MTOTO ALIYE BAKWA AMLIZA RC MAKONDA "KANIAMBIYA ATANIUA NIKISEMA""AKAMATWE LEO APELEKWE MAHAKAMANI"

  Рет қаралды 368,629

Adil TV

Adil TV

16 күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 537
@JenniferJohnmshi
@JenniferJohnmshi 9 күн бұрын
Mungu ushushe moto juu ya wanaobaka watot wet
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 13 күн бұрын
Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 10 күн бұрын
Aamin
@heriethsixbert475
@heriethsixbert475 12 күн бұрын
Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 10 күн бұрын
Aamin
@innocentinyasi9198
@innocentinyasi9198 9 күн бұрын
​@@shanimbaruku2071Watu wanarohooo mbayaaa sanaaa daah 😢😢😢
@Walesi-e4v
@Walesi-e4v 9 күн бұрын
Pole sana mdogo wangu maisha kazidiwa
@Walesi-e4v
@Walesi-e4v 9 күн бұрын
Yaenda kuungua
@FaudhiaAbrahaman
@FaudhiaAbrahaman 8 күн бұрын
Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
@StelaJohn-nj5yf
@StelaJohn-nj5yf 12 күн бұрын
Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.
@TwahaMaziku
@TwahaMaziku 13 күн бұрын
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 9 күн бұрын
uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu
@mohamedelmi7435
@mohamedelmi7435 14 күн бұрын
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
@mejamiela7436
@mejamiela7436 14 күн бұрын
Alhamdullah
@rukiangilla3113
@rukiangilla3113 13 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 13 күн бұрын
Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 13 күн бұрын
Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri
@vickhongole6611
@vickhongole6611 12 күн бұрын
Asante
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 13 күн бұрын
Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother
@esterjoseph6075
@esterjoseph6075 4 күн бұрын
Umeoneeehh makonda oyeeeeee
@mwajumasakina9599
@mwajumasakina9599 13 күн бұрын
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
@allykagawa
@allykagawa 13 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@PrincessNechi
@PrincessNechi 11 күн бұрын
Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 10 күн бұрын
Amen
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 10 күн бұрын
Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 10 күн бұрын
Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 10 күн бұрын
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
@user-xt7ue1jo9x
@user-xt7ue1jo9x 13 күн бұрын
Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 10 күн бұрын
Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,
@amanihenry7981
@amanihenry7981 10 күн бұрын
Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha
@nancyg8664
@nancyg8664 10 күн бұрын
😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa
@esterlucassolah8823
@esterlucassolah8823 9 күн бұрын
Exactly
@user-ns4oj9cw1j
@user-ns4oj9cw1j 9 күн бұрын
Anyongwe akikamatwa
@atuswegemposi1668
@atuswegemposi1668 11 күн бұрын
Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako
@user-vg7gh6df9w
@user-vg7gh6df9w 14 күн бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako
@muhammadmpahi338
@muhammadmpahi338 12 күн бұрын
Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi
@user-rt8ox1ht1m
@user-rt8ox1ht1m 9 күн бұрын
Kbsa ukianglia hki yko IPO hrf wanalet ubabaifu mwisho unachukua htua mkonon
@mamymoria4267
@mamymoria4267 7 күн бұрын
Kabisaa
@relaxstarman981
@relaxstarman981 11 күн бұрын
KWANINI HUYU JAMAA ASIPEWE URAISI ATUTETEE WANYONGE🎉🎉
@gloriamagoma5583
@gloriamagoma5583 10 күн бұрын
Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....
@melinawilson1383
@melinawilson1383 3 күн бұрын
Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni
@hassanalshaqsi6707
@hassanalshaqsi6707 14 күн бұрын
Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda
@MannesamEmmah
@MannesamEmmah 9 күн бұрын
Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 12 күн бұрын
Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.
@neymantz
@neymantz 9 күн бұрын
Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉
@Ramakhanmalone-lz3qw
@Ramakhanmalone-lz3qw 7 күн бұрын
nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 9 күн бұрын
mahakimu wote kukumamee zenuuu....
