MARIOO AELEZA NANDY ALIVYOMUWEKEA POZI SIKU YA KWANZA, ALIVYOSOTA GEREJI BAADA YA KUACHA SHULE

  Рет қаралды 503,614

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 597
@pacifiquerema2347
@pacifiquerema2347 5 жыл бұрын
Napenda sana njisi millard anafanya, anauliza swali alafu anakuaca unaongeya,tofauti sana nawatangazaji wengi wakibongo mbwembwe nyingi hazifai. Big up bro
@mwamengele
@mwamengele 5 жыл бұрын
technique za ma psychiatrist hizo, wanakusikiliza tu unafunguka mwenyewe
@bibiejuma7523
@bibiejuma7523 4 жыл бұрын
Dah kweli maisha ni safari ndefu mndenge mwenzangu
@jonathanibrahim1480
@jonathanibrahim1480 4 жыл бұрын
Pacifique Rema vgj
@elizabethswai9319
@elizabethswai9319 4 жыл бұрын
Sanatuuu
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 2 жыл бұрын
Marioo kumbe hensm!?
@careenchazy9471
@careenchazy9471 5 жыл бұрын
wanao mkubali marioo tujuane dondosha like na kibao chake kikali ( inatosha)big up marioo 👊👊👊
@MaryamMaryam-me8wg
@MaryamMaryam-me8wg 4 жыл бұрын
Yuko poa sn
@ariyuabbakari7301
@ariyuabbakari7301 4 жыл бұрын
Mie siomshabiki Sana wamziki hira nirisikiriza mziki wako hinatosha kweri hurikuwa humejipanga vizuri henderea kukaza buti mungu atakujibu
@sophiasamwel9817
@sophiasamwel9817 4 жыл бұрын
Sanaaa namuelewa,mungu azidi kumbariki Mariooo,inatosha
@ismailiismaili8872
@ismailiismaili8872 4 жыл бұрын
da Marioo huyjamaa anatisha.san
@laimeliharuna7994
@laimeliharuna7994 4 жыл бұрын
umetishaa
@ally.abdullah.8699
@ally.abdullah.8699 5 жыл бұрын
kumbe Hawa wandengereko wanna vipaji Sana big up Sana kwa wandengereko km nawew no mndengereko gonga like. usiwaze
@omarisalum3699
@omarisalum3699 4 жыл бұрын
Ally. Abdullah. mbosso
@allyamir7162
@allyamir7162 4 жыл бұрын
Siwandengeleko tunajivunia samata malioo na Mimi nakuja kuwa bilionea nimetajwa kwenye jalida la fobss
@aishalibondo6745
@aishalibondo6745 5 жыл бұрын
km unapenda ngoma ya raha km mm gonga like tuende sawa
@mussamarsely7250
@mussamarsely7250 4 жыл бұрын
Naikubar sana yani IPO kwenye sitor yangu ya msisha
@azizaramadhan9177
@azizaramadhan9177 4 жыл бұрын
Ninoma anajua
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 жыл бұрын
Usimdharau usiomjuwa nandy. Acha roho mbaya
@asnahmassawe9353
@asnahmassawe9353 2 жыл бұрын
naikubali sana ngoma ya raha
@MargauxNyambura
@MargauxNyambura 3 жыл бұрын
I love vile Marioo his talking,Yuko very humble, much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Marioo usibadilike endelea kuwa mnyenyekevu wakenya tunakukubali
@alexmdatch532
@alexmdatch532 2 жыл бұрын
Mm sijakuelewa
@felistafelista7088
@felistafelista7088 Жыл бұрын
​@@alexmdatch532 kwaiyo afanyeje kama ujaelewa 😏
@mastaplan83
@mastaplan83 5 жыл бұрын
Millard Ayo you are very experienced presenter i love how you are composed and give your interviewee time to xplain.
@mwalimmwalim6336
@mwalimmwalim6336 3 жыл бұрын
Leo 11th May 2021 mapema asubuhi Omary AKA Marioo ameondoka Johannesburg, South Africa, Olive Tambo International Airport kurudi nyumbani Tanzania. Kwa muda aliokuwa hapa Johannesburg, niligundua Marioo yupo very humble and down to earth. Kiukweli Marioo ni mwepesi sana wa kuelewa mambo mapya.
