Mimi namuamini yesu kristo kam mutetezi wangu na imeandikwa kwa na kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri na hakuna yoyote atakae uona ufalume wa mungu pasipo kupia kwake
@shabansalee49242 жыл бұрын
Kwani nabii wakwanza ninani apa duniani
@mshihiliramadhani90882 жыл бұрын
Mtapiga got wakat mkiswali mnakalia viti 😂😂😂
@aminayunis75455 ай бұрын
Hata kristo haijulikana na yesu SI mkristo na hawatambui
@ibrahimfarha38532 жыл бұрын
Wahadhiri Allah awape Kila la kheir bible wanajuwa Quoran tukufu wanajuwa ............Alhamdullillah Mola kwa Neemah yakuwa mwislam
@tanzaniaunforgettable44012 жыл бұрын
Mungu akuacha dini kwaio kila mtu na Imani take...kwaio faith yako isiwe faith ya mtu mwingne...amini unachokiamni sio kumuaminisha mwingine....Cha msingi kila mtu aamin anachokiamin.....kwasababu ww shekh Nan ulishawai kumuona amekufa na kurud kwamba kaenda peponi..kwaio don't judge...God ndo anajudge
@naturalist95172 жыл бұрын
Ao wako biashara tu kudanganya wananchi wa kawaida.
@fridausbakari51632 жыл бұрын
Mashaallah ❤️. Alhamdulillah nna miaka sita toka nmeslimu. Naupenda sana uislamu. Allah atuzidishie Imani. Umma wke muhammad.
@barnabaabel95222 жыл бұрын
Ndo umeamua kupotea kabisa
@fatmazullu49332 жыл бұрын
@@barnabaabel9522 umepotea wewe pole sanaa mwenzio huyoooo ameachana na upofu na ubishi
Huyo Mama ni Mwanajeshi imara , kwamimi nampa hongera.
@twaybachellah9142 жыл бұрын
@@suleymanally4729 si vyema kumtusi wapo katika kuelekezana tu
@suleymanally47292 жыл бұрын
@@twaybachellah914 saw nashkur kwa nasah zak asante san
@hannahwainaina2862 жыл бұрын
Kabisaa no matter how many they are she is still in her faith😍😍jstrong
@ismailali-nd5dp2 жыл бұрын
Alhamdulilah I am proud to be among one of the Muslims..
@zaidanmwalingo54852 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkristo, namjua Mungu Alie hai anayejibu, anaeponya, huko peponi mnakodhan mtaenda uzuri wote tupo tutashuhudia, wewe tenda mema halafu uone Mungu atakupeleka wapi
@halimayusuf31132 жыл бұрын
Thank you Jesus for saving me ,,,I love you Lord
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Jina Jesus ni fake because Mariamu hakuongea kizungu je alipozaa mtoto wake alimuita aje kwa lugha yake
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Pili Yesu kwa bibilia hajatumwa kwa wa African ametumwa kwa waisraeli
@leahrumona15582 жыл бұрын
@@halimayusuf3113 Siku ya kihama ndio itatambua pahali mtu ataenda sisi wakristo tuna njia ya kutupeleka mbinguni ambayo ni yesu mwana wa Mungu aliye hai
@emathumani29012 жыл бұрын
Acha nimpende Yesu ambaye ndie njia ukweli na uzima Wa maishayangu Mimì🙏🙏
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Yesu alikuwa mwisilamu kama unampenda lazima umfuate
Allah ndie mungu wa pekee hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye tu Allah.
@ladyjamilamohammed25772 жыл бұрын
True talk.... MashaAllah,, Alhmdullillah 🙏
@rabsonmanyama31292 жыл бұрын
au bas
@hamissuche65762 жыл бұрын
Wallah kuzaliwa muislamu ni neema kubwa sana, kwanza muislamu kuelewa kitu huwa ni haraka na rahisi sana c kama hawa wenzetu mabumbumbu wallah,. Yaani uyu mama anaongea kama anatoka usingizini
@edwardntamaboko3414 Жыл бұрын
Nashukuru Mungu kuniumba mkristo ni neema kubwa sana
@elinapouljensen92442 жыл бұрын
Jibu ni mahali alipo nasi pia tuwepo..yeye yupo mbinguni mahali alipo mungu Mkuu baba na yesu ameketi mkono wa kuume wa mungu baba mwenye enzi wote wanaomfuata yesu apo ndipo watakuwepo, yesu ameshawaandalia iyo sehemu nzuri ya kupumzikia
@raffeiystar28702 жыл бұрын
Panaitwaje sasa?? Maana yake kunawez kuwa hata hapahapa Tanzania au burundi sindivyo
@elinapouljensen92442 жыл бұрын
@@raffeiystar2870ndio jitahidi ufike mahali pazuri ulipoandaliwa ujionee mwenyewe kama ni mbinguni uko uko au apa apa walipoumbiwa Adam na awa yote yanawezekana, Kwani wenye uamuzi si wao
@rendee2672 жыл бұрын
Sisi sote ni kazi ya mkono wa Mungu ......Mungu ni mmoja, yeye yule Jana ,Leo na hata milele.........na wote siku ya mwisho tutaenda sehemu inayostahiri.
