Nikwli kaka watu wengi wako hivyo Mimi nimeteseka sana ,Mungu akubari kwa elimu unayotupa.
@mkilimamoses23113 ай бұрын
Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.
@DianaMwacha3 ай бұрын
Asante kaka umenifanya nijitambue mungu akubariki sana
@ISDORICHAVALAАй бұрын
Ahsanteh kaka joel kwa mafunzo unayoendelea kunipa naendelea kuyatumia maarifa yako 🎉
@EMANUELMWAKITINYA-vr4ge10 күн бұрын
Hakika kweli kabisa Coach life
@mwambasaguda96553 ай бұрын
Ubarikiwe Kaka ujumbe mzurii umenifungua
@GeorgeMakanzaАй бұрын
Mtumishi sjawah kutoka moyon kumwelewa mtumishi wa Mungu kama wewe ukwel wewe ni mwalimu nimekuskiliza, ninakuelewa sana Mungu akubariki nipo mwanza
@eselinabibuka96103 ай бұрын
I appreciate your presentation. God bless you abundantly!
@fadhilimwamgiga26142 ай бұрын
Yes
@FikiriPhilipo2 ай бұрын
Asantesana mwalimu umenibaliki Kwasomo zuri sana God bless you
@christinechambuni90602 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi Amen and Amen
@RaikoWktАй бұрын
Nakukubal sana mzee mungu ata kulipa
@hafidhhamad5732Ай бұрын
Thank you very much for this
@dicksonmgoga-hj4im3 ай бұрын
Good job!
@user-ue3uu1eh8n3 ай бұрын
MaashaAllah nashukuru sana
@petermsangi27012 ай бұрын
Ur such a genius brother...
@naomisiha49193 ай бұрын
Nashukuru umeniponya
@neemaemanuel77153 ай бұрын
I'm proud of your lectures 😊
@user-qu6gp6zx3l3 ай бұрын
Axante mungu akulinde
@salhakyande3905Ай бұрын
Nice having u!
@julioclauditayaye9368Ай бұрын
Barikiwa sana
@user-zl2cp8ws8r3 ай бұрын
Really said brother
@user-ih1ib9kc5j3 ай бұрын
Thanks alot brother... God bless you...!
@stanleytoo20283 ай бұрын
God bless you joel Nanauka
@user-xz9wx8hq7eАй бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@AwidiMwafongo2 ай бұрын
mungu akubariki sana
@fadhilimwamgiga26142 ай бұрын
You play a great role to me
@victormusoga4136Ай бұрын
Unapendeza kwa mafundisho
@anatoryjames412828 күн бұрын
Exactly
@lilianmjema32053 ай бұрын
Asante sana umenisaidia
@user-qn3jg1um7f3 ай бұрын
Uko sahh
@user-ih4mp1ds8kАй бұрын
Sawasawa
@LengishonMepukori2 ай бұрын
Big up mwalimu una content me nafurahi sana kukusikiliza
@bernadetachari76483 ай бұрын
Mwalimi kwakweli hapo kwasoda yani pameninghusa sana.ilanimelipendha sana funzo hili limeninghusa sana
@leonidaskalumuna2 ай бұрын
Joel,Joel leo umenisema nakushkr sana Mungu akulinde uendelee kunisema ahsante
@saumusanjiama69913 ай бұрын
Kweli shukran
@saumusanjiama69913 ай бұрын
Kabisa
@emmanuelmwandu.31263 ай бұрын
Huwezi kuchagua soda😂. Big up brother. We are together Sir
@MbarakaMasharubu3 ай бұрын
Amin
@user-dr1qd7bu7e2 ай бұрын
Good advice.
@sammwakalinga27053 ай бұрын
Kweli kabisa wengi wetu tunashindwa kufanya maamuzi🎉🎉
@EdmundAssengaАй бұрын
Asante kaka
@bonnyjessy96573 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@HenryAlinda3 ай бұрын
Mimi niko Congo na furaia mafundisho sana yesu aku bariki
@user-pz3dx8wn3j2 ай бұрын
Tujuane bc
@AthanasioDungumaro-rj4bc2 ай бұрын
Very nice story.
@TinaKisomba-jt6yr3 ай бұрын
Amen
@user-xv6lq2st1p3 ай бұрын
Asante sana🙏
@daynessmarcel9582 ай бұрын
👏👏👏
@DuraMuhengaАй бұрын
Jaman me nan biashar ya dagaa nyama npatkan dar es salaam mbagala nauz jumla nfnya derivary kam unawtka nifhamishe tfdhal
@bettymvanga32732 ай бұрын
Truly
@realemma23123 ай бұрын
🙏🙏
@user-su8po8yr4m3 ай бұрын
Kaka niyo kweli kabisa
@HappynessKinawa-ol4qr2 ай бұрын
❤
@bonnyjessy96573 ай бұрын
😢😢 so touching 😔😔😔
@alexmwalingo50202 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@ApostleMwl.IsayaIaiser3 ай бұрын
Ukweli mtupuu 😢😢
@suleimanhakimu25433 ай бұрын
Umeniongezea kitu.
@MapesamsodokiJrАй бұрын
Nimejifunza kitu
@lilianmjema32053 ай бұрын
Kweli
@KukuVillage3 ай бұрын
Hapo kwenye cheat day ya diet. Dah! Ni kweli nilikwishaaaa
@mosesfrancis84952 ай бұрын
👊
@harunaselupanga21463 ай бұрын
nakushukuru sanaa
@BalekeleBanga3 ай бұрын
fact
@daudymbukwa54953 ай бұрын
Naona mwanga kak tokea nimeanza kuku skia na yote niliyo yaskia kwak k Yamesha nitoa hatua moja naeleke A hatua nyingine
@mojafaster963 ай бұрын
Hapo ni wafanyakazi wanao jiendeleza kwa ajili ya kazi na baada ya hapo tukistafu mambo yanakuwa mengi
@mohammedrashid29063 ай бұрын
Ok
@godibless37002 ай бұрын
Bro naomba uniunge kweny magroup yako
@BapileMeshack24 күн бұрын
Samahani sir vp Kwa yule anayefanya kazi ili alipe fees I mean ni mwanafunzi.
@evamarua49983 ай бұрын
Mume wangu amekua akinirudisha nyuma kila wakatia unafanyaje na ndio mume
@mwajumayunus20412 ай бұрын
Fanya maamuz magum utanishukuru❤
@elisannko5892Ай бұрын
Ongea naye japo kabla ya maongezi Fanya naye sala then atakuelewa tu
@yusuphsteven260Ай бұрын
Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu