My brother @@alikibaOfficial 🙏THE GODSON out now on all platforms 🎉 africori.to/thegodson
@KmjKavwarofils-k5t2 ай бұрын
nakubali
@davidsamwel112 ай бұрын
Marioo hujawahi tuangusha ❤
@ThemonitorOfficial2 ай бұрын
100%
@mbmussa_fashionstyle98242 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Kidavoxe2 ай бұрын
💯
@mr.tongenyama2 ай бұрын
Hii Ngoma itasumbua sanaaa, baadae kidogo mtarudi kunipa like zangu hapaaa 🤫
@KevinWamalwa-ne1kq2 ай бұрын
saana bro.
@LidyaJoctan2 ай бұрын
Me Toka asubuh npo nayo mpk majiran wanaulza kiba anajua bahna
@Dejy_Arto882 ай бұрын
Siow badaee mzee hii ngoma hit song 😂 Hapa ilipo inasumbua maskio ya watu
@PrinceJerryson-un7oj2 ай бұрын
Kabisa😂 nipo liquid Apa imeanza kusumbua tayar🙌💔
@ElvannyMasudi-n5w2 ай бұрын
😅 kweli kabisa hini noma❤❤🎉🎉😂
@christiancuma61462 ай бұрын
Uyu jamaa alikiba ni mbaya sana kwenye ngoma. Marioo unapiga atuwa sana brother 💪 Kama una wakubali gonga likes hapa.
@DjumaCuxHkz-fv3zx2 ай бұрын
Wote wameupiga mwingi nipeni ata like mbili nitawashukuru
@vincentomoranz81792 ай бұрын
Team kiba from kenya let's gather here 🤗🤗🤗🤗
@BamikwaElie2 ай бұрын
King kiba forever
@adamhashimu44622 ай бұрын
Tuache masihara Alikiba anajua sana,hizo vocal na melody alzopga humu mhh,upitii njia zake 👑💖
@kelvinstriker5126Ай бұрын
Kaka tuko mstar mmoja
@JojyLuhasa2 ай бұрын
Team kiba kutoka Congo tujuwane kwaku like
@DaudoMata2 ай бұрын
Kama mna amini Bongo Flava ato kuja kutokea msanii kama King kiba nipe zangu...🎉🎉🎉
@FahmeKhator2 ай бұрын
Alikiba Bhan mtu mwengine
@LidyaJoctan2 ай бұрын
We acha tu nyimbo nailudia mara mbil alikiba anajua bahna
@yusuphkazinyingi7669Ай бұрын
mtu atar sana uyu mtu ila dogo kakaza nae vbaya
@milles1378Ай бұрын
@@yusuphkazinyingi7669 wanamsema vibaya ila kimoyoyo ni mMotooooo hagusiki
@geohmakerseven2 ай бұрын
Naesabu like za King KIBA 👑
@SumaAlly-x2e2 ай бұрын
Umetisha 🎉🎉🎉
@SumaAlly-x2eАй бұрын
❤❤❤❤
@salumhilary85262 ай бұрын
Wamebadilika leo hawajaimba mapenz..ngoma kali
@amirially7502 ай бұрын
Nomaaa Sana hii ndo hit song zaidi ya zote 🎉🎉 king ameuwa Sana humu ndani but kuanzia producer , Mario plus king mpegina Sana Kazi melody imetulia vocal sipo fire Sana naombeni like from goba dsm
@AlexJumanne-ls5gm2 ай бұрын
Wote wameua kuanzia produc kwenye biti na Alie mix na kupga masterling kama unaamini Ivo nipe like hapa
@Cool_lema2 ай бұрын
Wanao sema alikiba kauwa humu ndani gonga like
@abduljembe6608Ай бұрын
kawaida ya mashabiki wa Kiba kila nyimbo msanii wao kaua
@LeonardBadiliАй бұрын
@@abduljembe6608Alafu trending ziro 😂
@ClementMasholyАй бұрын
@@abduljembe6608WIVU NI MBAYA SANA😅
@ClementMasholyАй бұрын
@@LeonardBadiliNadhan utakua umejionea😅 Sober inafanya vzur kwa Album😂 shame on yo!!
