MAMA ALISEMA AMENIOKOTA / SIKUPATA MAPENZI YAKE / SIMJUI BABA YANGU KABISA - ESHA BUHETI

  Рет қаралды 122,464

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 203
@lydiaremigius7474
@lydiaremigius7474 3 жыл бұрын
Buuheti nakupenda sana pia wewe ni mwamke shujaa sana umesubutu kusema hadithi ya maisha Yako na uliyo yapitia Mungu aendelee kukutia Nguvu 🙏🥰, Hadithi Yako nitamsikilizisha mtoto wangu ili ajifunze kupitia wewe , pia Mungu akiendelea kutuweka dunian nitakutafua nimekupenda sana , Pia tuendelee kumuombea mama Ako apumzike kwa Amani alikua anakupenda ndio maaana alikwambia ukweli , pia alikua anakufunza mengi.💕
@زينبعىر
@زينبعىر 3 жыл бұрын
Pole sana da Esha hayo maisha wengi tumepitia nililelewa na bb nikiwa shule bibi upika na kuniwekea mama akija uchukua na kusema msiniharibie mtoto ALHAMDULILLAH amenipa uthubutu leo hii nipo nje ya inchi nafait maisha yangu
@msuyaothman9591
@msuyaothman9591 3 жыл бұрын
Rudi kwa Allah ... Fanya yanayomrifhisha Allah... Duniani tunapita... Magumu ulopitia jua kua hakuna wa kukupatia faraja ispokua ni Allah pekee... Rudi kwa Allah fanya ibada ... Coz dunia hii hata ukaipewa yote Kama hufuati alivyoamridha muunga kuacha makatazo yake huwezi kamwe kua na maisha Raha duniani kaburini na kesho Akheerah... Nakupenda kwaajili ya Allah .. Nakuomba urudi kwa Allah kikamilifu...
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Naam ujumbe mzuri.
@salmamlapakolo4783
@salmamlapakolo4783 3 жыл бұрын
Umeniliza Esha. Pole sana. Mungu azidi kukupambania InshaAllah
@fatumamohammed7082
@fatumamohammed7082 3 жыл бұрын
Esha pole endapo umenifanya nilie na kumkumbuka mtu muhimu katika maisha yangu mume wangu aliyekuwa ananijali na kunisamini na kunitunza aliyekuwa baba Bora wa watoto wangu nimekuwa wakulia Hakuna anaenisaidia sasa na ukiangalia ameniachia watoto watatu ambao wote nimepokonywa nimebaki mm kama mm maumivu haya hayawezi kuisha pole
@jackyluns8224
@jackyluns8224 3 жыл бұрын
Pole sana Fetty kwa kufiwa mumeo
@fatmarashid2066
@fatmarashid2066 3 жыл бұрын
Pole Sana changamoto za maishahizi mola atakusaidia
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Kakupokonya nani?
@barikiSwai
@barikiSwai 2 ай бұрын
000
@sharonyasin7521
@sharonyasin7521 3 жыл бұрын
Usilalamike amekufundisha maisha ya kuchapa kazi.pole mwaya tupo wengi,
@Bethsheba-mw2ri
@Bethsheba-mw2ri 2 ай бұрын
Pole esha mama ni mwalimu kuliko mwalimu yoyote hapa duniani hakuna wa kumwekezea shida zako tofauti na mama nimekukumbuka mama yangu pumzika kwa amani mama,😭😭😭😭
@catherahma1771
@catherahma1771 Жыл бұрын
Mama ako kweli alikua anaroho Kama rangi yake.MashaAllah.Tulimzoea Kama Halima Mzungu.Ila Bibi ako alikua mpishi mashaAllah umerithi
@hildahtemu9060
@hildahtemu9060 3 жыл бұрын
😢Daaah kumbe bila baba naweza nami😢kuanzia leo ckuwazi baba💪
@MerciJustine
@MerciJustine 3 жыл бұрын
😞😞😞
@lolagodwin113
@lolagodwin113 3 жыл бұрын
mamaako ni good mama sana alikuwa anakuandalia leo yako da eisha your strong now
@tunuharun116
@tunuharun116 3 жыл бұрын
UKIWA AU UYATIMA ni mbaya sana mungu niweke wanangu hadi waweze kujitegemea Mateso na chuki nilizopitia asipitie mwanangu au wanangu nililelewa na baba mdogo kama baba wa kambo aliyokuwa akinifanyia
@hawamsanga3714
@hawamsanga3714 3 жыл бұрын
Amina
@arafahaji
@arafahaji Жыл бұрын
Na wengi wa hao mayatima ndio huaga wanateseka sana wamama tuwe na huruma na watoto wa wenzetu kwani Kuna siku Basi pia tutakufa
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 3 жыл бұрын
Yaan usilalamike kutomjua baba cz wengne tuliwajua ila hawakuwa msaada wowote Ad nw nimekuwa mtu mzm Niko n maisha yngu...
