Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ruthhamisi29022 ай бұрын
Nimelia sana,mama mtoto alivyoongea,nikakumbuka neno la mungu linasema mpende adui yako, muombee anayekuudhi na wala usimlaani
@florarwegerera80252 ай бұрын
Hiyo ni kesi ya Serikali, mama umefanya jambo kubwa sana mbele ya Mungu kwa kumsamee huyu dada
@batistamngullu92352 ай бұрын
Hapa Pana funzo kubwa sana kuhusu msamaha! Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kusamehe, namuombea mtoto apone na arejee katika masomo yake.
@joycehaule97172 ай бұрын
Hallelujah hakika moyo ni wa Mungu kusamehe ni MOYO WA MUNGI HASWAAAAAAA
@givenessdavid37432 ай бұрын
Sijawahi ona Upendo wa namna hii....... Watu wazuri Bado wapo 😢😢😢😢😢Mpaka nmelia
@skeetergodwins25762 ай бұрын
Ubarikiwe dada. Hakika huu ni moyo wa Mungu
@MfaumeAdam-e9r2 ай бұрын
Mungu awabaliki sana kwakusamehe
@ellykawa47552 ай бұрын
Hii familia inamtegemea sana Mungu kwa jaribu hili kubwa kubwa sana bdo wana imani ya msamaha kwa dada kwa kweli mkono wa Mungu na neema zake zisiwapungukie maana wameshinda jaribu
@fransicanikodem36842 ай бұрын
Poleni sana wazazi.Mwenyezi Mungu ampe mtoto uponyaji.
@EdnaJohn-c5x2 ай бұрын
Dada una moyo wa kipe kee sana uchungu wa mwana kweli au juae mzazi lakini acha seli kali ifanye kazi yake pole sana na mungu aku tie nguvu
@kissakayuni7672 ай бұрын
Asante muheshimiwa Rais wetu kwa msaada wako Mungu akutunze daima.
@agneskaseya84732 ай бұрын
Pole sana mzazi mwenzangu mwene mtoto m1 kama mimi kweli wema wako wa kuweza kusamehe toka moyoni kweli mungu karudisha kwa namna yake hilo lilikuwa ni jaribu na ukweli mmeshinda jaribu kama ibrahim baba wa imani na mtoto atapona kwa jina la mungu alie juu...AMEN
@christopherkaroli93652 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu Mungu akutie nguvu, tuzidi kumwomba Mungu azidi kumtetea na kumponya mtoto, pongezi za pekee kwa rais yetu mpendwa na jeshi la polisi kwa juhudi zao
@loner_wolf2 ай бұрын
Serikali ni yetu , mtoto ni wetu na rais ni wetu na mtuhumiwa ni mtoto wetu na hapa ni kwetu . Together we can , strong we shall stand . Over❤❤❤❤
@givenessdavid37432 ай бұрын
❤❤❤
@محمدالقايد-د6ب2 ай бұрын
Asante Raisi wetu mzuri ubarikiwe Sana na Mungu
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Mashaallah' dada una roho nzuri sana ' nimekupenda Wallah' ALLAH Akulinde
@umsulaiman74682 ай бұрын
ManshaAllah mama ake Malik Allah akujalie moyo wa subra na moyo wakusameh Jaman una moyo mpana mh ah huyo akimsameh asije kumuuwa hata hivo mama Malik kuwa makini Kwa huyo ulio msameh adui Ni adui tu hatobadilika kamwe
@MarryquizetShirima2 ай бұрын
Mungu akamponye huyu mtoto na mungu aendelee kuwapa wazazi wepes wa kusamehe hivohivo
@piomallya99992 ай бұрын
Daaah Baba na mama huyu wana Roho wa Mungu ndani yao na upendo wa kiMungu. Tunamweka Mtoto kweny sala zetu atapona kwa rehema zake mwenyezi Mungu.😢😢🙏🙏🙏
@FatumaMombo2 ай бұрын
Msamaha unanguvu sana katika roho ya uzima Mungu akaachilie roho ya uponyaji mtoto apone na arudi nyumbani kwa wazazi wake
@ZulfahMuhammad2 ай бұрын
Alhamdulillaah huyu Mama yuko na roho zuri sana kwakweli na Mola akuhifadhi na mtoto wake ampe afya njema ❤
@barakaalex89122 ай бұрын
Mungu akupe wepesi was maisha Asante
@AishaAisha-r7t2 ай бұрын
Dadaa munguu akubarik wewe unamoyo wakipekee sanaa nashukuru tutambuakuwa sie binadam siwakamilifu❤❤❤
@VivianMorewin2 ай бұрын
Mungu awabariki sana,tunamuonba mungu aponye mtoto apone
@LucyChengo2 ай бұрын
Haki dadangu umefanya vizuri sana kufungua moyo wako na kumsamehe dada Yako wakazi mungu atakufanyia wepesi Kwa kila jambo
@JeniphaJohn-h8q2 ай бұрын
Pole sana dada mungu azidi kulinda familia yko
@LuteMussa-tg1rv2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu dad 🙏🙏
@user133752 ай бұрын
Hii familia itafika mbinguni❤❤❤
@zuhurahamisi86872 ай бұрын
Shukran mpenz
@HamidaAhmad-jd5zi2 ай бұрын
Maashalah maashalah iaumiza ila Allah akulipe kila lenye kheri mama wewe kwel una ofu ya mungu na Mungu tunamuomba amponye mtoto wetu harud kuwa na afya kama zaman. Mungu akupe moyo wa subra
@wisemaliva53762 ай бұрын
Dah imenitia huruma dada uliposema nimemsamee dah dada mungu akutie nguvu
@avernegervas58392 ай бұрын
Yan nmejikuta nalia maskini cjui ni nini kimeikumba hii familia mtoto mwenyewe m1 jaman mungu tutie nguvu,,@@SamiraameirSamira-qt9yn
@SaumuAlly-lc8fw2 ай бұрын
Pole sana dada mungu akupe uvumiliv amponye mtoto
@DoreenMlay-e8g2 ай бұрын
jaman dada pole mungu akupe hekima zaidi ni wachache wenye moyo kama wa huyu dada
@AnnaSanga-bs7pl2 ай бұрын
Ubarikiwe kwa moyo wa msamaha
@GdFf-ik2eo2 ай бұрын
Mungu awabariki Wazazi WA huyu mtt Kwa kusamehe DD WA kz
@HappyGershon2 ай бұрын
Hakika Mungu ampoganie huyu Mtoto jaman, Wazazi kwakweli Mmeichukulia KiMungu sana Mungu awatangulie na kuwatetea Pia Mmekuwa Mfano wa Kuigwa Kabisaa
@beinafuu62192 ай бұрын
Asante
@basilisamsaka84692 ай бұрын
Moyo wa kusamehe ni wa Mungu
@BeibyDy2 ай бұрын
Nashukuru sana dada Kwa Imani hiyo dada mungu akubariki mungu atakuokoa nauovu wadunia hii kama lutu
@elizabethdamas-zp9xl2 ай бұрын
uyu mama ana imani sana aiseh na ana hofu kubwa ya Mungu daah sijawah ona🙌🙌🙌
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Dada Mungu akutunze saana my dear
@maymunahomar50162 ай бұрын
SubhanAllah! Mungu amjaalie shifaa mtoto hali yake irudi kuwa njema.🤲 Mungu awabariki wazazi wake kwa kuamua kumsamehe huyo dada.