@LeonardBadiliАй бұрын
@ClementMasholy Sibishanagi na mashabiki wa Alikiba kwasababu mnaongeaga kama vile mmekatika kichwa sijui mnatumiaga nini kuangalia mziki haya tuletee na views tuone ulivyo boga
@alexmalangalila242 ай бұрын
Ila likiba khaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Omary kazi nzuri komaa na huyu fundi mpaka waamini king always king
@adamhashimu44622 ай бұрын
Kiba fundi Sana kauwa😂
@Jamour_tz2 ай бұрын
Nilikuwa natafuta comment hii
@SwahiliAmbasador9542 ай бұрын
Huu ndio ukweli kila mtu ndoto yake ni peponi haya mengine yakitokea basi tu Mungu atubaliki na atusimamie katika safari yetu hapa duniani kwa kila asomae comment hii basi kizazi kijacho kijue yakuwa wasanii wa kizazi chetu walikuwa na hofu ya Mungu sana ata wakiwa wanaimba nyimbo za kidunia Mbarikiwe amina na Amina.
@AthumanbonyeBonye12 ай бұрын
Unyama kabisa ila huyu kingkiba 🔥 naombeni like kama mmesikia nasomesha mapacha 😅😅😅😅
@bizmaterial2 ай бұрын
Huu naomba uwe wimbo wangu bora wa mwaka 2024
@owenclinton15992 ай бұрын
Marioo am your fan from 254 na umejibu maombi zangu mob sana, ila nina ombi moja usikose kutoa kanda la video ya hii nyimbo. chemistry yenyu na King iko top notch
@yusuphkazinyingi7669Ай бұрын
bonge la combination
@suleimanissa93212 ай бұрын
NA MAMBO YA KULEA NA NASOMESHA MAPACHAA🤗🤗🤗 WE KINGKIBA UTENGWE
@LameckZahooh2 ай бұрын
Za king Kiba hapa
@BarakaSospeter-nr2br2 ай бұрын
🔥Yani hata nusu dakika bado nishaipenda hii nyimbo, asee Alikiba na Marioo ni moja kati ya combination nzuri🔥🔥🔥
@KingSadi-s3l2 ай бұрын
Hit song, uko na king mwenye kiti mwenye hit mwenye udongo ngoma kali sana
@dullahcheckbob93582 ай бұрын
Hapa ss ndio patamu ni msikie king 👑 🔥 🔥 🔥
@FaidaRamadhan-m3g2 ай бұрын
Ngoma nzur sana mungu awabaliki king kiba ,marioo, na wasomaji wote wa comments
@oscartwinzi27052 ай бұрын
Nipeni like za King kiba apA
@fanuelmwambwiga90032 ай бұрын
Hiii mpaka niichoke ndy ntasikiliza ingine ila huuu mua balaaa🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥
@LidyaJoctan2 ай бұрын
Yaan ww kama mm Toka asubuh
@FarajChijendi-ig8zc2 ай бұрын
Hot
@fanuelmwambwiga90032 ай бұрын
Sio poa IL goma@@LidyaJoctan
@BarakaMugisha-g2m2 ай бұрын
Mmmmmhhh huyu kiba wa motooo balaaaa🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@KomboAdiliАй бұрын
Sampled "love is wicked Brick and Lace"watoto wa 2000 hamuwezi elewa
@JansanMokiwa2 ай бұрын
Mbona hiii nyimbo ndio kali kushinda zotw❤❤❤🎉🎉🎉Baaad
@KennyMpambije18 күн бұрын
Bongo fleva imefika kwa wenyewe Sasa🔥🔥🔥🔥🔥
@NoahMsukuma-j4m2 ай бұрын
Wanangu wakiba na mario tusiachane apa like humu t2🎉
@ElishaMgaya2 ай бұрын
King kiba ni mnyama sana💯💯🔥🔥 Godson 🎉🎉
@ShadrackKaneke-SKB2 ай бұрын
Sapoti ziko kwa king 🤴🏿 kiba na marioo 🎉🎉🎉🎉🎉😊
@ayoubabdallahosborn2 ай бұрын
HII NDO NGOMA KALI ALBUM NZIMAAA marioo dah never dissapponit abbah hii beat kaipiga mnoo Ali Kiba...aah Ali Kiba ni mfalme bhanaa🔥🔥
@hancedatch9742 ай бұрын
Nakubaliana na wewe
@jumaalex-to2kn2 ай бұрын
100%@@hancedatch974
@almasijunior103Ай бұрын
Beat gani. Ushawah kuckia love iz wicked. Dis album iz 🗑️
@LeonardBadiliАй бұрын
Mfalme wa nini 😂 ila bongo
@NoahMsukuma-j4mАй бұрын
Kweli@@almasijunior103
@mis2ra7662 ай бұрын
King umetisha ngoma kali mumetendea aki kabisa 🎉🎉🎉🎉🎉
@BienvenueMatoke2 ай бұрын
Kiba na Mario wananikoshaga moyo wakikumbana kwenye song
@kenaskhymАй бұрын
King 👑 that guy never get's old❤❤ Loke from Cameroon please
@JordanShabani-i6j2 ай бұрын
King na marioo wakikutana inakuwa sio powa❤❤
@Jannatxlunner2 ай бұрын
Who else is here for King Kiba🙌
@joshuastarj73562 ай бұрын
Kiba hawez kufunikwa since nimejua
@MakobaSamwely2 ай бұрын
King na Mario mumeua humu ndani
@selemankajonjo16382 ай бұрын
Always hii Collabo haijawah kufeli,tamu sana.
