Umeuliza vizuli sheikh wetu kuto kongo ubalikiwe Dr sule naye namukubali Allah akujaliye 🙏
@samuelmweipongwe140Ай бұрын
Mwenyezi Mungu shahidi tumetoka kuongea swala hilo leo saa tano.asubhi kuhusu mfano huo.wa majini wema kutumika katika wema, na.wale waovu katika uovu. Mimi.si muislam ila katika hili namuelewa sana Sule, huwezi kukataa undugu wa Imani kisha mukatae matumizi ya umma katika dinni.
@user-lq6kr2gl7nАй бұрын
Kifup mm nakuunga mkono pia Dr sulle namuelewa mno elimu ya hawa viumbe ni pana na si kila shekhe amesoma hiyo elimu majin wapo kweli na wamepewa uwezo mkubwa sana wapo waovu na wapo wema ki fup sulle anayo elimu ya kuhus hawa viumbe
@AishaOmar-s9g4 күн бұрын
Allah akulipe mi binamsi nakuelewa sana namada zako zote unazotuwa zinaeleweka isipokuwa chuki zawanada nnaelimu piy hawan inshaallah
@MdasirHamisiАй бұрын
Sheikh uk sawa sana wanaokupinga hawana elimu yakutosha. hakuna kazi ambayo haina upinzani wape elimu hao lakini naimani ipo siku watakuelewa tu maana wanapinga alafu bila hoja ya msingi nakukubali sana sheikh wangu sure kwaelim yako ya dini. nawashangaa sana masheikh. wakubwa ambao wana sema wewe nimshilikina alafu mbele jamii bila kufanya utafiti Mungu awasameh tu kwasababu hawajui
@tyivbraАй бұрын
Ckuzote mtiweny matunda hupigwa mawe
@KhalidAlly-je8kyАй бұрын
Wewe sio DR ni professional
@NiyoBujaАй бұрын
Dr Allah Akupe umuli mulefu Wanayo kuchukia wata nyonga acha neema za Allah ziku ziendeleye kukufikia Vinginevyo wanakufanyia fitina tu yawatu
@isarichardАй бұрын
I support you Dr. Sule those are tarnishing your name and who are becoming difficult at the knowledge they do not possess, yan tatizo lao mmojatu lack of understanding what,how,and who the unseen creatures are especially the Jinn kind Don’t be panicked with those people just tell them to back to class perchance they will have the opportunity to acquire such a piece of knowledge A big hand to you sheikh and continue doling out such lectures to people so that they stop living in the kiz and know the truth about the Jinn kind…
@hassanWanjikuАй бұрын
Utakumbukwa kwa kuharibu dini ya Allah kwa kuihushisha na majini mchawi wa kileo hadi mitandaoni elimu ulienayo ni batil kwa kauli ya mtume salallahu alayhi wasalam,,,,ataejihushisha na elimu ya nyota mchawi huyoo
@PaulJospin-et7nuАй бұрын
Shalom, mwalimu Dr sulley aje RD Congo (Bukavu) akifika Congo na amini atrudi amesha batizwa.
@kerosenealimasi8019Ай бұрын
Mungu akulinde sheikh
@ramadhanmwandambotuntufye5972Ай бұрын
Nakuelewa sana Dr. Sule
@ginazngo4317Ай бұрын
Masha alla ninajicubia kuwa muislam
@lilmojr7Ай бұрын
Dr sule acha kulazimisha watu kutumia majini kupata mafanikio badala ya kumtegemea Allah ndiye anaetoa rizki acha kupotosha watu
@nuhukenny7183Ай бұрын
Hajalazimish, sikiliza tena vizuli. Yeye iko anajibu maswali
@user-kg9fn1ph9dАй бұрын
swala la majini lipo kwenye Quran na kuna sura kamili ikiliongelea hilo , nakwamba wapo majini wema na wazuri nakwamba nabi Suleiman aliwatumia maafriti ( wakuu wa majini waliomba kumletea kiti cha balqis nk) watu wanaopinga pinga ima kwasababu ya ujinga wao au kwasababu ya kukosa kufatilia hicho wanachobisha.
