Hongera mkuu wa wilaya ww ni mpatanishi lazima ufalme wa Mungu uipate hauna upendeleo
@nyamugushatshiye69225 жыл бұрын
Heshima zako mukuzo wa wilaya, buzara yako haijatoka kwa wanadamu Bali hekima, maharifa na busara umepewa na Mungu naomba akuzidishie Mara dufu!! Ubarikiwe
@gregorychogelo20135 жыл бұрын
Mh. Jerry Muro smeonesha hekima ya hali ya juu sana. Safi sana.
@nancymwangi31295 жыл бұрын
Mungu abariki huyu DC, amejaa hekima ya Mungu
@tulizachatal70534 жыл бұрын
Poleni sana mtoto Mungu yuko atakushindia
@lucymacha18535 жыл бұрын
Mjomba anapont Sana simama imara mjomba
@furahamwatwinza95605 жыл бұрын
Sasa kwa mara ya kwanza tangu nimfahamu jerry muro,leo ndo namupna bonge ya wise man!Mungu kweli humbadilisha mtu!Jerry Murro. Salute!heri wapatanishi,maana hao wataitwa wana wa Mungu!
@alisharia68315 жыл бұрын
Jerry murro I give u big up for deal this crises
@رمضانالكيني5 жыл бұрын
Msondo ngoma band, waliimba kwenye msiba wa masikini mambo uwa shwari, lakini kwa mwenye mali ni matatizo
@mrprotocolremmy58305 жыл бұрын
Kweli
@nemesitarimo64815 жыл бұрын
Poleni wasuya.antuja pole sana.
@davycm97505 жыл бұрын
Hehehehe
@khadijasanga22965 жыл бұрын
Bora mama angu aliondoka na nguo za mwilini tuu, leo wako wapi ? Ndugu wa baba staki hata kuwaona , wajomba ndo ndugu zangu.
@pendokileo78825 жыл бұрын
Mjomba nimekupenda simama imaraaaa
@dunstangeorge32635 жыл бұрын
Uncle has more confidence with a lots of points, izo evidence usipimee 👏👏👏👏
@munaahmed84994 жыл бұрын
Mjomba yupo sahihi kuwasimamia wajomba maan ameon watakosacurithi kwa vile mashangaz wote hawawataki
@aggreydominickmagombana93885 жыл бұрын
Uhoro mbaya sana mnagombea Mali za watoto na mke wa ndoa akiwa hai daaah dunia hii aibu gani hiyo
@sajidabakari98095 жыл бұрын
Na wamemsweka ndani
@faithli34265 жыл бұрын
Sisi kwetu tuna amani kwasababu Baba yangu alikuwa maskini Kwahiyo tunaishi kwa amani sasa hivi kinyumba alichotuacha nacho ndo hikohiko sioni hata mtu akija kumsalimia mama yangu tena 😆😆😆😆😆tungekuwa na Mali sasa kama naona case zinavyofululiza vile🙏🏾Mungu tunakushukuru kwa maisha ya Baba yetu na nafasi uliyotupa kuwa naye hapa duniani 🙏🏾
@faridamoshi68315 жыл бұрын
Asiskupenda we hawez kumpenda mama ako
@WilykistaMasas3 ай бұрын
Uko sawa mtt wangu una hakili sn awawezi kukupenda ww wamchukie mama anko waongo hao
@waltermbelwa49735 жыл бұрын
PROBLEM KUBWA HAPO NI BABA YAKE MAREHEMU ERASTO.Anazidiwa kauli na mke wake na mabinti wake.Anaburuzwa.Hana sauti.Yupo yupo tuu hapo.
