Kwenye mapendekezo yanayo husiana na jeshi la polisi.. ningependa kuona wanapewa mshahara wa kutosha na vifaa vya kazi kama magari ya doria badala ya kusimama juani siku nzima wanakusanya rushwa tu mabarabarani. Wapeni uwezo wa kielimu pia ili wahudumie jamii bila kuomba rushwa.
@elibarikimanjia8391 Жыл бұрын
DAWA YA MATATIZO YETU NI KATIBA . TUPIGANIE KATIBA MPYA
@makongorowassira6593 Жыл бұрын
Kwani wao kama serikali hawayajui yote hayo mnayojadili au ndo kupotezeana muda tu😂😂 Porojo nyingii utekelezaji haupo. Fanye mabadiliko ya kweli kwenye Katiba ili kusiwe na swala la utashi wa mtu mmoja kutekeleza au kutotekeleza
@freymuch7112 Жыл бұрын
Waende Kigoma,Kagera na mikoa ya mipakan wageni wanaingia na silaha,ukimkuta MSOMALI kama wewe ni Lele mama imekula kwako,Hawaoni haja ya kuongezea nguvu Immigration badala ya hicho wanachodai kuondoa taswira ya jeshi?Uhamiaji kama sio uzalendo wao Magaidi wangeingizwa wengi mno Tusiwabeze
@MakameAbdallah-wn3hc Жыл бұрын
unafiki ndio mchawi wetu mkubwa viongozi na wananchi tukiacha unafiki mambo yote yatakaa sawa.