@therealhajjkhan_Ай бұрын
SOMA ELIMU
@HadinanKimimbiАй бұрын
Sikiliza maana yeye Anamuamini Allah ww pata elimu
Nawatoleya salamu, namuomba Dr sulley aje RD Congo, akifika Congo na amini atrudi amesha batizwa.
@abdullzahor3019Ай бұрын
Dr sule majini achana nao pumzi zisikudanganye umri mdogo sana dunia isikutie kwenye shirki
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
DR SULLE NASHAURI SOMA KWANZA VITABU VIZURI. ALAFU HOJA ZOTE NILIZO ZISIKIA NAONA KAMA UNATAFUTA NAMNA YAKUJITOWA KWENYE MANENO YAKO YAMWANZO UNABADILIKA. REJEA TENA KWA ALLAH NA UACHE KUPANDIKIZA KITU KWA UMMAH AMBACHO KINAWEZA KUKULETEA MADHARA MAKUBWA MBELE YA ALLAH 😢
@Abdulrahmanhassan18Ай бұрын
Mashaallaa Allah bariq mwenyenzi mungu akulinde shekh wetu mtaalam DR Sule. Wanaokutukana tatizo lao ni uchache wa maarifa tu
@zainabusagalo3031Ай бұрын
Kweli kabisa hawajaruhusu tu akili zao kuelewa mambo beyond the body maana viumbe vyote vilivyoumbwa na Mungu ni energy na viumbe vyote vipo kwaajl ya manufaa na vinamtumikia mwanaadam kwa sababu mwanaadam yeye ndo khalifa.
@AbdillahAlly-fl4vhАй бұрын
@@zainabusagalo3031 good
@alkashaaiy9722Ай бұрын
hii dini sio mawazo ya kila mtu , Huyo sule ni mwalimu kwa wajinga wenziwe , Hakuna mtu anayejua tawhiid na shirki akazungumza upumbavu mfano huo .... halafu wengine wanaleta theory za energy hapa , watu sijui ni wagonjwa kiasi gani
@zainabusagalo3031Ай бұрын
@@alkashaaiy9722 Kama tawhid ni kumpwekesha Mungu basi hata Sule hajamfanyia Mungu mshirika. Acha kukaza kichwa ruhusu akili yako kuelewa point. Kwa taarifa yako nikisema energy namaanisha spirit,hii miili ni vazi la spirit tumefumbwa kuona vitu kutokana na hii miili tuliyovishwa unahabari hata jiwe ni spirit ila unaliona Kama ni jiwe kutokana na hilo jicho la nyama.
@alkashaaiy9722Ай бұрын
Huo ni uchache wa elimu na kubobea sana kwenye sekula na kuchukua theory za sekula kuziweka katika khabari za ghaibu, Kwanza Tukisema ,Kila aliyesoma tawhiid ajua wasaail wa shirki ni kufungamana na majini hilo hata mtoto mdogo ajua , Sasa weww kama muda wako uliutumia kusoma theory za energy ukasahau kusoma tawhiid na shirki lazima mitego ya kufungamana na majini itakupata Allah anasema nini kuhusu habari za Roho ( Spirit?) { وَیَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلرُّوحِۖ قُلِ ٱلرُّوحُ مِنۡ أَمۡرِ رَبِّی وَمَاۤ أُوتِیتُم مِّنَ ٱلۡعِلۡمِ إِلَّا قَلِیلࣰا } [Surah Al-Isrāʾ: 85] Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu. SHIRKI HAIKUANZA ILA BAADA YA KUANZA KUFUNGAMANA MAJINI NA WANADAMU na Allah akasema { وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالࣱ مِّنَ ٱلۡإِنسِ یَعُوذُونَ بِرِجَالࣲ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقࣰا } [Surah Al-Jinn: 6] Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi. HIZO AYA TU ZILIKUTOSHA WEWE KUACHANA NA KHABARI ZA MAJINI MAANA HAKUNA MWISHO MZURI HATA SIKU MOJA ILA MAASI AU KUTUMBUKIA KATIKA SHIRKI
@abdullzahor3019Ай бұрын
Maneno yako sule ni ushirikina mtupu allah akuongoze urudi njia ya sawasawa
@drsulletv9085Ай бұрын
Toa ya kwako mazuri tujifunze
@ismailally3219Ай бұрын
