MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA

  Рет қаралды 19,382

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

Күн бұрын

MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI

Пікірлер: 55
@elisharichard4558
@elisharichard4558 5 ай бұрын
Kaz njema sana mtu wa mungu
@deborahdelly6254
@deborahdelly6254 2 жыл бұрын
Hongera sana Pst kwa kazi njema ya Mungu ubarikiwe sana
@noahmwaipaja7725
@noahmwaipaja7725 3 жыл бұрын
Ubalikiwe sana mtumish
@mariamlohhay538
@mariamlohhay538 3 жыл бұрын
Hongera sana Mchungaji Mungu aendelee kukutumia kuinua wengine hasa vijana.
@elishadaiemmanuel7785
@elishadaiemmanuel7785 3 жыл бұрын
Hongera sana sana BISHOP EMMANUEL MGAYA
@christophermgonzo711
@christophermgonzo711 3 жыл бұрын
Endelea kumtumikia Mungu kwa Mali zako na Mungu atakukumbuka ktk ufalme wake. Jina la Bwana Yesu lihimidiwe Sana .
@heriethinnocent3283
@heriethinnocent3283 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaaaaa baba angu, Askofu Masanja kwa kazi hii ya MUNGU
@isaacsifatv123
@isaacsifatv123 3 жыл бұрын
Good job servant of God
@emmanuelchejo7154
@emmanuelchejo7154 3 жыл бұрын
Mungu nimwema kaka masanja ubarikiwe
@Mara_Gold_Film
@Mara_Gold_Film 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@lusajojoram4522
@lusajojoram4522 3 жыл бұрын
Hivi huu uaskafu unagawiwa Kama njugu masanja tayari kawa askofu
@lilianmkelewele7489
@lilianmkelewele7489 3 жыл бұрын
Hongeleni sana mtumishi
@heriethmbelwa4127
@heriethmbelwa4127 3 жыл бұрын
Mungu ni mkuu milele na milele🙏
@gabrielchristopher1979
@gabrielchristopher1979 3 жыл бұрын
Hongera sana Bishop
@jacksonmhonzwa4894
@jacksonmhonzwa4894 3 жыл бұрын
Iende mbele injili 👏👏👏👏.Haleluya
@shegashega2421
@shegashega2421 3 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana mtumshi
@MESSENGERWORLD1978
@MESSENGERWORLD1978 3 жыл бұрын
Amen,, God bless you bishop
@ibrahimlameckministry1867
@ibrahimlameckministry1867 3 жыл бұрын
Ubarikiwe San
@joshuasitta293
@joshuasitta293 3 жыл бұрын
Mungu NI Mwema Sana, Kazi isonge mbele
@joelmsawile1718
@joelmsawile1718 3 жыл бұрын
Saf Sana pastor
@abelmkuvasa4044
@abelmkuvasa4044 3 жыл бұрын
Duuuuh!
@science_fact93
@science_fact93 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@fredkyara3278
@fredkyara3278 3 жыл бұрын
Kaka masanja. Isiwe ni ktk harakati za kumwinua lucfaer. Na kumtumikia kupitia madhabau za kifrimasoon kaka. Laana ya Mungu haitokwacha salama. Ila kama unamtumikia Mungu wa kweli kwa uwaminifu ubarikiwe
@naylinekiv6642
@naylinekiv6642 3 жыл бұрын
Lucifer hawezi kuinuliwa kwa kutajwa jina la Yesu!!!! Huwezi kuitangaza Tanzania kwa kuitaja Kenya!!! Emmanuel Mgaya( Masanja) anamtumikia Mungu!!!
@Feelfreechurch
@Feelfreechurch 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mwanangu kwa Kumuelewesha uyo
@modeemojombo5662
@modeemojombo5662 3 жыл бұрын
Mnaoingiza ushetani kwenye kazi njema ya Yesu Kristo mna nini? Kwa nini huanzi na jema...kupongeza kazi nzuri na kuwatakia mema? Je, hayo ndiyo yaujazao moyo wako??
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Kwa nini maneno hayo? Umeona nini? Au ushaingia kwenye kivuli cha mungu kumbe unamtimikia shetani?
@peteronesmo5433
@peteronesmo5433 3 жыл бұрын
@@FeelfreechurchHongera Sana kabisa
@kadashijunior2141
@kadashijunior2141 3 жыл бұрын
Huyo jamaa amesoma chuo biblia na nihaki kwa kila mweny wito kufanya kz ya MUNGU,hv mtu ulkuwa unauza maji ya kandoro kichwan leo umeinuliwa kwa dolali unashindwa nn kumheshimu MUNGU na kumtumikia kwa akil,Mali na nguvu zako zote?big up brother
@mapachawayesu
@mapachawayesu 3 жыл бұрын
Safi Saana hii
@AnnastaziaJOtama
@AnnastaziaJOtama 3 жыл бұрын
Baba naomba tu nijiunge na kanisa lako jamani napenda utumishi wako
@charlesnkasi9904
@charlesnkasi9904 3 жыл бұрын
Injili ya Kweli isonge mbeleeeeeeeeee
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 3 жыл бұрын
