Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameimngilia kati mgogoro unaofukuta kwenye familia ya mfanyabiashara Msuya aliyeuawa mwaka 2013 huku kukitajwa kuwepo mvutano unaohusiana na mgawanyo wa mali zilizoachwa na marehemu.
Пікірлер: 61
@mohamedkongoroka47084 жыл бұрын
kiuikweli hata Mimi nimeshangazwa sana kwanza mheshimiwa muro hongera sana kwa hilo ukiangalia hapo hao ndugu utagundua kitu angalia wanavyojikanyakanyaga mheshimiwa utagundua wazi kua hao ndugu hasi bibi na babu kuna wanalo lijua kutaka kuwazurumu watoto mali zao,,huyo bibi sio povu linamtoka hata hana aibu kwa mali sio yake kwanini asigombanie mari ya mme wake hao watoto wanaweza wawauwe nao ili wabaki na hizo mali,,,cha msingi mheshimiwa na sekikali yetu ya magufuli mpiga kazi jiwe,,mtoe amli hao watoto mmojawapo akizulika au kuuwawa wakamateni hao bibi na huyo babu weka ndani pumbaphuuuuuuu,,,,ikitokea mmoja kati watoto hao ikifa muwakate hao na ndio wanajua sili yote ya vifo vyo waliotangulia,,
@joycekaje875510 күн бұрын
Wakwe na mafifi jamani ogopeni, Mungu,,PESA NI NINI ,MTAKUFA MTAZIACHA
@fettykimaro34304 жыл бұрын
Jamani mama wawatu alioko magereza atolewe tu sio haki inavyoonyeshwa kesi itakuwa imetengenezwa
@sajithaoman46334 жыл бұрын
Inaonyesha ata yureh muke wamarehmu hiyo kesi alibabikizwa kwa kutaka mari
@sorenlandon71653 жыл бұрын
Pro trick : you can watch series on flixzone. Me and my gf have been using it for watching all kinds of movies recently.
@finnegandylan8003 жыл бұрын
@Soren Landon Definitely, I've been using Flixzone} for years myself :D
@alexzandernathaniel44513 жыл бұрын
@Soren Landon yup, I have been watching on Flixzone} for since december myself :)
@user-oj7wi7ik5r4 ай бұрын
Kweli nimeamini .Hali ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu..watu wamevuta mpunga Bado wanangu"ang"ana na Mali za marehemu.Ama kweli utu umekwisha imebaki unyama.Hatimae hali imetendeka..ushauri wangu Familia wawekewe ulinzi.
@naimanurdin28464 жыл бұрын
Najua wazazi wapate urithi vipi hawa dada zao nao urithi unakujaje?jamani haki ifatwe hata kama watoto wana kazi zao wapewe haki ya baba zao
@mlasinyongolo32564 жыл бұрын
Baba wa Yatima , uzidi kuwatetea Wanyonge.
@sarahmselle85624 ай бұрын
Huyu mama n kabila gan maana 😂😂😂 yuko vizuri ataki mchezo
@Alicemsafiri4 ай бұрын
Yaan ningekuwa mimi msingepata ata shingi mia milioni mia 5 na kitu bado mnaidandama family na awo mashangazi wakatafute zao alfu waume zao. Wafe kama watatoa ulithi. Kwa wakwe
@africanhappyadventure69514 жыл бұрын
Yaaani Huyo Bibi,Babu na Mashangazi inaonyesha wanalo jambo Wahuni tuuu..
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Eeeeee hizo Mali hatari baba kauwawa Dada wa baba kauwawa hivi mtaenda nazo kaburini mbona hivyo aaa NCHI NA VYOTE VIUJAZAO ULIMWENGU NI MALI YA MUNGU baada ya mali kunamaisha mengine
@abellmainge10234 жыл бұрын
Kwakwel rais magufuli usinyamaze kwa hili, watoto yatima wananyanyasika na wewe upo.?????
