KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 19
@assiakhadijz41677 ай бұрын
Dada bora utafute mdada wa kazi mm watoto wangu nimewaacha nyumbni lakini yupo na dada wa kazi sioni shida kutoa laki moja kumlipa i
@Nashoora87 ай бұрын
mwenzio ana ogopa wadada wenyewe siku hizi wengi wauwaji asije kuji ongezea stresi bile muwache dada wa watu aombe msaada tu 😢
@HamidaKondo-z1s7 ай бұрын
ila usije ukarubuniwa ukaongeza watto maisha unayaona watatu tu wakutowa machozi
@AzizaRajab-q7n7 ай бұрын
Kiukweli kaka Dhahiri mimi sijaafiki aje huku kwa sasa mtt mdogo sana kisha kumuacha kwa jirani.In Shaa Allaah ni bora achangiwe apate biashara alee watt wake binti yake ni Mashaallaah akiondoka amempoteza
@maximumtvonline6 ай бұрын
Mtumie hela sasa
@AndrewKanyika-t9s7 ай бұрын
Pole sana mama Mungu yupo atakusaidia
@maryamshija5667 ай бұрын
My love❤❤ pole sana kipenz
@aishandayishimiye51277 ай бұрын
Tatizo unachukuwana na mtu hujuwi hata kwao mh unamoyo pole lakini ❤ usikate tama Allah niwasisi wote
@AlHamra-k4u7 ай бұрын
Aisee pole Sana ndugu yangu huyo mwanaume alaaniwe kwakweli
@mesiamatheo22307 ай бұрын
Iseee pole dada
@AlHamra-k4u7 ай бұрын
Dada wa kazi? 😢😢Siafiki wamekengeuka Sana. Huyu bint akienda shule ahakikishe anarudi na kumchukua mdogo wake 😢😢😢 wallah inauma 😢😢 jamani mtoto bado mdogo sana. Mm niliacha mtoto wa miaka 3 sembuse wa mwaka 1?
@antiyasanitiago32217 ай бұрын
Sisi wakwetu tume waasha Nawadada wakazi Nakwako vizuri2
@samiraabdimahamed44497 ай бұрын
Chunga wasikubebeshe mimba nyingine
@azizirania637 ай бұрын
Love
@tato89797 ай бұрын
Pole sana mama 😢😢
@modesterchristophermodchri42337 ай бұрын
Sipendi kuona mwana mke mwenzangu analiya najua maumivu anayo yapitia Tena mbele ya watoto
@valenakomba76867 ай бұрын
YAANI MATATIZO UNAYAONA KWA HAO WATOTO WAKUBWA, LAKINI BADO UNAONGEZA MTOTO. JAMANI. 😢
@anithawidambe75437 ай бұрын
ILA KUNA MIBABA MINGINE INAKERA SANA HAWA NDY WANAOZALISHA WATOTO WA MITAANI.. CJUI KWANN SERIKALI ISIWE INAWAKAMATA ILI LIWE FUNZO KWA WENGINE. MAMA PAMBANA MUNGU ATAKUSAIDIA. HAO WATOTO USIWAPELEKE KOKOTE WATAPOTEA LEA MUNGU ATASIMAMA NA WEWE.
@gilliardgodfriend57457 ай бұрын
Ni kweli kabisa usemayo ila angalia tokea zamani maisha ndivyo yalivyo pili viongozi wetu wanakula nchi bila huruma yeyote kumgekua elimu bure na kutumza wenye uhitaji haya yasingekuwepo mwanaume kukimbia familia nindunia nzima hata wanya ma pia 😢😢