❤❤❤sista matha usife moyo najua mti wenye matunda hupigwa mawe ns dhahabu lazima ipite kwenye moto ndio ing'ae ❤❤❤❤ be blessed with sister joan nawapenda sana ushindi kwako ni lazima
@janem.nduku-official26 күн бұрын
Martha Mungu anakupenda sana, vita vitainuka ila utashinda kwa Jina kuu la Yesu Kristo mwana wa Mungu
@lucykambanga-3770Ай бұрын
Hongera sana mungu atakushindia na hili litapita pia
@BahatiWilson-w1tАй бұрын
Mama yangu ni rafiki yangu, msiri wangu, nilivyoona mama martha analia niliumia sana. Mungu akukumbushe ulikotoka martha.
@MathayoAlfredsaruniАй бұрын
Usimpe shetan nafasi juu hatuna ukweli juu ya haya mambo..pia elewa kila mtu anasiri ya maisha yake.. na nisiri kubwa sana..wew ukiwa kama mshabiki wa martha wee kazi yako ni kumwombea tu bac.. hayo mengine tumwachie Mungu anaweza kabisa
@AishaMaina-w4pАй бұрын
Martha mimi nitazidi kukuombea manaki i believe haya yote ni mitiani nyitabyako ime ngaa dio maana unapigwa vita za kiajabu ajabu ila mungu atakuoigania nakupenda sana dada Martha ❤🎉
@MercyMushi-h7tАй бұрын
Nakupenda sana martha endelea kumwangalia Mungu aliyejuu usiangalie ya wanadam dada,Kushinda ni Lazima
@jeremiemunkambaАй бұрын
@@MercyMushi-h7t Ni mungu Ana mupinga what are you talking about atumbo maovu
@annethuo4418Ай бұрын
Nakupenda xana martha mungu akupiganie vita......
@EliaJulias-i7m15 күн бұрын
Love you ❤❤❤❤🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SamsonNgalembulaАй бұрын
Dada angu martha endelea kumuomba mungu ata kutia nguvu katika hilo ambalo lime kukuta uenda kuna sehemu mungu ana kuepusha kubwa kuliko hilo muombe mungu ata kusaidia na kushinda nilanzima.🙏🙏 Tuna kupenda sana mungu aku balikisana dada yangu
@MamaNgina-gg4qfАй бұрын
Mm nilikuwa nakupenda sana lakini Kwa hili la mama limeniuma sana
@crishommsaniiАй бұрын
Amen mungu atende mengi masuri kwako
@Paul-u3k3wАй бұрын
Martha jipe nguvu tunakupenda, natunapenda huduma yako kutoka Kenya.
@LillianNzilaniАй бұрын
Jipe moyo Martha mtumishi wa mungu haijalishi mapito yanayo kukumba
@limetnanjala8418Ай бұрын
Nakupenda san mtumishi wa mungu
@JocelyneMaryАй бұрын
Huyo sio mtumishi wa mungu, labda miungu ya duniani
@RaelAuma-qk7jcАй бұрын
Usijali Na matusi ya watu hata yesu alitukanwa Sana nakupenda Sana martha
@WilliminaOjiamboАй бұрын
Bariki wa sana anaekwelewa zaidi ni Mungu
@LettyAbelyАй бұрын
Simama imara mwaaya madam waangu Mungu akupiganie tuko pamoja kushinda ni lazima
@PeterMahona-zd3ozАй бұрын
Hongela.mardha
@Bilioneabichwa331Ай бұрын
Kamsaidie mamako aache kulialia, ufreemason utoke kwa jina la Yesu
@edithmwasulama7005Ай бұрын
Wanakupenda freemasson wenzako
@FaitnKamantheАй бұрын
How u know 😅😅😅
@dalmasmichoki9049Ай бұрын
Una ushahidi
@edithmwasulama700526 күн бұрын
Nawaona members in the same faith
@PriscashaloomАй бұрын
Tunakupenda pia
@sikitugeorgetteАй бұрын
Amen Amen Amen❤❤❤❤❤
@valenakomba7686Ай бұрын
KUONGEA HUKU UNATAFUNA TAFUNA SIYO USITARABU. USIPENDE KUFANYA HIVO WEWE NI MADAMU.
