Рет қаралды 2,720
MAMA ALIYEJIFUNGUA WATOTO 4 kwa MPIGO AFICHUA -"TUMBO LILIKUWA ZITO-MUME WANGU ALIOMBA NIPATE PACHA"....
Mama Mmoja aliyefahamika kwa Majina ya Elizabeth Vicent (30) Mkazi wa Eneo la Majengo Mapya Mtaa wa Nyankumbu Halamshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita amejifungua Mapacha wanne wenye uzito pungufu ambapo wanaendelea kupatiwa Matibabu katika hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Geita.
Global Tv ilifika hospitalini hapo na kuzungumza na Mama huyo ambapo amesema kabla ya ujauzito alikuwa akitamani kupata mapacha ambapo baada ya kubeba ujauzito alikuwa akiudhuria kliniki na kuambiwa kuwa ana ujauzito wa watoto mapacha wanne.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx