Pole sana DJ Smaa Allah akupe shufaaa ili uendelee kutusanua sisi wa dunia ya 3😅 ❤❤❤
@mikokotv5 ай бұрын
Poleh sana brother. Napendekeza walau wadau 500 tujitokeze tuchangie Tsh 10,000 for DJ Sma manake amekuwa na mambo mengi na hamasa kubwa kwetu sote. Naomba kusisitiza kuwa ni wengi tumekuwa tunamwangalia na kumfuatilia hivyo vyema tumjali kama ambavyo amekuwa anatujali. Mie nishachangia ya kwangu ww je!?
@aminaali7925 ай бұрын
Pole sana Dj smaa Allah atakufajaalia quick Shifaa Yaa Rabbi🤲🏼And asante sana kwa hii nilikuwa naisubiria lwa hamu logic and facts zako Allah walinde All Muslims countries and Allah amshinde myahudi Ameeen 🤲🏼🤍much love from Uk 🇬🇧😍
@MuzafarSaid-k8w5 ай бұрын
Pole DJ smaa..na Mungu akufungulie zaidi wewe mchambuzi genenious Sana ubongo wako una hatari.sasa kuhusu hili la Iran na israil ndo nimekaa sawa Sasa.
@stephanosospeter17094 ай бұрын
Ndugu nilazima wamkatae YESU ilisisi tumpokee, ndio maana Yesu alisema nimekuja kwa walio wangu,ila wamenikataa, ayo yalishaandikwa na yalishatabiriwa, wew unazani wangemkubali sisi tungepataje uwokovu, sisi wa mataifa, na ilikuwa lazma ili asulubiwe, ateswe, kajifunze maandiko, ndio uje useme unayo yasema
@ThomasCornel-zy7sc4 ай бұрын
We siku ukijitambua utaacha
@hamsikrasheedi17965 ай бұрын
Mungu Akufanyie wepesi upone haraka djsma
@Jibambeshow254k5 ай бұрын
Dua alafu mtumie ata mia utakua umetisha
@AmisoMuyohira5 ай бұрын
From burundii bujumburaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 pole sana simba wa sautii nzuri na ucambuziii wa akiiliii salut
@evancemichael54895 ай бұрын
Pole Sana kwa tatizo la kiafya. Nimefurahi umewaambia ukweli kuwa Israel sio Taifa teule la Mungu. Na wanaupinga ukristo kwa nguvu zao zote.
@angelitapaulo4 ай бұрын
Israeli ni taifa teule la MUNGU hajalishi wewe unalionaje au unalichukuliaje, nikumbushe Israeli ilianza kupigana vita zamani, mfalme Daudi, tafuta Habari zake, nikumbushe Israeli kwenye vita hawezi kupoa na fainal inajulikana, msikitini lazima ubolewe kupisha ujenzi wa hekalu la MUNGU
@nyemondagalla6085 ай бұрын
Pole sana bingwa, Mungu ni mwema afya yako itaimarika ameni🙏
@maniamba.tz_5 ай бұрын
Pole sana Dj Smaa Mwenyezi Mungu akupe afya njema
@homecraft2275 ай бұрын
Pole sana kaka, Mimi pia nilishaliona Hilo, marekani mjanja sana, yaan hapo anataka ku control both parties.Ila kuhusu mambo ya imani achana nayo maana wew uko shallow sana huko,ongelea kisiasa,kiuchumi na mengine.Suala la imani liko deep sana
@juliusnyerere53935 ай бұрын
Pole Sana mkuu Allah atakuponya mkuu. Kwa uwezo wake tuombe Mungu mwenye moja na moja huwa mbili tumchangie mwenzetu. Hata Kama Huna Sasa basi weka nia tu kwamba nikipata nitamchangia basi Allah atakulipa kutokana na nia yako umepata unatoa hukupata basi Allah ndio ajuae inshallah kheri
@hassanihamidu85465 ай бұрын
Smaa nenda mazese kunakituo kinaitwa bakhesa kunasoko pale kanunue kunadawa ukifika wambie unataka dawa yakulendemka itakusaidia sana
@djsma2555 ай бұрын
Asante
@KhamisiOmar-v3h5 ай бұрын
Okey kaka mungu akufanyie wepesi upate afya na hayo maradhi yakuondokee.