@florenceelikana3040
@florenceelikana3040 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hata ukimjua hakuna msaada wowote
@sphiayasin2754
@sphiayasin2754 3 жыл бұрын
Sahihi .👍
@SheilaMshele
@SheilaMshele 2 ай бұрын
😢😢😢
@evilynbetha2350
@evilynbetha2350 3 жыл бұрын
Waaaa your story is like my story only God knows
@bakarykijazi293
@bakarykijazi293 9 ай бұрын
Mungu azidi kumjalia zaidi yahapo alipo huyu dada amepitia magumu mapema sana Esha mungu akubariki sana
@NadyaShadrack
@NadyaShadrack 3 ай бұрын
Unanikumbusha mbali sana.nilipitia baadhi japo mm nilikua na baba na mama.daa Leo nami nimejua maana ya hayo maisha .r I p mamangu .Pole eshe nakuelewa
@emmanuelchaula6682
@emmanuelchaula6682 3 жыл бұрын
Dada shukuru kw kila jambo shukur kuzaliwa na mama uyo..hayo maisha sote tumepitia na ndo izo akil zake za kujiajir leo ..onestop kumsema mzaz wako!
@somoeally9592
@somoeally9592 3 жыл бұрын
Exactly Kuna wengne tumeishi maisha hata kula ni shda ukienda shule ukirudi patupu watu washakula
@abuuissa1819
@abuuissa1819 3 жыл бұрын
Mm simjui baba angu sijawai kumuona hata kwenye picha, nakipenda sana mama angu m/mungu akuweke miaka 100 na zaid
@uuuuiiii3917
@uuuuiiii3917 3 жыл бұрын
Pole sana dada Esha mungu qqkutie nguvu kwakweli unaniliza namie
@ayshaky4399
@ayshaky4399 3 жыл бұрын
Hii life mm nilipitia Sana tena mm niliachwa na Babangu ndo alinilea tokea niko na 2yrs old Hadi namuona mamangu nimekua mtu mzima niko na watoto 2 lakn mamaangu aliamua Tu kunitelekezwa. Hadi niliua naisha nikijua sina mamangu nadaganywa Tu juu hakukua na mawasiliano na kwenye babangu alikua akujua akahama Yan umri mzma nimekaa bila kujua Niko na mama juzi Tu 2018 ndo akajileta Yan hata sinaga Mapenxi na yeye kabisaa nampenda Tu kama mtu mwengine lakn Ile really love ya mama sina Ila pole Sana Dadangu hayo ndo maisha....😭😭😭😭
@dianamkita6571
@dianamkita6571 3 жыл бұрын
Msamehe tu,,Mzazi ni mzazi tu...
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 жыл бұрын
@@dianamkita6571 huyo sio mama
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Eti jamani mtoto wako unamuacha miaka hutaki kujua taarifa zake wala kujua anaendereaje jamani hapana mungu niepushe na hiyo roho
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 3 жыл бұрын
Kuna muda watoto wangu hawanielewi ila ninachokifanya mimi cha tofauti ni kuzungumza nao,kuwaeleza ukweli wa mambo, wengi tunapambana,wengi tiliwapoteza mama zetu tukiwa bado wadogooo sana,wengi hatukuelewa vitu viiiiingi na hivyo vilisababisha maumivu meeeeengi mioyoni mwetu lkn that's life ilimradi tuko hai tutafika
@dianamkita6571
@dianamkita6571 3 жыл бұрын
Kumtegemea Mungu ndio Ushindi wetu..