@Caroline-mc5roАй бұрын
Love mamy❤❤❤
@MwanahamisiHaji-t4zАй бұрын
Yaani kama mimi ndio ningekuwa mama yako ningekuacha na nisingekutafuta ningekukabidhi kwa mungu ashugulike nawe kama kweli nilikubeba tumboni kwangu wala nisingetumia nguvu
@ezebiakayingi6576Ай бұрын
kweli kabisa
@FravianJailosАй бұрын
Hekima
@Maombi243Ай бұрын
Naivo ndivo inavo takiwa iwe sio kuja kuwekana mitandaoni sijuwi wanafaidika nini baada ya kuyaleta mitandaoni
@WilsonEmmanuel-bs6opАй бұрын
Wew utajuwaje mungu wakati unakatahaa mama wew mama ndio mungu wapili wew
@AnethEdward-nf6sc28 күн бұрын
Hayajawakuta mshukuruni MUNGU Martha Hana baya nambona hata YESu alisema haya yapo Tena mitaani yapo.
@NeelckysSekera28 күн бұрын
Yaani mungu tu akutafute,umefungwa nashetani mungu tt😢
@yusuphmatinya85608 күн бұрын
Unauhakika
@EzekKingАй бұрын
Dada martha huyo joan si binadamu ni kiumbe kilicho toka kuzimu anataka kukuharibu baadae hutaweza kumuona ataondoka Amini sana hilo huyo si mtu kama unavyo fikiria ndugu zangu tumuombeeni sana Martha mwaipaja YESU aingie ndani yake na kumkomboa kama alivyo ingia ndani ya Beatrice akapata kumuokoa Ahsanten kumuombea.
@Bilioneabichwa33128 күн бұрын
Kamsaidie mamako aache kulia lia, Mungu gani akubariki wakati umemfanya mamako msukule wa kulialia
@NEEMASWEDIАй бұрын
Kama ukiendelea kutomjali mama ako, na kumg'a g' ania uyo joani wakala wa shetani hautashinda kwa jina la YESU, mpaka sasa umeishapigwa haujajijua tu mwenzangu.
@dfremacАй бұрын
WATU WANIELIMISHE. MBONA KILA WAKATI MARTHA AKIONGEA LAZIMA JOANITA AWE HAPO.MUSUKULE HUYO.
@MarryJohn-lf9qx24 күн бұрын
Hiyo inaitwa popote nilipo nae yupo lloh kweli mapenzi yamekolea
@ChristinaZabroniАй бұрын
Acha uhuni na huyoo Mtoto,kazi ya shetani hiyoooooo
@ezebiakayingi6576Ай бұрын
af anaboa, huyo Joan anatuletea wa kazigani sisi
@simbabenney3560Ай бұрын
pambana dada yangu atakae waita shetani ujue shetani ni yeye mpaka mlipofikia kwa mafanikio yenu nijuhud zenu na mungu akiwemo wanaowatukana na kuwakejeli akuna aliewachangia chochote chapeni kazi mungu awape zaid ya hicho mlicho kuwa nacho me nawatakia maisha mema joan na mathar muwe na mwaka mpya wenye mafanikio zaid,watawatukana ipo siku watanyamaza
@miriammustafa5380Ай бұрын
Safi Sana umenifurahisha yaaani leooo ndioo Christmas yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenifurahishaaaaaaa
@MariaTino-b1kАй бұрын
Uyu dada anaumia sana nachoona mdg wake kataka umaarufu sio maneno yakuongea ya familia azarani hapa tunacoment lakin tungekuwa sisi tusingekubali
@endumatv4065Ай бұрын
Heshima Kwa watazamaji kutafuna tafuna vitu
@MwinjilistiDeoАй бұрын
Acha kujitetete Mungu akusaide sana
@loisinasieku1946Ай бұрын
Kwa iyo unampa mtu baki kiburi kumbe ndo maana hachagui maneno ya kumwambia mamako wala mdogo wako sababu ya wewe kumpa kiburi iko cku utajuta kwa haya unayoyafanya
@DeborahLeonard-h5uАй бұрын
Kumbe we ndo unampa joani kiburi yani mama ako analalamika we unasema mkete joan ama kweli umepotea
@NEEMASWEDIАй бұрын
Mmh! Pole sana, Acha uongo wewe mwanamke hatutaki maneno nenda kapatane na mama ako mzazi haijalishi yote unayosema ovyo.