@frankmosha58544 жыл бұрын
Mmmmmmm omba yasiikute familiar yako lakini pia namuona mama mzazi WA msuya Hana mshahuri mzuri awezekani kufuta uzao wako kwa sababu ya mali mama kumbuka mungu anakusikia nasijui utaenda wapi kutubu hio Dhambi Mali Kweli ipoteze uzao wako kanakwamba una maumivu yeyote juuu ya kifo cha mwanao muongope mungu
@gitu4me4 жыл бұрын
Intelligensia chunguzeni huyu baba msuya na mama msuya mawasiliano Yao toka mwaka mwezi WA pili mwaka 2012 Tena huyu mama anaonekana ni muuaji na katili Kweli wajukuu zako Hawa a thamani wewe unatizama pesa mbele. Huenda mkahusika kumuua mtoto wenu msuya ili mpate mali
@yunusabdulwallace38014 жыл бұрын
Nyie wazee katafuteni nanyie Mali zenu acheni kuwadhulumu watoto.kwanin hamridhiki na hicho mlichopewa? Pumbavu sana Mimi ningekua huyo kijana tungefikishana mbali na msingepata senti mojaa
@revolutionmovementchannel99574 жыл бұрын
Washenzi kweli hawa
@nyabahailani31694 жыл бұрын
Wewe bibi mzee pumbavu nawe utakufa tu waachie watt mali yao huna akili ww na mzee mwenzio yaani mungu awalaani kabisa" Jerry naomba uamue
@jeremiahmollel55834 жыл бұрын
Yaani huyu mama utadhani hajazaa kweli nidhambi sana kuwadhulumu yatima Ee Mungu fanya njia kwa hawa watoto na mama yao Ee baba wa mbingu na nchi
@abdallahmuttaq73064 жыл бұрын
Chikamoo arachuga linapofikia swala la coins
@zuhurambonde75994 жыл бұрын
Mzazi akifariki hasa mwanaume familia zinagombea Mali kama ajaacha watoto bora ufe maskini maana Mali inaleta shida
@amnaalshabani27774 жыл бұрын
Kazaneni vijana mrithi haki zenu baba shangazi wabaya sana kwa mali
@emanuelmushi68784 жыл бұрын
Sjawaisikia eti Mali za kaka zigawiwa familia nzima!labda kama mhusika alishaekekeza ivo kabla'alaf uyo bibi anataka kusimamia Mali za wajukuu kwa nguvu kwani mama atakaa magereza milele?
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Damu ya yesu iwalinde
@yunusabdulwallace38014 жыл бұрын
Hata aibu hawana.laana ya ndugu yao itawatafuna maisha yao yote
@andrewaneriko31034 жыл бұрын
Hivi hao ndugu wanamatatizo gani siwatafte zakwao.alitafta kwa manufaa ya watoto wake jamani nini hii sasa jamani
@stn48732 жыл бұрын
Kifo cha Maskini huwezi kuona haya.
@paulabelleghe4515 ай бұрын
Dah ndoa na vifo mitihani
@monicamandai38755 ай бұрын
Ila uyu firstborn Mungu Amtumze Wasije muua
@katalayshemndolwa31464 жыл бұрын
inawezekana chanzo chamalihizo ni za zulma ndomaana dulma huwenda kwa zulma
@mwaminimashaallahalhabibsh79924 жыл бұрын
Hapana si dhuruma marehem alikuwa mchimba madin
@geraldpallangyo77264 жыл бұрын
Watu na mali za marehemu
@missmoona44974 жыл бұрын
Wachaga shikamooo vinawatoa roho mali za watt mwenyewe alitafuta kwaajir ya watt wake sasa bib babu madada vimekuwa vyenu mnawasahau watt loooh achen tamaa nanyi mtaziacha kama alivyoziacha marehemu erasto msuya
@rodasanga13124 жыл бұрын
miss moona hawa ni wapare wachaga wana akili
@allydisi36564 жыл бұрын
Laana ya sharifu inawatafuna hawa wajinqa ubaya wa dhulma ni hapa hapa duniani wanamalizana wawo kwa waw ASANTE MUNGU
@fransiscamatemu9874 жыл бұрын
Ally Disi mmmh
@cyrilkimaro47284 жыл бұрын
Wapewe kipaumbele watoto au walikuwa wanaomba hicho kifo ili wawanyase watoto? .
