Рет қаралды 1,254
Kulingana na mchambuzi wa siasa Barrack Muluka, hoja ya kutaka kumtimua naibu rais wa Kenya Rigathi Gachagua inaweza pia kumuathiri Rais William Ruto kisiasa. Muluka anahoji kuwa labda jambo bora zaidi kwa Gachagua ingekuwa kujiuzulu badala ya kung'atuliwa. Sikiliza mahojiano yake na John Juma kuhusu masaibu yanayomuandama Rigathi Gachagua. #DWKiswahili #HabariZaUlimwengu #HabariZaAfrika