Maasha Allah Shahe Hassan leo kimeumana kweli kweli.Umewaptia vilivyo.ALLAH akupe umri mrefu na akuepushe na maradhi shehe wetu
@salimdaawah1235 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@hassanimouigni66485 ай бұрын
Machaallah mungu kakupeni subra kuvumilia na masuali yakipumbavu mungu akupeni kila lakher
@mwangimuhammad-sx9hb5 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah.. Allah awahifadhi na awalipe jannatul firdaus
@salimdaawah1235 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin pia wewe
@malikdodo51905 ай бұрын
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@abdirizakali62235 ай бұрын
Ma Sha Allah
@Jingajinga645 ай бұрын
Mashallah sheikh Salim msomaji mzuri na pia leo kumekua na utulivu mzuri wakati wote. Allahumma Barik team yote kwa kazi nzuri
@salimdaawah1235 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@Fumokale5 ай бұрын
As.alykum...tunamuombea shaikh Alii Allah ampe shifaa ya haraka amiin...na mashaAllah shaikh salim wasoma vizuri na shaikh hasan kariuki nae Allah amuongezee ilmu na mashaikh wooote Allah awajaalie IKHLAS....aaaminaaa
@salimdaawah1235 ай бұрын
Aamiin amiin amiin Allah ampe shifaa ya haraka
@ibnusleyyum97435 ай бұрын
MashaaAllahu
@Jingajinga645 ай бұрын
Assalamu Alaykum. Allahumma yassir wala tu'assir.
@salimdaawah1235 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@josemu8705 ай бұрын
Neema ya Allah iwe nanyi
@spinicahakama45005 ай бұрын
Mashallah
@aburaasmedia36825 ай бұрын
Mashallah mashekh wetu
@Noorein-ws8wk5 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@nayef39035 ай бұрын
Huyo msabato huwa mbishi siku zote Huwa anapenda kukwepa swali musiruhusu tena huwa anapenda mchezo
@salimdaawah1235 ай бұрын
Inn shaa Allah
@jamada-by3rq5 ай бұрын
Eagerly awaiting for this ❤❤❤❤
@Abdiidaawah5 ай бұрын
Kimeeleweka bila wasiwasi kama kwaida Alhamdulillah
@salimdaawah1235 ай бұрын
Yeah ujumbe umefika
@Ismaelnoton25435 ай бұрын
Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh
@salimdaawah1235 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@aliabdallah84565 ай бұрын
Kwa mambo ya mazishi wakristo akili zao wamezitia kabatini ili zipumzike
@jumahamad94635 ай бұрын
KAMA UJARIDHIKA AU NAMAJIBU ULIYOJIBIWA NAMASHEIK BASI KAA HIVYO HIVYO AU NENDA UKAWAULIZE WAZUNGU WALIOKUPOTOSHA NAMIZIMU ELIKUPOTOSHA WALITANGULIA MBELE YA HAKI
@isahbarasa5 ай бұрын
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu walimu nilkua naomba kama naezapata Quran tukufu ya translation ya kiswahili
@salimdaawah1235 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh kama uko around Nairobi tutafute inn shaa Allah
@shabamuhidin6344 ай бұрын
Wallah,hii kazi ya Daawah ni ngumu,duh! unajadili na mtu mzima kama ivo alafu anajifanya juha...duh
@nayef39035 ай бұрын
Huyo mkisii msabato mbishi sana
@Sai.Mo695 ай бұрын
Ni Time Waster waku tumwa na WaSDA.
@molee23395 ай бұрын
Na kicha haiko sawa kwa sababu ali anguka na ku land juu ya kichwa chake! 😂😂
@fatmaally72525 ай бұрын
Astafilullah mungu eti ni nn mmmmh mungu atusamehe sisi na yeye
@salimdaawah1235 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@NathanielNathan-m4o5 ай бұрын
Sheikh amekubali Kuna mambo mengine mpaka akaulize msikitini na Quran Iko Kwa mikono yake😂😂.
@aburaasmedia36825 ай бұрын
huyu anasema anaamini kila kitu ndani ya biblia kwasababu ni maandiko...si Qurani pia ni maandiko na mbona hataki kuamini??