@beatricehenry67762 ай бұрын
Una Imani sana M/Mungu akupende zaidi
@FortunataNguma2 ай бұрын
Hawa vijana Mungu atawalipa mara 2 kwa moyo wa msamaha Mungu awabariki
@winfridamushimushi70252 ай бұрын
Pole sana jmn my dr Mungu akutie nguvuu
@MichaelWilliamsNyirenda2 ай бұрын
Dada Mungu Wakubariki sana huo musamaha Mungu amependweza na ww pia mtoto nae naamin atamuponya
@umfahad26092 ай бұрын
Mama Samia tunakushukuru saana kwa kuwajali raia wako. Hasa wakati wanapo patwa na matatizo. MUNGU akupe umri mrefu MAMA.❤
@AmisoMuyohira2 ай бұрын
Pole sana dada juma kutoka burundii 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 inasikitisha sana
@MwanamisoAbdallah2 ай бұрын
Weee masha Allah masha Allah una roho y utu masha Allah ❤❤❤❤❤
@AminathaShamte2 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu, mungu amfanyie wepesi mtoto wetu
@LilianMoyo-wf2yq2 ай бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
Mungu. Wetu akutieguvu namwanao apone unamoyo wauvumilivu sana ubalikiwe dada
@AshaMalonga2 ай бұрын
Pole sana mwanangu mungu atakujalia mwanaoatapona
@abdallahsaidi31962 ай бұрын
Asante sana mama yetu samia kw kutushika mkono. sisi jambo hili likikuwa gumu mn.
@VumiliaMajoro2 ай бұрын
Pole sana familia mungu akutie nguvu mtoto apone , kiukweli mnamoyo mzuri sanammemsamehe bint wakazi mungu awazidisjie muendelee namoyo huo niwachache wenye moyo Kama yenu
@joyceatupele88482 ай бұрын
Kwa njinsi ulivyo msamehee huyu bint japo kuwa si lahisi hi vyo na Amina mungu atashugulika na Mambo yako mungu amponye mtoto 😊
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
Poleni kwahayo mungu atawasadia kaka
@PendoGodfrey-lu2pm2 ай бұрын
Dada utafika mbali Sana,kimaisha.kwamoyo huo ulio jaa upendo.
@MagrethLonje12 ай бұрын
Mungu amponye mtoto mapito megi sanaa
@FatumaJuaje-nc7om2 ай бұрын
Mwenyezi mungu atamponya mtoto wenu kwa hizo roho ridzo zenu nzuri 😢nimejifunza
@SalumuJuma-q3x2 ай бұрын
Hongera sana Kwa kujuwa kama mungu yupo naawape nafu ya hiyo mtoto
@JulianaPaschal-y4h2 ай бұрын
Pole sana,mwanamke mwenzangu...
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
dada anaonekana anaroho nzuri sana sasa sjui mfanyakazi kilimkuta nini hadi kumfanyia hivo madame wake mtu mzuri hivi subhan allah
@jemimabakari2 ай бұрын
Mapepo sijui😢
@betrackjasson66982 ай бұрын
Nimeelewa point yako ndugu ila vitoto vya kiume uwa vina ubishi fran inaonekana alikuwa mletea zalau fran labda kumtishia kisu ntakuchinja mm grafra kikapita
@Pixxmoleli2 ай бұрын
pole sana dada.Mungu atulindie watoto wetu
@ImeldaIsdory2 ай бұрын
Kazi njema sana Imelda. Mama Malik Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@rosehaule67652 ай бұрын
Pole.sana ukisamehw na ww Mungu anakusamehe nawe na.pia unapata uponyaji wa moyo.. na.mtoto wako atapona vizuri acha tumshukuru Mungu tu maana sote tunazaa hata atujui nini shida hawa watoto wa Sasa wana shida gani wa.ekuwa wakatili mnoo Mungu awabariki mnoo kwa msamaha mliotoq😢
@ebenazentahontuye84552 ай бұрын
Mungu akupiganie mwanao atapona
@LevinaMuimbura2 ай бұрын
Mungu aponye na amutie nguvu
@salmaathumani93812 ай бұрын
Mashaallah Mama Mzazi Allah Azidi Kukupa Moyo Huo Huo Wa Kusamee
@RevinaFrancis2 ай бұрын
Pole sana KWA matatizo mungu akutetee na ongera KWA moyo wa kusamehe ukisamehe mawe utasamenewa
@PendoGodfrey-lu2pm2 ай бұрын
Katika msamaha Mungu Atakulipa Dada
@SophiaMahala2 ай бұрын
Pole my dada,naogopa na mm ndo kwanza na katoto kamoja mweee wanadamu mungu amponye mtoto kwa jina la yesu Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AnithaSimon-u9e2 ай бұрын
Vuzuri my kwamsamaha uho ulotoa mungu amponye uyomtoto🙏🙏🙏🙏
@milletyjumaa23712 ай бұрын
Dada pole sn yan mm mwenyewe najikuta nalia mungu afanye wepesi katika hili
@christinakiula37432 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa wazazi kwa kuwawezesha kusamehe na kuachilia. Tunamwombea mtoto apone haraka kwa uwezo wa Mungu.
