Wanangu mi mnanitenga hamjawah nipa like roho mbaya tuuu😮😮😮
@MussaRashid-m5yАй бұрын
Daaah nimewah Leo jmn naomben moment Zang alaf mbon wanachelewesha San tunaofatilia like hapan chin
@ClariceMatulangaАй бұрын
Waomba moment zako ziwapii😂
@joycemaregesi18Ай бұрын
@@ClariceMatulanga😂😂😂😂😂
@PhoebeOdera-kl3ipАй бұрын
Mbn mnachelewesha hiki kipindi ivi jamani yani hdi tunasahau ,,,,,, kazi nzuri sana lkn ❤❤❤
@DeedarlexIddrisaАй бұрын
Nice..❤ Mungu baba anawaita tubuni na mrejee nyakati za mwisho sasa
@HapeMlungu-ci4ekАй бұрын
Kama na wewe umeikubali mapenzi ni game gonga like❤
@IreneDavid-w2dАй бұрын
Jamnii na Mimi nimeungana na nyie kwenye hii series Basi nikaribisheni na like nyingi🤙🤙🤙🤙
@MaigeMitenenkoАй бұрын
😢
@ChrisantJohn-d3lАй бұрын
King hakika siamini mapenzi na umefanya moyo wangu kukumbuka maumivu ya zamani kunavipengele unavyopitia vinanigusa na Mimi kubali usikubali hiyo ni true story utatuambia mwisho wa muvi , shukrani na hongera Mr Noel 💪
@ViolethIssangya28 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@LilianUhodanga26 күн бұрын
Pole sana
@ChrisantJohn-d3l25 күн бұрын
@@LilianUhodanga asante Sana Lilian hakuna maumivu makali kama ya mapenzi Bora hata kufiwa ukisha muhifadhi kaburini basi maumivu huanza kupunguza lakini maumivu ya mapenzi weeee usiombe unaweza kukonda balaaaa
@LilianUhodanga25 күн бұрын
Naelewa aiseee🙌
@monicahjoseph2528Ай бұрын
Kaz nzuri ❤❤❤ila mwachelewesha sanaa jamn jaribn mlete Kwa wakti jamn
@IdrisaIsmailMkwecheАй бұрын
Mamb vp
@NellyKanana-nx2edАй бұрын
Jamani leo nimechelewa guys wapi like zangu akh❤❤❤❤
@DidaAlly-iz1itАй бұрын
Hivi humu ndani kuna wadada wanatabia km za maua wanajificha2😂😂😂😂😂
@ChangaJisavaАй бұрын
Wengi sana afu wanapataga wanaume wapole ila wanakujaga kutimuliwa vibaya😅😅
@BamutumubayaАй бұрын
na akina papii wapo wa kutosha 😅😅
@naahmushi5622Ай бұрын
Wapo tena wengi kinomaa
@EDINESIFENIASАй бұрын
Ndio tena wengi
@irenehebuka3218Ай бұрын
Waleteee😂😂😅
@rukiahamisi3079Ай бұрын
Huyu papy sijui papaya anakera ati kodi napandisha ama mnahama 😅😅😅😅
@naahmushi5622Ай бұрын
Apostropoo njoo huku kunamuujizaa kwa mwenye nyumbaaa😂😂😂😂😂
@DicksoneSahanАй бұрын
😂😂atoe nyumba yake kwenye vi2 vyangu.