MashaAllah TabarakahAllah Allah awape umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah
@lindatasha39602 жыл бұрын
Mimi na Yesu damu ata waseme ngapi yeye ndio mkombozi wangu yeye ndio njia na usima wa milele ,,atarudi kujukuwa walio wake walio fwata Sheria za mwenyezi Mungu na kuwaugumu walio zikataa njia za mwenyezi Mungu hallelujah 🙏🙏 ,,wanadamu munabisha na akuna mtu anajuwa siku ya mwisho vile kutakuwa ni vema Kila mtu afwate Imani yake hati siku ya mwisho kwa sababu ni Mungu alituumba sisi wote na akakuweka muislam na Mimi mukristo ,,sisi wote ni watoto wa Mungu na akuna anaye juwa kama ni mkamilifu Amen🙏🙏🙏
@omaar56932 жыл бұрын
Nani amewadanganya yesu atarudi kuwachukuwa, kama rahisi angeondoka na japo mmoja kati ya wale 12
@saumbliz89835 ай бұрын
Dada yesu mwenyewe hawajui mana alisema mwamkubali machoni ndani yenu mwafanya mambo yenu nanyi mwamuabudu bure
@ceesluichannel20202 жыл бұрын
Im proud to be a Christian but I come to understand it's lack of understanding between Christian and Muslims which is true yesu he was born
@fatmazullu49332 жыл бұрын
Pole sana aisee
@pongwebeachhotel28062 жыл бұрын
Please be awakening is still early you are not too late,to get your permanent life in jannah tomorrow akhera.dont be wasted your time.
@marymrembomrembo78662 жыл бұрын
Siku za mwisho kila goti litapigwa na kukiri yesu ni Bwana mkatae mkubali hallelujah
@lailatuahmadi65252 жыл бұрын
Ukiwa na maana yesu ndio mngu wako, innalilah wainnallirah rajuun. Naomba tu nkwambie kitu kimoja hapa duniani mngu ni mmoja tu. Na wala yesu sio mngu
@suweidkhamis722 Жыл бұрын
Ukifa kafiri ww utajilaumu sana
@saumbliz89835 ай бұрын
Innalilahi wa inaileyhi rajiun ,,pole sana
@janethedward53812 жыл бұрын
Mungu ni mmoja na kila mtu ana muamini ilimradi tusiabudu sanamu ila imani ya mtu ndie inae mponya na akuna alie kufa akarudi akasema kwa Mungu pakoje ila imani ya mtu ndie inae mponya Mungu ni mmoja
@fatumaalisaid98162 жыл бұрын
Masha Allah,,,,,,I proud to be Muslim 🥰🥰🙌🙌😘😘😘
@marymrembomrembo78662 жыл бұрын
Kwa jina la yesu wagonjwa upona Amen
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Hahaaaa mbona wakati wa coronavirus hawakupona mpaka kanisa zikafungwa
@marywaithera51022 жыл бұрын
Mungu n moja.. twaenda wote mbinguni . Mbingu ni moja na jehanamu ni moja pia
@aishawangui66352 жыл бұрын
Huyo mama ni mmoja wawale hubadirisha maneno ya Mungu wakijua ..pahari anaona ukweli uabadirisha na maswali ndiyo wafuasi wake wasielewe chochote
@analyticalguru58512 жыл бұрын
Mashallah see the woman has no way out. Wakristo wabishani sana kama wayahudi waliomkata Isa (Jesus)
@jackiewayesu74262 жыл бұрын
“Let not your hearts be troubled. Believe in God; believe also in me. In my Father’s house are many rooms. If it were not so, would I have told you that I go to prepare a place for you? And if I go and prepare a place for you, I will come again and will take you to myself, that where I am you may be also. And you know the way to where I am going.” Thomas said to him, “Lord, we do not know where you are going. How can we know the way?” Jesus said to him, “I am the way, and the truth, and the life. No one comes to the Father except through me. If you had known me, you would have known my Father also. From now on you do know him and have seen him.” Philip said to him, “Lord, show us the Father, and it is enough for us.” Jesus said to him, “Have I been with you so long, and you still do not know me, Philip? Whoever has seen me has seen the Father. How can you say, ‘Show us the Father’? Do you not believe that I am in the Father and the Father is in me? The words that I say to you I do not speak on my own authority, but the Father who dwells in me does his works. Believe me that I am in the Father and the Father is in me, or else believe on account of the works themselves. John 14:1-11 ESV bible.com/bible/59/jhn.14.1-11.ESV
@husseinfarhiya4692 жыл бұрын
Huyu hata hajui anachokiongea nenda ukasoma vzur ndio ucomment hpo
@raliaabdi38812 жыл бұрын
Ur talking about new testament which is a Mzungu version,use old testament for u to know the whole truth .
