Masoud Kipanya ametengeneza vichwa vya habari nchini baada ya kuzindua gari lake kutoka kwenye kampuni yake, KP Motors. Kwenye #ChillnaSky anazungumzia mchakato mzima ulivyokuwa hadi kufikia hapo
Пікірлер: 85
@musajackson32892 жыл бұрын
Serikali iwezeshe wazawa ili kufikia soko la kimataifa Sns for life 👍
@miriamngosha68562 жыл бұрын
Yaan kwa nchi za wenzetu apo lazima rais angeshafanya jambo sasa uku kwetu wapo kimya kama awalion hii vile hila me naiman kama umeweza kufika apo bro bas nguvu yako ni kubwa sana utafika mbali mno big bro proud of u lov🙏🙏
@nicolausminja6892 жыл бұрын
Umeongea point ya msingi.ishu sio kwamba viongozi wanaogopa mabeberu (wauza mafuta) Maana hii gari itawaulia soko la petroleum nchini.
@fredricklitunda88702 жыл бұрын
Acheni haya maswali yenu ya darasani kama mnapenda alichofanya mtanzania mwenzetu basi msupport kwa hiyo elimu yako ya engineering afanye kitu bora usidiscourage wazo lake. Safi sana masoud kipanya kutoka Songea.
@gwaluganoa.mwakatobe31832 жыл бұрын
This is millestone creativity. Thank you Kipanya for this achievement. Naisubiri sokoni
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Kati ya watu ninaowakubali na kuwapenda, Hongera sana Masoud kwa kazi nzuri 🙏
@pendaelnkya72722 жыл бұрын
Mr masudi ongera Sana. Naitaji kuwa mwekezaji kwako
@KAMOGEASEMACOLTD2 жыл бұрын
Nakupongeza sana Mr. Kipanya. Nakushauri kutumia Mr. Mbwambo anayezalisha umeme kwa sumaku ili usiwe na kuchaji. Unaweza kumtafuta kwenye Utube. Nafurahi kuanza kutengeneza gari, ni mwanzo wa mafanikio.
@abdullahannabhaniy22832 жыл бұрын
Huyu jamaa wa umeme yupo kawe
@thomaslali7052 жыл бұрын
Kila jambo Lina mwanzo na nafasi ya kuendelea inayotia moto. Anapaswa kuungwa mkono kwa Kasi ya kutosha kuwa na bidhaa za nyumbani. Hongera!
@intro94852 жыл бұрын
Sns tufikishe SUB mil.1 I can't wait for that
@halaatv2 жыл бұрын
Hongera sana masudi kipanya utawainspaya sana watu
@salim02tv242 жыл бұрын
Genius
@nicolausminja6892 жыл бұрын
Hongera saana KP.kwa ubunifu huu,umeiona fursa na kuitumia vilivyo,kwa bei ya petroli utapata soko kubwa saana alafu ukizingatia serikali na mradi wa bwawa la mwalimu nyerere.umeme soon utashukia bei nchini,so umeupiga mwingi broo
@noahmwankenja87052 жыл бұрын
Wazo zuri Sana nakupongeza bro...Muhimu usiogope nikushare idea na waliotutangulia Kama kantanka waliopo ghana.naimani tutapata toleo Bora zaidi lijalo...Ila kwenye maelezo yako apo kwenye interview natumaini ulimaanisha volts 60 nasio watts 60..pamoja sana
@alitomorrow1662 жыл бұрын
Kwa nn isiwe bei ya chini zaid kulinganisha na izo bidhaa zengine kama izo ambazo amezitaja kipanya .M9 me nahic ni bei kubwa kama tunazalisha wenyewe
@ayublema61012 жыл бұрын
Ameshaliongelea hilo
@salim02tv242 жыл бұрын
Bajaji m7 mpk 8 .. Kway sio mbaya
@edwinalexander11702 жыл бұрын
Hii ni safi sana, watanzania kama hawa ni wa kuwaendeleza wafike mbali, kwani hata korea kaskazini walijaribu jaribu na kukosea kosea ila sasa wanatengeneza makombora, hivyo hiyo hata wajapan, wachina, wakorea, wajeruman, waingereza, marekani walijaribu jaribu hivi hivi miaka ya 1905 huko ndo leo hii tunaona magari, ndege, meli ubinifu unaendelea, kwani walijifunza kuwajali wabunifu wa ndani na kuwaendeleza. Mim naona Masoud atafika mbali sana.