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 жыл бұрын
Kama na wewe umepitia misoto kama ya MARIOO angusha like yako apa.
@gowithmesafaris
@gowithmesafaris 5 жыл бұрын
Daah! Jamaa kanigusa sana yani kapitia magumu kama yangu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 жыл бұрын
Isaya Paul katugusa weng sana
@ibrahimrassi7835
@ibrahimrassi7835 5 жыл бұрын
na kubari sanaa
@ibuninkwaje3191
@ibuninkwaje3191 5 жыл бұрын
Yani kama kakopi ya kwangu yani tofauti ndogo yeye msani nami nakipaji cha uchekeshaji
@jafetfelix6362
@jafetfelix6362 5 жыл бұрын
Mungu amuongoze na kumuongezea maarifa Amen
@SelphahDelphine
@SelphahDelphine Ай бұрын
Marioo napenda sana nyimbo zake ..Yuko on top sana mm nipo Kenya
@SelphahDelphine
@SelphahDelphine Ай бұрын
Nyimbo zake zote Niko nazo ...pia nafuatilia sana...nampenda sana haswa sauti yake anapoimba
@elchapo9125
@elchapo9125 5 жыл бұрын
Bonge la interview God bless you Mariooo Tonga like Kama umeikubali
@marsgenesis7200
@marsgenesis7200 5 жыл бұрын
The guy is humble na kwenye suala la mkorogo sidhani kama anatumia ila ni kwamba ana chunusi zinazomsumbua na karibia dawa zote za chunusi huwa zinang'arisha ili kutoa makovu
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 4 жыл бұрын
Ukosawa maranyingi dawa zakuondoa chunusi hua zina ng'arisha
@saudakayela5439
@saudakayela5439 4 жыл бұрын
Mars Genesis nikweri sikupingi
@saididd3121
@saididd3121 4 жыл бұрын
Kw
@rizikijaha3390
@rizikijaha3390 4 жыл бұрын
Hizi chunusi hataree
@celestinekhivali5824
@celestinekhivali5824 3 жыл бұрын
Aki watu wabaya kumsema marioo vibaya,leo ndio nawatch hii interview but uso kuharibika Ni kawaida si must iwe mikorogo tu,alisema ajawai tumia mikorogo Mimi namuamuni wale wa kusema waseme tu,
@meedaafarai9677
@meedaafarai9677 5 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi .pole sana.
@lamecksmernest9651
@lamecksmernest9651 5 жыл бұрын
Daaaah ama kweli no sweet without sweat## mungu mubarike MARIOO## mungu mubarik Millard ayoo
@devotamruma3459
@devotamruma3459 5 жыл бұрын
i have being waiting this interview for so long
@bennie7239
@bennie7239 4 жыл бұрын
Hii ni interview ya kwanza naiona kwa Millard ambayo kimsingi Millard hana kaz kubwa 😁😃, Marioo anajieleza vzr sana...he's 4 real..