@annettevuseletse29642 жыл бұрын
Let's believe in whom we trust and put first no one can take away what u have hold on it
@ladyshazshow32962 жыл бұрын
@@raliaabdi3881 why do you want him to read old testament hes making point
@jackiewayesu74262 жыл бұрын
@@raliaabdi3881 Jesus answered them, “I told you, and you do not believe. The works that I do in my Father’s name bear witness about me, but you do not believe because you are not among my sheep. My sheep hear my voice, and I know them, and they follow me. I give them eternal life, and they will never perish, and no one will snatch them out of my hand. My Father, who has given them to me,is greater than all, and no one is able to snatch them out of the Father’s hand. I and the Father are one.” John 10:25-30 ESV bible.com/bible/59/jhn.10.25-30.ESV
@musanike30792 жыл бұрын
Sheikh Kariuki Mashallah ukona Subra na huyo Mama.. mii hapa wacha tuu
@halimakalinga77642 жыл бұрын
MashaaAllah jazzak la kheri alhamdulilah kuzaliwa kwenye din ya haki
@kabaleracho17852 жыл бұрын
Alhamdullilah am am proud to be a Muslim
@ladyjamilamohammed25772 жыл бұрын
Exactly....Allah atujalie mwisho mwema🙏
@fatmazullu49332 жыл бұрын
Mama hajielewi! We unasikia au kuona maandishi na bado unajilazimisha ili tu ubaki kukaa na upotofu wako wa kusema Yesu ni Mungu! Khaaa wakristo wabishi jamani loh
@ladyjamilamohammed25772 жыл бұрын
Hataa...Allah atufundie..wasiyo mwamini Kwa Yy ndo Mungu mmoja...basi ataendelea kuwapoteza Hadi siku ya mwisho ..so yy hajielewi
@silviakahuya45262 жыл бұрын
Mkatee mkubali yesu ni mwana wa mungu alikufaa kwa ajili yetu Ili tupate huzima wa milele siku ya mwisho mtashangaa kuona akirudi tutende mema tumuone yesu
@adeladaudi87802 жыл бұрын
Wewe mama umebarikiwa Umemtetea Yesu mbele ya umati wa watu. Andiko linasema atayenionea aibu na Mimi nitamuonea aibu mbele ya baba Yangu! Hakika Mungu azidi kukubariki na kukuinua.
@shabansalee49242 жыл бұрын
Ukimuabudu binadamu mwenzako motoniiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@trophywilson72117 ай бұрын
Asimame Imara Wakiondoka wanaungua Moto
@trophywilson72117 ай бұрын
@@shabansalee4924na wanamwabudu Muhamad
@japhetthabit94282 жыл бұрын
Dada yangu hatukutumwa tumuaibishe yesu bali tuwaubiri mataifa habari njema kila aaminie ataokoka na kubatizwa na asie amini ataukumiwa, usibishane na walio laaniwa tayari, we ubili injili usishindane na mtu bila ya sababu ikiwa akudhuru Kwa neno lolote.
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@japhetthabit94282 жыл бұрын
@@fadhilaongezaongeza226 amen ubarikiwe pia
@salomemzungu63882 жыл бұрын
Ooh! yes asiyekubali kushindwa cmshindani.that why hawananga miujiza they just depending from witchcraft if their have problems or troubles,but the thing that i know is i will receive the miracles through my faith na kitu chakushangaza ni wakati kunamashindano ya Christian and Muslim,Muslim hupenda ubishi without the word of God or they Allah.