@Eleonora-ei6yx2 ай бұрын
Upendo hauhesabu mabaya 1cor 13:Hii familia wameonyesha uoendo wa Mungu kwa kiwango cha juu sana
@MariamPosian2 ай бұрын
Poleni sana mungu awajalie muwe na moyo huohuo na pia mungu amjalie mtoto apone
@MwanaHamis-y4e2 ай бұрын
Mungu aweke wepesi mtoto apone
@faridaaloyce43302 ай бұрын
Mungu anafanya jambo jipya kwa mtoto na familia nzima hongera kwa kumsamehe dada
@peninamwailunda88132 ай бұрын
Abarikiwe mama Samia Kwa moyo wa upendo wa kusaidia
@FatmaHaji-sf6xq2 ай бұрын
Pole sana mama allha atampona mtoto Mungu tulindie watoto wetu
@EsterMkude2 ай бұрын
Pole sana dada
@DxbYae2 ай бұрын
Mungu awasimamie sn wazazi kwa moyo wa upendo....kwa kumsamehe dada...haya kz ipo kwa serekali
@kessynurutajiri49402 ай бұрын
Jamani hii familia ya gani? Shukran za kipekee kwanza wamshukuru sana Mwenyezi Mungu, yeye ndiye kila kitu kwetu. Hakuna zaidi ya yeye, halafu tambueni Mwenyezi Mungu ameenea Mbinguni na Ardhini .
@AshaJuma-s7l2 ай бұрын
Nakupenda Imelda Mtema. Upo vizuri katika habari
@AholeLifilima2 ай бұрын
Hongera odo umi mwalimu na mama samia
@kissakayuni7672 ай бұрын
Shani Mungu akubariki sana maana una moyo wa kipekee pamoja na baba wa mtoto nyie kweli hofu ya Mungu ipo moyoni mwenu.
@beatricehenry67762 ай бұрын
Hii familia Ina utulivu na hofu ya Mungu Jehova
@JasmineBrown-sq3wz2 ай бұрын
Mh unarah mm mim siwez mungu akulinde
@elizabethmhapa36582 ай бұрын
Daaaa! Kumbe uhuni sio tabia mbaya
@Afyabora14122 ай бұрын
Respect for you Mama Mzuri Rais wetu ❤ Kwa upande wangu kama ningekuwa Mama mzazi wa Malik ningemsamehee ila serikali ifanye kazi yake fimbo inafaa kwa mwana mpumbavu.
@piusmdoe32002 ай бұрын
Yah! Nimewapenda bure.Moyo wa ujasiri,moyo wa uvumilivu,moyo wa kusamehe
@ttss77162 ай бұрын
Mama samia hoyeeee wako na imani sana hiyo familia❤
@AffectionateCabezonFish-ku5ee2 ай бұрын
Dada munguna akubari sana kwa moyo huo umepitia kwenye andiko la samehe 7 mala sabini
@julianapatrick79112 ай бұрын
Mungu simamia Nchi na watu wote😢😢
@RoseMbise-rw9sz2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu dada wew ivi viatu ni vigumuuu mnooo
@jamesswai65832 ай бұрын
Mm nilichojifunza ni kusamehe. Ata uponyaji huja Kwa kusamehe.
@annnafula74762 ай бұрын
In God nothing is impossible
@Deogratiusvicent2 ай бұрын
Mungu awafanyie wepesi kwakweli
@Sharifakhamis-vx2ne2 ай бұрын
Mungu awalipe jamni , sote tunamuombea mtoto awe sawa