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 13 күн бұрын
Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿
@reginamushi
@reginamushi 4 күн бұрын
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
@annamtapila5761
@annamtapila5761 12 күн бұрын
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
@MariamJames-b5x
@MariamJames-b5x 13 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 8 күн бұрын
Daaah amakweli maboy ni wanyama sana, mtoto kama huyo kweliii ,😢😢😢,pole sana mungu akuponye. Amen
@marryjames-wl7be
@marryjames-wl7be 7 күн бұрын
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
@ShamimHassan-qm1et
@ShamimHassan-qm1et 9 күн бұрын
Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢
@EdithaNnko-fm6ph
@EdithaNnko-fm6ph 8 күн бұрын
Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
@lilyshayo761
@lilyshayo761 12 күн бұрын
Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama
@frankokenyamtumewaneema9179
@frankokenyamtumewaneema9179 5 күн бұрын
Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗
@SixbertDamo
@SixbertDamo 12 күн бұрын
Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace 12 күн бұрын
Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli
@danieljosephodada3195
@danieljosephodada3195 Күн бұрын
Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii
@philipinamboya2204
@philipinamboya2204 11 күн бұрын
Mungu mlinde muheshimiwa makonda
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 13 күн бұрын
MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.
@lucynkonya8709
@lucynkonya8709 9 күн бұрын
Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.
@HelmanDaud
@HelmanDaud 13 күн бұрын
Dah mweshimiwa mungu akulinde
@GetrudesharifuMsuya
@GetrudesharifuMsuya 7 күн бұрын
Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢
@KitalambaMwinyimvuwa
@KitalambaMwinyimvuwa 9 күн бұрын
yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!
@TheSalma1999
@TheSalma1999 8 күн бұрын
Umeona eh hata hawajali kabisa
@maniriyoali8675
@maniriyoali8675 14 күн бұрын
Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢
@henrymatebe
@henrymatebe 13 күн бұрын
Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?
@yasirfaisal9723
@yasirfaisal9723 13 күн бұрын
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
@kyaro5945
@kyaro5945 14 күн бұрын
I lo❤ve you Makonda
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 4 күн бұрын
Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia
@mpokimwakisimba692
@mpokimwakisimba692 7 күн бұрын
Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi
@MerryUrio
@MerryUrio 12 күн бұрын
Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde
@teresiatemu4459
@teresiatemu4459 6 күн бұрын
Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana
@RuckieDady-gk3ph
@RuckieDady-gk3ph 10 күн бұрын
Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤
@MahdouMomba
@MahdouMomba 9 күн бұрын
Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote
@judicalosika7642
@judicalosika7642 6 күн бұрын
Uongozi ni mzigo
@judicalosika7642
@judicalosika7642 6 күн бұрын
​@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 12 күн бұрын
Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina
@JacksonEstomi
@JacksonEstomi 8 күн бұрын
Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala
@goodluckjohnuiso-gt1fg
@goodluckjohnuiso-gt1fg 13 күн бұрын
Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo
@dickymediapro4179
@dickymediapro4179 12 күн бұрын
Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 8 күн бұрын
Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️
@AlexJackson-ig2yd
@AlexJackson-ig2yd 5 күн бұрын
Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia
@user-yc1ef1mp3s
@user-yc1ef1mp3s 12 күн бұрын
Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww 8 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge
@rosemaryogallo4183
@rosemaryogallo4183 6 күн бұрын
Makonda l love you very much Mungu akubariki
@mohdpogba842
@mohdpogba842 7 күн бұрын
Haya maisha sisi masikin tunapitia meng😢
@EmmanuelMurula
@EmmanuelMurula 10 күн бұрын
Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika
@magrethelias8734
@magrethelias8734 8 күн бұрын
Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke
@mpelienock
@mpelienock 4 күн бұрын
Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi. Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya. It hurts 😢
@SamwellubigisaLubigisa
@SamwellubigisaLubigisa 10 күн бұрын
Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana
@marthamwampamba7127
@marthamwampamba7127 3 күн бұрын
Mungu akulinde
@nurdinahmed9063
@nurdinahmed9063 8 күн бұрын
Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora
@user-pe9cl1bc7h
@user-pe9cl1bc7h 9 күн бұрын
Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo
@KefaHamisi-k7x
@KefaHamisi-k7x 2 күн бұрын
😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini
@TheSalma1999
@TheSalma1999 8 күн бұрын
Jamani natamani kumuadapt jamani kama hajasaidiwa namuomba
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi 7 күн бұрын
Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania
@elinemakundi5011
@elinemakundi5011 4 сағат бұрын
Makonda hoyeeeee ❤
@RehemaKassim-nm9zc
@RehemaKassim-nm9zc 10 күн бұрын
Nakupenda Kwa uchapakaz mzuri kaka, Mungu akufanyie wepes na akuongoze ktk utendaji wa kaz yako
@zulfajuma6894
@zulfajuma6894 9 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@GreciousMolleli
@GreciousMolleli 7 күн бұрын
Hili jambo limeniumaaa sanaaah JAMANI mtoto Mdogo JAMANI Kwanini jamaniii😭😭😭😭😭
@missarepafra3973
@missarepafra3973 5 күн бұрын
Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana. Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu. Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini. Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa. Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.
