Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 64
@MshamMadaraka15 күн бұрын
Mungu ibarik simba mwaka huu uwe wa mafanikio kwetu ammin
@rogersiddy16 күн бұрын
Uwandishi bongo Bado sanaa tena sanaa Asante Kagoma wachezaji wamesajiliwa jana leo unamfosi aongee tulieni msubili warudi huko waendako wajuane wazoeane wakiwa wanarudi kutoka Misri muwaulize sasa kwasasa maswali yote kwa msemaji atawapa japo habari kdg lkn wachezaji mnawaonea tu
@PendoMatemba-ql1ng15 күн бұрын
Yusuphu kagoma kuongea kama jina lake yupo vizuriii
@vascongumbi904016 күн бұрын
Sema slogan yetu nzuri nguvu Moja ila wenzetu😂😂
@Amon-gj8tx16 күн бұрын
Wachezaj wanamisimamo hatari hadi raha❤🎉
@sangaelly854816 күн бұрын
Alah awe nanyi wapambanaji wetu God you all
@bahatimshali273115 күн бұрын
Mungu awe nanyi Wapambanaji wetu. Dua zetu zipo pamoja nanyi
@davidfelician290315 күн бұрын
Mungu saidia kikosi kipya hiki mana kikosi kilecha mwakajana kilikuwa dhaifu.sana na so far ' simba ' nguvu Moja.'
@antidiusmuchunguzi294216 күн бұрын
Tuwatakie safari njema mungu awatangulie
@AlifaHamis16 күн бұрын
Kagoma Safi Sana Ana msimamo mzuri sana
@JudithMashara16 күн бұрын
Jamani mnyama anatisha. Mungu ibariki Simba yetu😅🎉❤😂😂
@EvodiusErnest-ol2wg16 күн бұрын
Mungu awatangulie Simba sport
@marthamsacky697316 күн бұрын
Mungu awe nanyi katika safari Yenu mkafanikiwe wachezaji wetu
@ismailhassan520916 күн бұрын
Matola naye aende soka la vijana ni wakati wa Mgunda
@RunnerBoy-g6p14 күн бұрын
God bless simba
@CikeTanzania15 күн бұрын
Alhamdulillah karabaka yupo.
@zahiruhamisi416216 күн бұрын
Ama kwel uchaw upo,sa Matola anafata nn Misri!!!😮
@KhamisShaur-wt3fk16 күн бұрын
Mwenyezi mungu awatangulie mfike salama
@user-bf3mm5wu1s15 күн бұрын
Ila kagoma yupo fit sana😅😮
@CikeTanzania15 күн бұрын
YUsufu kagoma kagoma kuongea.😂😂😂
@Katuniclassic-qv2qd16 күн бұрын
Tqtiz unavyo tombwa iyo saut ndo utoag kwa wanaume zako unatuletea kutangaz na iyo saut man aaah aaah nyingi
@ildephoncemilambo549316 күн бұрын
Jitahidi na Nyie waandishi wa Habari kufanya mazoezii, mdada kidogo tu kukimbia unahemaa, mpaka sauti hatuisikii vzr sababu ya kupumua sana