@saidiwizsantos46412 ай бұрын
King of Bongo flava Alikiba🔥🔥
@trendz_25482 ай бұрын
Eeeiiii.King kiba kaua sana huo mvesi I say. Igweeeee.Abbah katisha pia dundo. Kazi kali
@official_kingnabiryOg2 ай бұрын
Wewe King kiba 🎉🎉🎉
@Thatscene20242 ай бұрын
The swich aliyo ifanya kiba kukubaliana na hii beat its soo exciting ONE OF THE BEST MELODY lets enjoy
@adamhashimu44622 ай бұрын
Ila king Kiba shikamoo unjua sana mfalme❤
@erickkeago74232 ай бұрын
King ni mmoja tu...Kiba 🔥🔥
@LidyaJoctan2 ай бұрын
Ni mmoja anaebisha akapimwe mkojo na ubongo jamaa anajua
@robertotieno52236 күн бұрын
Hii ngoma ni hit itasumbua sna 2024
@allenonesmomwebembezi62485 күн бұрын
2025🔥
@SamSofa-ge5if2 ай бұрын
Hii ndo nyimbo kali kwenye hii album for suree
@M_Supreme7792 ай бұрын
Tuna kiwashaaaa Bad nation🎉
@Morisset-g4e2 ай бұрын
King ni mmoja tu🔥🔥🔥
@farhanyare63822 ай бұрын
Here in Mogadishu Somalia 🇸🇴🇸🇴🇸🇴 we love you ❤❤ also we love too the legend Alikiba ❤❤❤🇸🇴🇸🇴🇸🇴💪👑💪
@JonathanDiimeАй бұрын
Abbah process deserves his flowers 👏 Much love from Uganda 🇺🇬❤️
@cure4real752 ай бұрын
Alikiba weeeee noma sana 🔥🔥🔥🔥
@MussaKigunga7 күн бұрын
Mmetisha
@JEANS-TZ2 ай бұрын
Marioo hii album ame ua sana kama una mku bali gonga like hapa ❤
@BlaqBobby2 ай бұрын
Agreed
@marchseven43952 ай бұрын
Aaaah weeee kmmmmk mmmmmk kuna sauti zmepigwa kibedui sanaa mmmk king ni king 🔥🔥🙌🏾
@adamhashimu44622 ай бұрын
😅😅 vocal hatr Kiba kapga
@njoroboihastla2 ай бұрын
To the first time king nimekubalii🙌🏆
@erickmassawe58312 ай бұрын
Aseee huu wimbo nyie@mario@Alikiba
@GeorgemartinvictoryMartin2 ай бұрын
Awa wnaendana kwnye laza tamu wkiktna my king kiba congratulations
@YohanaNMollel2 ай бұрын
Marioo mwanangu umetisha ila alikiba ameua kwenye hii Ngoma ❤❤❤
@suleimanissa93212 ай бұрын
Weee king kuna kisauti flani hv umekiingiza hapooo sio pw
@FelismaManuelofficial2 ай бұрын
Kutoka mozambique kwadjili ya King, nipeni like zango
@DozenKizzyElias2 ай бұрын
From Congo 🇨🇩🇨🇩 nipe Like zangu🎉🎉
@jumayagga19572 ай бұрын
Ngoma ya kufungiaa November....❤❤❤
@Malivata5362 ай бұрын
KONDE BOY BOMBOCLAAAAAAAAAAA unyama sana marioo tufanye inatosha huyu jamaa humuwez kila goma anakufunika
@KabhegiFilm17 күн бұрын
Alikiba katisha watuwazima tunasikiriza mziki wahivi wimbo hauchaguwi lika hatamama unawatoto Unasikiriza kamaunakubali gonga like hapa
@emmanuelkipkorir44132 ай бұрын
King kiba to the world,wapi likes zake✅
@saxprince102 ай бұрын
Goma la taifaaa kutoka alooooo!!! na king kiba yeeeebaba 💥