Gloire à Dieu
@evalinegideon3982
@evalinegideon3982 3 жыл бұрын
Kibaha kubwa location plz kibaha mailimoja.....! Kwa matiasi...!! Au wap
@manassetawe9675
@manassetawe9675 3 жыл бұрын
Kanisa hili la Free church lipo kibaha gani maana kibaha kubwa .
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 3 жыл бұрын
Kazi hii imevamiwa sana mchungaji askofu ndiyo nini?
@shekinahchurchtegeta6431
@shekinahchurchtegeta6431 3 жыл бұрын
Huwezi kuwa Askofu bila kuwa mchungaji
@ibrahimlameckministry1867
@ibrahimlameckministry1867 3 жыл бұрын
MUNGU akutangulie masanja nitakuja kuimba siku
@peterjulius8510
@peterjulius8510 2 жыл бұрын
Peter julius
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 3 жыл бұрын
Watu wawe huru wafunguliwe waondokane na mateso sio kufungua makanisa meeengi afu watu wanaingia na kutoka na vifungo.uwingi wa makanisa sio tija kinachotakuwa watu wafunguliwe watumish mtoil watu waondokane na vifungo
@naylinekiv6642
@naylinekiv6642 3 жыл бұрын
Ukiona hospitali zinajengwa ni ili wagonjwa wapate mahali pa kusaidika!!! Asipojenga makanisa, basi labda tumashauri ajenge nyumba za kupangisha, au ajenge baa!! Halafu tuone kama hao watu watafunguliwa huko!!!
@modeemojombo5662
@modeemojombo5662 3 жыл бұрын
Kufunguliwa kutategemea na imani yako. Km unaenda kanisani kutembea na kushangaa mavazi utahama makanisa hadi uchakae. Tusipowapongeza kwa kufungua makanisa tutapongeza ongezeko la vienge vya waganga wa kienyeji. Acha watu wapate pa kuabudia katika Roho na Kweli dada.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@josephatmtweve6534
@josephatmtweve6534 10 ай бұрын
Naomba namba yako mtumishi
@pakapakatuondoke6785
@pakapakatuondoke6785 3 жыл бұрын
Taka Askofu Wa kisasa jamani
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 3 жыл бұрын
Mchungaji amenyoa denge hizi siku za mwisho.
@elicknyega7317
@elicknyega7317 5 ай бұрын
Hakika ndugu tuamke
@josephhaule9123
@josephhaule9123 3 жыл бұрын
Ngoja niungane na waathene nione Kama nikweli hiyo huduma ipo sahihi Kama yatuagizavyo maadiko?
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 3 жыл бұрын
Piga KAZI ya MUNGU usisikilize maneno ya watu
@essanfesto3049
@essanfesto3049 3 жыл бұрын
Amin
@reecemweneb2259
@reecemweneb2259 3 жыл бұрын
Free church? angalisho wapendwa,uyo ni free,mlishajuwa.
@pakapakatuondoke6785
@pakapakatuondoke6785 3 жыл бұрын
Uko WAP nataka nije
@waytvtz2549
@waytvtz2549 3 жыл бұрын
Siku hzi bhna mtu akitaka kustaafu kazi anayofanya anafungua kanisa ndyo maana mtu ananunua uwanja anajenga ni watu tu kuingia nakupelaka mafungu ya kumi kazi nikubebwa tu sadaka makao makuu
@naylinekiv6642
@naylinekiv6642 3 жыл бұрын
Inaonekana hii bishara inalipa sana!! Sasa nakishauri, ufungue na wewe halafu tukeletee fungu la kumi!!!
@shiplegcm4948
@shiplegcm4948 3 жыл бұрын
@@naylinekiv6642 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
LIVE : KIKOMBE CHA MAPITO | FEEL FREE CHURCH | BISHOP.MASANJA MKANDAMIZAJI
1:23:16
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 410
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 7 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
Masanja MONICA ft Walter Official Video
5:13
Link Tv Tanzania
Рет қаралды 678 М.
ASKOFU GWAJIMA AWASHA MOTO TENA
8:13
Ufufuo na Uzima Kinondoni
Рет қаралды 23 М.
Bunge lamuidhinisha profesa Kithure Kindiki kuwa naibu rais
6:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 60 М.
Oxford Mathematician DESTROYS Atheism In Less Than 15 Minutes (BRILLIANT!)
15:43
KUVUNJA GEREZA LA WATUHUMIWA | BISHOP MASANJA MKANDAMIZAJI | FEEL FREE CHURCH
47:15
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 353
HABARI HII YA PAUL MAKONDA MCHANA HUU YATIKISA DUNIA,,WENGI HAWAJAAMINI
8:18
I WENT TO GAZA STRIP AND THIS IS WHAT I FOUND
6:50
BishopMarMariUpdate
Рет қаралды 477 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 7 МЛН