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Saana yaan anampa nafasi ya kuongea
@yusuphharuna1476
@yusuphharuna1476 5 жыл бұрын
Baba yangu aliashaniambia usitegemee ndugu yako yoyote kukusaidia mwanao ktk maisha
@patrickyohanna5120
@patrickyohanna5120 5 жыл бұрын
Mchizi kanikumbusha mbali saana enzi nasoma halafu mimi ndoo fundi wa shule na kukarabati matlanga ya wanafunzi wenzangu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Ni kweli
@deusdedithmanugulilo1980
@deusdedithmanugulilo1980 5 жыл бұрын
MIllard hii inageuka kuwa moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kufanywa na wewe, Si kwa sababu wewe ni presenter bora lakini kwa sababu ya uwezo binafsi wa kujieleza wa Marioo. In this interview you had a total relaxation since the guy knew how to tell the tale. Natamani ningemshauri kitu lakini kwakuwa sina ukaribu nae basi please only share the remaining part of this interview
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 жыл бұрын
True
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 5 жыл бұрын
Kma unafatilia hizi online Tv na interviews zao, this interview ina best techniques Millard anauliza na anasikiliza na anazalisha swali zuri sana
@benajra3374
@benajra3374 5 жыл бұрын
Kama naww umelelewa na mama to gonga like apa
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Uber ni producer mzuri Sanaa ametoa wengi Sanaa na beat zake nzur congratulations mburahat wanatoa watu wengii maarufu ad na queen video marioo we ni msaniii Bora mnooo na utafika mbali ata Kama unaimba kiswahili akija msaniii was nje we imba kiswahil na kinasikilizwaa kokotee watu tunapenda nyimbo za kikorea tukitzama tamthilia zao na wao wasioolewa watapenda tuu songesha,na kufeli shule sio kufel maisha mie nmesoma ad chuo lkn. Natgmea biashara kwa Sasa sjawah kukata tamaa kwnye kutafta much love#Mario
@fatumafey9256
@fatumafey9256 5 жыл бұрын
Marioo kiboko nampenda mpaka naumwa love you 😘
@mathewtheodorynikweli5751
@mathewtheodorynikweli5751 2 жыл бұрын
Kwahiyo Mimi au basi😂😂😂😂🤓🤓
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 5 жыл бұрын
Brother Marioo, Mimi shabiki wako Sana kutoka Kenya. Wimbo wako wa inatosha uko juu saaana
@azizaramadhan9177
@azizaramadhan9177 4 жыл бұрын
Tutambuane kwetunimombasa likoni
@twerkworld6049
@twerkworld6049 4 жыл бұрын
@@azizaramadhan9177 hy
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Wamama tuna pitia mengi kwenye kulea, mungu atufanyie wepesi
@fatmahamid64
@fatmahamid64 2 жыл бұрын
Amin
@andrewmwita119
@andrewmwita119 5 жыл бұрын
Hongera sana Dogo marioo napenda sana kazi zako Dogo unafanya vizuri,kaza boti cha mhimu wapenda washabiki wote wabaya na wazuri
@monicajulius905
@monicajulius905 5 жыл бұрын
tuanapenda Sana kazi zako,ila kama unatumia mkorogo acha kabisa
@umikram6755
@umikram6755 5 жыл бұрын
Haaaahaaaa
@roseignace4810
@roseignace4810 5 жыл бұрын
hahahaha kweli kabisa umenuna dada
@salomeally6145
@salomeally6145 4 жыл бұрын
Monica Julius mbona mpaka mwilini mweupe muone mikono
@hamadharerimana8187
@hamadharerimana8187 4 жыл бұрын
no nahisi iyo ni skin condition(matatizo ya ngozi}
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
Monica Julius HAO wanatumia sikrabu
@m-jay2840
@m-jay2840 5 жыл бұрын
Aki his so humble You can read he has a ver good personality honest guy
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
You can say that again my dear, more than a hamble
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Hongera Marioo umepambana sana👏👏👏
@faridamjungu1028
@faridamjungu1028 5 жыл бұрын
Duh! Pole sana mdg Wang, kaza buti mafanikio utayaona in shaa Allah
@samirayussuf280
@samirayussuf280 4 жыл бұрын
Love you so much marioo unasautinziri Masha Allah bless nakukubali mno pigakazi brother ❤️💯
@aishakopose26
@aishakopose26 2 ай бұрын
Mario wewe nikijana watofauti sana mungu akupe Kila hitaji lamoyo wako ufike unapo pataka Amina🙏
@tiktokTviral
@tiktokTviral 5 жыл бұрын
A Very Talented humbleGuy 🎤#Mario👑🎶 kp it up jooh..🔝
@ayshaaysha7786
@ayshaaysha7786 2 жыл бұрын
Mario
@Jc-wl6yf
@Jc-wl6yf 5 жыл бұрын
Unajua kujieleza marioo...Mungu akupeleke viwango vingine zaidi
@lovesamson2939
@lovesamson2939 4 жыл бұрын
Story yako ya upande wa baba tunafanana Ila usikate tamaa unafanya mziki mzr nakukubali sana Mungu akupemaisha malefu💪💪💪❤❤❤❤❤
@kassimramadhani79
@kassimramadhani79 4 жыл бұрын
Kama unamkubal mariooo dondxha like hapa🔥🔥🔥
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 2 жыл бұрын
Msanii wangu Bora 2021 .. He is real dil in town ..