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Walkum salamu dj sma. Pole sana. Mungu akufanyiye wepes inshaallh upone haraka 🙏
@homecraft2275 ай бұрын
Israel haijaanza kutengwa leo miaka hii na yote hayo walivishinda,wajaa Mungu kawapendelea sana,na wameshika uchumi wa dunia,.rejea kwenye issue na Anti semitism.
@Ufalme15 ай бұрын
Na ikumbukwe kuwa Udhaifu wa Israel siku zote unapatikana tu pale wanapomsahau Mungu wetu, Ila Israel katika uwepo wa Mungu ni taifa la kuogopwa duniani.
@YohanaYoramu-nl6bw5 ай бұрын
Hakika kaka
@izzahboe14425 ай бұрын
Acha ushamba Mungu ndo alisema wawe wagonvi
@angelitapaulo4 ай бұрын
Hapana kaka kumbuka vita hii iko katika Biblia, pia kumbuka mto flat ulishakauka maji tangu 2021,ili kupitisha majeshi ya kaskazini na kusini, kupigana vita, na hii vita inakuwa na mpango wa shetani kupunguza idadi ya watu kwa hiyo vita itaanza taratibu kisha watu wote dunian wataungana kupigana na Israeli, na hii ndio ile vita ya HARMAGEDON katika Biblia, na mwisho Israeli itashinda hii vita kwa kuwa wanapenda nguvu yq ki MUNGU kisha msikitini utabomolewa hekalu la MUNGU litajengwa hii nadhani hata waislam wanajua kwamba lazima msikiti ubolewe hiyo iko wazi,
@hemedmtunguja97884 ай бұрын
Wafiranaji tu israel
@mshengeli5 ай бұрын
Allah will heal you inshaallah Dj SMA
@andreadaniel2145 ай бұрын
Pole sana DJ smaa.. Mungu hatakusahidia.. From🇰🇪.
@chachamturi2595 ай бұрын
Alafu broo jaribu kutafsili, wengine hatujuilugha
@hilmialiomar19835 ай бұрын
Pole sana kaka, Allah(SWT) atakuwafu.
@happynesbaemuhappynes88135 ай бұрын
Pole sana Dj Sma Mwenyezi Mungu atakufanyia Tahafif
@ngadumbishi14055 ай бұрын
Welcome back dj sma nilikuwa nasubili madini yako yenye uhakika nipate kujiridhisha kazi nzuri bro 👏
@chachamturi2595 ай бұрын
Kwani kaka tukkichangia ten ten vip broo spoa. Dahh!! Poolesana kaka Nitafanya jumbo ndugu yangu. Nakupenda sana broo utapona sawa???.
@djsma2555 ай бұрын
Chochote kinappkelewa
@hamzamasaga56125 ай бұрын
Pole , mungu akupe tahafifu !
@saidmwakugomba36235 ай бұрын
Quick recovery broo, utakua sawa InshaAllah
@thamani58425 ай бұрын
ALLAH akupe shifaa kaka
@braystuskibassa38425 ай бұрын
Pole sana Dj Sma daaah! haukuwa online kitambo sana hili tatizo limekuwa kubwa sana mtaani la Spinal cord
@cheedsure32375 ай бұрын
Pole sana dj smaa ALLAH atkusaidiaa
@mustaphamatelefone-lc9pr5 ай бұрын
From in Mozambique 🇲🇿 pole sana dj allah akuponye
@l.m.a.75705 ай бұрын
Pole sana dj sma kuna watu hawaelewi kuwa wakristo wlioko jerusalem ni waarabu ambao ni wapelistina sio wayahudi wayahudi hawataki kusikia kuhusu yesu ila wanawatukana waarabu hawajui kanis za jerusalem inasaliwa kiarabu nasiyo kiyahudi utawasikiya tuko na israel kuna wasiria wakristo wairak wakristo walebanees wajordan lakini hakuna myahudi mkristo dj sma ebu wajulishe siku moja
@abdallahsavonge51135 ай бұрын
Pole sana al Habiib. Labasa taharun in shaa Allah. Allah atakujaalia shufaa ndugiangu.