@YoungDanBoyOfficial2 ай бұрын
Salute sana kwa miamba unyama SKU zote waah,,, kali yaa kukaribisha Christmas 🎄 and new year ✅✅✅💯
@KULWALYOCHIАй бұрын
Huuu wimbo wepatia kila kitu anzia biti mpaka mashairi daaa wimbo mzuri king kiba kauaaaaaa
@meshackmwashitete15462 ай бұрын
Si watengeneze album pamojaa tu🔥🔥🔥🔥
@Mchiziii-x6u2 ай бұрын
Hizi sounds mwishoni ni hatarii asee @marioo🎉🎉 king kiba kaua hatarii
@benedictomb2 ай бұрын
Hiii imeenda, Big up king❤❤❤
@YONAMICHAEL-u6j2 ай бұрын
Ngoma Kali wametisha sana
@artlastking2 ай бұрын
Sober ni hit jingine ambalo lita catch yll feeling taratibu kabisa 💥🙌🏽
@nangololoalli84792 ай бұрын
Ngoma Kali sana, haichoshi kusikiliza, beat Kali, mistari mikali🔥🔥🔥🔥🔥
@kelvinstriker5126Ай бұрын
Kak toka nskie hii ngoma nmeweka repeat mode
@RajabuDaffah2 ай бұрын
KING 👑👑👑👑 ww n mnyama xana yaan
@shiru_choppa76542 ай бұрын
Alikiba musical brain is on another level ❤❤🇰🇪🇰🇪
@issashabani-c7r2 ай бұрын
King kibaaaaaaaaaaaaaaaaa let's gooooo🌍🏃
@abdulmutwiАй бұрын
Marioo& Alikiba mtu mwengine Wakwanz mnipe like zangu Appreciate the music Here in🇹🇿 and 🇰🇪and 🇨🇩
@kijokombao53452 ай бұрын
Hakuna shido we mwenyewe si unaona..
@UR_CRISTIANO_RONADO2 ай бұрын
Mbn kila mtu kiba kuliko mariooooo kwa hiii song
@chinemaentertainment1110Ай бұрын
Wewe nani
@goodluckandrea34212 ай бұрын
Proudly Tanzania 🇹🇿, Tanzania first jamani
@RamiaMajidi2 ай бұрын
Umeuuwa kiba 🎉
@mzeemkaidi53372 ай бұрын
Ngoma kali sana 🇰🇲 Recpeeee
@mcnyota2 ай бұрын
Hii ngoma ipewe heshima..🎉🎉
@fubufilmskaliua2 ай бұрын
Kwa wale wotewanamkubali alikiba na marioo gonga like apa noma sana king kiba nakukubali kinoma❤❤❤❤❤
@msambwenimohamed-mg9lv5 күн бұрын
Mwenye beer yake tamu Leo yupo Sober.......🔥🔥🔥
@SamMtaresi2 ай бұрын
King kiba forever
@FarajKenya2 ай бұрын
Mungu azidi kukupa umri mrefu 👑 KiBa.Hili goma kali. #Yankolowski 🇰🇪🇰🇪
@Cutezajey2 ай бұрын
Wow, the beat itself is a Masterclass, I like this combo, whenever kiba and bad meets, it's always a hit
@kirintonnymnyama77012 ай бұрын
Marioo tumuite Jin gan wadauu siooo kwakuuwa uku marioo peponi
@NemesMasawe2 ай бұрын
King katendeaa hakiii nyimbooo
@AthumanbonyeBonye12 ай бұрын
Huyu kingkiba 🎉🎉🎉🎉🎉
@tsuma_lee2 ай бұрын
Hii ndo ngoma kali kwa hii album sasa💥💥💥💥
@bizmaterial15 күн бұрын
Kabisa
@BienrvannoBienrvanno2 ай бұрын
Love from Drc 🇨🇩🎶💯🔥 Bn & King kiba💯🔥🇨🇩
@nittyswagger90912 ай бұрын
Kwa mawazo yangu hii ndio ngoma kali kuliko zote 🙌🙌🔥🔥