@OmanOman-gp7xm4 жыл бұрын
Nalay ushauri wangu kwa hiyo familia mukumbuke mali niyamareemu sasa mukigombea ivyo marehemu wenu hapokelewi kule Anakoelea yani kwamungu kwaiyo chaguweni moja mugombee mali marehemu wenu Awenjiapanda ama mrike ili mumuombee dua Aongozwe njia ilinyooka? Nyie wazee waongozeni watoto wenu mungu Anavyotaka munakwenda kanisani kufanyanya nini Au mungu kafanya makosa kumchukua uyo nduguyenu? Nyinyi ndio mutazikwanazo? Mbona aliyezitafuta Ameziacha jielizeni namuwe namioyo yenye subra muombeeni napengine munaenda kinyume namatakwa yamarehemu mukae namumuombe apo mulipokosea ili mambo yaishe mukiamini kwapamoja yote yatakuwa sawa mrudieni mungu musije mukakufuru
@CatherineMvanga-oz8bd7 ай бұрын
Nimejifunza kitu apa Ila Mungu ni Mungu wa Jane na yatima
@sospetermathias42535 жыл бұрын
Dar hii familia inapitia magumu Sana mungu awatie wepesi muyamamalize kwaupendo
@mirajiibrahim515 жыл бұрын
Ata iweje hauwezi kupatikana upendo apo hao mpaka apo walipofika tayari ni maadui wa kutoana rohoo kabisa trust me watajichekesha apo lkn wakitoka apo kila mtu atashika njia yake kumkomesha mwezake mungu awasimamie
@ibrahimchediel48675 жыл бұрын
waokoke yesu anahitajika hapo mama kashakiri kuua kuna nini hapo tena
@WilykistaMasas3 ай бұрын
Khadija upo sawa mm watt wangu leo mwaka wanane nalea mwenyewe
@rodasanga13125 жыл бұрын
mama nakuomba mama yangu angalia wajukuu zako msamehe mwali wako hata kama aliuwa mungu atamuhukumu nakuomba mama yangu
@stanleyrububura40005 жыл бұрын
Hii issue ukiiangalia haraka haraka unaweza dhani babu na bibi wanagombea mali kumbe ni zaidi ya mali, as long as bado wanaona na wanaamini mkwe wao anahusika ktk mauaji ya watoto wao huu mtihani utakuwa mgumu kuuvuka. Kama watafika siku waamue kwa dhati ya mioyo yao kusamehe na kuachilia hapo ndipo amani ya kweli itakapopatikana.
@leinaamos95595 жыл бұрын
daaa inaniuma mama kuuliwa watoto wawili daa mama pole San ten sana
@maximobonga96175 жыл бұрын
wazee tamaa mbaya
@ashapearubart26245 жыл бұрын
Haswa.nashangaa macho yamewatoka.
@marsgenesis72005 жыл бұрын
Ila huyu jamaa muro nilikua simpendi ila leo nimemuona in another light kajamaa kako vizuri yaani amesimama katikati bila chembe ya upendeleo. Big up muro
@ismailmashimba34705 жыл бұрын
Hao mashangazi na bibiako ndo wachawi wenyewe
@mamiyfeiy5 жыл бұрын
Hao ndio wauwaji
@nuurinkluge75845 жыл бұрын
Tanzanian goverment please help this Children,,😥🙏🙏kwamali zao jama .maliyote kwawatoto,it's pain..hizi bibi babu zataka nini?
@aggreydominickmagombana93885 жыл бұрын
Huyo mama mwenye PHD anaonyesha ana roho mbaya sana alafu anajifanya ana mamlaka acheni Mali za watoto chumeni zenu
@aloycemacha98945 жыл бұрын
familia za watu ni shida hapo sio mali kuna zaidi ya hapo
@allymohamedi9915 жыл бұрын
mi naona kifo cha msuya kichunguzwe upya hhuenda ndugu ndio wahusika
@tiffersaloum73005 жыл бұрын
Mjomba shukran sana
@lolx41604 жыл бұрын
They guy have good point 👍❤
@jenyyusuph49735 жыл бұрын
Inauma saana kijana huyu wa marehemu anauchungu mzito ikizingatia umri. Wake mdogo 😭😭😭😭 wanacheka cheka kama watu wasio na hekima sijui kipi kimewafirahisha
@karolinamasawe89782 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kama wachochezi
@benbenedict27205 жыл бұрын
Kucheua wengine wanatapika kabisa, pole Jerry
@prophetessmarylight4345 жыл бұрын
Mimi nakupenda hao wengine wote wezi......... Lakini kwanini msitafute vyenu mnangania Mali za watoto . Tena mashangazi amfai kabisa kwa hili bado kidogo muitwe wachawi
@amannkondo52325 жыл бұрын
Big point n kwa mjomba
@wardawarda34275 жыл бұрын
Lakini maskini uyu baba ake na Msuya inaonyesha yeye anaroho nzuri analazimishwa tu kufanya dhulma na huyo mkewe bibi Roho mbaya
@PhinaGeorge-o5m7 ай бұрын
😂😂😂😂😂bibi roho mbaya
@shedrackhm22045 жыл бұрын
Gubibi gumependeza gumejaa magold lakini bado haliridhiki...