@AshulaMbola14 күн бұрын
Mwenye nyumba kapatikana 😂😂😂😂😂
@floramacheva585514 күн бұрын
😂😂😂😂😂huyo kashaingia inboxyyy😅😅😅😅😅
@JacksonChilangwaАй бұрын
Namm nimewahi jamani gongeni like
@zainabumtego5873Ай бұрын
Jama nipeni jina la huu wimbo nimeipenda bure
@SadraAwadhiАй бұрын
Movie nzuri kweli ila inachelewa kutoka sanaa ♥️♥️
@PerisNgigi-f8cАй бұрын
Sijui mbona hii movie inaendana na maisha yangu...wah nammiss mume wangu Raymond sijui nifanye vipi anirudie
@VanwelyMwakilamboАй бұрын
Lakini awa wanawake umbwa tu
@SoboHamisiАй бұрын
Hili iigizo nalo halieleweki Kila siku maudhui Yale Yale hawaendi kwenye pointi Ndo mana Kanumba is the great
@ackisalfaksard9668Ай бұрын
😂😂😂 et si nd hpo yaan inazunguk t
@Andrea-f4eАй бұрын
Igiza weww🤔
@FranciscoKisisiweАй бұрын
Kweli awaendagi kwenye pointi
@SamuelMusyoka-sw8wvАй бұрын
Mwanamke una ombea mwanaume pesa ya kulipa nyumba 😮😮😮😮 Mm siwezi kama mwanamke
@AngelKitomari-q3zАй бұрын
Mwenye nyumba kimekuramba 😅😅😅
@LovieBulengeАй бұрын
😂😂😂
@khadijayusuph9316Ай бұрын
Asa mnaomba like ziwasadie nn badala ya kuomba kwa wiki ziruke EP hata 3 jmn
@NoshardZuberiАй бұрын
Uyo ndo mauwa kachangamka Hadi rahaaa😅😅
@kambachibae6Ай бұрын
Much love king noely from Riyadh episode 12 ikam
@Juliety-v3oАй бұрын
Yan papi anakutumia ww na pesa zako izo nguvu unatoa wap maua jaman dah
@GladysWandera-j7v27 күн бұрын
Mauwa jamani umemchanganya mwenye nyumba weee 🤣🤣🤣🤣
@FranciscoKisisiweАй бұрын
Haka kamaua ni kamalaya live na hako kapapii nanasura kama mbuzi mwenye minyoo
@HevenlightMakoiАй бұрын
Kazi nzurii sana ila papii anakera na maua wakee jmnnn
@ChrisantMwairwaАй бұрын
king noel tunaomba tuwahishie hii umechelewesha sana ila ni moto✅✅
@FaustineJovineАй бұрын
Maua umepigaj hapo umalaya tu kodi aaah
@ZephaniahSekwa-fl2goАй бұрын
Noma sana
@officialfighter-o9bАй бұрын
😂😂😂😎 kama vp atoe nyumba yake kwenye vitu vyangu🙌🙌
@fadhilafelician5018Ай бұрын
Akiiii ni hatarii nyieee ety atoe nyumba yangu kwenye vitu vyakee aiiiii
@officialfighter-o9bАй бұрын
@@fadhilafelician5018 Ndo hapo sasa afu dume 😂😂😂
@زينزواديАй бұрын
KUSEMAULEUKWELI NITAMU ILA MUNAKAWIA SANA
@SalamKomanyaАй бұрын
Jamanii sijui hataa nifanyaje hakaa kamuvii katamuu ni hatarii
@ViceJmnn-j8bАй бұрын
Kazi nzuri nimependa sana jalibu kurejea tena
@OmbeniJosephatАй бұрын
Jaman ndo imeishia apa au mbn mwendelezo unachelewa sanaa
@SurprisedLizard-zy4tq29 күн бұрын
❤
@NajimaShabaniАй бұрын
Atoeee nyumba yake kwenye vitu vyangu uwiiiiii😂😂😂😂
@JacklineMunisiАй бұрын
Mwenye nyumb ase kawai kulegea😂😂😂😂
@stellasaid-h7nАй бұрын
Team papiiiiiii😂😂😂tujuane kwa likes
@EzekielJoseph-n7pАй бұрын
Dah ww maua utamaliza wanaume wote bas maana Una mmeo,una papi, una kale kajamaa kaboda boda, halafu Tena mwenyenyumba
@EzekielJoseph-n7pАй бұрын