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 5 жыл бұрын
Daaa! Marioo hatimae ndoto yako ilitimia 🔥🔥🔥
@ninadelina7576
@ninadelina7576 5 жыл бұрын
Allahmdhulilah🤲
@ellybissack8284
@ellybissack8284 4 жыл бұрын
big up marioo mwanzo mgumu ndio km hv so ebu Fanya kitu na Nandy
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🙏🙏
@wemambonde9363
@wemambonde9363 5 жыл бұрын
Kaza mdogo wangu wa shule moja kijiji kimoja acha tu umenikumbusha mbali Sana kibiti moja ndo home
@husnahkidula4009
@husnahkidula4009 4 жыл бұрын
Touching story 😢😢but we love you 💕
@nestorykuringe9194
@nestorykuringe9194 4 жыл бұрын
Km na wewe una tamani Interview indele km mm ninvyo taman gonga like hapa...
@eliaslaiser8425
@eliaslaiser8425 5 жыл бұрын
Daah jamani tuangalie na aina ya vitu tunavyopaka usoni kama umemwona marioooo kwa uso sey yeeeeeh!!!
@noahchepe8036
@noahchepe8036 5 жыл бұрын
Haha
@godwinegacharo9001
@godwinegacharo9001 4 жыл бұрын
Huyu ndo msanii bora 2019 kwa maoni yangu
@ramadramad8050
@ramadramad8050 4 жыл бұрын
Mond
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 5 жыл бұрын
Daah maisha haya Marioo hajui CPU hahahahaha natania he is so humble nachelea kusema Dogo huyo ataichukua bongoflavor
@clianmichael7472
@clianmichael7472 5 жыл бұрын
Michael Bwoma central procesing unit
@jumamkali375
@jumamkali375 5 жыл бұрын
Rea life ya vijana wengi wa kibongo
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 жыл бұрын
Ata mimi nmeishi maisha ya msoto sana
@paulgodwini2910
@paulgodwini2910 5 жыл бұрын
Bonge LA interview big up marioo
@anastaziaquenberth9443
@anastaziaquenberth9443 5 жыл бұрын
Me nakukubali marioo
@seniroya7834
@seniroya7834 5 жыл бұрын
Marioo kiboko top 20 ameishusha hata kadogo ya kiba.saiz anatamba na wauwe ndio namb moja top 20 😂😂😂😂
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
Aki watu hutoka mbali for real...God has good plan for you Marioo
@peacebrowntz3949
@peacebrowntz3949 5 жыл бұрын
Saidah licious kwel umenena
@prince70863
@prince70863 4 жыл бұрын
Never gave up ... Mungu akikupa nafas onesha juhudi .. Ukiwa star usiwe kiburi maisha hayana wenyewe
@mbalakasulutani2942
@mbalakasulutani2942 4 жыл бұрын
Kujieleza ni shida wewe
@hawaseif9305
@hawaseif9305 4 жыл бұрын
Millard ayo mtangazaji mzuri sana unajua kuhoji vzr 🙌🏿👏🏿
@ninadelina7576
@ninadelina7576 5 жыл бұрын
Inshallah nakuombea kakangu utafika mbali inshallah nq ushafika mbali pia mie shabiki wako wanguvu Ilee nyimbo yako inatosha Masha Allah 💃💗
@josephmlelwa3175
@josephmlelwa3175 3 жыл бұрын
Ndo inavyo takiwa,katika kupambana, maisha ndo yalivyo, big up ni story ya ukweli kibongo. Good.