@AkimuWaziri-u9bАй бұрын
Umemtelekeza mamayako amehangaika kukulea kwahaliyoyote ngumu. Lakin wew baada yakupatapesa umekengeuka
@SussanMshindoАй бұрын
Matha huyo ni mpita njia ukiharibikiwa utarudishwa kwa nduguzo sasa kaa Chini utafakari kwa kina kumbuka mama ni Mungu wa pili wa dunia,sasa wewe unashindana nae hakuna sikio linazidi kichwa na hata kama mama atakuudhi vp hupaswi shindana nae ukatafuta mtu baki tu akuvurugie family's yako we kumbuka unatuelimisha kupitia nyimbo zako kwa hiyo jitowe bolt jichoni mwako kwanza mpendwa hata kama kunamaudhi ng'ang'ania baraka kwanza kwa mzazi MamaKwanza
@HellenLemilyaАй бұрын
Mrudie mama ako ,saidia ndugu zako ,kama unasagana acha,imba kweli,usituletee uhuni ,olewa ikiwezekana ,kama haijawezekana basi ishi maisha masafi usituletee uhuni kwenye habar za Mungu ,hatutaki kuigiziwa uhuni kwenye habar za Mungu,we umekaa kama kioo ,uwe kweli, huwezi kua kioo toka kaa pembeni ,ishi kama ss,shika adabu na bablishi ako na huyo P Diddy wako na msagawaji Joan waambie washike adabu wasituletee ukurutu wa kwa P Diddy
@KinyanChantareАй бұрын
❤❤❤❤
@danielayubu1930Ай бұрын
Amani gani unayo na mama yako Hana Amani matha kajifunze tena amri kumi za Mungu utajuta siku moja utajuta na kwambia utajuta unampenda Nani Zaidi ya mama acheni ujinga baada ya kuimba kuna kifo
@UpendoMichael-p1zАй бұрын
Dada Martha mungu akuinuie zaidi. Watu qanakosea hapa. Kutazama vibanzi ndani ya macho ya wenzao lakini macho Yao yana boriti. Mtu jasiri asimame aseme mabaya yake yote mbele A watu. SI kutazama mambo ya mtu mwingine. Umepitia magumu mengi dada Martha. Aliyekushindia Jana atakushindia na Leo.
@edithmwasulama7005Ай бұрын
Hicho kishetani mwisho.wenu tutauona
@MarthaIsraelBukuku22 күн бұрын
Imba Martha wala usiogope.
@RamadhanRamadhan-zi8evАй бұрын
We ni mbwa 2 unamukataa mamaako
@floramunnaАй бұрын
Mungu hawezi kubariki mtu mwenye migogoro na mama yako haswa huyo aliekulea kwa dhiki kiasi hicho, kwa kweli huyu dada kawa na kiburi jamani ni pesa au ujinga
@oman-c7yАй бұрын
Running kwa mama yako.fainal uzeeni.utakujajuta baadae mpaka kufa kwako
@ezekielmwasenga4640Ай бұрын
Unamjua Mungu asiye onekana na ndugu zako unaowaona huwajuwi ,,,omba msamaha Kwa mamako
@verdianavedasto8756Ай бұрын
Mama mkumbuke na msikilize
@martinjonathan4595Ай бұрын
Mamaako Leo amelala na njaa ww achia ngoma mpya
@AlfaSimbayaАй бұрын
Huyu mtu jamani inaonekana kweli hanamda namama yake ivi kweli mama ananung'unika ivo yeye Hana atamuda kweli jamani mama aliekuweka tumboni miezi Tisa anaumia moyoni wewe unapata nanguvu yakutoa wimbo hatakama unamdharau mbembeleze mama yako Kama alivokubembeleza ulipokua mtoto mdogo. Oky usije ukuanza kusema sinapicha yamama
@alicendinda1359Ай бұрын
Yaani joan amekufunga kabisaa huwezi hata kusikiliza mamako
@QeenPrince-lm7ciАй бұрын
MKUMBUKE MAMA YAKO ANA FUBAA KWA MAWAZO KWAAJILI YAKO ANZA KUMUIMBIA MZAZI WAKO MSAMAA MTUNZE KAMA ZAMAN NDIO UTOE HIYO NYIMBO