yeah! tupe ya kwak ambayo s ushikirikn tukapaja lesson today we are lesten for this time
@Hussein-gx4quАй бұрын
@@drsulletv9085 huo ni ushirikina hauko kwenye Aya Wala hadithi
@abdallahhamisi45Ай бұрын
Sheikh nimekuelewa vyema sana na vyote ulivo visema haswa ile ya kusafiri ipo na wamefanya hadi viongozi sio tu mashehe. Tatizo letu sisi elimu hatuna na tunabisha kimasilahi. Wengine wanabisha sababu hawajui tu
@musalumbi8490Ай бұрын
Wacheni kuuharibu Uislamu
@shuitv9229Ай бұрын
Allah amhifadh Dr sulle
@MohamedbomezaАй бұрын
tatizo la watu wengi hawa elimu ya hayo mambo kwahiyo wao wanakalili majini wote ni mashetani ..uko sawa binafsi nakuelewa sana
@beyondsavanna6028Ай бұрын
Uyu doctor yuko vizuri sana
@ginazngo4317Ай бұрын
Shehe tupe elimu tumekuelewa sana alla akubariki na mgeni wetuu 😂😂😂
@maalimmussan1543Ай бұрын
Kwel bn unajua Watu wengi wamekaririshwa wala hawana ufahamu mpana katika elimu nahawajui nini maana ya shirki
@husseinshehuna68Ай бұрын
Soma tawhiid... Na uisome dini akhy...
@cavanindimbe1670Ай бұрын
Dk Sule hii nchi inakuhitaji sana kulko wew kuhitaji hii nchi mi nakukubali uko sawa sana wanaokupinga hawakupendi tu
@saadasaleh3177Ай бұрын
Dr suleee Allah hajaahidi kumlinda mtu kwa kutumia Jinni jmn ukisoma ayatul Kursiyyu wakat unatok ndan kwako Allah anakupa kikosi cha malaika cio majini pia ukitaka kulala ukisoma zile sura alizosema Mtume SAW bc Allah anakupa ulinzi wa malaika cio jinni jmn tumche Allah kuna majini maulamaa kweli inaez ukapatwa na shida akakusaidia lkn c tena aanze kukupa masharti au akupe pesa tenaaa heeee huenda anakusaidia km anataka tu ujira kwa Allah akusaidie kisha habar imeisha lkn akwambie uchome ubani au akupige mikwaju ukaswali au ukupe ulemavu mpaka ukubali uganga ili utibu watu huyo anataka kukutia ktk shirk Allah atuhifadhi
@zuberiimamumhina516429 күн бұрын
dr ifike wakati uache kubishana na watu ambao hawana elimu fullstop #HAWANA ELIMU jua hivyo profs heb ach kupotez muda na wao niki skiliz hoj zao hazina mashiko mmoj anasema majini hawaonekan dr sule kawaon vp na mungu kasem sis hatuwaon wao wana tuon nika pat jibu hawa jamaa hawana elimu kuwahus hao majin nabii suleiman ali waon vip
@arrisalastriker9813Ай бұрын
Njaa yakusumbua sule dunia mapito tu Mzee.
@GitanoGitano-dx7bb27 күн бұрын
Kusoma sana ni shida kwa upande mwingine ,majini wanaotii sheria za Mungu ni kwa kuabudu MUNGU tu,Na wale majini wanaofanya mabaya ndio wale wanafanya shirk kama kuwapatia watu kuua,katika mijaraba,katika albadiri wala si kazi nyingine,Ndio maana hukumu siku ya kiama itawahusu binadamu na majini tu, tuache mixing katika dini,
@user-go4qe2xq7gАй бұрын
Uko sawa kaka
@KomoraMohamedАй бұрын
Dr Sule nmekuelewa vizur sna kwli masheikh google kma kina bachu
@user-td8bp9kz8dАй бұрын
Kweli sheikh Suley umetoa Siri za watu
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
Shehe acha kutumia sana Mifano kwenye dini ya Allah Tumia saaaana Qur an na Sunnah
@user-bc5hf6zq4oАй бұрын
Unaweza kuwa hujuwi na hujinjuwi kwamba huyuwi tusitetee mambo yetu tukaharibu wengine ukiwa na Imani za kishirikina mwisho Yako unakuwa mmbaya tujitathmini sana...