@japhetthabit94282 жыл бұрын
@@salomemzungu6388 hatukutumwa kushindana bali muhubiri injili, Mathayo 28:19-20
@fatumamnyenze96962 жыл бұрын
Wacha kutukana usilamu ww shoga pia ss tunatembeza dini ww ndea ulilaaniwa 👹😡
@theclan99512 жыл бұрын
God I'm your daughter! , I'll never betray you... And I want you to know that am proud to be a Christian 💒
@analyticalguru58512 жыл бұрын
No one needs to know that
@analyticalguru58512 жыл бұрын
God doesn't have children he has only servants if he had children hell would not be existing ok you can't burn your children ok
@Zsdaughter Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/q3jLhJ-VbrqAh6s
@nancymoraa84807 ай бұрын
Amen
@user-xh9su4qc6d2 ай бұрын
Poleni sana ma sheikhe zetu mna Kazi kubwa sana kabisa ,,Allah azidi kuwa hifadhi . Ao ku elewa Kwao niku gumu sana kabisaaaa😂😂😂
@rahmamkali28952 жыл бұрын
Alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu 🥰
@zainabuferrous34822 жыл бұрын
Kabisa
@theshafiqs2562 жыл бұрын
Alhamdhulillah,uislam ndo njia
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
mm nafutilia sana wakrsto hawana hoja n dhahir shaakir kuwa ukrsto n mıpango mıpango tu ya mwanadam na cıo din ya mungu
@reginamwikali21402 жыл бұрын
Hiyo uisilamu ndio uliopotea kabisa
@bedamligo48022 жыл бұрын
Imani si kama unavyodhania ndugu yangu
@melisahakatu25122 жыл бұрын
Amina amina wewe shekhe kilichokuleda hapo nini kama hukuchamwa na mwoto wa yesu
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Yesu ni nabii hana moto
@salmashukuru76272 жыл бұрын
Masha allah 🌹 namshukur allah baada ya kusilim nipo vizur naupenda uislam ni miaka minne sasa nimekuwa mwislam 💕💕
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Masha Allah Mungu akuhifadhi
@iam_mobam2 жыл бұрын
Woow MUNGU akupe afya our Lovelly
@ahmadsayyeed79102 жыл бұрын
Wow Maa Shaa Allah hongera sana
@shuwehaomar13702 жыл бұрын
Bora umeijua njia mapema
@sophianyangalio37962 жыл бұрын
MashaAllah
@josephndungu68052 жыл бұрын
Waaaaooow,,, kazi zuri Sheeehe wangu
@josephndungu68052 жыл бұрын
Asante sana sheikh salim
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Welcome brother
@maryamemmanuel18802 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah hakika hakuna dini ya haki na kweli ispokua uislam
@edwardntamaboko3414 Жыл бұрын
Dini ya kikristo ndiyo dini ya haki na uhakika
@gestinakuya81172 жыл бұрын
Jamani mimi nawapeni Pole waislamu wote mnabahati mbaya kuzaliwa waislamu ukweli nawambieni
@user-nf1ms4ke5k4 ай бұрын
Tukupe pole wewe uliezaliwa mkiristo, na mnaona WAz kuwa ukristo sio dini.
@husseinfarhiya4692 жыл бұрын
Alhamdulillah am proud to be Muslim walai dini y haki (ukweli)
@sarahmdindile43012 жыл бұрын
Katika Biblia maneno ya Yesu yanasema , Mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu hawezi kwenda Mbinguni bila kupitia kwake, kama huja mkiri Yesu kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu huwezi wewe moja kwa moja ni Jehanum ya moto uwe mkristo au mwislam ipo cku mtakuja kujua na mda utakuwa umeisha naitaman sana siku hiyo.
@husseinfarhiya4692 жыл бұрын
N mm natamani snaaaa ujuwe dini y kweli nia kiislamu walai hakuna mahali bible imesema dini y kweli nia kikristo
@mwanashaali48632 жыл бұрын
Hii njia ya kweli na uzima ndio imewatia tamaa poleni kashike udhu usujudie Mola wako god of the heaven and earth
@mildredkhagali83572 жыл бұрын
@@mwanashaali4863madiko yanasema usihapa kwa mbingu wala aridhi kwa sababu mbingu ni mahali Pake mtakatifu anapo keti na aridhi ni mahali Pake pa kuweka mikuu ikiwa unamkataha yesu hiyo heven and Erth ni baba yake alihumba sikulaum uko kibofu mungu a akufunguhe macho
@mildredkhagali83572 жыл бұрын
@@husseinfarhiya469 somo Yohana 6:35-36 wacha kua kibofu yule aliye umba mbingu na aridhi akakuhumba wewe katika tumbo la mama yako ndiye aliye mtumwa yesu Kristo hapa Duniani ili watu wote wamwamini wawache kutenda maovu na mungu alikua na uwezo wa kuzua asisulupishwe lakini alitaka wanayo pinga haki kama wewe wahamini ndio akafa akafufuka.siku ya tatu
@husseinfarhiya4692 жыл бұрын
@@mildredkhagali8357 ww hata hujielewa kabsaaa hakuna chenye umenifunza hapo