@kilimohub5805 ай бұрын
Dj sma pole sana. Tafadhali hii analysis ya DAJAL tunaomba uiongelee brotha
@davidlaiser81745 ай бұрын
Pole sana kwa kuugua. Lakini kunajambo ningependa ulijue pia.Ni kweli Israel inapata support kutoka Marekani na uingereza kwa sababu ndo wengi wao wanashikilia uslchumi wa nchi hizo.wakati mwingine huwezi kuwatenganisha nao abadani. Pili hata wao hezbollah,Hamas na Iran wanapata support kutoka kwenye nchi zingine kama Urusi na Uchina. Kwahiyo kukufungua zaidi ni lazima uchambuzi wako uwe real na ubalance.
@salimfaraj55095 ай бұрын
Pole sana Allah atakufanyia wepesi upone
@ramadhaniseifuledi5135 ай бұрын
Pole ndugu yangu dj sm mungu atakupa wepesi utapona kazi
@trendz_25485 ай бұрын
Pole sana ndugu supports tutatoa. Huwa unafanya kazi nzuri sana. Love tokea Kenya
@emmanuelkamoli82155 ай бұрын
Yesu akuponye.KWA UPANDE WAKO MM NIPO KINYUME NA WEWE MAREKANI HAWEZI KUMTUMA IRAN AISHAMBULIE ISRAEL HAIWEZEKAN KUTOKANA NA MIZOZO ILIYOPO DUNIANI
@Uwezohussein-me2gp5 ай бұрын
Hujamuelewa, elewa kwnz ndugu acha mihemko
@RashidFarid-y7o5 ай бұрын
Tuko Lubumbashi endelea kufunua ubongo wa watu ❤
@ramadhanimtozeni80305 ай бұрын
Pole sana, gwiji wa uchambuzi Mungu atakusaidia.
@Del_busi55 ай бұрын
Huyu jamaa Ni gwiji kabisa
@allahisone63865 ай бұрын
MUUMBA AMPONYEE
@HashimuHashboy-bo2wl5 ай бұрын
Usihofu but ukweli wa kaz yako nikuse. Ma ambao hautakiwi truth very expensive than true,nn hatma ya lowasa ukweli wake alitolewa kafara na almekufa kama mbwaa aliegomgwa na gari ukweli unaumiza sana but ishi nao coz ulinzi wako uko na mungu
@KilembeSamson5 ай бұрын
Hata kama wanamkataa Yesu Bado ni taifa teule la Mungu.
@UnitedAfrica-uw9ct5 ай бұрын
sidhani , ongelea "spiritual" Israel sio hii ya Kina Netanyahu
@sbboymkaliofficial91085 ай бұрын
Unajua Wewe taifa teule ila wayahudi wahawataki ata kuona bibilia au kanisa ndani mwake ndo maana pale Israel ata wakristo WA kweli wanishi Kwa shida
@UnitedAfrica-uw9ct5 ай бұрын
@@sbboymkaliofficial9108 Taifa teule kwa vipi , unahitaji kuuliza maswali magumu , ili uwe Taifa teule MUNGU anahitaji wewe ufanye nini ?, hii Israel ya Netanyahu inafanya hivyo ?
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Umeongea sahihi sana sana.Ni kweli kabisa hata kama walimkataa yesu au bado wana mkataa yesu lakini bado hili litabali kuwa Taifa teule la Mungu.Wao wamewekeana ahadi na Mungu.Hili bado ni Taifa la Mungu.