@khadijaomar7529Ай бұрын
Dr sule hongera yako hao majini yako yame juwa kukupa umarufu kama kawaida yao wanavyo fanya mana umevuma sio mchezo ela haya tutaona mwisho wako wewe na hawo majini yako si letu jicho tu
@saadasaleh3177Ай бұрын
Unajua Dr Sule ww unaitwa mshirikina kwa jambo la kumtii uyo unomuita jini uchome uban mashtaka au uvae pete au usome jina fulani la Allah hayo ni mashart unayatekeleza tena mengine kwa cku maalum au kwa wkat maalum uo ndo ushirikinaaaa hupaswi kutii amri kutoka kwa jini Allah atuhifadhi
@michaeljoseph3118Ай бұрын
Acha Kupotosha Watu
@drsulletv9085Ай бұрын
Sawa
@IdrissaMoussa-tx7jyАй бұрын
Innalillah wa innalillah rajiuna sule acha tama yamaisha. Majini ni majini na sisi watu ni watu,tumikana na watu majini nao atatumika namajini acha wunafiki,maisha nimapito tu.
@dicksonmbuvi2756Ай бұрын
Mi mkristo ila nakupata iddrisa atapotosha na kutokomeza wengi zaidi
@saidinsenda954Ай бұрын
Amsaidiyi bali anamshawish ama kumuamrisha mema kiswahili kieleweke
@isarichardАй бұрын
Good jins encourage people to do good and guide people to good things and not commanding people to do good whilst evil jins they command and guide people to evil as well as doing bad things…
@user-wg2lb8dp8iАй бұрын
Acha ushirikina baba
@datswewagoldi20 күн бұрын
Yuko sahihi dr sule
@allyswedi7420Ай бұрын
Upo sahihi kabisa sijui kwanini hao mashekhe wengine hawataki kuongea ukweli jini na mwanadamu wameambatana wakati wote wa maisha yao
@anynarmdan312Ай бұрын
❤❤❤
@k4cmmhcn297Ай бұрын
Dr kaeni chini kama waislamu ALLAH amewapa jukumu zito la kuhakikisha gurudumu hili linasonga mbele ila mkiwa mnapingana wenyewe kwa wenyewe hamuoni kama mnatugawa makundi kwa makundi Allah atawauliza kuhusu ili mkumbuke jamani sisi wengine elimu yetu ni ndogo sasa mkihitilafiana wenyewe kwa wenyewe sisi wanafunzi wenu mnatuweka kwenye fungu gani??
@SaidiBakari-kl1guАй бұрын
HUYU SULE NI MSHIRIKINA MKUBWA . FALISAFA YAKE HAIKO MBALI KUFFARI SELEMANI RUSHDI. HUYU SULE KINACHOMSUMBUA NJAA, TAMAA NA SIFA
@saidymbagalla6622Ай бұрын
Binafsi mi Dr sule namuelewa sana fact zake anachosema kinaingia akilini
@ARSHADOTHMAN-hs3mfАй бұрын
Ukweli haupingiki dk sule ukosefi wa elimu tu ndomaan wanapinga
@saidiathuman-og6bcАй бұрын
Sule umeisha Imani huna
@AbbMotors-pc4rxАй бұрын
Endelea kutupa elimu achama na kelele za watoto
@zahorokasentisenti6761Ай бұрын
Tatizo la sisi waislam Kila kitu ni ushirikina ndo maana tuko nyuma sana na weng wanabak kuwa ombaomba Dr sule upo sahihiiiiiii sanaaaaaaa
@amina2044amin-zv2ghАй бұрын
💙💙💙💙
@fatumatandika6220Ай бұрын
Nakuelewa sana na naelimika pia na nina mtoto nimegundua ana jini nilikuwa nadhani ni kifafa kwa miaka mingi hivyo napokea elimu hii nilikuwa siijui na ninakuelewa kabisa kwa vile ysmenisibu
@AbdillahSaleh-og1guАй бұрын
Al hajj Dr Sule. Allah akuzidishie ilmu. Akuhifadhi. Na mashekhe wanajua ilmu hii. Hakuna shekhe wakisawa sawa amvao hii ilmu hawajui. Watakukashif kwa majina tofauti. Wewe songa mbele utupe ilmu. Kama ni matusi na majina ya ajabu , yasikutie dhiki. Allah akuhifadhi.