@habibadhikr94065 жыл бұрын
Toka lini pesa ikamtosha mtu
@doramsuya52944 жыл бұрын
Jamani mbona hamuwaweki ndani wezi hao mali za watt jaman
@PhinaGeorge-o5m7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@doraliana62535 жыл бұрын
Mmetia aibu sana wapare
@leokamil62847 ай бұрын
Hii picha ukitizama inafikirisha unaweza kusema hawa wamemsingizia Wifi yao kwa snema hii
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Pole kijana umekosa Baba na Mama...Mama yako hawezi kupendwa muuwaji mkubwa! eti wampende Mamaako???
@jenifamuia22865 жыл бұрын
Mzee ameongea vyema,tunaenda kanisani kufanya nini?kunyanganya watoto mali hio ni kujitafutia laana🇰🇪
@masasimgengeli57105 жыл бұрын
Jenifa Muia
@noeldifson97135 жыл бұрын
Shida ya ndugu si mali hao ni matajiri wote hizo mali za msuya 80% ni mali ya familia yao huo mgodi alipewa na baba yake maana kwao ndio wa kiume peke yake shida ya hao ndugu wanauchungu kwenye mioyo yao maana ndugu zao wawili wameuliwa kisa hizo mali na mke wa huyo msuya ndie alituma watu wamuue mdogo wa msuya hao ndugu wanauchungu kupoteza ndugu wawili kwa wakati mmoja tena kwa mauaji ya kinyama sio ishu ndogo alafu mali zinazosababisha ni zao kama familia fatilia kesi vizuri sio rais kama unavyofikiri
@SaraJinalangu3 ай бұрын
@@noeldifson9713 kwani mwenyewe Erasto c Ameandika mirathi kwa nini asiurudishe kwa baba ake huo mgodi, baba ake mwenyewe alimpa mwanae basi ni Mali ya watoto wa 3rasto
@kessynurutajiri49405 жыл бұрын
DC Jerry Muro uko vizuri. Mali za Marehemu Erasto Warithi ni Mke wa Erasto na Watoto wake. Baba na Mama na Marehemu walishapata mamilioni yao na akina Dada wa Msuya wameshavuta 73 milioni kila Dada. Mali zilizobaki ni za Watoto wa Bilionea Erasto Msuya. Full stop.
@laurentjozee87775 жыл бұрын
Kama unamuona mroho wa mali anagongea maji like kwake.
@hemedhamis16525 жыл бұрын
Hahahaaa nkajua nmeona peke yang
@msafirikalinga69385 жыл бұрын
Cjawahi ona mijitu kama hiyo tangu nazaliwa, uroho gani huo!! daah!
@neemafungo7535 жыл бұрын
Mnyonge mnyongen haki yake mpeni Mungu wetu hapend dhuruma
@edwinernest20125 жыл бұрын
Mheshimiwa tenda haki kisheria mali ni za watoto na mama yao! Waambie ukweli hao ndugu wa marehem! Kama unatenda haki wote waliogawana mali ilhali watoto na mama yao wako hai ni makosa kwa Mujibu wa sheria! Hata kwa Mungu ni dhambi!
