MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"

  Рет қаралды 75,164

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Septemba 21, 2022 mitandao ya kijamii ililipuka baada ya Haji Manara kumtangaza msaidi wake na kupitia kipindi cha Lavidavi, Manara amefunguka mengi kuhusu ukaribu wake na msaidizi wake huyo
MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 80
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
Tuliorudi kuangalia hii video baada ya ndoa ya jana tujuane😂😂
@rahmambonde2389
@rahmambonde2389 2 жыл бұрын
Tupooo
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
@@rahmambonde2389 🤣🤣
@sasamama7934
@sasamama7934 2 жыл бұрын
Wanaume waongo jamani duuuuuu eti msaidizi wangu duuuuuuu
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 жыл бұрын
Miaka 23 kkkkk like seriously 🙄 😒 Manara acha hizo huyo Dada nimkubwa more than 30 years old
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Duh!!Hata kama ni chuki sio hvyo. Mbona anaonekana Mdogo tu
@annajohn2488
@annajohn2488 2 жыл бұрын
Umejuaje umri wake why wabongo mnaumia na umri wa watu
@habibamaguru2722
@habibamaguru2722 2 жыл бұрын
Shavu limejikata hivyo miaka 23
@kefamkv3743
@kefamkv3743 2 жыл бұрын
Hiyo why not kama mm ndo nimeisema kwa diva vileeee😊😊
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
Yamekuaaa😂
@kefamkv3743
@kefamkv3743 2 жыл бұрын
@@hamidayanga8224 ndo mana nilisema hile why not haikuwa bure 😁😁
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
@@kefamkv3743 😂
@johannahakim8470
@johannahakim8470 2 жыл бұрын
Uko mongo ule anazidi 23, iko mu ma 30 mpaka ata 36, naanamzidi ata zuchu ukubwa,ata dira yake inaonekana tu kama mkubwa,amekoma na sura
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 жыл бұрын
Mke wa pili atajua hajui🤣🤣🤣🤣 Alifurahia mwazo.sasa zamu yke.
@rosejerry3294
@rosejerry3294 2 жыл бұрын
Umeona
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 2 жыл бұрын
Manara wacha uongo huna miaka 40 tumesoma wote tena darasa moja shule ya mnazi moja. Wewe ulikua darasa moja na mimi na ndugu yako hamida huna miaka 40 wewe miaka yako 48 wacha kusema uongo looh umekua jiwe wewe hukuwi 😅
@ramadhanabas4455
@ramadhanabas4455 2 жыл бұрын
Hata yeye hakusema ana miaka 40 kamili, kasema ana miaka 40 plus.
@nasseralrowahi4084
@nasseralrowahi4084 Жыл бұрын
Kwanini nyinyi watangazaji hamuongei kiswahili lazima mtiye luga si yakwenu huoni urimbukeni kuwa unajuwa kizungu ni ushamba wewe si mzungu
@benjaminulanga6749
@benjaminulanga6749 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua jmn sikutegemea km anabadilika ivo sio yule anayeongeaga kwa sauti kali kwny mpira leo kashuka ivi
@c75923
@c75923 2 жыл бұрын
Huyu muhaya mbwembwe nyiiiingi na kiingereza cha chooni
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 2 жыл бұрын
Ongea wewe tusikie chako
@jeckajustinianjoyce7998
@jeckajustinianjoyce7998 2 жыл бұрын
Acha kutukana makabila ya watu kwa vitu visivyo na maana
@stanastana3199
@stanastana3199 2 жыл бұрын
Diva na miwani yake kama wale wazee wa kuchinja nyani
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
One of the things or one thing
@salmaswala3900
@salmaswala3900 2 жыл бұрын
Haji muongo jamanii mchepuko eti watoto yeye mh mchepuko niwale wazee ambao wakezao halafu na mwengine pembeni (mchepuko ) uyo jamani
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
Haikuwa zambi uyu mzee bhana we unakaa na mtu ambaye unaweza kumuowa ukaribu kama ule alafu una mke anayumba kiimani uyu mzee alafu ana miaka 40 bado anataka ujana ivi mwanawe atajifunza nn au ndio maisha ya kizungu
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 2 жыл бұрын
Miaka 40 sio mzee , huyo bado.
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
@@johnkiimbila6799 kwa cici waislam ujana hayupo tena ukifika arubain unatakiwa uwachane na mambo ya ujana kabisa kwa mtu mwenye kujielewa kakini urudi kwa mungu
@husna34562
@husna34562 2 жыл бұрын
@@saadmbaraqa5272 45
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 2 жыл бұрын
Kwendraaaaaa muhuni tuu wewe hujiheshimu. Personal assistant too young what she knows in terms of experiance
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 жыл бұрын
Always young are so experience than old trust me haji was right
@jazzmancoltrane
@jazzmancoltrane 2 жыл бұрын
very boring interview and interviewer. Why focus on the assistant? isn't that invasion of privacy?
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 2 жыл бұрын
Hata wema sepetu tukae kwakutulia huyu Bora umpe pesa itafika kuliko kumuweka karibu na unashindana naulipo toka unaakili ww🤣🤣🤣🤣
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 2 жыл бұрын
I would be a last person to agree with him!