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 3 жыл бұрын
@@dianamkita6571 kabisa mamaa
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 3 жыл бұрын
Esha pole sana sisi tupo mama zako tunakupenda sana tu
@sirielinnko5691
@sirielinnko5691 3 жыл бұрын
Daaah pole tupo wengi kipenzi, ila tumshukuru Mungu hatukutupwa jalalani, tuendelee kumshukuru Mungu kwa Zawadi ya uhai .
@lolakimaro8767
@lolakimaro8767 3 жыл бұрын
Pole Eshe Buheti mpiganaji, nakupenda sana na Mungu akubariki, yote ni mapito
@halimaabduli6221
@halimaabduli6221 3 жыл бұрын
Asante umenilea kwa mateso umenifundisha kazi mungu akubariki
@gracelyakurwa6280
@gracelyakurwa6280 3 жыл бұрын
Aseeee nimelea Sana maan km historian yako inafanan na yangu bora wewe ulipata elimu Mimi ht sikupat niliishi kwa shida 😭😭😭😭😭😭
@mwahijalukali2387
@mwahijalukali2387 3 жыл бұрын
Pole mpnz
@tulisamwel41
@tulisamwel41 3 жыл бұрын
Pole sana dear. I can feel your pain but God is in control. God loves you. You are beautiful
@mrs2918
@mrs2918 3 жыл бұрын
maskini alikosa mapenzi ya mzazi ndio maana anatafuta kupendwa na watu wengine 😥😥
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Duh 🙄 !
@mohamedzaina8585
@mohamedzaina8585 3 жыл бұрын
Tofauti yako na yangu ni kwamba tu ulikua huna baba lkn kwenye swala la mikazi ya nyumbn na kutokudekezwa jaman yan mama ni mkali adi unaweza hisi ni mama wa kambo khaa.lkn nashukur mungu kanijengea ujasir naish popote na nina fnya kazi yoyote ile.
@shamomar629
@shamomar629 3 жыл бұрын
Mama yako hakukosea kukufunza kazi, alichokosea ni kutokupa mapenzi ya yake. Alitakiwa akupe mapenzi ya mama. Alikukosea hapo pole sana. Mnapendana sana vidonda vyake vya mahusiano vilimharibu. Psychological problem alikuwa nayo
@julianaandreea5836
@julianaandreea5836 3 жыл бұрын
Uyu dada simlinzi yake utafikili tumezaliwa mama moja duh'😢😭
@rhodasamwel2485
@rhodasamwel2485 3 жыл бұрын
Mweh,pole sana esha
@saitakitalika3293
@saitakitalika3293 3 жыл бұрын
Daaah pole haya wanawake wengi tunapitia unapotendewa vibaya na uliyezaa nae huwa tu naona bora mtoto asimjue tu huyo baba jina
@rosehaule220
@rosehaule220 3 жыл бұрын
Alikuwa anakufundisha kujitegemea ❤💋
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 3 жыл бұрын
Pole sana inshaallah mungu akufungulie milango ya kher zaid na zaid maishani inshaallah😍
@maryhaule5625
@maryhaule5625 3 жыл бұрын
Pole Sana Esha, mama wa mtu ni mama watu Hata umpende vipi ni bure
@tatumakadara5793
@tatumakadara5793 3 жыл бұрын
Wengi tuko hivyo Eshe. Mshukuru MUNGU angalau amekuwezesha na umejitambua
@mwamvitaibrahim8594
@mwamvitaibrahim8594 3 жыл бұрын
Wala sio uongo
@soudothman4067
@soudothman4067 3 жыл бұрын
Esha dadaangu hayo mapenzi tumeyakosa wengi ndio maana yanatupa ujasiri sanakupambana namaisha 🇨🇦
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 жыл бұрын
Kweli kabisa mama zetu walikuwa wakali sana walikuwa na taugh love wajukuu sasa ndio wanadekezwa weh
@binthamoudshariff5492
@binthamoudshariff5492 2 ай бұрын
Subhanallah
@lilianalmas5911
@lilianalmas5911 3 жыл бұрын
Pole Sana Dada Esha wengi tupo hivo hatuna wazazi wa kiume
@MwajabuShabani-p2f
@MwajabuShabani-p2f Ай бұрын
Pole eshe hata wanaokuonea kijicho nawashangaa sana
@rosehaule220
@rosehaule220 3 жыл бұрын
Mungu yupo 👏
@samaamin2501
@samaamin2501 3 жыл бұрын
Pole sana pia mamako alikuwa shujaa tena mwenye busara. May god rest her soul in Firadous Al Janaa
@rayyanjuma1240
@rayyanjuma1240 3 жыл бұрын
Ushujaa gani huo kumtesa mtoto hata dini haikufundisha malezi hayo
@habbyhalawa5266
@habbyhalawa5266 3 жыл бұрын
Daaah umenifany nilie ulivyosema kun vile tunamiss mama zetu n kweli jaman😢😭😭😭😭😭
@tinnahmosha5177
@tinnahmosha5177 3 жыл бұрын
Saana jamani..
@asiaiddi2539
@asiaiddi2539 3 жыл бұрын
Nmekumiss mama
@habbyhalawa5266
@habbyhalawa5266 3 жыл бұрын
@@asiaiddi2539 Daaah mm pia😢😭
@mwahijalukali2387
@mwahijalukali2387 3 жыл бұрын
Mama yetu alitupenda sana tupo wanne hakuwah kupima upendo mapema sana kutuacha mapenz yake Mama hayana mfano kidonda changu hakitapona mm pole Da eshe😭🙏
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Mshkuru Alla sisi tulokosa mapenzi ya mama tuna umia kwakweli
@orishluka4241
@orishluka4241 3 жыл бұрын
pole sana busheti mungu akufariji
@VanessaMwandu
@VanessaMwandu 5 ай бұрын
Alikutengeneza pole sana Mungu amrehemu
@lovenesshadson3559
@lovenesshadson3559 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 umenilizaaa sana aiseee
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 жыл бұрын
Pole sana dada esha nakupenda sana
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 жыл бұрын
Pole saana mpendwa 😍😘😘🥰
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 2 жыл бұрын
Pole sana
@husnaali1610
@husnaali1610 2 жыл бұрын
Dar polesana nasisi tulikosamapenzi yamama ila tuwaombee Dua wazazi wetu.
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 3 жыл бұрын
Daah😭😭😭pole sana daa esha ,hata mimi sijui faida ya baba,hata najuta kumjua mana hakuna faida Yoyote au mapenzi Yoyote niliyopata kutoka kwake😭😭😭😭😭kwa kweli usihuzunike kutomjua babako,mamako ni jasiri na alikupenda sana mamako,na ndiyo amekufanya wewe kuwa shujaa mzuri, Sema Alhamdulillahi kwa yote unayopitia daa esha
@lareineminah1353
@lareineminah1353 3 жыл бұрын
Dah mzazi ni mzazi tu Watoto waliyo kuliya kwa mzazi umoja huwa hawataki liwarudiye yani watoto wawo na wenyew wapitiye hayo ALLAAH atupe wenza ambao tuta dumu nawo🥶🥶🥶🥶
@kaskas4764
@kaskas4764 Жыл бұрын
Waaah hii stori ni kma ya kwangu nakumis sana mmngu😭😭
@lailaomat7766
@lailaomat7766 3 жыл бұрын
Duh. Nimeskitika sana
@anitahkim9857
@anitahkim9857 3 жыл бұрын
usijali Dada ata mm nimepitia mengi Ila tulikua wengi sisi lakini on my side mama alikua ananichikia
@nyamoyanaomi7222
@nyamoyanaomi7222 3 жыл бұрын
Mungu wetu daima yupo pamoja na ww
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 3 жыл бұрын
Hayo maisha tumepitia weng ila tunafundishwa mie silaumu maana amenifanya niwe strong kumlaumu mzaz anaekufundisha ety anakutesa Huon saiv unamilik Mgahawa bila huon hyo sababuu
@jcrackcrack1669
@jcrackcrack1669 2 жыл бұрын
Nadhan Mimi ndio babake esha coz tumefanana Sana
@fadyaalmansoor7795
@fadyaalmansoor7795 3 жыл бұрын
Yametukuta dada na bado twapambana nao.futa machozi maisha yaendelee.