@kawtharalbarwani13372 жыл бұрын
MashaAllah masheikhe wetu Allah awabariki kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu muzidi kupigania dini ya haki mbele ya Allah inshaAllah Amiin
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Aameen ameen ameen sote
@hezronkipkazi99332 жыл бұрын
Mimi ni mkristo lakini huyu mama hajijui
@hezronkipkazi99332 жыл бұрын
naomba kujifunza Quran
@Awatee2 жыл бұрын
Amiin yaraby
@Awatee2 жыл бұрын
@@hezronkipkazi9933 Inshallah ALLAH akuongoze ingia you tube sikiliza tafsir ya Qur aan inshallah utapata uongofu
@mugabekashindi411110 ай бұрын
Tumufate yesu jamani alie kufa msalabani kwajili yaku ondoa Zambi zetu Sisi wana adam mimi na kufata yesu wangu nakupenda❤ sana Amen
@marthajovin59052 жыл бұрын
Hakuna anaejua anaenda wapi acheni ujinga na hakuna anaejua huko peponi , mnapotosha watu mungu ni mmoja. Tenda wema na ishi katika kweli
@sarahmdindile43012 жыл бұрын
Sisi wakristo tukifa kama tulimpokea Yesu kristo na kumwamini kuwa bwana na mwokozi wa maisha yetu moja kwa moja tunaingia Mbinguni na kama ulikuwa mkristo na mtenda mabaya moja kwa moja Jehanam
@mahatyussuf10742 жыл бұрын
Isaya 51:6 Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame nchi chini; maana mbingu zitatoweka kama moshi, Hakuna mbingu unasema mtaenda itakuwa moshi
@mwanashaali48632 жыл бұрын
@@mahatyussuf1074 jibu zuri sana
@jamesmgonda2 жыл бұрын
Kama ukifa unaenda moja kwa moja ..Yesu atarudi kuchukua akina Nani?? Una Aya kutetea ulichoandika??
@shabansalee49242 жыл бұрын
@@jamesmgonda ww nimchungaji nikupe zawadi ama
@jilloabdul80982 жыл бұрын
MashaAllah may Allah bless you more and give knowledge to spread Islam.
@mshihiliramadhani90882 жыл бұрын
Mashallah amiin
@user-du2fy5sd5u8 ай бұрын
MashaAllah TabarakahAllah Allah awape umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah😅
@lynnkyra41012 жыл бұрын
Mtashindana lkn siku inakuja,kila ulimi utamkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wetu.nampenda Yesu wangu
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Na usishahau Yesu ni mwisilamu hakuwa mkristo
@lynnkyra41012 жыл бұрын
@@salimdaawah123 Jesus was a jew not a muslim
@salimdaawah1232 жыл бұрын
@@lynnkyra4101 Jew tribe or a religion please any evidence
@lynnkyra41012 жыл бұрын
@@salimdaawah123 Jesus was raised as a Jew and remained Jewish and he never intended to create a new religion,,,,, He was neither a Muslim nor a Christian bcoz Islamic religion was introduced in the 7th century by Prophet Muhammad while Jesus came in the 1st century. Christianity was introduced after his death and resurrection.
@lynnkyra41012 жыл бұрын
Kila mtu amini kile anachoamini bible inatufundisha mtu haji kwa baba bila mwana so sisi tunamini kuwa hatuwez kwenda mbinguni bila kumkiri Yesu kristo na kutenda yaliyo mema.na siku ya mwisho Yesu anarudi
Yesu namba moja, mtu hawezi kufika kwa MUNGU kama hatapitia kwa yesu kwanza amin amin utapona asante...............
@damas56652 жыл бұрын
Amen
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Mamake Yesu pia alipitia kwa Yesu?????
@saraaudax81382 жыл бұрын
Amina
@DR.SAIFILLAH.5363 Жыл бұрын
Mungu gani uyo!??
@catherinemutindi50312 жыл бұрын
John 8 verse 12 inasema Mimi ndimi njia kweli na uzima. kando na yesu hamna uzima.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Sijaona mahali inasema kando na Yesu hakuna njia mbona unaongesha bibilia
@omarylukindo53062 жыл бұрын
Bora nimezaliwa ndani ya uislam,maana mkristo huwa anaujua ukweli ila kwakua kajazwa Imani potofu Basi hahami kwenda ktk ukweli
@carendeborah56872 жыл бұрын
Maana wewe ndo uliyewaumba ...wewe mtakatifu sana..kumbuka hamna aliyemkamilivu humu duniani unless quaran yakwambia wote ni wakamilivu.
@suzanaamisi2 жыл бұрын
Kbs 🙏 sisi wa kristo tuna henda mbinguni amen mama ubarikiwe
@alinaalina30892 жыл бұрын
Yesu Yesu ndagupenda sana kwenye uko usifiwe
@khadijakitsao54512 жыл бұрын
Wanalazima aungame vitu zauongo
@susanraphael58942 жыл бұрын
Amina wajina
@mohammedamour49302 жыл бұрын
Mbinguni hata ndege zinafika
@bedamligo48022 жыл бұрын
@@mohammedamour4930😢mh!