@nyabahailani31695 жыл бұрын
Mzee umeongea vizuri sana
@prisslakabyemela48915 жыл бұрын
Uyu shangazi ndoadui mkubwa wafamilia achunguzwe
@glorymushi73975 жыл бұрын
hawezi kukupenda wewe angalia hampend mama yako kinachonekana apo babu hana sauti bibi na mashangazi wamemmeza alafu hawo shangazi wanacheka unafiki MTU ila wajuwe uma unawacheka ni aibu tupu
@shufaaattass19205 жыл бұрын
Shangazi hao madui wakubwa mumgu awauwe moja baada ya mwengine wakishika mali za hao watoto mungu onyesha nguvu zako
@justinejoasi73905 жыл бұрын
Mwenyekiti anatumia busara sana
@estermsuya88185 жыл бұрын
Nashauri maisha muliyoishi erasho akiwwpo yawe rejeo wakati munaendelea kuongea. Mungu awasimamie
@lameckbalekere19625 жыл бұрын
Huyo mama wawatoto ameua watu wawiri mungu atawalani
@christopherkiwanga42575 жыл бұрын
Mashangaz mnatia aibu Mali za kk yenu mnataka kuwapelekea waume zenu?? Wakat watoto wa kk ynu wapo??? Aibu
@noeldifson97135 жыл бұрын
Shida ya ndugu si mali hao ni matajiri wote hizo mali za msuya 80% ni mali ya familia yao huo mgodi alipewa na baba yake maana kwao ndio wa kiume peke yake hiyo shangazi ni Mtu mzito yeye ndio alimsaidia mdogo wake huyo bilionea msuya hadi akafikia ubilionea shida ya hao ndugu wanauchungu kwenye mioyo yao maana ndugu zao wawili wameuliwa kisa hizo mali na mke wa huyo msuya ndie alituma watu wamuue mdogo wa msuya hao ndugu wanauchungu kupoteza ndugu wawili kwa wakati mmoja tena kwa mauaji ya kinyama sio ishu ndogo alafu mali zinazosababisha ni zao kama familia fatilia kesi vizuri sio rais kama unavyofikiri
@delsbeatstz47324 жыл бұрын
Msondo waliimba "Tunatoana roho yarabii ii kwa mali alizoachaa baabaa"
@eetlady5 жыл бұрын
When death comes that’s when you know who is for you and not for you. Kifo ya vurungisha amani. It’s sad kwa umri huu wake wakati anahitaji uelekezi haya yatokea. I pray mkarejea wakati uhusiano ulikuwa mchanga na alifurahi kuwatembelea bibi na Wajomba walifurahi kuwaona. It was pure love and had nothing to do na Mali. lakini kitumbuwa kimeingia mchangaa, when the ones who should love and protect hurts you, it hurts. Kijana anamachungu kwa ajili ya kilochotokea, But God heals all relationships. Time will heal your broken heart, if God is for your family no one will stand against God’s will.
@mangalilikilawe67885 жыл бұрын
Upande wa wajomba tatizo ni mke wa marehemu alie fungwa na Upande wa marehemu ni mtoto wao kauwawa sasa ili kukomoana wanataka wa taka wa miliki mali sasa upande wa wajomba wanamtumia mtoto , sasa mtoto yupo kati yani haelewi uchungu upo kwa baba marehemu au mama aliefungwa
@faridamoshi68315 жыл бұрын
Mwenye mal kaziacha ndg vswaswadu wasiojielewa mkumbuke na ninyi mtakufaaaaaaa
@annalyimo84625 жыл бұрын
Jerry uko juu .MUNGU wa Mbinguni alibariki sana
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Jerry Muro Pole
@simonkagonji23315 жыл бұрын
DC Mungu akubariki
@husnabiltonsanga14025 жыл бұрын
Mzee umeongea Kweli kabisa, Mali nizawatoto mnatia Haibu upande wa marehemu. Dogo simama Mungu atakusaidi
@joycemerinyo71335 жыл бұрын
jamn mali hiz....ukiwanazo shida ukikosa shida jmn....
@aminaissah26935 жыл бұрын
Udugu ni kwa mama kwakweli, Mali ya watt, mijitu wanaitolea mimacho
@nshomamayungu23265 жыл бұрын
Wenda walimua msuya ili waje wachukue Mali na kutesa watoto wake.ila hizo Mali hazitawaacha salama.