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 2 жыл бұрын
Mmh tusubiri baada ya miezi 3 au 5 hv ndo tutajua msaidizi auuuuu🤣🤣🤣🤣maana we mwanangu kibokoooo
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
@mariasalomemelchiorkaigaru1974 2 жыл бұрын
keshaoa ulimpa muda mrefu sana
@christinamsuya5492
@christinamsuya5492 2 жыл бұрын
@@mariasalomemelchiorkaigaru1974 hahahaha kwa kwel leo yametimia
@atamotivetv8104
@atamotivetv8104 2 жыл бұрын
Ulisema leo yametokea🤣🤣🤣
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 2 жыл бұрын
Unapendwa ww zinapendwa pesa acha ujinga
@husseinali5535
@husseinali5535 2 жыл бұрын
This person he is a player
@tinabapemacho8650
@tinabapemacho8650 2 жыл бұрын
Haji Kama haji unimalizag KBS
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@samwelhiinyamhangahiileosi1060
@samwelhiinyamhangahiileosi1060 2 жыл бұрын
Manara kaongea kwa upole xn kisa babra kupaa kimataifa
@Gody360
@Gody360 2 жыл бұрын
Noma sana🤣🤣
@agreysimon4194
@agreysimon4194 2 жыл бұрын
Hii interview ingekuwa poa kama huyo personal assistant angekuwepo hapo ili naye apigwe maswali ..mbivu na mbichi zingejulikana
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 жыл бұрын
Mchipuko kwa kweli kumbe kweli
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 жыл бұрын
NA WEWE MASWALI GANI HAYO?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 жыл бұрын
Manara ni m1 tu bongo
@allymtungunyu2425
@allymtungunyu2425 2 жыл бұрын
Kwanini songea nguruwe anaitwa manara?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 muulize mamako uliyemtomba msenge ww
@abdulmalikiramadhani8067
@abdulmalikiramadhani8067 2 жыл бұрын
Mm kumbe nawewe ulimletamzungu
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Nimchepuko😂😂😂
@mussamwadin806
@mussamwadin806 2 жыл бұрын
sasa aina mbili au aina tatu, uzuzu ni shida
@allyamuli8027
@allyamuli8027 2 жыл бұрын
Jamaa kumbe anaringa
@kabugashija4836
@kabugashija4836 2 жыл бұрын
😳😳💰💰💰 tuzipongeze, without 💰 zeruzeru ni kichefuchefu.
@fistonmakopa598
@fistonmakopa598 2 жыл бұрын
😊😊😊❤
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 2 жыл бұрын
Diva iyo miwani na ilo wigi 😄😄😄😄
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@fabianchrizostom5743
@fabianchrizostom5743 2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 2 жыл бұрын
Kudadeki nabadilisha dini nikale bikra 70 kudadeki
@alexandrucarmen3185
@alexandrucarmen3185 2 жыл бұрын
Pole yako ndugu siku hizi hakuna bikra walienda na vita ya eid amin dada🤣🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 жыл бұрын
@@alexandrucarmen3185 tena hakuna kabisaaaa
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 жыл бұрын
So cryz boy
@omaryhajji1393
@omaryhajji1393 2 жыл бұрын
@@alexandrucarmen3185 me mwenyewe nashangaa sijui walio na bikrah huwa wanaenda wap???
@fadhilidini1181
@fadhilidini1181 2 жыл бұрын
yuda asistensi kwenye nini
@colletatesha5265
@colletatesha5265 2 жыл бұрын
Angejijua alivyo
@josejoseph8888
@josejoseph8888 2 жыл бұрын
Malaya mkubwa ww
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 жыл бұрын
Wee Bwana una offisi gani na wp wakati unatumwa Tu na Gsm
@sultanisaidi9701
@sultanisaidi9701 2 жыл бұрын
iv hujui kma manara ana kampuni zake binafsi duh pole
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 жыл бұрын
@@sultanisaidi9701 achana nae fala huyo hajui chochote
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 2 жыл бұрын
Unaumwa aisee
@annajohn2488
@annajohn2488 2 жыл бұрын
Wanawake njaaa ivi uyu haji unalala nae vp
@missclementsemizigimisscle7458
@missclementsemizigimisscle7458 2 жыл бұрын
Kwanini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@happynjukiz6495
@happynjukiz6495 2 жыл бұрын
Kwani wewe unanini cha kujifanya umbague Haji Manara
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 2 жыл бұрын
Eeeeee acha kukufuruuuu haman na yy ni kiumbe cha mungu usikufuruuuuu
@felixhaule7071
@felixhaule7071 2 жыл бұрын
Zungu Pori katika ubora wake
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 101 МЛН
Moses Golola agyeyo obukodyo.yagenze Mwanza Tanzania GYAGENDA okulwanagana ne Karim Mandonga
5:42
HAJI MANARA NI MUHUNI _ WILSONORUMA
9:16
KITENGE TV
Рет қаралды 52 М.
🔴#LIVE:MASHAMSHAM NDANI YA WASAFI FM 30-09-2024
2:23:39
Wasafi Media
Рет қаралды 1,6 М.