@rehemamjasambu99332 жыл бұрын
Mshukuru Allah kwa kukuumba na kuwa muislam maana amekupendelea tumshukuru Kwa kutenda mema
@wanjirubens2 жыл бұрын
i just love how east african coexist with their Difference in Religion without war Not like some Westafrica or middle east countries
@rbagha52802 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@sifajacky77792 жыл бұрын
Alhamdulillah kuona Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala amenitowa katika giza 🤲🏻
@yohanaazaeli38622 жыл бұрын
Weunaenda motoni kasome Vizuri anawadanganya Huyo jamaa na manenoyake
@sifajacky77792 жыл бұрын
@@yohanaazaeli3862Usijali kaka. Mwenye kuwa na funguo ya mbingu ao moto ni Allah Subhanah wataala Ya Hayy Ya Qayyum Ya Malik Ya Jabbar.
@jackiewayesu74262 жыл бұрын
@@sifajacky7779 wewe sio mwarabu dada usiongee lugha ambayo huijui yasemaje Soma Biblia utapata ukweli
@sifajacky77792 жыл бұрын
@@jackiewayesu7426 Asante kwa ushauri ila usisahau kuwa na wewe sio mu Israel wala mu Roman. dini zote ziko na walio zianzisha na sisi tukachukuwa uamuzi wa kuchaguwa dini tunayo rizika nayo. na mimi Alhamdulillah nimerizishwa na kuwa Muislam.
@zalhathasaid20602 жыл бұрын
@@sifajacky7779 Allah asimamie.imani yako mpka kufa kwako inshallah
@jamalathman62192 жыл бұрын
Huyo mama ako na shida ya ufahamu lugha, Allah amuongoze aijue dini yaki uisilamu
@susankushykushy42152 жыл бұрын
Ajuwee aje
@dulleyjuma8422 жыл бұрын
Amiiin na wako wengi wasiyojua ALLAH(SWT)AWAONGOZE
@eunicenthenya91252 жыл бұрын
Well done beautiful lady.Heko👌these fellows need alot.They only criticize the word as a group what of an individual.
@johnmwangi99432 жыл бұрын
I didn't want to comment but I will. We Africans are here urging about foreign religions which even those who brought it are now concentrating on development and well being of their people. I was a Christian but I'm no longer religious, I'm concentrating on doing the right and respecting the law!!
@watene79752 жыл бұрын
You're Right be Blessed
@saumukazungu5652 жыл бұрын
Ukweli nikwamba kati ya hii Dunia tunaomba mungu mmoja tu ispokua vitabu ndo vinakoroga watu
@monaishm94452 жыл бұрын
Kabsa Mungu moja Mungu ndo anajua achen kuba nanga maneno anae kufa anajua
@nooroman25352 жыл бұрын
MashaAllah Mashelhk yetu Asante kwa kazi nzuri lnalila wainalilai rajiuni
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Ni msiba sana Allah awaongoze hawa wakristo
@stellah38442 жыл бұрын
@@salimdaawah123 Siyo wote na si kila mtu anaijua bible au Quruan vnzur,,,,,,, Mungu wetu ni mmoja mbona mnasema wakristo hawajielewi kwasababu ya mtu mmoja au watu wachache? Achen hizo bhana.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
@@stellah3844 sawa
@celinemollel7662 жыл бұрын
Namshkuru Mwenyez Mungu kwa lman niliyonayo ktk vitu vya dunia usiwah jaribu kushindana na maandiko
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Ukweli lazima watu waambie hakuna anayeshindana ila ukweli unauma
@celinemollel7662 жыл бұрын
@@salimdaawah123 lakin siku ya mwisho utajisemea pekeako
@jastinisalonimolelijastini75872 жыл бұрын
@@salimdaawah123 nyie waislam mnataka sisi wakristo tukuje upande wenu Lakin mtazubiri sana mungu Atabaki kuwa mungu bwana yesu Asifiwe
@demycratia25672 жыл бұрын
Binadamu wote waelewe kuwa MUNGU NI mmoja ila mwendako hamkujui
@mohaali12312 жыл бұрын
Masha Allah Adinul Nasteh
@mamumiyaskitchenvlogs58582 жыл бұрын
Maskini Allah awatowe katika kiza. Mswiba wallahi
@mightlybeloved67632 жыл бұрын
Hilo andiko ambao mumesoma kwanza linawachapa nyi waislamu vile tayari mumekubali kwamba Yesu alikufa na akafufuka. Kama hamuamini alikufa na akafufuka mbona mnaamini sehemu moja ya hio maneno alisema .
