл бұрын
Dah....!!! Inapokuja mambo ya mirathi hasa mali inapohusika ndugu wanatoana roho. Jamani watoto ni watu wazima achane hizo mali ni za Baba yao. Tafuteni mali zenu. Mnatia aibu mmeoa na kuolewa. Hebu malizeni hizo tofauti zenu hii ni mirathi tu.