@MrTouch-rm4rh2 жыл бұрын
Mwananchi kwanza big up kipanya nakupa pongezi sana yani aya ndio mafanikio tunayo yataka katika inchi yetu
@emmanuelfari89242 жыл бұрын
+MUNGU+ akufanikishe zaidi kwa kila unachokiamini🙏 keep going bro Kipanya🚶
@Swahili_Wisdom2 жыл бұрын
Engineering Designing 🔥
@ahmadateguro48862 жыл бұрын
Akili mingi huyu kipanya bravo brother
@mikaelikamili31082 жыл бұрын
Babu naitaka hiyo gali
@mybabyarchive21042 жыл бұрын
Umehastle sana bro nakuombea uwe bilionea uwe the next Bakhresa
@pelezi842 жыл бұрын
Safi sana, napongeza juhudi zako binasfi katika kufikia mafanikio haya. Naiona TZ ya mabadiliko ya kitechnologia na ubunifu.
@francismwacha2532 жыл бұрын
Nimpe pongezi mwamba KP kwanza ukizingatia mafuta kupanda amelenga mnoo natamani apate watu watie mpunga atoe vyuma vya kutosha da!
@mytelecom20192 жыл бұрын
safi saana Masoud
@evankya19552 жыл бұрын
May this advance into big car industry in Africa
@alphoncewilliam43252 жыл бұрын
Hongera sana
@leonardhossa31922 жыл бұрын
Naaam, hongera sana
@mbembelatv2 жыл бұрын
All the way from part one...
@ntegrity2772 жыл бұрын
Usiangaike kutoa battery! Tengeneza mfumo wa charging gari ikiwa inatembea, motar izunguke icharge battery
@rizikimunga24602 жыл бұрын
You did it brooo
@mburawambulanga35002 жыл бұрын
Heko brother Masoud
@magrethmbangama11992 жыл бұрын
Haya ndo aliyoongea Gwajima bungeni mipango ya muda mrefu Kaka masoud ni mpango wa muda mrefu mpaka leo tunaona matunda,Mimi nakuombea kwa Mungu ufike mbali zaidi utengeneze na vya kutembelea mjini hapa sio vya kubebea mizigo tuu,Kama mtu anamizunguko yake mjini ambayo haimalizi kilometa hizo kwann usinunue,Mungu awe nawe
@alitomorrow1662 жыл бұрын
Hizo zingine ziko na ushuru ndio mna zinafika m9
@kingshomys73192 жыл бұрын
KP usd 1000000 ni badjet ndogo sana kwa wewe kufikia malengo makubwa ungefanya subira kidogo ili upate target nzuri hio ni really dill brother kuwa na subira angalau hata usd 5000000 mpaka usd 10000000
@josephandrew34442 жыл бұрын
Unaanza na kidogo kilichopo kwanza
@africanproudly40042 жыл бұрын
Anza na ulichonacho hatuishi milele
@josephandrew34442 жыл бұрын
@@africanproudly4004 nimecheka sanaa
@ilumbukibi41692 жыл бұрын
May the Almighty Allah Bless you bro!
