Masoud Pezeshkian achaguliwa kuwa Rais mpya wa Iran

  Рет қаралды 11,078

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 43
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 22 күн бұрын
Tuko pamoja na Iran mpaka hatua ya mwixh 🇹🇿🇮🇷
@PUTINN365
@PUTINN365 22 күн бұрын
Viva iran from tanzania
@abel_esam
@abel_esam 22 күн бұрын
Umetisha Ally Masubi. Kudos kwako
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 21 күн бұрын
Pamoja abel
@jkifutu7936
@jkifutu7936 22 күн бұрын
More blessings rais
@user-nq4ti9uh4h
@user-nq4ti9uh4h 22 күн бұрын
Hongera, endeleza kazi ya ibrahim rais.
@JafariHamisi-gu4ef
@JafariHamisi-gu4ef 22 күн бұрын
Kilalakheri masud
@jut1161
@jut1161 22 күн бұрын
Wazungu hawana nia safi na nchi nyengine zozote bila ya kuwa na maslahi yao mbele
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 22 күн бұрын
Yeye hana mamlaka hayo mwenye mamlaka hayo ni khomenei huyu hana mamlaka yoyote ya kupanga kitu ndani ya serikali ya khomenei
@moudys
@moudys 21 күн бұрын
Hafai mpolesana
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 21 күн бұрын
Hapa iran wamepoteza
@drsilo
@drsilo 22 күн бұрын
Iran bye byee 😢😢😢😢Allah awaongoze
@hopechidera
@hopechidera 21 күн бұрын
Kwan Iran imetoweka kwa ramani ya dunia ?! Eti bye bye...
@hopechidera
@hopechidera 21 күн бұрын
Jaman kwan vijana hawataki siasa?! Mbona wazee ndo wameanza ongoza kua marais inchi nyingi...
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 22 күн бұрын
Tuone atafata hatua kama ile ya kombora five hundred
@user-xc5mk4ro2z
@user-xc5mk4ro2z 22 күн бұрын
Uyo dactari kweli sio Tanzania kupeana vyeo pasipo Elimu .
@RajabuAbdallah-yp5dp
@RajabuAbdallah-yp5dp 21 күн бұрын
Watu wengi hawafahamu Iran haiongozwi na mtu bali na mfumo na msifikirie rais ana nguvu kias hiiicho la na la pil nani aliyekwambia mrithi wa supreme leader lazima atoke kwenye urais kwanza? Msichanganye mambo
@Pablolookman
@Pablolookman 22 күн бұрын
Zao la wazee wa maghrib
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 22 күн бұрын
Hapana
@user-oh8ig2cy9q
@user-oh8ig2cy9q 22 күн бұрын
Mnawaza bifu na wakati wa irani wanaitaji amani
@sonnyr1899
@sonnyr1899 22 күн бұрын
Soon utasikiya haki za kina gasho kuruhusiwa
@hopechidera
@hopechidera 21 күн бұрын
🤣🤣🤣eti gasho...
@sonnyr1899
@sonnyr1899 21 күн бұрын
@@hopechidera Ao wa Ngese 😂😂😂
@raymrash
@raymrash 22 күн бұрын
Ukimwangalia kama Myahudi😂😂😂😂
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 22 күн бұрын
Kwisha iran
@hopechidera
@hopechidera 21 күн бұрын
Kwisha na nini...
@mdimistudio6041
@mdimistudio6041 22 күн бұрын
Snitch kwaiyo😅au zao la wazee wa magharibiii
@khalidbelhasa2137
@khalidbelhasa2137 22 күн бұрын
Yoyote atakae kaa mfumo wao ni ule ule tu
@DAVIDMMASSY
@DAVIDMMASSY 22 күн бұрын
Hatimaye wamekamilisha regime change in Iran from a hardliner to a diplomat wamemtoa kiongozi mwenye msimamo wamehakikisha anakuja kiongozi diplomat anaueamini kwenye mazungumzo tutaonja yatakayofuata
@radjabusuleiman6486
@radjabusuleiman6486 21 күн бұрын
Hakuna kitakacho badilika, mwenye maamuzi Iran ni Ali khomeini
@mohammadabdallahmzee3825
@mohammadabdallahmzee3825 22 күн бұрын
Mbona kafanana na Bush
@veeJesus
@veeJesus 21 күн бұрын
Hongera Rais Mpya wa Iran. Fanya vyote ila Usiguse kitu kinaitwa Israel kaa nao mbali la sivyo utamfata ibrahim rais jehanam mda si mrefu. Jizime data kama waharabu wengine 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
@aishabrondi236
@aishabrondi236 21 күн бұрын
Akili huna nyoko wewe
@veeJesus
@veeJesus 21 күн бұрын
@@aishabrondi236 🐷🐷🐷🐷🐷
@mustaphakhamisikhamisi
@mustaphakhamisikhamisi 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂 ety akili huna
@user-km1dm8et9x
@user-km1dm8et9x 22 күн бұрын
Sma anajamba tu tunataka alete uongo wake maana gaidi kafa tumweka mtu anaejua ubinadamu
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 21 күн бұрын
wewe kafili ume umekuja nahuku kuharibu yuhoma kume kushinda nini
@alphoncemtahuka9938
@alphoncemtahuka9938 22 күн бұрын
Mmmmh wameisha ilan tayar huyo kawekwa na wazungu huyo
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f 22 күн бұрын
Unaijua iran wewe
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 22 күн бұрын
Wamemchagua wananchi maana yake wairan wako against na sera za NCHI yao
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 22 күн бұрын
Wamemchagua wananchi maana yake wairan wako against na sera za NCHI yao
@KomoraMohamed
@KomoraMohamed 22 күн бұрын
Jipe moyo Sera ni zile zile
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 14 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 10 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 12 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
Ally Kamwe ajiuzulu kama Afisa Habari wa Klabu ya Yanga!
3:08
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 703
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 407 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 6 МЛН
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
Crossing the Most Dangerous Crosswalk
0:24
Zach King
Рет қаралды 14 МЛН
Не хватило бензина встал на трассе
1:01
чоооооооооооооо
Рет қаралды 2,2 МЛН
Rollover Crash💥 (Inside View) #gopro #crash
0:23
tomhansenmedia
Рет қаралды 6 МЛН
Every car need this.#car #carhack #shortsyoutube
1:00
Chaudery Auto Traders
Рет қаралды 3,1 МЛН
Togg vs Colt Czt #araba #automobile #arabalar #car #fast #roll #drag
0:28
Всегда проверяйте зеркала
0:19
Up Your Brains
Рет қаралды 22 МЛН