Nice movie jmn mtoe harak harak mashabik tunasubir mwendelezooo🎉❤
@AshaAbdallah-y1hАй бұрын
Maua umenishinda tabia huku umevishwa pete huku waomba msamaha eti kuishi bla ww cwezi😂
@lydiapeter2712Ай бұрын
Jamani mbona kipende kifupi sana tuongezen muda
@MosesokothOyokoАй бұрын
Ee kuweli mwanamke ni kiumbe cha ajabu😅😅
@mwanaishayahaya3649Ай бұрын
Ila maua wewe tutakuchinja siku ya Chrismass🙌tushakuchoka kwa kumnyanyasa mjeshi wetu😢 But anyway kazi ni nzur Sanaa mungu azidi kuwajaalia vipaji vyenu tunawapenda sanaaa mauwa kwenu🎉🎉🎉🥰🥰
Noeli me nimechoka kuja kichungulia kila saa bwana,, em leta hyo episode ya 11
@josephmbirize3134Ай бұрын
Man this is paining so much My brother I need to meet with you We like it And this film is costing If i will back, i promise you man ..... God bless you And support you We mast be waiting for another one I wish you good work and ...... Don't forget about my promise 🤗🤗
@MofatNgonya-k8jАй бұрын
Ila wanawake bwana 💔💔wache2 2ishinao kwakili jaman