@sangijamadukwa1486
@sangijamadukwa1486 5 жыл бұрын
Dah! Baba ako kafariki Mwaka mmoja na wangu! R.I.P baba
@Mwakibinga_wisdom
@Mwakibinga_wisdom 2 жыл бұрын
Sad deathday
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 жыл бұрын
Eeeh birthday ya Marioo inaendana na ya mwanangu Ashraf🙌🙌🙌big up sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@meshackkangwe7744
@meshackkangwe7744 4 жыл бұрын
Marioo💪💪💪💪 nakukubali sana nataman siku tukutane nikupe kitu💥💥💥💥👊👊👊👊🤔
@glorytarimo9730
@glorytarimo9730 5 жыл бұрын
Namkubali sanaaa marioooo 💖💖💖💖💖
@sangijamadukwa1486
@sangijamadukwa1486 5 жыл бұрын
Dah! Yan lifestyles ya Maisha ya baba ako iko sawa kabsa na ya mzee Wang, japo mm wadogo zake yan baba wadogo zangu wamenpga kampan sana
@godigaspatv6146
@godigaspatv6146 5 жыл бұрын
Part two iko wap ayo tv
@shozylamparboom8393
@shozylamparboom8393 5 жыл бұрын
Keep it up... U made it... Inatoooshaaaaa... Bonge la kaziii #marioo
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 жыл бұрын
Big up millardayo bonge la interview tupachikie ya mwisho wake
@rahmaomary1043
@rahmaomary1043 5 жыл бұрын
Nc
@raphaelmkumbovalane1710
@raphaelmkumbovalane1710 4 жыл бұрын
Marioo ni fundi wa muziki sana yaani akiimba anatulia sana
@kakagranto135
@kakagranto135 4 жыл бұрын
Very nice interview big Ayo good job, Marioo very inspiring ma Main
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 жыл бұрын
Mario best artist all tyms nice interview
@lindaziti7545
@lindaziti7545 4 жыл бұрын
Marioo napenda nyimbo zako uko vizuri sana
@harryvice77
@harryvice77 5 жыл бұрын
Apo kwenye kuskilizana kanikumbusha mbali sanah
@jacquelinemtei8058
@jacquelinemtei8058 4 жыл бұрын
Unafanya vizur sana marioo love u
@malafyaletistar7613
@malafyaletistar7613 5 жыл бұрын
maisha ya mafanikio huwa yana safari ndefu sana
@bongobytheway103
@bongobytheway103 4 жыл бұрын
dah nimeipnda story yako broda marioo ur fire since day one
@godwinegacharo9001
@godwinegacharo9001 4 жыл бұрын
Msanii bora wa mwaka hapa Bongo. Ana ngoma Kali so kitotoooo
@jenifferfalnadesseaus5671
@jenifferfalnadesseaus5671 4 жыл бұрын
Nampenda sana marioo😢😢😢😢😢
@mosesmahinya9654
@mosesmahinya9654 2 жыл бұрын
Marioo is a genius of bongo flavour
@nazgonke6918
@nazgonke6918 4 жыл бұрын
Kama unapenda wimbo inatosha wa marioo gonga like hapa tumsupport👇
@aminaniyonsenga1946
@aminaniyonsenga1946 5 жыл бұрын
I hope there is part two. This interview is really good.
@jofreymatati9332
@jofreymatati9332 5 жыл бұрын
watu wanahustle 4real
@emmanuelmahumbi3596
@emmanuelmahumbi3596 5 жыл бұрын
La msingi sana Marioo ajielimishe, pia ajaribu kutengeneza njia nyepesi kwa wanaochipukia kuepuka vikwazo alivyopitia yeye. Keep it up
@feidhabakari261
@feidhabakari261 3 жыл бұрын
Anaongea kwa hekima Sana nime penda 💯❤️
@mwalimmwalim6336
@mwalimmwalim6336 3 жыл бұрын
For the past two weeks, I have been teaching and sharpening Omary's English here in Rosebank, Johannesburg - South Africa. He has a very good power of reasoning, a surperb capacity, flexible to cooperate with and he's a quicker Learner.