@thabitimkufi7388Ай бұрын
Shekh kiduku A k A mganga wa jadi, wasio ijua dini washaanza kumuelewa hahaaa
@kugotwa004Ай бұрын
MI NAKUELEWA KUWA HUSEMI TUTEGMEE MAJINI KAMA WANAVOELEWA WASIO NA UELEWA
@user-vo4ld1iu3xАй бұрын
Ni kweli tatizo elimu
@nabiljumaothman5912Ай бұрын
Huyu Sule anatuharibia uislam Yaani kajiharibia mm ntamkumbuka kama Mshirikina
@user-ru3vn9lc5bАй бұрын
Watakuelewa tu. Tatizo watu vichwa vigumu na elimu hawana. Yani shekh wewe uko sawa sana, na wanaopinga hawataki watu waelimike juu ya hili. Hii aitaki tochi. Imeenda hiyo !!.
@RahmaKassim-vf6tvАй бұрын
Sule ni wacace wata kudos elewa ila uko sahihi kbs wata kuelewa wamecelewa usikate Tama kama uko kwemye haki
@MdasirHamisiАй бұрын
Lakini shekh jitahidi kuboresha huduma zako za tiba maana yangu unakuta kuna wangine 1wapo mbali alafu wanaumwa alafu ukiangalia hali ya kipato ipo chini mtu huyo unamsaidiaje ili apate huduma yako kwaiyo sisi kama wadau wako tunaomba lifanyie kazi hilo maana unapo sema mtu mpaka aje ofisini kidogo inakua ni ngumu unakuta labda kuna wengine wanaishi kigoma alafu wanaumwa sana jitahidi kuboresha huduma ili usaidie jamii yote
@abdallahhamoudalmughayri4583Ай бұрын
Kuna tofauti Kati ya KUNIAMRISHA na KUNISAIDIA, acha kupotosha
@nuhukenny7183Ай бұрын
Dr Sule, mimi nakubaliyana na wewe 100% wenye kupinga ni ilimu ndogo.
@user-oe2ty7ds4gАй бұрын
Nyingi husda,hayo yote nayakubali ingawa elimi yangu sio kubwa
@tyivbraАй бұрын
Kinacho nishangaza ni waislam kuyakataa maneno ya shehe wao
@HamidaMohamed-be5kgАй бұрын
Sio kweli Mtu akiubwa bro hana jini lolote ila upande wakulia kwake ana malaika upande wakushoto yupo malaika haya we wasema mtu akizaliwa hua ana majini wawili huo sio ukweli
@mchakhamis-fr5ncАй бұрын
Dr sule Bora mukutane na stdh shafi uso kwa uso mujadili kuhusu iyo ishu ya majini na mapete sio kutupiana maneno au maandiko
@drsulletv9085Ай бұрын
Acha dharau ndg
@mussakisope7207Ай бұрын
Sheikh kiduku endelea na ujanja wako
@user-zm8nq6xv8oАй бұрын
SUB HAANALLAH
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Kitenda cha kusoma quran, halaf mkaona hakuna dalili kisha mkahamia kwa jin kutaka msaada huo ndo ushirikina, kwamba Allah ushamweka pemben na unamtegemea jini
@user-gm8xx9vn1gАй бұрын
Dokta isikupoteze miluzi nakuomba kwamungu
@user-ef6mp6yd7pАй бұрын
Tatizo wewe unajifansnisha moja kwa moja na manabii
@user-wg2lb8dp8iАй бұрын
Wewe Sule ruhusa ya kutumia majini umetoa wapi wacha ushirikina
@taurehassan7399Ай бұрын
Alouliza swali kwamba Allah kwann hakuwatuma majini amewatuma malaika,hpa tpo kt ya mwanadam na jini,kw mungu haulizwi maamuz yke,c lazima atumie jini,uwezo wake ni mkubwa,swali uliza kw jini na mwanadamu tu,c kw Allah na viumbe vyake
@richardmshiu5118Ай бұрын
Washirikina nyie,Hamna lolote.waganga wote wa kienyeji majina ni sheikh omary,,sharifuu majini,, Yani ulishasikia mkristo mganga?
