Masoud Kipanya ataja uwezo wa gari yake ya umeme, bei yake na lini zitaanza kuuzwa - Part 2

  Рет қаралды 24,206

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Masoud Kipanya ametengeneza vichwa vya habari nchini baada ya kuzindua gari lake kutoka kwenye kampuni yake, KP Motors. Kwenye #ChillnaSky anazungumzia mchakato mzima ulivyokuwa hadi kufikia hapo

Пікірлер: 85
@musajackson3289
@musajackson3289 2 жыл бұрын
Serikali iwezeshe wazawa ili kufikia soko la kimataifa Sns for life 👍
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 2 жыл бұрын
Yaan kwa nchi za wenzetu apo lazima rais angeshafanya jambo sasa uku kwetu wapo kimya kama awalion hii vile hila me naiman kama umeweza kufika apo bro bas nguvu yako ni kubwa sana utafika mbali mno big bro proud of u lov🙏🙏
@nicolausminja689
@nicolausminja689 2 жыл бұрын
Umeongea point ya msingi.ishu sio kwamba viongozi wanaogopa mabeberu (wauza mafuta) Maana hii gari itawaulia soko la petroleum nchini.
@fredricklitunda8870
@fredricklitunda8870 2 жыл бұрын
Acheni haya maswali yenu ya darasani kama mnapenda alichofanya mtanzania mwenzetu basi msupport kwa hiyo elimu yako ya engineering afanye kitu bora usidiscourage wazo lake. Safi sana masoud kipanya kutoka Songea.
@gwaluganoa.mwakatobe3183
@gwaluganoa.mwakatobe3183 2 жыл бұрын
This is millestone creativity. Thank you Kipanya for this achievement. Naisubiri sokoni
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Kati ya watu ninaowakubali na kuwapenda, Hongera sana Masoud kwa kazi nzuri 🙏
@pendaelnkya7272
@pendaelnkya7272 2 жыл бұрын
Mr masudi ongera Sana. Naitaji kuwa mwekezaji kwako
@KAMOGEASEMACOLTD
@KAMOGEASEMACOLTD 2 жыл бұрын
Nakupongeza sana Mr. Kipanya. Nakushauri kutumia Mr. Mbwambo anayezalisha umeme kwa sumaku ili usiwe na kuchaji. Unaweza kumtafuta kwenye Utube. Nafurahi kuanza kutengeneza gari, ni mwanzo wa mafanikio.
@abdullahannabhaniy2283
@abdullahannabhaniy2283 2 жыл бұрын
Huyu jamaa wa umeme yupo kawe
@thomaslali705
@thomaslali705 2 жыл бұрын
Kila jambo Lina mwanzo na nafasi ya kuendelea inayotia moto. Anapaswa kuungwa mkono kwa Kasi ya kutosha kuwa na bidhaa za nyumbani. Hongera!
@intro9485
@intro9485 2 жыл бұрын
Sns tufikishe SUB mil.1 I can't wait for that
@halaatv
@halaatv 2 жыл бұрын
Hongera sana masudi kipanya utawainspaya sana watu
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Genius
@nicolausminja689
@nicolausminja689 2 жыл бұрын
Hongera saana KP.kwa ubunifu huu,umeiona fursa na kuitumia vilivyo,kwa bei ya petroli utapata soko kubwa saana alafu ukizingatia serikali na mradi wa bwawa la mwalimu nyerere.umeme soon utashukia bei nchini,so umeupiga mwingi broo
@noahmwankenja8705
@noahmwankenja8705 2 жыл бұрын
Wazo zuri Sana nakupongeza bro...Muhimu usiogope nikushare idea na waliotutangulia Kama kantanka waliopo ghana.naimani tutapata toleo Bora zaidi lijalo...Ila kwenye maelezo yako apo kwenye interview natumaini ulimaanisha volts 60 nasio watts 60..pamoja sana
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 жыл бұрын
Kwa nn isiwe bei ya chini zaid kulinganisha na izo bidhaa zengine kama izo ambazo amezitaja kipanya .M9 me nahic ni bei kubwa kama tunazalisha wenyewe
@ayublema6101
@ayublema6101 2 жыл бұрын
Ameshaliongelea hilo
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Bajaji m7 mpk 8 .. Kway sio mbaya
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
Hii ni safi sana, watanzania kama hawa ni wa kuwaendeleza wafike mbali, kwani hata korea kaskazini walijaribu jaribu na kukosea kosea ila sasa wanatengeneza makombora, hivyo hiyo hata wajapan, wachina, wakorea, wajeruman, waingereza, marekani walijaribu jaribu hivi hivi miaka ya 1905 huko ndo leo hii tunaona magari, ndege, meli ubinifu unaendelea, kwani walijifunza kuwajali wabunifu wa ndani na kuwaendeleza. Mim naona Masoud atafika mbali sana.