@scollapatric8342
@scollapatric8342 4 жыл бұрын
Aiseee mungu nimwema sana hongera marioo
@anithawimbe1564
@anithawimbe1564 4 жыл бұрын
Nampenda tu Millard uulizaji wake Wa maswali anakuuliza halafu anakuacha ujielezee Wengine Hata hujaelezea vizuri kashakuuliza lingine Hata hujamaliza lingine wanambwembwe nyingi Kama wauza kahawa ila Millard yuko vizuri
@peterzjohn6260
@peterzjohn6260 5 жыл бұрын
Daaah nmepend xn hii interview, post part two bac Millard
@leonardbenjamen4694
@leonardbenjamen4694 4 жыл бұрын
Komaa tyyu brother kutoboa kupo
@subiraally6711
@subiraally6711 2 жыл бұрын
Hongera Marioo
@salamakenga2782
@salamakenga2782 5 жыл бұрын
From +254 penda xana kijana angu mariiooo,,dar pagumu,,chibonge,,na ringtone YANGU ya kila Sikh inatosha,,ila wapi video ya iii ngoma inatosha broo,,
@issayasimon190
@issayasimon190 4 жыл бұрын
Ipo ingia KZbin
@irenesluiter4496
@irenesluiter4496 5 жыл бұрын
Jaman acheni kumlaumu anajieleza sanaa.. C kila mtu kaubwa kujua sanaa anajifunza pia .bora anajieleza angesema no cment si balaa lingne loop na kwenye ukweli uongo hujitenga yanii namaanisha uso unaonyesh ada anaijua ila hawez kiri kam hakupenda shule kam alivyoyapenda na kwasababu maisha ya mtaa.. WA baba kweny familia (mnatutesea watoto sanaa) mie nimeteseka pia... Na kam anajichubua umri jamanii jamanii ataacha mbna mondi kapta kweny mkorogo na wengne Kibaoo... Jiachie baba jielezee jimwae mwae na iyo inayokuja Millard mpnz uckatee kate
@derrickthedon91
@derrickthedon91 4 жыл бұрын
Irene Sluiter aisee dada unaongea kinomaa!! aisee wee nomaaa
@alfredjanuary1175
@alfredjanuary1175 2 жыл бұрын
@@derrickthedon91 Fà3dt 💞💖💓💄👒
@simulizi2632
@simulizi2632 5 жыл бұрын
Unamsikiliza Mario then lyrics za Mondi feat Fally Ipupa 🔥🔥🔥👇👇 kzbin.info/www/bejne/oWamZICqYtCreNk
@siwatuhassan2281
@siwatuhassan2281 5 жыл бұрын
Umetoka mbali bro enzi hzo ulikua rafiki yangu arafu ukawa ni mdogo sanaa
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 жыл бұрын
Shilawadu wametoa sapoti sana aisee...I wish afikie level ya akina dai
@peacebrowntz3949
@peacebrowntz3949 5 жыл бұрын
Unapambana broh!! Kipindi uko mtaani tulionana sana ...kazaaa blood
@borashabani729
@borashabani729 4 жыл бұрын
hongera sana dogo mungu akusimamie ufkie malengo yako
@noahchepe8036
@noahchepe8036 5 жыл бұрын
Mziki mzuri sana anafanya dg!!!
@khalidndemo4386
@khalidndemo4386 5 жыл бұрын
Hizo microphone unazotumia zimekaa vizuri za kijanja,, sio unaweka mike unafikiri skaveta linamzima mpaka mzungumzaji
@rhodachristopher4398
@rhodachristopher4398 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa
@bahatimwagaro3410
@bahatimwagaro3410 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@paulinemichael4658
@paulinemichael4658 2 жыл бұрын
Nmpendaa snaa yaan wee n motoo
@mohamedabdallah7526
@mohamedabdallah7526 5 жыл бұрын
Interview imetulia 👊🏿
@faasaidy9609
@faasaidy9609 4 жыл бұрын
Kama unamuelewa mario kua ni mkweli na amegusa hisia zako gonga like hpa
@lizzygabriel9601
@lizzygabriel9601 4 жыл бұрын
😀😀 eti sauti ya nandy nilitamba nayo,ila Nampenda Sana huyo Kaka yupo real
@mashmash2826
@mashmash2826 5 жыл бұрын
You guys may be sio mkorogo its just life may be kuna kitu alikula or mafuta ali jipaka haya kusi kiza na ngozi yake .anyway dont lose hope you will go far i wish you all the best
@hildaedson7054
@hildaedson7054 5 жыл бұрын
Ni mabaka ya chunusi..watu hawajui
@waltermfikwa4361
@waltermfikwa4361 5 жыл бұрын
mash mash ni kweli kabsa umeongea nenoo..... Coz sio kila MTU uso ukiharibika hvyo bas watu wanapitisha eet ni kujchubua duuuh wabongo watu wavivu wa kufikiri...... Hata mie nshawah kuharibiwa sura coz ya mafuta sku ambayo nlijpaka.
@mashmash2826
@mashmash2826 5 жыл бұрын
@@waltermfikwa4361 it is very very bad na kuropokwa ropokwa maneno wabongo wana uswahili mwingi sana .i think people should think befor they open hiyo midomo yao. Nice to hear from you walter mfikwa(sorry to ask you but mfikwa its your rilly name
@rehemasaed7593
@rehemasaed7593 5 жыл бұрын
Nimependa ulivo waelekeza mi wananikera wanavokazania utafikiri wanaishi nae
@mashmash2826
@mashmash2826 5 жыл бұрын
@@rehemasaed7593 wajua sio vizuri yani ku ukumu mtu coz kusema hivyo sio vizuri ndio nika ona ni heri ni watoe taka
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
duh..kusoma kwako kwa fanana na kwangu sema mwenzio nlibahtika nikamaliza 4th form..yaani .nilihama hama kuhamishwa..mara napelekwa nkaishi kwa familia zengine nkifika wasema hatujui
@brownziro1408
@brownziro1408 5 жыл бұрын
good bro
@zaphyzmasoud7129
@zaphyzmasoud7129 5 жыл бұрын
Kumbe wandenge tupo wengi
@salmarajabu1959
@salmarajabu1959 4 жыл бұрын
💪💪
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
He is very intelligent.
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 5 жыл бұрын
Safi sana interview nzr
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 5 жыл бұрын
waoohhh..Really..nimehakikisha interview yote naisikiliza..Marioo kwel Uko na kipaji na Mungu akufanyie njia maana upo vizur sana
@dogosailymusic2371
@dogosailymusic2371 3 жыл бұрын
Kikweli maisha juudi zako kama unamkubali marioo angusha like chini
@Lifeofkafoi
@Lifeofkafoi 5 жыл бұрын
bro marioo .. nakuelew hatari unajuw bro..
@sudyboy3441
@sudyboy3441 5 жыл бұрын
nambie mburo
@ramadhanimrisho833
@ramadhanimrisho833 4 жыл бұрын
Nakukubali sana marioo zaidi ya sana kwanza unajua kutoa story ikaeleweka
@mcjayz8686
@mcjayz8686 5 жыл бұрын
Nandy aaaaah ebwana nouma nimeipenda
@arafaalyahyaialyahyai2940
@arafaalyahyaialyahyai2940 4 жыл бұрын
Nampenda Marioo baba ake alikua hamjali kimaisha lkn hawaongelei vbaya sna km nanihino majina tunawahifadh😂
@savanny_music
@savanny_music 2 жыл бұрын
Vipi Marioo ningependa utumie huo ujuzi wa kutengeza tangi ya kubeba mafuta kuzindua kiwanda chako..kama kuekeza kutoka kwa pesa za mziki...
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4
36:03
ZamaradiTV
Рет қаралды 25 М.
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 19 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 4,6 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 60 МЛН
ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030
35:25
Millard Ayo
Рет қаралды 778 М.
Life of Mbosso (Historia ya Maisha ya Mbosso)
14:28
Mbosso
Рет қаралды 4,3 МЛН
shangwe za usajili
4:35
Mbeta online TV
Рет қаралды 25
MTANZANIA ALIYEKUWA WA MWISHO DARASANI ATOA MTAJI WA MILIONI 10
32:25
KulaCoolerShow; Masauti- I dropped out of school.
30:17
Obinna TV
Рет қаралды 39 М.
ONA BALAA LA MJENGO WA MARIOO, "NAISHII NA FAMILI |  MIMI SIO MUHUNI
11:58
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 19 МЛН