@user-zs6qg7ql1iАй бұрын
Kesi za Majin babu yng shekh sleman nin Alawiy alikuw htr ww km Kuna jini kashinda niletee mim spotez muda wa kukesh na mgonjwa usiku mm Sina mda huo dakika 5 nishamalizan nae
@richardmshiu5118Ай бұрын
Washirikina tu nyie,badala mumtumie Allah mnatumia majini kutoa majini,,
@user-bo1ew3xq6wАй бұрын
Wamaakhalaqtul jinni wal insi illa liabudoon.hiyo ni ayyah kuhakikisha kuwa majini pia allah anamalengo pia ya kuwatia peponi kama vile wanadamu.
@user-ef6mp6yd7pАй бұрын
Selemani unakoelekea si kuzuli yaani hata maongezi yako si ya ki shekhe tena kaa ujitafaka pengine unaelekea kuchanganyikiwa
@saidjuma4547Ай бұрын
sule unamsingizia mtume mm sikusamehe
@fundimagari5825Ай бұрын
Iyo iyo sulat nahl aya ya 2...inasema mwenyezi Mungu uwashusha maraika na roho kwa mja wake ampendae...huyo roho ni kiumbe gani ...
@aishaalizubeir7964Ай бұрын
Roho hpa ni jibril alyhsalam...ukiona kwny quraan limekuj neno roho...ujue ni jibril alhysalam
@aishaalizubeir7964Ай бұрын
Jibril ni kiongozi wa malaika
@user-tc9mf9om2bАй бұрын
Jeee ww umemsalimishaa
@BURUNDIB26 күн бұрын
Hakuna mungu apo ni shetani tu na Muhammad 😂😂😂
@oscarngowi4750Ай бұрын
Kweli hii sio dini najivunia kuwa mkristo kwenye biblia majini yote ni mabaya hayafai viumbe vya Mungu ni malaika
@HatibuHatibu-cd7hsАй бұрын
Sheikh kusoma sio kuelewa...
@esirmviha583Ай бұрын
Kwan mdahalo hakuna leo
@musalumbi8490Ай бұрын
Watu hawana shida kuwa majini wapo wabaya na wema; hoja ni wewe utamjuaje kwamba huyu ni jini mwema na huyu ni mwovu wakati waovu wote- binadamu na majini hujisawirisha kwa umbo la wema? Maovu yote duniani yamepambwa kwa uzuri na mvuto. Sule ujue kwamba hakuna jini anayetaka kukukufurisha atakayekuja kwa kwa sura ya uovu. Mungu peke yake ndiye wa kuombwa msaada wala sio kiumbe kingine
@muznazahra45516 күн бұрын
MTUME WAKE ALLAH HAWEZI KUSAIDIWA NA MAJINI KWANI MTUME WAKE ALLAH ASILI YA UOVU ILI HATA ASAIDIWE KWANI YEYE NI MAASUMU HANA HATA KITU ANACHOWEZA KUKOSEA KATIKA MAISHA YAKE YOTE NA HATEGEMEI MWINGI ASIYEKUA ALLAH S.W...,MFANO WA NABII YUSUFU ALIOMBA MSAADA KWA ASIYEKUWA ALLAH S.W NATUNAONA NABII YUSUFU NATIJA YA KUBAKIA KATIKA JELA KWA MDA WA MIAKA SITA ,KWA KUTAMKA TU NIKUMBUKEKWA BWANA WAKO,BADALA YA MOLA WAKE,SASA ITAKUWA MTUME SAW,AHIFADHIE NA MAOVU NA ILI HALI MTUME HAFANYI DHAMBI HADI AJE KUTUMIA JIIIIIINI ,KWA KUMUINGIZA MTUME KATIKA KATIKA HAYO MAZUNGUMZO HAYAENDANI NA MTUME SAW...SI DHAMBI ANAFANYA WALA HAGHAFILIKI , WALA KUSAHAU...HIZO NI KWA UMATI ILI WAJIKINGE NA VIUMBE VIBAYA ,LAKINI MTUME SAW ASILAN DARAJA YAKE HAINAUHUSIANO WA KUZUIWA MAOVU KWANI HANA SIFA ZA UOVU WALA KUFANYA DHAMBI HADI JINI AJE KUMZUIA,HAYENDANI NA MISINGI YA DINI YA KIISLAM,KAMA ULIVYOMUINGIZA MTUME SAW KATIKA WANAOSAIDIWA NA MAJINI...HAPO MIMI SIKUBALIANI NA MAZUNGUMZO YAKO...NA ELIMU YA MAJINI SIYO WATU WOTE WANAISTIIDAD YA KUELEWA KWA HIVYO ELIMU ZINGINE NI MAHDUUD KWA BAADHI YA WATU ,KWANI WASOELEW UTASABABISHA WENGI WAUKASHIF UISLAM...KWA KUTOJUA KWAO..NA WEWE NDIYE UTAKUA MASUUL KWA HAYO INSHAALLAH WABILLAH TAUFIIQ.