@Mariam-ke4ogАй бұрын
Nyie wazazi wa LEA au JOAN Njooni mje mumchukue mtoto wenu anagombanisha familia ya watu hana adabu kabisa
hilo sio tabasamu la rohoni martha ni kejeli tu dada angu mamaako hawezi akalia halafu ww unapotezea umeshapotea nenda ukafanyiwe maombi ni pepo hilo
@NeelckysSekera27 күн бұрын
Mamaako huvala viato ka cheka pembeni😂😂,huku unavaa vizuri,unaruusu ka shetani joani amuandikie vitisho mamaoko,hapa unakuja kusema unaachilia wimbo da😢
@timothmwakakusyu4563Ай бұрын
Ukubali ukatae Martha hayuko sawa, bigijii anayotafuna inampa nguvu ya kuzungumza hayo, moyo wake umebeba mzigo mzito sana, nuru machoni pake haipo tena yuko kama msera au sister du wa mtaani. Nuru machoni pa mtu ni kitu kikubwa sana, angalia interview za nyuma sana za Martha na sasa unaona kabisa kuna utofauti. Mama yako hata kama amekuudhi kwa kiasi kikubwa sana lakini pia ndo sababu ya uwepo wako, amevumilia mengi mpaka unafika hapo. Siku mama yako akifariki na hujapatana naye, NURU yako haitakuangazia kamwe, utalia kaburini na utatamani afufuke haitowezekana. Martha anahitaji msaada mkubwa sana wa kisaikolojia, na maombi(msaada wa kiroho). Akubali kudhalilika na kuanza upya, huenda ameingia kwny maagano mazito sana yanayomtesa nafsi yake. Siwezi kumchukia kwa namna yoyote ile ila namuonea sana huruma. Martha kiasili ana roho nzuri sana huyu dada, ndo maana mdogo wake alisema sio yeye sio yeye, akilia kwa uchungu maana yake anamfahamu dada yake kwamba ana roho nzuri, kipindi cha nyuma alikuwa nao bega kwa bega, shetani akaingia ktkt yao kuwavuruga
@RadhiaNgokoАй бұрын
Kubali makosa ufunguliwe,, wengine tumeshakata tamaa hata kusikiliza nyimbo zako
@HellenLemilyaАй бұрын
Anza kua na amani na familia ako mama na dada ako ndio uje kwetu
@NasraWaziri-l9fАй бұрын
Kumbewewe nikichaa
@alexkudeliАй бұрын
Kichwa bomu kitalipuka si mda kushindwa ni lazima uwezi shindana na mama bora hata ungemchezea baba
@ndeyankaallen1380Ай бұрын
Mwambie huyo mwanao mlevi achuje maneno ya kuongea,,,ukiwa na furaha sana,ukiwa na hasira sana na hata ukiwa mlevi usipende kuongea sanaa
@NardyShamende-s6fАй бұрын
Aweeeee toka hapa unajisafsha machon pawatu achia wimbo utaskilza na jozeee na na hako kapepo
@jamesedison-dv4lvАй бұрын
We huna hakili na Wala hatutaki kusikiliza hizo nyimbo zako we msagaji mkubwa
@frbm1729Ай бұрын
Una ujasiri wa kuzimu
@NelsonMwaipaja24 күн бұрын
Hakuna asiyekupenda tunachotaka ukumbuke ulikotoka na usilete maandiko kwenye vitu ambavyo unakosea badilika lazima ukandwe na maji ya moto Bite yupo sahihi
@AkimuWaziri-u9bАй бұрын
Wewe nimzinz tu. Unapenda ngono
@zebedayokatamaduni9676Ай бұрын
Mrembo wako bhana
@MarryJohn-lf9qx24 күн бұрын
Mrembo wapi sura kama ramani ya dunia
@MwinjilistiDeoАй бұрын
Chakushangaza ni watumishi wa Mungu makucha mebandika maref kama ya majini sijui mkita kujisafisha kwa bibi mnafanyaje?
