Official Universities Media Channel, Daily News | Economic News | Sports News | |Entertainment News | University Lifestyle, Email: josephndaro104@gmail.com, Mobile: +255 738 743417, Location: Kurasini, Dar es salaam, Tanzania.
Пікірлер: 59
@miryamswee10642 жыл бұрын
Miuno yenyewe migumuu kujitia aibu tu mijitu mizima ovyoo
@user-wl5mg1ip3p3 ай бұрын
Mmmm mnatisha❤❤❤❤❤
@kakabraza17512 жыл бұрын
Twaka somo lausafi liangaziwe sio kukuna nazi peke yake mupo kina mama
@blandnakonkii74702 жыл бұрын
Kazi ipo
@josephinajosephu68592 жыл бұрын
Hatareee
@annasengenge4285 Жыл бұрын
So interesting
@neemagrace91532 жыл бұрын
Wow
@upendomtambo35322 жыл бұрын
Duh mchezaji wa kwanza kushoto nouma
@maithyakathule51752 жыл бұрын
Bigger than
@shaniabdalah3492 жыл бұрын
Mmewafundisha watu kuna NAZ, Raha za pwani
@siwemaselestini47472 жыл бұрын
Du hii nchi sili zimeisha na vya ndani hazalani
@shakirashakira-gc2yw Жыл бұрын
Mimama jitu mizima amna ata hofu ya Allah upambavutu
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah mungu wangu wazazi wetu hawakutufundisha haya MNAYO fanya hayo huo NI kufundisha watoto usharati tu upumbavu mtupu 💣💣💣💣Lenu hilo
@piusfacts91172 жыл бұрын
Mambo mazuri sana. Ifahamu siku ya nazi duniani. Tazama video hii kzbin.info/www/bejne/q32sfGqlhd-kaa8
@mathiasulaiti56652 жыл бұрын
jinagalia tabia yako halafu uwahukumu kama mkweli utasema tu
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
@@mathiasulaiti5665 wewe unasema NIANGALIE tabia yako halafu useme wenzio kuna mzazi gani afrika nzima anafundishwa mtoto wake kukuona nazi hivyo subhanaallah 🤔🤔🤔🤔🤔🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@khadijamzee79502 жыл бұрын
@@hamidaalhabsi8568 haya mambo yapo zamani tu ila hua nisomo analo fundishwa mschana ambae anaenda kuolewa amba ameshatolewa posa hua kuna muda maalimu anapo tawishwa yaani anaekwa ndani be 4 harusi kuna mafundisho maalum huwa anafundishwa yakiwemo kama haya namengine ila hawa walipokesea nikufanya hili tukio hadharani ambapo haistahili kuoneshwa hadharani nifundisho lamtu anae ingia kwenye ndoa tu
@rashidjuma60752 жыл бұрын
Adi raha
@isuchamalimi40372 жыл бұрын
Kanumba
@abdulab62022 жыл бұрын
Nakuunga mkono bi hamida mambo haya yandani watu wanafanya hadharani watoto tunawaharibu wenyewe mafundisho yandani watu wanafundisha kwenye mitandao ndo maana watoto wetu wanazaa nje ya maadili yatu mimi nashangaa kweli wanawake mtu anasema mbele ya muandishi kifanya nyuma ya maumbile niraha wakati Allwa amelikataza jambo hilo dunia imekwisha Istighifari kwa wingi kuna mambo tumuogope Allwa
@hadijaabbas21922 жыл бұрын
Wtt wanazalishwa ovyo hakuna maadili kizazi kijacho kitakuwa cha aina gani
@edowabo75612 жыл бұрын
@@hadijaabbas2192 ..o mk... .n mo
@edowabo75612 жыл бұрын
@@hadijaabbas2192 ...
@edowabo75612 жыл бұрын
O
@edowabo75612 жыл бұрын
@@hadijaabbas2192 o
@fatmashaban51862 жыл бұрын
Mijitu mizima. Ovyo 😀😀
@mudimudi84622 жыл бұрын
Duh ni hatwari hii
@piusfacts91172 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/q32sfGqlhd-kaa8
@farhannahkulishwaburekunam53607 ай бұрын
Mnatuab8sha mwanamke wa pwani hakai h8vyo ak8kuna nazi
@frdausmwawughanga90472 жыл бұрын
Sasha hapa wanafundisha kukuna nazi ama starehe ya jitandan sielew jaman
@racharapha Жыл бұрын
Watoto wamefuzwa
@agneskarembo78052 жыл бұрын
#mbona siioni ikitoka hyo nazi allllaaahhhh
@faridaali68502 жыл бұрын
Makubwa
@halimasaid92032 жыл бұрын
Ovyoo
@bintkalaghe61072 жыл бұрын
Nimejikuta nacheka na wakuna naz
@piusfacts91172 жыл бұрын
Siku yao hii hapa inatambulika dunia nzima kzbin.info/www/bejne/q32sfGqlhd-kaa8
@abdulkarimaly76522 жыл бұрын
Wapichama
@AshaSaid-gy2tg7 ай бұрын
Wasungo wakubwa nyie mambo ya unyago mna Fanya hadharani
@rashidhusain29582 жыл бұрын
Kina mama tieni udhu mukaswali
@ashurafarhan83352 жыл бұрын
Kweli kabisa waswali huo no ujinga
@prettyaysha78922 жыл бұрын
Mambo yalikua siri waambiwa ukisema ni usungo Leo hii hadharani
@shtatsalfa16682 жыл бұрын
Dunia imeisha
@mwanahamisimapua50352 жыл бұрын
Nimeshangaaje sasa. Ngoma imesikika kama Msondo hii, sie tulichezwa msondo na kuelewa maana yake huwezi fanya vitu kama hivi hadharani...
@mwanawetuamiri67472 жыл бұрын
Jamani si Kuna nazi ya pakti 🤣🤣🤣🤣
@fatmakhanii16762 жыл бұрын
😁😁😁
@fettyfay23342 жыл бұрын
Haitoshii. Lzma tukune tuliweke kwenye bleder alafu tuchuje😂😂
@jamalbakari61362 жыл бұрын
Haina ladha 😂😂
@mhazajuma95112 жыл бұрын
Mi nazi siwezi kukuna Maafa Mikopo I au a sana
@ziadasadiki81962 жыл бұрын
😄Nazi Yakunwa Yakhe
@preciousjohn94052 жыл бұрын
Yani kadri maisha yanavyo zid kuwa magumu ndo vichaa wanaongezeka
@mwanashaali48632 жыл бұрын
@@preciousjohn9405 nimecheka kama mazuri vile vichaa kidogo 😂😂😂
@rosendile82352 жыл бұрын
Ni aibu yetu sisi kina bibi na kina mama 😭😭
@kairatiswahilli7024 Жыл бұрын
Tutakuna nazi kweli Subirin tu
@marygaspar64292 жыл бұрын
Mchina keshaleta mashine ni mwendo wa okoa muda!
@sumaiyamunisi52282 жыл бұрын
Unajua wanafundisha Nazi hizo wanamaanayao
@mwanahamisimapua50352 жыл бұрын
Tunajua maisha yamekua magumu lakini nyie wakina mama msipitilize mipaka. Hapo mnawafundisha watu kukuna nazi ama mnawafundisha watu mambo mengine tu? Jiangalizieni nyie watu wazima
@halimasulaiman32292 жыл бұрын
Subuhanallah
@pilikhamis29242 жыл бұрын
Mtihani huu jamani hii ni siri vo jinsi ya kukuna nazi mungu wasamehe