Pole sana fabi maneno ya mkosaji hayo wewe mwachie mwenyezi mungu Kama hajakwambia ya mtu fulali wewe ufanyeje achana nahao wanafiki wanaoongea hivi ndo hata mia hawatoi
@firdaus742818 күн бұрын
Maskini Fabi wema unakuponza usijali kuambiwa maneno makali, nguvu zako Allah atakulipa ,subra muhimu.
@zuwwnaramadhan694117 күн бұрын
kaka fabi pole sana brother piga kazi bro achana na hao wavimba macho
@hyy411418 күн бұрын
Ndg yng fabi usisikie maneno ya binadamu siku zote hatuna kheri Kikubwa ww angalia usivuke Amri za Allah Kwan yy Allah ndo anaekuona
@hamidaalhabsi856815 күн бұрын
Binadamu tunapenda sana kutuhumu wenzetu ubaya nawanapenda wenzao kuwaponda hembu tuacheni kulaumu wenzetu
@asiasalim932316 күн бұрын
Daaaah ni mtihan wallah pole Sana Fabby ndo changamoto
@user-yd2dw5nt7r17 күн бұрын
Wewe simaskin Allah atakubariki
@HalimaOmary-fq5so18 күн бұрын
Sawa,kaka kila kazi inachangamoto,ila,usikate,tamaa
@AminaLibisa18 күн бұрын
Fabi achana nao hawajui chochote wanacho kijua wewe fanya unavyo ambiwa na watoaji wanafiki tu ao wanao sema Wala hawajawahi kutoa chochote zaidi ya kukomenti tu
@FatimaAli-of4gh18 күн бұрын
@@AminaLibisa Kama ninavokuona kwa comment kila kona umo hujambo lakini
@AminaLibisa18 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh sijambo alhamdulilah labda wewe mpendwa uko poa!
@naimatanzania18 күн бұрын
Faby piga kazi achananae hyo anae comet na kumtukana yule bibi wa watu bibi yule anabahat ya kusaidiwa
@user-dx1hz3ow7k17 күн бұрын
Pole kaka angu aliyeongea vile achana nane ajui aliongearo mana ww unawatamgaza walengwa wenye kuhitaji kusaidiwa na unachopewa iki kiasi flan peleka sehem fln inatakiwa kweli ufate yale maagizo baibi Fahadi Ana bahati yake tu ameshushiwa na Allah wengi sana tim yk inamp3nda sana ht mm tu ipo siku nitafika kwa bibi Fahad inshaallah tuombe uzima Allah atakulipa Fabi
@user-vs7vv7xd2f18 күн бұрын
Pole sana Fabian nimeumia sana lakini achana nao hao wenye wivu na soho mbaya sie wengine tunakuelewa
@omanmct13518 күн бұрын
Binadamu wana maneno sana wache kaka
@cecyngitu475214 күн бұрын
Nimeumia jamani
@cecyngitu475214 күн бұрын
Tumsaidieni mama zawadi jamani nawaomba
@user-xk7vy4gb6g17 күн бұрын
Kila mtu na riziki yake kwahyo watu wasimlaum fsbi kikubwa tujitahidi kumchangia huyu mama jamani
Mie sijui ni coment nin hiv unaona maisha magum bado unabeba mimba jaman ifike mda tujielew japo din imetuamrisha duu sh8da kajitakia mwenyeq ban mie mwenyeq maisha kam haya niliwah pitia lak8n sikuendelea kuzaa ten nilitulia nikajipambania sai maisha siyo ma baya lakin ningeendelea kuzaa sasa nyumba ya chumba kim9ja na seble ndo unasem milion nne kweli duu chumba kimoja bat 10 bat 10 shingap duuh mtihan napita tuy sipo hata kidogo
@FatimaAli-of4gh18 күн бұрын
@@omanoman2044 Mimi niseme tu hao wanaotaka michango tatizo hakuna anaejiendeleza unapewa unatumia una maliza shida ipo pale pale ifike pahali tutambue ya kwamba abebwae hujikaza lakini tokea day one mtu kila siku anaombewa misaada inakuwa ndo maisha yake yote sio mzuri at list iwe kama wale wengine akipewa atafute japo andazi apike sio wanakaa tu na hawana ulemavu jamani jamani watu huku nchi za nje tunafanya kazi ngumu kazi za kushenzi tungekuwa bongo tunabandika kucha ,kope na tunabafilisha mawigi huku wenzenu tunaumia kazi
@FatimaAli-of4gh18 күн бұрын
Nimeiona ile comment uliyoambiwa wewe ni mnafiki ulivoenda kwa bibi fahadi
@hyy411418 күн бұрын
Na alikoment mpk maneno machafu tu Yule dada mpk anamwambia Kazi yako kwenda kwa Yule bibi ana mdomo sijui kama chiriku kama sijakosea alisema hv sisi wanawake tuna maneno ya karaha sana kama mtu unajiweza ni kujitolea tu na kumsaidia mtu lkn so maneno ya kashifa
@user-xk7vy4gb6g17 күн бұрын
@@hyy4114 ile komment hata mimi niliona nikabaki mdomo wazi
@omanmct13518 күн бұрын
Pole kaka yangu kama mimi siwagi nabahati Pole san😢