@duncanamadi69212 жыл бұрын
Spiritual things are spiritually discerned. The carnal mind cannot comprehend it. Jesus is the Way, the Truth and the Life. No one cometh to the Father except by him(Jesus Christ)
@analyticalguru58512 жыл бұрын
Wewe Wacha kuita akili zetu carnal kama yako iko sawa jibu maswali aliyoulizwa mama huyu ktk vedio kama ww dume jibu na toa dalili sawa mama anapigwa na Matthew pekee 🤣💥
@husseinsheikh61232 жыл бұрын
Mashaallah jazakallah kheir Sheikh Salim and Sheikh Hassan may Allah gives you good health and long life ❤
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Aameen ameen ameen all of us
@yusufhabimana40932 жыл бұрын
sheikhe wew nakukubari nawengine wahadhili
@yusufhabimana40932 жыл бұрын
allah atawaripa kwakazi mnayoyifanya ngumu bujumbura tunawapata 100%
@yusufhabimana40932 жыл бұрын
biragusahau d.d habb mazinge
@mjitahidiomary87332 жыл бұрын
Nawpenda sana alla atajalia izaahja
@nailejilejimollel77622 жыл бұрын
Mungu yupo na anatutetea wakristo amen
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Mungu mgani???
@damas56652 жыл бұрын
AMEN
@jannyrose53672 жыл бұрын
@@salimdaawah123 WA Abraham, Issac na Jacob,Wala soo Mungu WA Muhammad WA kuslimisha shetani na majini 😭
@alunasozi56762 жыл бұрын
Yn hata iwejeeee mm ntabaki kuwa mkristo Im proud to be christian ,,,
Mama anajichanganya😅🙌anaulizwa swali hajibu ipasavyo🤝🇹🇿
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Allhamdulillah kuwa Muislam. Allah awaripe pepo mashehe zetu kwa kuwaringania wasiyojua
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Aameen ameen ameen
@andreaotaigo402 жыл бұрын
Yohana 14:6 - Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@promyomari31922 жыл бұрын
kweli dungu yangu
@andreaotaigo402 жыл бұрын
@@promyomari3192 ubarikiwe
@fatmazullu49332 жыл бұрын
@@promyomari3192 Tatizo hamfuati matendo yote ya Yesu, badala yake mnachagua ya kufuata na ya kuacha!
@stephenstevo57992 жыл бұрын
@@fatmazullu4933 kwahivyo unamaanisha nyinyi mnafuata yote na you guys you are perfect that you never sin
@jannyrose53672 жыл бұрын
Hakuna njia nyingine asema Alfa na Omega?
@asiathoya76602 жыл бұрын
Yesu wangu ananitosha. Only Jesus is the way to heaven
@sophiamakani61332 жыл бұрын
YESU ANAWEZA YOTE APEWE SIFA
@analyticalguru58512 жыл бұрын
Hawezi bila Mungu na yy ndiye kustahiki sifa ona maneno ya bibilia inawaponza wapi mmeona Quran na makosa hukumu ni ya Allah soma dini ya Uislamu na ukristo bila kiburi kwani Hawa wachungaji ni maumbwa Isiah 56: 10 sawa si mm nasema ni bibilia yako unayoamini ok
@mshihiliramadhani90882 жыл бұрын
@@analyticalguru5851 waambie hawaeleweki na wamepotea
@janugabu80992 жыл бұрын
Nyie wote waisilamu acheni kucheza na Mungu aloe hai mtakufa huo mda ni Bora mkatubu kuliko kupotezza muda hapo kwa kumkebehi Yesu sasa hivi ni mda wakujitakasa hiyo mnaemkebehi atarudi muda so mrefu wanafki nyinyi
@lailatuahmadi65252 жыл бұрын
Yan mnachokosea nyie ni ile kumfanya sjui yesu ndio mngu yesu sio mngu ata iweje. Mngu ni mmoja na wala hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika ata mmoja. Ndo mana kwa sisi waisalm tunasema hapana mollah apasae kuabudiwa kwa haki ispo allah na hakika mtume mhammad ni mtume wake.
@claudemofi4652 жыл бұрын
Wewe tafuta mwalim Dashi akufunze neno la Mungu achana nauyu mama tafuta kidume mwenzio.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Mwambie atutafute kama yeye kidume
@samikadar2 жыл бұрын
Sheikh Ngugi. Strong bro InshAllah. Allah SWT Awazidishie nguvu jamaa mko jihad hapo.
@puritynaima70002 жыл бұрын
Ss munavunza amri za mung;unahukumu mwenzako kabil ww hujahukumiw;
@fatumamwalimu57652 жыл бұрын
Masha Allah, mashekh wetu Allah awape afya njema
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Aamiin amiin amiin pia wewe
@jumanjenga76822 жыл бұрын
Masha allah.watching from Boston USA
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Masha Allah May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Almighty Allah put baraka on it
@nubianqueen67002 жыл бұрын
Chicago Illinois! Asalam walaykum warahmatulahi wabarakatuh kaka!