@janemapoz6360
@janemapoz6360 3 жыл бұрын
Inatukuta wengi sio pke ako pole babee😍
@irenemangare3598
@irenemangare3598 3 жыл бұрын
Esha mimi na mama yako tulikuwa marafiki sana wakati huo mkikaa jitengeni mimi nilikuwa benki mombo
@irenemangare3598
@irenemangare3598 3 жыл бұрын
Ukitaka kumjua baba yako mimi najua story yote mama yako aliniambia
@zainabuhussein3487
@zainabuhussein3487 3 жыл бұрын
Pole dada angu kipenz
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Alikufundisha maisha saana
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 3 жыл бұрын
Pole sn mama esha buhet kwa mapito ulio pithia
@yasmine937-so4mi
@yasmine937-so4mi Жыл бұрын
Poleni mliopitia magumu kwa wazazi wenu
@ireneapronary2645
@ireneapronary2645 3 жыл бұрын
Nakupenda sanaaa wewe mdada 😘😘😘🥰
@ab3ab313
@ab3ab313 3 жыл бұрын
Nakupend bure
@mariamhamad6016
@mariamhamad6016 3 жыл бұрын
Pole sn
@magrethmallya7728
@magrethmallya7728 3 жыл бұрын
Yaani usiongee maana unamkosea Mungu ujue!! Umzuri ujue halafu unajielewa. Kuna watu wapita pagumu kuliko wewe , wengine hata chakula hawapati.
@merinajuma6948
@merinajuma6948 3 жыл бұрын
Kinamama Kunachkujifunza hapa nimeumia kwel jmn😭😭😭😭😭😭
@lmashua
@lmashua 3 жыл бұрын
Mungu wangu umeniliza sana:(
@bilikhamis8963
@bilikhamis8963 3 жыл бұрын
Akiamung umenilz miss you mamy😭😭😭🙏🙏
@nasliasuleiman6954
@nasliasuleiman6954 3 жыл бұрын
Mdamwengine husda anaweza kufanyiwa mama kwamtotowake au mtoto kwamzazi wake binadamuwabaya
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
Pole sana esha
@madamboss348
@madamboss348 3 жыл бұрын
Zada dadake yokubu team huba🌺🌺
@marthajeremiah
@marthajeremiah 3 жыл бұрын
Pole
@abouassifmabrouk8110
@abouassifmabrouk8110 3 жыл бұрын
Daah nimelia pole Eshe ndio Dunia ilivo 😭😭😭
@lilianlukindo6502
@lilianlukindo6502 3 жыл бұрын
Dah nimelia dada esha mungu yupo Pamoja nawe
@sofisayed4768
@sofisayed4768 3 жыл бұрын
Vibaya sana kumsema mamaako kwani shukuru kakuleta dunia mhhh acheni hizo kwenye mitandao
@zubedajamuhur6467
@zubedajamuhur6467 3 жыл бұрын
Jaman Kwan ameongea baya gan hapo kuhusu mama ake
@florenceelikana3040
@florenceelikana3040 3 жыл бұрын
Ndo hapo sasa
@hidayaally9977
@hidayaally9977 3 жыл бұрын
Sikiliza vizuri kabla ya kucomment
@sofisayed4768
@sofisayed4768 3 жыл бұрын
Sasa nishakoment unasemaje
@sofisayed4768
@sofisayed4768 3 жыл бұрын
@@hidayaally9977 Mtu anamsema mamaake nyinyi wapuuzi mnaina sw
@stelahgeofrey8330
@stelahgeofrey8330 3 жыл бұрын
Love you
@aminahmisanya5636
@aminahmisanya5636 3 жыл бұрын
Umeniliza
@aishamwinyi5048
@aishamwinyi5048 3 жыл бұрын