@MrTouch-rm4rh
@MrTouch-rm4rh 2 жыл бұрын
Mwananchi kwanza big up kipanya nakupa pongezi sana yani aya ndio mafanikio tunayo yataka katika inchi yetu
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 2 жыл бұрын
+MUNGU+ akufanikishe zaidi kwa kila unachokiamini🙏 keep going bro Kipanya🚶
@Swahili_Wisdom
@Swahili_Wisdom 2 жыл бұрын
Engineering Designing 🔥
@ahmadateguro4886
@ahmadateguro4886 2 жыл бұрын
Akili mingi huyu kipanya bravo brother
@mikaelikamili3108
@mikaelikamili3108 2 жыл бұрын
Babu naitaka hiyo gali
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 2 жыл бұрын
Umehastle sana bro nakuombea uwe bilionea uwe the next Bakhresa
@pelezi84
@pelezi84 2 жыл бұрын
Safi sana, napongeza juhudi zako binasfi katika kufikia mafanikio haya. Naiona TZ ya mabadiliko ya kitechnologia na ubunifu.
@francismwacha253
@francismwacha253 2 жыл бұрын
Nimpe pongezi mwamba KP kwanza ukizingatia mafuta kupanda amelenga mnoo natamani apate watu watie mpunga atoe vyuma vya kutosha da!
@mytelecom2019
@mytelecom2019 2 жыл бұрын
safi saana Masoud
@evankya1955
@evankya1955 2 жыл бұрын
May this advance into big car industry in Africa
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 2 жыл бұрын
Hongera sana
@leonardhossa3192
@leonardhossa3192 2 жыл бұрын
Naaam, hongera sana
@mbembelatv
@mbembelatv 2 жыл бұрын
All the way from part one...
@ntegrity277
@ntegrity277 2 жыл бұрын
Usiangaike kutoa battery! Tengeneza mfumo wa charging gari ikiwa inatembea, motar izunguke icharge battery
@rizikimunga2460
@rizikimunga2460 2 жыл бұрын
You did it brooo
@mburawambulanga3500
@mburawambulanga3500 2 жыл бұрын
Heko brother Masoud
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 2 жыл бұрын
Haya ndo aliyoongea Gwajima bungeni mipango ya muda mrefu Kaka masoud ni mpango wa muda mrefu mpaka leo tunaona matunda,Mimi nakuombea kwa Mungu ufike mbali zaidi utengeneze na vya kutembelea mjini hapa sio vya kubebea mizigo tuu,Kama mtu anamizunguko yake mjini ambayo haimalizi kilometa hizo kwann usinunue,Mungu awe nawe
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 жыл бұрын
Hizo zingine ziko na ushuru ndio mna zinafika m9
@kingshomys7319
@kingshomys7319 2 жыл бұрын
KP usd 1000000 ni badjet ndogo sana kwa wewe kufikia malengo makubwa ungefanya subira kidogo ili upate target nzuri hio ni really dill brother kuwa na subira angalau hata usd 5000000 mpaka usd 10000000
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 жыл бұрын
Unaanza na kidogo kilichopo kwanza
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 жыл бұрын
Anza na ulichonacho hatuishi milele
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 жыл бұрын
@@africanproudly4004 nimecheka sanaa
@ilumbukibi4169
@ilumbukibi4169 2 жыл бұрын
May the Almighty Allah Bless you bro!
@mussahamisi7493
@mussahamisi7493 2 жыл бұрын
Nazani hapo kuna njia nyingine ukiifanyia kazi vizur itakuwa nzuri kutumia sola yani wakat gari wakati linatembea mchana linakuwa linachaji moja kwa moja
@barikimbacho6731
@barikimbacho6731 2 жыл бұрын
@@mussahamisi7493 hata mimi niliwaza hivyo. Au pia nikawa nawaza sheli wangekua na mabetri yako full charged ukifika unabadilisha unaacha za kwako zilizoisha charge na kuweka zenye charge ambazo zimechajiwa sheli na kuondoka
@teddymatisha6781
@teddymatisha6781 2 жыл бұрын
Upcoming billionaire
@sanaf8367
@sanaf8367 2 жыл бұрын
Safi Sana lkn Gari mvungu lazi a uwe wa juu kidogo kutokana na njia za ndani mbaya na upakiaji wa mizigo
@gwaluganoa.mwakatobe3183
@gwaluganoa.mwakatobe3183 2 жыл бұрын
Ninaona huo mvungu hapo upo sawa ukilinganisha na designs nyingi za gari aina hii
@eipro_
@eipro_ 2 жыл бұрын
Watu Mnatakiwa kufikiria kuhusu kupata kazi na sio kuiponda hii gari........