@rukiaismail2569 Жыл бұрын
The best thing we need to do is to listen and understand.this can guide us
@shamsanassoro98222 жыл бұрын
MaashaaAllah mashekhe wetu huyo mama hawez kuelewa kamwe,anachoongea hakielewi, najivunia kuwa muislam, ameshindwa huyoooo, uislam nirahaaa
@andreaotaigo402 жыл бұрын
Yesu ndie njia kweli na uzima njooni kwake nyote mpate kuokolewa
@budapest85962 жыл бұрын
Allah awaongowe
@vigilantmystic37342 жыл бұрын
This is lively.. letting them express their freedom of religion
@maimunafzaka8802 жыл бұрын
Babangu alislimu. Nikajipata nimezaliwa muslim... kila siku namuombea dua.. yani nashukuru sana ata siwezi kuimajin ati ningekua mkristo... yani namshukuru Allah kila siku
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Masha Allah ulipata neema ya uisilamu
@Bntv-49282 жыл бұрын
Tatizo Huyo Mama Hana uelewa mpaka na Dini husika anayeipambania ,,, huwezi weka hoja ktk masuala ya Dini endapo huna uelewa Mpana.... Uje uulize wap tunapelekwa kwa wale wenye uelewa Mpana....... Ipo hivi ndg zangu waisilam.. sote tulioishi ktk Imani njema na kufuata Yale Mungu anayohitaji tufuate.... Basi tutaenda Peponi/ kwenye mji wa uzima wa milele huko hapana Magonjwa wala taabu ya aina yeyote .... Ndo maana hata hua mnaona wachungaji wanapokua wanafanya mazishi ya mkristo mwenzao ... Nanukuu..... Mungu ametoa na Mungu ametwaa Jina lake lihimidiwe,,,, Mungu na ailaze Roho ya marehemu Mahala pema Peponi.... Kwahyo tutaenda Peponi ... Huyo ndg yetu mama. Kdg hajajibu ilivotakiwa
@anitamwende83292 жыл бұрын
Indeed it's the end of the world,wanangu mumekosa maandili,how can you compare the power of God forgetting we are all created by one supreme God, religion will not take you to heaven nor "peponi" may God forgive you ,
@hudaaalhussein38412 жыл бұрын
Mungu hkuzaa wala kuzaliwa wala hjafanana na kitu chochote
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@gettyjusa33522 жыл бұрын
Lakini ana uwezo wa kuwa kila kitu atakacho wala hapimiwi kiwango
@ramzanqarim49772 жыл бұрын
Huyu mwanamke hataki kujua maana kama hajaelewa jibu anaelezwa anauliza swali lingine sasa atakaa hapo na hatajua alicho jifunza hapo
@imammwangauri9326 Жыл бұрын
Walimu wangu mungu awajazie kila la heri kwa juhudi mnayo ifanya na malipo yenu mtayapata siku ya malipo
@mrsomeone77282 жыл бұрын
Hakuna mwanaume kama yesu na hakuna mtu yoyote atakuja kua kama Yesu. Hatukatai kuna manabii wa uongo ila ukweli ni kwamba Yesu ni yule yule jana leo na hata milele. Bwana yesu asifiwe.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Eti hakuna mwanaume kama Yesu ulijua aje wakati hata hakuoa
@rehemaabinelynyagawa28782 жыл бұрын
@@salimdaawah123 pole sana mpo kimwili kuliko kiroho zaidi mambo ya rohoni si kitu kwenu
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
Mat11:28.Njooni kwangu ninyi nyoote yani pamoja na ninyi mnaobishana hapo, msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.mnabishania imani ninyi mna Mbingu? huo ubishani ni mzigo utueni kwa Yesu mkae na amani ya Bwana.kubishana huko ni kokosa uhakika wa Imani yako.badilikeni na mjue mnamkosea Mungu.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Hahaaaaa yani mkristo akikosa hoja anaanza hizo
@zarubiambonde89862 жыл бұрын
Mashaallah ♥naupenda uislam
@biberpriyer3302 жыл бұрын
Hahha mama amekosa kazi ya kufanya kubishana kwa evidence hawezi akapike vitumbua na kkuuza uji😂😂😂
@motherteresa84692 жыл бұрын
Dada ni hivi,new Jerusalem hiko mbinguni, Hakuna njia nyingine ya kwenda mbinguni kumuona Baba hila kupitia kwa yesu Kristo.That new Jerusalem hiyo siku za mwisho itashuka kutoka mbinguni.Ndiyo maskani ya mungu pamoja na wanadamu.Amen.