@UnitedAfrica-uw9ct5 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Ibrahimu watoto. Mat 3:9
@JeremiahElfadhili5 ай бұрын
Yesu anaponya bure! Njoo kwa Yesu utapona!
@Dawdysomwe5 ай бұрын
Kwan yesu ni daktari au😢
@aliabdallah84565 ай бұрын
Pole sana nakuombea Mungu akuponyeshe hayo maradhi yako ya uti wa mgongo
@selemanijuma23785 ай бұрын
Pole sana Allah atakujalia SHIFAA inshallah,
@canisiusibrahim98565 ай бұрын
Pole chief tukipata tutashow love
@bahatihassan74925 ай бұрын
Mungu akuponye nakupenda kwa ajili ya Allah
@AminaAbdullah-ws3wy5 ай бұрын
Allah akufanyie wepes. Ameen
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
Mwe jamani pole sana kaka yangu mungu akuponye ni changamoto za dunia
@JackilineAbeid5 ай бұрын
Pole sana 😢 utapona inshallah
@JumseMSTAARABU5 ай бұрын
Pole bro namwomba Mungu akuponye inshaallah
@ShehaHaji-k8t5 ай бұрын
Pole sna Tanzania one IT man makofi kwko jembe tupo pamoja kichwa chenye upara hakikosi busara
@Lyagunga5 ай бұрын
Pole sana. Mungu atakusaidia na utapona.
@issaibrahim44654 ай бұрын
Pole sana ndugu. MUNGU akuponye
@HassanMwakilesho5 ай бұрын
Pole bro Allah atakuongoza Kwa kila jambo
@tolbartkishamba37725 ай бұрын
Hypo kaka unatudanganya hivi unaijua ramani yamashariki ya Kati achakutudanganya
@EzzyEddy-il3ce5 ай бұрын
Tupe riporti Yako wewe ya kweli basi chaap tunakusubir hapa
@RahmaHussein-xh4hy5 ай бұрын
Allaah Akuafu Akupe Afya njema
@JohnJonas-b6e5 ай бұрын
Pole sana brother Mungu akujalie Kaka 🙏
@maulidrehani5 ай бұрын
Tulikumis kaka pole sana mungu atakusaidia bro
@youngdizzyfl5 ай бұрын
Dj pele sana mungu yupo nww atakufanyia wepesi utapona.
@ShemkandeShemkande5 ай бұрын
Pole sana kaka
@JuliusAnaeli-ke7qt5 ай бұрын
Dj Sma,Untouchable
@PcgtMsalato5 ай бұрын
Unaonekana Kama unajua kumbe hujui Kitu. Upo kwenye Ushabiki wa Kidini. Ukristo wenyewe hujui. Dili na Uislam unaoujua achana na Ukristo
@hijazhija3164 ай бұрын
Kichwa kigumu
@znzmawaidh87025 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi inshallah
@amosstimamaroba10545 ай бұрын
Duh tunakumis bro pole sana aisee tunakuombea sana
@gmai4465 ай бұрын
Pole Sana upone insha, llah Ila kwenye uchambuzi ume bugi
@matanohassan96675 ай бұрын
Allah akuhifadhi Na akupe shifaa
@SamweliJacob-bm2ij3 ай бұрын
da pole sana nduguyangu pole
@SaadaMasoud-r9e5 ай бұрын
Pole sana Mungu Atakusaidia
@muhamadharun94325 ай бұрын
Inshallah Allah akufanyie wepesi upone
@bensonmakundi5 ай бұрын
Ndugu yangu kunakitu unamiss na hii nikuwa shabiki wa Irani moja kwa moja
@AliDulla5 ай бұрын
Pole sana kaka tuta support Allah atakuponesha
@DavidBoikamba4 ай бұрын
izlael Wanam Tegemea Mungu Marekani Waonani
@godwinmandary51165 ай бұрын
Pole mkuu Mungu akulinde
@Jibambeshow254k5 ай бұрын
DAA pole quick recover,sisi wakenya tutachanga vpii ,naezatuma katika njia y M-pesa?