@innocentlukeka6802Ай бұрын
Mbona umekonda @ Martha mwaipana
@roskimediaАй бұрын
NAJUA HUYU JOAN NI JINI AMBALO ULITUMIWA TUBU DADA LITAONDOKA
@siaammo1104Ай бұрын
Hivi huo wimbo wakristo nao wana husika??? Ingependeza ukiwaambia waislamu maana joan katutukana sn wakristo.sasa wimbo mnamletea nani huku??
@wuodkokelobingo4855Ай бұрын
Kubali ufunguliwe, kataa ukae mtumwa wa ulimwengu wa kiroho, roho ni mengi
@emilyndinda588Ай бұрын
Shughulikia mamako kwanza
@juliethhenrymasanja940Ай бұрын
Kwani mama kakufanya nini Martha
@wilsonkombeyeri4623Ай бұрын
Na mtoto wa George Kairuki yuko wapi? Uache usagaji pia
@hosianaeliud243Ай бұрын
Uyu dada nijeurii sana mtu mwenye Mungu angeomba tuu msamaha basi yaishe ili miyoyo ya ndugu zake iachilie kama kweli yule ni mama yako na amtumzi kuna siku utakuwa mzee na wewe watt uliowaxaa watakuacha
@MichaelNyondo-i8kАй бұрын
Kwahiyo hilo li house girl lako umerizika nalo matusi anayo tukana mama yako?
@henrymushi8340Ай бұрын
Huna adabu mama unaongea unatafuna tafuna,,,,,nidhamu zero unaongea na watu wa umri tofauti tofauti.....
@ezebiakayingi6576Ай бұрын
hata kama wangekuwa wote wadogo zake, si anajiita mtumishi wa Mungu huyo!! ana tangaza wimbo mpya na big G mdomoni, hata diamond hawezi tangaza wimbo wake kwa staili hiyo mana anaheshimu kazi yake.
@simonwaweru9119Ай бұрын
Umeshinda mafunzo yote nyumbani…. Tafuta ibada nyingine jamani , sio rahisi naelewa…
@jeremiemunkambaАй бұрын
Shetani ana kutawana tafuta mungu
@JocelyneMaryАй бұрын
Hao wenzake wanamdanganya sababu ya kuwapa pesa ila wanawajali wazazi wao sio mbumbu kama yy asiemjali mama yake tubu kabla mungu wa kweli ajakupa mgongo
@sulwajackson6906Ай бұрын
Umefungwa kwle
@zamzanimakundi2546Ай бұрын
Unacheka cheka nini sasa kama mashoga
@edithmwasulama7005Ай бұрын
Katafute amani na mama yako Mama yoko.haupo.naye sawa then unamtqja Mungu Toka zako.msagaji wewe
@LuganoMwalwembeАй бұрын
Kushinda lazima kwa mama yako c vinginevyo ww unaaman na watu umeshindwa kumpenda mama yako hatukupendi dada utukosisye isoni twe wanyakyiso gwe usokepo hapa
@TuyishimeSarah-d3qАй бұрын
Namimi nagupendasa na
@KareberebeAlex-f5eАй бұрын
Sorry ukitafuna sweet sio vizuri
@ezebiakayingi6576Ай бұрын
hata usiseme sorry, hiyo ni ishara kwamba utukufu haupo ndani yake tena, ahamie tu bongo fleva
@epifaniamilinga2848Ай бұрын
Utashinda ndani ya shetani.Badilika.Omba to a kwa.mama yàko.
@EmanuelMbandiАй бұрын
Wewe ni kenge msikilze mamaako anacho sema
@KoretiManilaАй бұрын
Naomba namba Yako marit.
@AlexjeccoАй бұрын
Shindwa naulegee kichwa chako nugwarurutwe mpende huyo Joan wengine unaowapenda naume wawatu
@AthumaniSeleman-od4huАй бұрын
Saidia mma ako acha maneno mama yako hawez kukuzushia kitu hata siku moja
@MWAMPAMBAАй бұрын
Acha uongo biblia inasema tuonyane
@ndeyankaallen1380Ай бұрын
Mwambie joan ajifunze kinyamaza,,,ila hata huyu Martha sijui kama hatumii kilevi,,, bubble gum halafu unayaona macho yake