@paulinahussen9129
@paulinahussen9129 8 күн бұрын
Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana
@TynerGodfrey
@TynerGodfrey 10 күн бұрын
Mungu akulinde makonda
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 9 күн бұрын
Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 8 күн бұрын
Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu
@z-1il
@z-1il 2 күн бұрын
Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia
@Yusuf-fo3gl
@Yusuf-fo3gl 7 күн бұрын
That guy kwisha
@FrankPhilimon-e3n
@FrankPhilimon-e3n 4 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 14 күн бұрын
Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....
@mohammedmakarani2802
@mohammedmakarani2802 3 күн бұрын
Nice one R c makonda mungu atakuongoza
@samsonsanga4368
@samsonsanga4368 11 күн бұрын
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
@lilianevelyn6977
@lilianevelyn6977 2 күн бұрын
Mtoto angefunikwa, kuna leo na kesho katika jamii, asije akaishi maisha ya kunyooshewa vidole ikamletea shida kisaikolojia. inasisimua
@YefthaKornelio
@YefthaKornelio 12 күн бұрын
Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu
@MsangaAdvera
@MsangaAdvera 5 күн бұрын
Duu changamoto 😢
@KisetiClément-e8h
@KisetiClément-e8h 10 күн бұрын
Njo congo utu saidiye
@chifuwasalimatz2971
@chifuwasalimatz2971 12 сағат бұрын
Dah😢 inauma mno Ukichanga na maumivu walioipata Simba siku hiyo ya 5/11😢😢😢
@user-tw7xc7tc1s
@user-tw7xc7tc1s 8 күн бұрын
Hadi nimelia
@malcomx4067
@malcomx4067 4 күн бұрын
Hii story inatia huzuni, yaani nimelia kanakeamba huyu mama ni mzazi wangu. Hii nchi inaitaji wakina Makonda 5.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 күн бұрын
Mishetani ya namna hiyo hata hofu ya Mungu haina. Tunafuga watu wa hovyo sana hata jamii zetu.
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 11 күн бұрын
My leader makonda Mungu akusimamie
@MiliyaMhehe
@MiliyaMhehe 9 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@neemanjau8648
@neemanjau8648 11 күн бұрын
Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo
@EduLimika
@EduLimika 8 күн бұрын
So painful, my God, this is so bad. Tanzanians you can do better. This is unacceptable
@walterkiage6113
@walterkiage6113 9 күн бұрын
Ukeli Mungu yupo na wengi twajichongea motoni. Pongezi kwako kumtafutia mtoto haki.
@elizabethmsaho7191
@elizabethmsaho7191 8 күн бұрын
machozi ya jasiri ni matumaini kwa wanyonge na wasio kuwa na uwezo wewe nijemedali imala
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 12 күн бұрын
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Сағат бұрын
Ooh allah hakika yadunia yana chosha
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 13 күн бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Arusha ❤
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y 14 күн бұрын
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
@gaudencekanut902
@gaudencekanut902 10 күн бұрын
MAKONDA PIGA KAZI KAKA, TUKO PAMOJA NA WEWE USIOGOPE MTU KHABXAAA
@Asha-yn4bu
@Asha-yn4bu 6 күн бұрын
Wallahi huyu bibi ameniliza all the way from U.K
@SamweliBoma
@SamweliBoma 5 күн бұрын
Mungu akubariki sana mueshimiwa maana unafanya kaz kubwa sana asee.....
@ScolaMwansasu
@ScolaMwansasu 9 күн бұрын
Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00
Steve Mweusi
Рет қаралды 509 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 69 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 59 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
MWANAFUNZI MCHAWI |1|
9:03
CLAM VEVO
Рет қаралды 4,3 МЛН
😲WHEN TWO EX MEET ON HELLO MR RIGHT KENYA .🏃‍♂️🤣
4:14
St Rembo TV
Рет қаралды 1,8 МЛН
UTACHEKA STEVE NA JUMA JICHO KAYAKANYAGA
9:55
Mweusi Family
Рет қаралды 718 М.
MALAYA NDOIGE (PART 01)
11:24
ASMA COMEDIAN
Рет қаралды 2 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 69 МЛН