Bado unadanganya kuwa hujaolewa ww noooooma
@ELKAKEMUNTOАй бұрын
Papi Ni aibu mwanaume kutegemea mwanamke😂😂unakera sana
@eunicetumainieunicetumaini6547Ай бұрын
Niaibu niaibu niaibu niaibu😂😂😂
@MichaelJaji-m7sАй бұрын
Sjui mwanaume gan
@LovenessRubben-ue8nxАй бұрын
Papi achinjwe Christmas plz
@annanchimbi538818 күн бұрын
Hahahaha nyie wanaume😂, maua hongera bhn umemtega ba mweny nyumba
@SalumVulluАй бұрын
Mauwa una ata akili Yan ufai ata kua na mume wee Malaya ad unaboa
Jamani mwachelewesha sana kweli 🤔. Otherwise, congratulations 🎉🎉🎉
@eliyazaniАй бұрын
Ya kumi na mbili ikowap
@ANDREWCOMEDIANАй бұрын
Saf kabisa kazii hiii haijawah kua mbovu hongera sana sana vely nice
@MtuKwao-ll8swАй бұрын
Ipo vizuri nimeipenda ila mnachelewesha mbona
@Anna-y1p4dАй бұрын
Maua ni kibokoo
@EginithaMazengoАй бұрын
Yan mauwa anakela huyu umalaya2 kumuhendo mume wake aaah
@meryjohn2902Ай бұрын
Ndugu zangu wachaga kama wote 🔥🔥🔥
@amanijackson8085Ай бұрын
Bwana achien next episode
@RuhumurizaJohn-h8zАй бұрын
Huu musichana mais nimunafiki tena kieleele kbs
@KelvinRamsey-x9qАй бұрын
Wakenya wanasema When deal is so good thing twice 😊😊
@BeathaSarwattАй бұрын
😂😂😂baba mwenye nyumba kapatikana tenaa
@zamzamisaa4130Ай бұрын
Yani aya mapenzi bac tu mana unajitutumua kwa mtu ambae habar na ww hana ohh mapenz weee shkamoo Wallah 🙌🙌🙌
@adammallya3229Ай бұрын
Wanangu Ili li mov ni lamambele
@RebecaBosco-f9kАй бұрын
Mnachelewesha sana bhn
@NduwimanaMwaminiАй бұрын
Asanteni sana
@ModesterSelemanАй бұрын
Jaman muwe mnawahisha
@SamiirrRamadhan-s5l16 күн бұрын
Jamani jamani 😮😮hapa duniani Kuna wanawake matapeli akiamungu😮😮
@MunezeroKevin-y7xАй бұрын
Jamen sehem ga kumi na mbilk bado haojatoka??
@EsterKikotiАй бұрын
Atowe nyumban yake kwenye vitu vyangu
@ElishaLongidareАй бұрын
Kaka zinachelewa sanaaa fanya ziwe ata 4 kwa wiki
@brendanawangaАй бұрын
Dada wee🤔Dunia itakufuza mbaya 😢😢
@AgnessMirishoАй бұрын
jamn ya 12 iyachiliwe haraka
@SalumVulluАй бұрын
Yan wewe maua una akili ata chembe Yan umsaliti mumeo na uchukue elazake ukaonge mhhh ad unaboa
@NuruenezaJosephEnockАй бұрын
Daaaahh jaman mwisho wa King Noelly na mkee wake utakuaje
@florenceMwakio-h2rАй бұрын
Papi kaa kama mwanaume bana,Fanya kazi jitegemee..
@neymishytz9302Ай бұрын
Jitahidini jmn kuwahisha kazi nzur sana
@petermapunda2364Ай бұрын
Apo kwa baba mwenye nyumba ilitakiwa atambulishwe kwanza kwa wapangaji and then Apo badae hauwasumbue kwa maneno yake hayo ya kupandisha Kodi na kuwafukuza wapangaji wa zamani aweke wapyaa
@MaryCharles-c7nАй бұрын
😂😂😂😂maua nakup maua yake du
@RachelKyomo-yt4jnАй бұрын
😂😂😂😂eti toa nyumba kwenye vitu vyangu🙌🤣🤣
@LILIANAWINJA-kf1kyАй бұрын
Wacha umalaya mama mbona unatesa mumeo
@NeemaMbuji-i7sАй бұрын
Kazi zuri ila tunaomb muwe mnawahi kidg kutoa mwendelezo