@lameckchunda57634 жыл бұрын
Ņguvu ya baba ni thawabu ya watoto ci wazazi kivip watake
@ladysalimkabora99524 жыл бұрын
Na bado hawatosheki
@neemabakari70614 жыл бұрын
Jamani daaah!!!
@philipoelias42624 жыл бұрын
HUYU DOGO (MTOTO)WA BILLIONAIRE MSUYA AMESHACHOMWA NA JUA, NDIYO MAANA ANAWEZA KUJIEELEZEA BILA HATA KUOGOPA MBELE YA SERIKALI
@agnestemba80794 жыл бұрын
Ni muda wa kuwafundisha watoto kazi na kujitegemea, na kuwapa elimu basi
@Gemjvisualmedia4 жыл бұрын
unafikiri hao watoto hawana elimu na hawajitegemei? Ni kwamba haki ya mtu ipo pale pale kama urithi wao wapewe
@safiamasoud13284 жыл бұрын
Mali ya baba yao ni haki yao hata km wanamiliki mamilion na wanakazi
@joseygaudence18864 жыл бұрын
Hao ndugu wazulumati kwanin wasitafute vyao
@fediliaulomi49694 жыл бұрын
Mishangazi mibayaaa
@nshomamayungu23264 жыл бұрын
Nimelia machozi
@kenybenjiz78504 жыл бұрын
Mali zinawatoa Roho
@maidahassani13774 жыл бұрын
Mungu nisaidie nipate pesa ya kula tu hata watoto watajitafutia zakwao loh
@alikhamis40554 жыл бұрын
Mali ya baba inatutowa roho bora nikae pembeniiiiiii
@saumushabani16284 жыл бұрын
Umeona
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Ndugu wana sehemu gani katika urithi? Maana kwa uelewa wangu urithi ni kwa mke, watoto na wengine endapo marehemu atakuwa aliwapendekeza ! Sasa hapo babu na bibi washakula 200 M kila mmoja, na hao wadada 75 M kila mmoja, lakini bado wanataka vingine, mweee !!
@jeremiahmwasapilicharlie29264 жыл бұрын
kutafuta atafute mwingne,,nyie mfalakane,,,,,,,, ndugu mnaboa sana ,,,,,ndugu acheni kuingilia family ,pambanen Na Hali zeni,,,et kaka hooo mwanang
@aishajumaa34304 жыл бұрын
at a haibu hawana loo
@allyomari6804 жыл бұрын
huyu dogo mjinga nakama hamuamini mtakujaona baadae huyu nimjinga anasema bibi na Babu watuache na familia yetu alivyokua mjinga hajui kama familia yao ni ya bibi na Babu yake yaani angekua naakili angeegemea upande wabibi na babu
@sarafinasinkonde96514 жыл бұрын
Aegamie kivipi wakati hao bibi zake ndo chanzo cha mama yao kufugwa na pia Bibi aliwatamkia kuwa kawatoa kwenye kitovu chake sio ndugu zake,kwani mama na Bibi yupi bora ni hari sana tu kumsimamia mama ake nani kama mama jaman
@Alicemsafiri4 ай бұрын
Sara kweli unaona mama yako anadhuriwa Mari. Uengemee upandea wa bibi. Na bibi na babu wangekuwa wanahakili. Wasingewaujum wajukuu. Na kujari mathirai. Yao
@gaudinamosnchobe49094 жыл бұрын
Duh mama na wanawe awataki wakwe waguse pale Sasa kama wosia iliandikwa na marehemu na akasema na wazazi wapate basi inabidi wapate wanachositaili najua mke wake marehemu itakuwa apendi ao wazazi wapate mgao aya ni mambo ya kukaa chini na kuyamaliza Ila na nyie wazee mtulie ii mali sio yenu mate mnachositaili izo mali azitawafikisha popote mtakufa mtaacha
@sarahmselle85624 ай бұрын
Mke wa marehem ata hakuwepo alikuwa jela,wakwe walivyoona hivyo ndo wakaanza mchakato wao,wakafunga nyumban hiyo unayoiyona na mali zingine kama mashamba...