@noeldifson97135 жыл бұрын
Shida ya ndugu si mali hao ni matajiri wote hizo mali za msuya 80% ni mali ya familia yao huo mgodi alipewa na baba yake maana kwao ndio wa kiume peke yake hiyo shangazi ni Mtu mzito yeye ndio alimsaidia mdogo wake huyo bilionea msuya hadi akafikia ubilionea shida ya hao ndugu wanauchungu kwenye mioyo yao maana ndugu zao wawili wameuliwa kisa hizo mali na mke wa huyo msuya ndie alituma watu wamuue mdogo wa msuya hao ndugu wanauchungu kupoteza ndugu wawili kwa wakati mmoja tena kwa mauaji ya kinyama sio ishu ndogo alafu mali zinazosababisha ni zao kama familia fatilia kesi vizuri sio rais kama unavyofikiri yena hao wajomba hapo wanaonekana wema lakin sio maana inasemekana hao wanawashawishi vibaya sana hao watoto
@MaryMary-iw3jh5 жыл бұрын
Ondokeni uko wezi wakubwa acheni mali za watoto tafuteni zenu wezi wakubwa
@noeldifson97135 жыл бұрын
Shida ya ndugu si mali hao ni matajiri wote hizo mali za msuya 80% ni mali ya familia yao huo mgodi alipewa na baba yake maana kwao ndio wa kiume peke yake shida ya hao ndugu wanauchungu kwenye mioyo yao maana ndugu zao wawili wameuliwa kisa hizo mali na mke wa huyo msuya ndie alituma watu wamuue mdogo wa msuya hao ndugu wanauchungu kupoteza ndugu wawili kwa wakati mmoja tena kwa mauaji ya kinyama sio ishu ndogo alafu mali zinazosababisha ni zao kama familia fatilia kesi vizuri sio rais kama unavyofikiri
@nice56715 жыл бұрын
Wapare munatia aibu Sana kugombea mari za marehemu wakati watoto wapo
@johnlaoz14165 жыл бұрын
Siyo wapare hawa ni wachaga bro hata lafudhi huioni
@nice56715 жыл бұрын
Hata kama wachaga waache roho mbaya wawe na utu kwa watoto wa marehemu ama kwel unatafuta mali kwa shida mwisho wa siku wanagombea jmn
@leonardjohnson20585 жыл бұрын
john laoz msuya kumbe niwachaga alf hyo ni Arusha lafudh km hujui uliza
@jasminpino38545 жыл бұрын
Nice التوبي wachaga wapare uongeaji ule ule
@jasminpino38545 жыл бұрын
Leonard Johnson wachaga wapare rafudhi yao moja tu
@moureenngowi87125 жыл бұрын
Kweli ndugu wa baba hawanaga utu kabisa hawa ndugu wa baba ni wezi kabisa alafu mtu mzima anampeleka mtoto polisi kisa uroho wa mali. Hapo wabaya ni ndugu wa baba kwa kweli mjomba na babu wako so on point
@rossejoseph93125 жыл бұрын
mjomba simama mpaka mwisho hao watoto wapate haki yao.hao ni wezi tu
@najmarushda43905 жыл бұрын
Jaman huyu mzeee mmoja anabusara sana anasema kuwa aliye zichuma hayupo Mali ni za watt
@niasanga23735 жыл бұрын
Mali za watoto lkn wengine kama zao duuh mda mwengine bora ufe maskini tu
@noeldifson97135 жыл бұрын
Shida ya ndugu si mali hao ni matajiri wote hizo mali za msuya 80% ni mali ya familia yao huo mgodi alipewa na baba yake maana kwao ndio wa kiume peke yake shida ya hao ndugu wanauchungu kwenye mioyo yao maana ndugu zao wawili wameuliwa kisa hizo mali na mke wa huyo msuya ndie alituma watu wamuue mdogo wa msuya hao ndugu wanauchungu kupoteza ndugu wawili kwa wakati mmoja tena kwa mauaji ya kinyama sio ishu ndogo alafu mali zinazosababisha ni zao kama familia fatilia kesi vizuri sio rais kama unavyofikiri
@lucymacha18535 жыл бұрын
Mashangazi aibu eti wasomi wasomi gani hao mafisadi
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Nyie watoto msikubalii hao mashangazi wachukue mali zenu.uzeni zote muende mkaishi nje ya nchi
@alexchungu95055 жыл бұрын
saitoti saitoti , mm naona itafaa zaidi
@aliethlwaitama95925 жыл бұрын
Mmmh Mali hatari wachaga salute kila mtu anang'ang'ania waache watoto mashangazi macho yamewatoka,aibuu!!
@miriamsulle81987 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌
@khalifanassor53495 жыл бұрын
Huyu mwanasiasa sio mwanasheria
@ashaally69935 жыл бұрын
Hivi muheshimiwa unasema kila kitu wanacheuwa kucheua kwingine uangalie sana bibi kasema amewafuta hao wajukuu kwenye hesabu ya wajukuu zake,kisha kaenda kutoa ushahidi kwamba mama wa haohao watoto kaua, kisha shangazi kaenda kukazia kesi ya mama ya kuua iunganishiwe mtoto humohumo ndani bado unaongea mambo ya kucheua yani hueleweki kabisa.. Achieni hao watoto mali hizo ni haki zao!!!!