@mussahamisi74932 жыл бұрын
Nazani hapo kuna njia nyingine ukiifanyia kazi vizur itakuwa nzuri kutumia sola yani wakat gari wakati linatembea mchana linakuwa linachaji moja kwa moja
@barikimbacho67312 жыл бұрын
@@mussahamisi7493 hata mimi niliwaza hivyo. Au pia nikawa nawaza sheli wangekua na mabetri yako full charged ukifika unabadilisha unaacha za kwako zilizoisha charge na kuweka zenye charge ambazo zimechajiwa sheli na kuondoka
@teddymatisha67812 жыл бұрын
Upcoming billionaire
@sanaf83672 жыл бұрын
Safi Sana lkn Gari mvungu lazi a uwe wa juu kidogo kutokana na njia za ndani mbaya na upakiaji wa mizigo
@gwaluganoa.mwakatobe31832 жыл бұрын
Ninaona huo mvungu hapo upo sawa ukilinganisha na designs nyingi za gari aina hii
@eipro_2 жыл бұрын
Watu Mnatakiwa kufikiria kuhusu kupata kazi na sio kuiponda hii gari........
@ahz69072 жыл бұрын
Na pia kuwa chachu kwa sisi wengine iwe ni hamasa kufikia hapo alipofika ndugu yetu au zaidi ya hapo 👍
@andrewjulius67962 жыл бұрын
Yaani Huyu jamaa kaanza kuchora kabla hata sijaziliwa
@mgasaemanuel532 жыл бұрын
Huyu ndiye Elon Musk wa Tz
@mikaelikamili31082 жыл бұрын
nitafanyaje ili niipate hiyo gali Babu naitaji kuuza sula
@hisanmwakijungu102 жыл бұрын
Hahaha mtoto mjinga wew
@alitomorrow1662 жыл бұрын
ONDOA USHURU KIPANYA ILI UTUUZIE BEI YA NYUMBANI KWETU
@ahz69072 жыл бұрын
Kipanya piga kazi
@abdullahannabhaniy22832 жыл бұрын
Ila ni vyema madirisha yawe Kwa umeme
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@princehancesam98922 жыл бұрын
Juzi tu ulituomba msaada watanzania tukuchangie matibabu y mtt leo unaonysha utajir ulionao ulikuwa unatusanifu au ndio
@yunusrnb52272 жыл бұрын
Akili yako ndogo wewe
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Ulimchangia kiasi gani mwaya urudishiwe isiwe tabu
@princehancesam98922 жыл бұрын
Nilituma pesa kumbe mtu anaenda nunua gar za umeme duh
@ezradaniel37792 жыл бұрын
hiki nikipaji cha pekee sanaaa imenigusa sana
@eddiemohamed90032 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Gari hakuna injini? Unatumia nini? Motor tu.
@credo78372 жыл бұрын
Kikizima unakibeba begani au
@tanzaniacarschannel69752 жыл бұрын
Amesema chuma katumia chuma cha hapahapa, so nipo Interested kujua structural strength ya chassis ya hii gari, hasa ikiwa na mzigo na ikapita kwenye uneven road surfaces (uwezo wa frame kuhimili torsional forces ikiwa na mzigo) Pia kwa mzigo unaobebwa na hii gari, ubora wa excel upoje Battery inayotumia hii gari ni lead acid au lithium ion?
Katika vijana ambao wana akili, misimamo na upeo mkubwa sana wa fikra yakinifu. Hakika kaka Masoud ni mfano wa kuigwa maana hata nakumbuka ile project yako ya MAISHA PLUS ...
@SHommymusic12 жыл бұрын
Kwanini samia hajaongea chochote??
@barbarasara40332 жыл бұрын
Mpumzisheni mama wa watu kwani hakuna Waziri au Wizara husika.....Mavi Mavi tu
@janiaoma70932 жыл бұрын
Sikweli tesla mimi nikonayo unachaji dakika 15 unakweda 350 nisawa na 495 kilometa mimi nipo hapa usa ni mtazania
@gibsonjosephat63522 жыл бұрын
Zina capacity tofautitofauti usifikiri hiyo yako ndio hiyo tu.
@haniffa90242 жыл бұрын
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU m.kzbin.info/www/bejne/n5SVaIaQib6SnNU