@majutojuma765410 күн бұрын
Tukubali jini hawezi kumsaidia mtume kufanya wema. Je binadamu anaweza kumsaidia mtume kufanya wema? Kama jibu sio, maswahaba walioshirikiana na mtume katika vita mbalimbali walikua wakimsaidia mtume kufanya uovu au wema? Je? Kama Sule hana dalili ya kutumia majini katika kufanya baadhi ya kazi wewe una dalili kwamba kutumia majini ni kosa?? Naomba unisaidie.🙏 Sina dalili ya swali langu lakini nimejaribu kutafakari naomba unielimishe.
@kheirahmad4064Ай бұрын
Hakuna Al haj hapo.
@suleymanmrutu9498Ай бұрын
WATAKUELEWATU
@issaabdallah1205Ай бұрын
Sule umuongo na visa vyako vya uwongo haviko ktk vitabu vya hadithi
@BofuMlanziАй бұрын
Shekh Sule ungetukumbusha amri moja tu ambayo Mtume saw aliamrishwa na jini au jambo gani Mtume Saw alisaidiwa na jini lete dalili ya vitabu.
@drsulletv9085Ай бұрын
Endelea kusalia hapa yaja
@alimsaid1494Ай бұрын
Mtume nafasi yake ni kupata msaada au maelekezo ya Allah kupitia malaika kwa sababu yy ni MTUME.
@abdallahkiliaki3744Ай бұрын
Iweje watu tunaunganisha majini na Uislamu wkt ufanunuzi umeshatolewa kuwa majini ni viumbe tu km viumbe wengine? Hakuna viumbe wa Kiislamu wala wa Kikristo wala wa Ki-Confucius.
@user-nq4pb8jh1sАй бұрын
Sasa hii si ni uchawi
@SaidiBakari-kl1guАй бұрын
HUYU SULE SLOGAN ( KAULI MBIU) YAKE INATAKA KUFANANA NA SELEMANI NA L. L. SELEMANI RUSHDI
@DalaAbdallahАй бұрын
Mchawi huyo
@BURUNDIB26 күн бұрын
Majini kweli iyi Dini ya majini watu wanaifataje?😂😂😂😂😂
@SaidKatuga-qx1xrАй бұрын
Jamani waislamu wapatikane baadhi ya masheyikh waongee kwa busara na Sulley sio malumbano tumesahau hata ndugu zetu wanauliwa na mayahudi tumekalia majini,kweli?
@richardmshiu5118Ай бұрын
Hivi niulize nyingi waislam,1.kitabu chenu wapi kimeandika umtegemee jini akusaidie?,2.je mungu wenu kwa nini msimtegeme na mnahusisha jini?.
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
M'mungu anataka tumuabudu, tumtegemee yy peke yake si vinginevyo.
@richardmshiu5118Ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 Kiukweli fanya utafiti wako hakuna mganga wa kienyeji mkristo,, utasikia sharifuu majini, Sheikkk Abdul, sheikh omary nakadhalika.hutasikia majina ya kikisto kwa sababu hatuna ushirikinaaaaaaaa
@omarabdullah3412Ай бұрын
Mtume ndie alistahiki kuisoma hiyo dua ya kuruka alipohama Makka kwenda Madina kama ni halali. Acha kuchezea watu akili sule. Kumbuka hujui wakati gani wa kutiwa mkononi.
@BakarShabani-jt2hlАй бұрын
Wewe kamanimtume wakwako kasilimu ilakamasio mtume wewenimshikina sababu Jini anakupoteza nawewe unamfata sasawewe nijini tubia achakutetea au ndio umetumwa nawatu wenyepesa kusoma sio imani