Ukimfanyia Interview Ahmed Ally uwe Makini sana ana Akili mno...He's very Bright..big up sana Kwake..💪💪
@Mohamed-k1c7s2 ай бұрын
Yule comedian au??
@salimmalaka2562 ай бұрын
@@Mohamed-k1c7sUTAUFYATA TU NG'OMBE WA MAZIWA NYIE YENU MAJANI TU 😂😂😂😂
@stanastana31992 ай бұрын
Watangazi wanahama hama balaa sahii crown media imewachukua
@DambweRama2 ай бұрын
KUMESHAANZA KUCHANGAMKA 👑👑👑👑 HAPA NI NYUMBANI
@bbclondonulimwenguwasoka61262 ай бұрын
Crown mubarikiwe sana, nawakubali
@honestthomas15492 ай бұрын
Namna yoyote siyo yeyote
@hamismwangwale5632 ай бұрын
Jamaa ana kichwa Sana , amed
@salumumwela57752 ай бұрын
Akili kubwa sana Ahamd
@abiboseleman16492 ай бұрын
Radio hii tupo paleeee
@drallan68792 ай бұрын
vipi mwenda Yuko wapi?
@skyscapeinternational96582 ай бұрын
hapa ni nyumban
@jamalmanishi72822 ай бұрын
Ndugu zangu sivema kutukana mtandaoni kama mtu maoniyake haujayapenda msahihishe kwa hoja harafu wanasimba niwatu makini msiwaige wale wengine michezo nifuraha
@MrishoMambo2 ай бұрын
Hao wasenge ipo siku watasema kila msemaji awe na sauti yaaina gani
@jafarimatima68212 ай бұрын
Zawadi ya Usaliti hiyo msishangae
@abiboseleman16492 ай бұрын
Na manura anahusika kwenye magoli hayo na boss wake walipokua wa nachukua bahasha
@AllyMaya-yj3xd2 ай бұрын
YAAN WEWE MWANDISHI NI MJINGA AYOUB MKATABA WAKE ULIISHA TUMEMSAJILI SASA MSIMU HUU KAMA HATAKIWI NA VIONGOZI TUMEMPAJE. WEWE ACHA KUONGELEA HELA ZA SIMBA ACHA KUONGELEA HASARA YA SIMBA HAIKUHUSU WEWE SIMBA INAJUA INAFANYA NN
@isakajunior71392 ай бұрын
Mwambie na Mo apunguze kulalamika timu inampa hasara kwasabbu hasara yake haituhusu
@kassimrajabu78052 ай бұрын
@@isakajunior7139😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mohamed-k1c7s2 ай бұрын
Mbona imekuuma kaka.
@thomaszadock74242 ай бұрын
Hiyo ndo comedian wa kwanza
@YohanaJumanne-v3v2 ай бұрын
Simba asipangwe leo Kib D huyo kabadilika kawa kama Chama na Aishi manula kapenda pesa
@abiboseleman16492 ай бұрын
Kwani kale ka tv Kenu kameishia wapi naona wote mko criwn😅😅
@edwardmassawe51162 ай бұрын
Kako wapi kako
@drallan68792 ай бұрын
sasa Kama Ayub ameumia mlitaka tusema nini?
@shaurichapote11382 ай бұрын
Huyo mchambuzi sijui anachambua kama hajui kama ayoub kaumia
@JacksonMartin-pb2vq2 ай бұрын
😅😅😅😅hapo kumeanza kuchangamka ila ikitokea wakifungwa ndio hatari zaidi
@King_Of_Everything2 ай бұрын
👊👍✌️.
@abdiharuna28182 ай бұрын
Juma acha uongo hata jobe mlisema hvyohvyo kua mkataba wake ni mgumu kuvunjika
@audifacejosephat70712 ай бұрын
Manula ni duka la GSM wache apambane na hali yake
@tofatofali98032 ай бұрын
Umeongea kimbea sana man futa hii
@gilbertmaganga93702 ай бұрын
Mnashindwa kuchambua timu zipo mahakamani zinashikiana mnachambua ujinga acheni bangi
@YustinoMchopa2 ай бұрын
Kwani yy manula amekatazwa kuvunja mkataba?
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Mtovu wa nidhamu? Mara aliporudi kutoka mafuchoni kwa hofu ya kufungwa na Yanga mkamchezesha, alichofanya kibu ni kuangukaanguka tu kiwanjani, pumnzi zero, mna kazi na uongozi weni.
@mushtaqakram98432 ай бұрын
Sasa ayoub kwani walimsajili aikiwa majerui au ?si kaumia aikiwa kambini jamani kwani Simba walipanga ayoub apate injury
@Humanity212162 ай бұрын
Ila vitu vingine bwana ety Aishi Manula hana taarifa wakati mimi shabiki tu najua watu walienda misri na wamerudi😂😂 wachambuzi mtafuteni Manula kwanini hayupo kambini? Au muulizeni Ahmed kuwa walijaribu kumtafuta muajiriwa wao kuhusiana kutokufika mazoezini??
@josephmwise31772 ай бұрын
Tatizo la Manula ni meneja wake anasimamiwa na mchambuzi uchwara badala ya meneja, Huwezi kuwa mchezaji mkubwa akachukuwa meneja wa kulipwa Elfu kumi kumi.
@ClassicUsed-jg6ri2 ай бұрын
Manula aende yanga akachukue nafasi ya diara
@shaurichapote11382 ай бұрын
Kwanza kuna vitu vinashangaza sijui watu wengine wana fikiliaje je simba amechaguaje kupata hasara? Simba waliomba ayoub aumie? Sijui kuna watu uchambuzi niwa wapi ndo maana jemedari kakausha tu maana nimwelewa mkubwa sana wa mpira