Kumbe wazaz wa tanga baazi wana tabia hii hata na mim mama angu yupo km wa esha nimelia sana esha 😭hii story ila ht na mim sjui mama alifanywa nn na baba😭
@sadabahla7120
@sadabahla7120 3 жыл бұрын
Daa pole Sana
@happymwinyi6194
@happymwinyi6194 3 жыл бұрын
Pole sana 😭😭😭
@nadiaabdallahsalim9929
@nadiaabdallahsalim9929 3 жыл бұрын
Inaumeza but yote maisha na wazazi wana siri kubwa sana Ndio maana tunatakiwa kuwaeshim sanaaaa
@annashishira3249
@annashishira3249 3 жыл бұрын
Pole dear
@mariampango1396
@mariampango1396 3 жыл бұрын
Pole my lv
@yasintamichel7249
@yasintamichel7249 3 жыл бұрын
Kumbe wengi ambao hatuwajui baba zetu 😪😪
@josephmoses.989
@josephmoses.989 3 жыл бұрын
Pole ndg.
@munirahassan6313
@munirahassan6313 3 жыл бұрын
Tupo wengi
@joycecostantin7473
@joycecostantin7473 3 жыл бұрын
Daaah 😭
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Unaweza ukamjua, ila mamako alikuwa sababu kuu ukose kumjua.
@murellemanes
@murellemanes 3 жыл бұрын
Hongera sana Aisha
@lizzybby2392
@lizzybby2392 Жыл бұрын
😢😢
@FaridaFarida4
@FaridaFarida4 2 ай бұрын
Tupo wengi tulio pitia malenzi maabaya kwa mama
@sabrinahm5651
@sabrinahm5651 3 жыл бұрын
God bless you swiry🇰🇪
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 3 жыл бұрын
Pole jaman MWe inatia huruma
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
So sorry dear
@neemasteven5699
@neemasteven5699 3 жыл бұрын
daaah soo sorry eshaa 🥺
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 3 жыл бұрын
Pole Sana mwaya
@linkishish2057
@linkishish2057 3 жыл бұрын
Mimi nilikua napigwa na huo wire na mama mzazi wacha tu
@azzaalmaamry5817
@azzaalmaamry5817 3 жыл бұрын
Pole saana Dada
@shukranjuma7505
@shukranjuma7505 3 жыл бұрын
Pole sana daa Esha
@sporahseif8055
@sporahseif8055 3 жыл бұрын
Me ciujui hata unyayo wa baba au hata hiyo picha yake sijui..na hata sina mda nae
@shamomar629
@shamomar629 3 жыл бұрын
Endelea hivyo hivyo kumpenda na kumuombea dua mama yako
@alleoo273
@alleoo273 3 жыл бұрын
So sad 😭naisi labda ata alibakwa na baba ake mzazi ndo maana alikua mkali sn kwake bt pole sn
@lindamutasa5752
@lindamutasa5752 3 жыл бұрын
Pole sana Ms Buheti
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 27 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 38 МЛН
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 45 М.
SIONGEI NA ZAMARADI KABISA / WIVU / SITAKI TENA  -  IRENE PAUL
3:21
Wasafi Media
Рет қаралды 46 М.
UTAPENDA MAHABA YA ESHA BUHETI AKIMPIKIA CHAKULA MUMEWE LIVE UKUMBINI
4:41
Topbrandtz Studios
Рет қаралды 59 М.
UKIMCHUKUWA MUME WANGU UTACHAGUA MAMBO MAWILI ''LULU WHITE''
37:21
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 27 МЛН