@greysonpeter64035 жыл бұрын
Huyo mama yao kamuua wifi yake na kakubali mahakani Kwahiyo nimuuaji tuuu atakama nani angeenda nani kutoa ushahidi , na hao mama na wanae wanauchungu kufiwa nawatoto wawili waliouliwa kinyama
@ashaally69935 жыл бұрын
@@greysonpeter6403 kwahiyo wakipewa mali ndiyo itarudisha roho zao? Hapo inaongelewa mali na roho mbaya kwa wajukuu zake!!!
@msafirikalinga69385 жыл бұрын
Ukoo wa dubu ni dubu tu hayana huruma hayo,, Mali ni za mama na wanawe full stop
@aishajumaa34305 жыл бұрын
asikwambie.MTU mjomba no.mama
@nasratyaqram47995 жыл бұрын
Inatia huruma sanaa hawa ndugu wanauroho na mali kama aliyezitafuta kaziacha wao ninani😢😢😢
@renatusmisigaro63325 жыл бұрын
Mm kinachonishangaz ni bibi tena bibi upande wa Baba anaongoza mapambana ya kuwazurumu wajukuu wake mali wali zilizoachwaa na Na marehemu Baba yao! Badara ya kua mtetezi Huu ni ushenzi sijui nikabilagani lakishenzi namana hii!!
@missiontown81775 жыл бұрын
We mkuu wawilaya muro .hao Dada zake msuya weka ndan hao wez hao wanafukuza watt wamwenye afu iweje? Nawambia huko aliko baba yao ananung'unika xana kwa Tania zenu loooo !
@msafirikalinga69385 жыл бұрын
Mashangaz mnajifanya wasomi!! Usomi wenu uko wapi?? Achen uroho, hizo mali ni za mke wa marehem na wanawe
@lavianaalbert90384 жыл бұрын
Nyinyi mashangazi!!!!!muogopeni mungu sana mali za malehem!!!
@jescajulius80234 жыл бұрын
Hawana usomi wowote,mt msomi hafanyi ujinga huo
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
Hivi hyo Babu km kiongozi au baba Erasto mbona haongei chochote wakati yy ndie kiongozi wa familia.
Mali husimamia mjane na shemej zake kama wapo upande wa kike hauna sauti jamani ,ss wabena endapo inatokea shemej or upande wakiume wanashindwa kusimamia watajua wao maana watoto wakopata matatizo hufuata upande wa kiume siyo wa kike, nakingine ss wanawake Mungu aturehemu tikifiwa na waume zetu tukaachiwa mahari wengi wetu huhongea wanaume wengine baada ya siku mbili unakuta mpaka nyumba wameuza kuwen makini na wanawake
@ashaally69935 жыл бұрын
Thubutu aongee mbele ya mke na watoto mabedui ataenda kula kichapo nyumbani 😂😂😂😂😂
@furahinimtunguja26685 жыл бұрын
Sijawahi kuona watu kama hawa duh watu wazima hovyo
@noeldifson97135 жыл бұрын
Shida ya ndugu si mali hao ni matajiri wote hizo mali za msuya 80% ni mali ya familia yao huo mgodi alipewa na baba yake maana kwao ndio wa kiume peke yake hiyo shangazi ni Mtu mzito yeye ndio alimsaidia mdogo wake huyo bilionea msuya hadi akafikia ubilionea shida ya hao ndugu wanauchungu kwenye mioyo yao maana ndugu zao wawili wameuliwa kisa hizo mali na mke wa huyo msuya ndie alituma watu wamuue mdogo wa msuya hao ndugu wanauchungu kupoteza ndugu wawili kwa wakati mmoja tena kwa mauaji ya kinyama sio ishu ndogo alafu mali zinazosababisha ni zao kama familia fatilia kesi vizuri sio rais kama unavyofikiri yena hao wajomba hapo wanaonekana wema lakin sio maana inasemekana hao wanawashawishi vibaya sana hao watoto
@athumansuleiman62795 жыл бұрын
Huyu shangazi wa Australia hana kauli nzuri yani hafai kabisa kwenye kikao
@namirihamisi19895 жыл бұрын
Tunatowana roho yarabi Kwa Mali alizoacha baba
@miriamdaniel35324 жыл бұрын