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Na pia kuwa chachu kwa sisi wengine iwe ni hamasa kufikia hapo alipofika ndugu yetu au zaidi ya hapo 👍
@andrewjulius6796
@andrewjulius6796 2 жыл бұрын
Yaani Huyu jamaa kaanza kuchora kabla hata sijaziliwa
@mgasaemanuel53
@mgasaemanuel53 2 жыл бұрын
Huyu ndiye Elon Musk wa Tz
@mikaelikamili3108
@mikaelikamili3108 2 жыл бұрын
nitafanyaje ili niipate hiyo gali Babu naitaji kuuza sula
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Hahaha mtoto mjinga wew
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 жыл бұрын
ONDOA USHURU KIPANYA ILI UTUUZIE BEI YA NYUMBANI KWETU
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Kipanya piga kazi
@abdullahannabhaniy2283
@abdullahannabhaniy2283 2 жыл бұрын
Ila ni vyema madirisha yawe Kwa umeme
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@princehancesam9892
@princehancesam9892 2 жыл бұрын
Juzi tu ulituomba msaada watanzania tukuchangie matibabu y mtt leo unaonysha utajir ulionao ulikuwa unatusanifu au ndio
@yunusrnb5227
@yunusrnb5227 2 жыл бұрын
Akili yako ndogo wewe
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Ulimchangia kiasi gani mwaya urudishiwe isiwe tabu
@princehancesam9892
@princehancesam9892 2 жыл бұрын
Nilituma pesa kumbe mtu anaenda nunua gar za umeme duh
@ezradaniel3779
@ezradaniel3779 2 жыл бұрын
hiki nikipaji cha pekee sanaaa imenigusa sana
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Gari hakuna injini? Unatumia nini? Motor tu.
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Kikizima unakibeba begani au
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 жыл бұрын
Amesema chuma katumia chuma cha hapahapa, so nipo Interested kujua structural strength ya chassis ya hii gari, hasa ikiwa na mzigo na ikapita kwenye uneven road surfaces (uwezo wa frame kuhimili torsional forces ikiwa na mzigo) Pia kwa mzigo unaobebwa na hii gari, ubora wa excel upoje Battery inayotumia hii gari ni lead acid au lithium ion?
@swalehehuseni2406
@swalehehuseni2406 2 жыл бұрын
Wew unao jifanya kingreza kingi uliwai kubuni nin?acha usomi wa makaratasi.
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 жыл бұрын
Tulieni kwanza tuingie sokoni kwanza mtasoma manual book
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 жыл бұрын
Tujali vya kwetu tusiwe na maswali magumu wakati aujui
@kelvinsanga2907
@kelvinsanga2907 2 жыл бұрын
Big up Braza
@rashgm3856
@rashgm3856 2 жыл бұрын
Natamani wa weke automatic window kwenye gari hiyo.
@haniffa9024
@haniffa9024 2 жыл бұрын
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU m.kzbin.info/www/bejne/n5SVaIaQib6SnNU
@canisiusibrahim9856
@canisiusibrahim9856 2 жыл бұрын
vp kujaa inatumia unit ngap?
@mosesmdindile332
@mosesmdindile332 2 жыл бұрын
Tatu mpaka tano
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
@@mosesmdindile332 umejuaje atukuamini wew tunamtaka kipanya ajibu
@canisiusibrahim9856
@canisiusibrahim9856 2 жыл бұрын
@@mosesmdindile332 hii kali sana mwanangu
@SingoMedia
@SingoMedia 2 жыл бұрын
Katika vijana ambao wana akili, misimamo na upeo mkubwa sana wa fikra yakinifu. Hakika kaka Masoud ni mfano wa kuigwa maana hata nakumbuka ile project yako ya MAISHA PLUS ...
@SHommymusic1
@SHommymusic1 2 жыл бұрын
Kwanini samia hajaongea chochote??
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 жыл бұрын
Mpumzisheni mama wa watu kwani hakuna Waziri au Wizara husika.....Mavi Mavi tu
@janiaoma7093
@janiaoma7093 2 жыл бұрын
Sikweli tesla mimi nikonayo unachaji dakika 15 unakweda 350 nisawa na 495 kilometa mimi nipo hapa usa ni mtazania
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Zina capacity tofautitofauti usifikiri hiyo yako ndio hiyo tu.
@haniffa9024
@haniffa9024 2 жыл бұрын
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU m.kzbin.info/www/bejne/n5SVaIaQib6SnNU
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 41 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 49 МЛН
YAFAHAMU MENO BANDIA
4:11
Alexia Hospital
Рет қаралды 4,7 М.
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 5 М.
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 41 МЛН