@josephangelo39995 ай бұрын
Babylon are not good be careful brother, we love u
@dastanisalingo89934 ай бұрын
Israel kutomwami Yesu hakufuti hali ya Israel kuwa taifa teule.
@dorahbenard18375 ай бұрын
Aah..pole JD sma mungu akupe kupona haraka 😢
@mwawekomiuda97795 ай бұрын
M'mungu atakufanyia wepesi inshaAllah
@raymrash5 ай бұрын
Pole Mungu akuponye kaka 🙌
@AliyKijangwa5 ай бұрын
Pole xna brw Mungu akusaidie
@deathrow80045 ай бұрын
Allah akupe shufaa ndugu yangu
@SaidyMwajeka-tr7oj5 ай бұрын
Nice mkuu wa wachambuzi🎉 get well soon
@faridayendayenda29535 ай бұрын
Pole sana dj smaa
@BalutiShabani5 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu
@modekaijames5 ай бұрын
Pole sana kaka Mungu akusaidie
@danielikonyeeki2545 ай бұрын
Pole sana
@KassimKhalaid5 ай бұрын
Wacha ifanye vile yataka iyo Israel kama ndo ina uwezo twaingoja mm niko na Iran bro
@KhajjFundi-ij2dq5 ай бұрын
Pole sana kaka
@aivodanielchengula49294 ай бұрын
Angalao huwa unapenda kuongezewa mambo. Waisraeli walikataliwa na Mungu toka mwa 607 kabla ya kuwepo kw Christo wakati ambapo wanavamiwa na kutekwa na Babiloni(Irac ya sasa). Sababu ya pili toka wamevamiwa na Nebkadneza Israel hawakuongozwa tena na mfalme aliechaguliwa na Mungu. Bilia inasiri hizo, (2Nyakati sura ya 36) kitabu hicho kitaonyesha jinsi walivyofikia mwisho wao wa kuitwa taifa teule. Na kutoka hapo siasa ilitawala
@harrsmgaya81415 ай бұрын
Pole sana DJ sma!!
@douglasjohn88925 ай бұрын
Pole sana kamanda tupe namba tuchangie hata Hela ya maji baridi
@richshayo49245 ай бұрын
Cheki pia Fatty liver pole mno bro angalia pia diet achanana na any grain
@kuryatvfilm11615 ай бұрын
Lazima ajibu hapo mungu yupo Na Israel marekani ni mwanadamu acha uongo
@pvoiceofficialtv76305 ай бұрын
ili mueka wewe
@hubman67805 ай бұрын
DJ SMA na Kwa faida ya wengine Unachoumwa through spinal cord kupress nerves husababisha maumivu makali. Sasa kama ni mtu unaekaa Kwa muda mrefu sana unatakiwa kuchagua aina ya mkao,usiweke waleti mfukoni.Mwisho chagua poise ya kukaa Kwa style ya mwanamke akaavyo kwenye kiti.Nenda mazoezi yanayotumia kifaa cha umeme Kwa physiotherapy.Hospital Hight tech Upanga watakusaidia
@jumaabdalla8245 ай бұрын
Pole sana mungu atakujaalia uzima
@anthonmoses12005 ай бұрын
Pole boss
@sonnyr18995 ай бұрын
Pole dj Smart
@farajakwilasa4715 ай бұрын
Pole sana dj sma
@amlikejames6465 ай бұрын
Pole mzee
@hawa60525 ай бұрын
Allah akupe shifaa
@MasterOil-qm6vw5 ай бұрын
Sio kweli kabisa kumbuka kupata taarifa kutoka kwa adui yako inategeme ubora wako wa kudukua taarifa iran alitoa taarifa kwamba atashambulia lengo lake sio kuua watu wasio na hatia kama magaidi wa magharibi yey iran ametaka kuwatia adabu watumwa wa kiyahudi