Wewe mtoto kuwa naekima bando unakuwa umjui atakeye kuzika wewe atakama shangazi kasema mangum bando unaitwa kwajina la musuya tu ata baba mzazi anaweza kusema maneno mangum lakini bando ni baba tu wewe Kama mtoto kuwa nabalas wote wako upande wa mama niwachochrzi Sana mnaalibu watoto uyo nibabu yao hebu vaa kitu ww alafu Mali za mtoto wako zinaelemea upande mmoja namila zetu mwanamke akiolewa siwakwenu Tena pingana Dada yako atoke sio natetea Mali za watoto tafuta zako sio za Dada nakuwateka watoto wape ushauli wapatane na upande wa kwao sio kwenu ukiwapa muongozo nilaisi Sana kumtoa mama yao ww nisawasaw hunapingilia msumali Dada yako asitoke
@kamanda0074 жыл бұрын
Hili ni swala la kisheria straight up , hao wenyekiti na wakuu wa wilaya wanafanya nini hapo, yaani ni aibu tupu kinachofanyika hapo, hapo ni mahakama tuu na wanasheria wengine stay away mpaka muitwe kutoa ushahidi
@silassteven96825 жыл бұрын
Hizi ni siku za mwisho
@marrysiphaeli84825 жыл бұрын
Mama anauma jamani
@jescajulius80234 жыл бұрын
Mjomba ni mama siku zote hawaiz acha watoto wa dada ake kwa namna yyt ile
@zuhurambonde75995 жыл бұрын
Mjomba ni mama anayo haki kutetea watoto was dadaake inavoonekana kuna kuzarauliana na kubaguana hapo sote binadamu utu bora sana kuliko Mali tutaziacha pendaneni jamani natamani Siku moja nione warita na wasuya mnakula pamoja .
@angellamwanri84145 жыл бұрын
Huyu mtoto wa Erasto hajitambui maskini... Anawaza mali tu
@mwajumashomari34532 жыл бұрын
Yaan minaona waha Babu na bibi wako sahihi
@feisalomar34145 жыл бұрын
Mkuu pongezi
@andyclon22775 жыл бұрын
More money more problems the family is torn apart because of the wealth sad
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Utajiri ni balaa jamani.mmm Rip Msuya na mdogo wako jamani.
@alexmakundi50065 жыл бұрын
Waachieni hao watoto mali za baba yao..ni Baba yao..acha watoto watunze mali..nyie wengine wote katafuteni zenu 😡😡😡😡😡
@aryanamendes87005 жыл бұрын
Mambo magumu Mali hiii mauaji family imemwagika hapaa
@jeenal65995 жыл бұрын
Ohhhhvkijana u are right hio ni mali yako
@peterkihongosi19665 жыл бұрын
Mambo ya kifamilia kwaninikuyaweka mitandaoni?.naonakamanikujiaibisha
@veronicadickson18595 жыл бұрын
bora kufa masikini kila mtu atafute za kwake, maana watu hapo Mali za kaka yao kila mtu kazitolea macho. tafuteni za Kwenye hizo nizawatoto na mke.
@abdallahhamza96895 жыл бұрын
Kweli dunia hii bana hapo hutosikia Mimi naombeni nikae kulihudumia kaburi nipesa tuu mnataka
@miriyamasanja67665 жыл бұрын
Kweli walio imba Mali ya baba inanitoa roho hawakukosea. Mm mpka Leo Mali ya baba angu inanitoaga machozi Ila wacha wale wenye nguvu
@ashritaabdallah64745 жыл бұрын
Mali ni fitna sasa Mali inarithiwa na familia nzima wakati watoto wapo miaka kumi
@joycekokunula91375 жыл бұрын
Hekima ya kiungu itumike Wazee mmeishapewa fungu lenu Sidhani upendo unatajwa hapo ni wa kutoka moyoni, mali ni ya mke na watoto wake, mara zote wajomba ndio wana uchungu wa kweli
@jelasnkoma42405 жыл бұрын
Hilo tangazo la mataili ya gari libadilisheni sio zuri yani mnahamasisha watu wawafungie break miguuni kisa taili ni aina fulani
@alexchungu95055 жыл бұрын
JELAS NKOMA , kweli wamezingua
@hanifahassan91384 жыл бұрын
Huyu marehemu nawasiwasi sijui kma hawakumuua KWA kuwatumilia majambazi