2024anyone for those who were blessed by God🙏🙏with much of success...AMEN
@fabyamosi288022 күн бұрын
Anyone here Dec-2024 to praise the LORD 🙏
@goodluckkimath1106Ай бұрын
December 2024 gonga like apa, From January to this December……🙏🏽🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇨🇩
@__B.O.B Жыл бұрын
Dec 2023, like hapa kama UNAAMINI ni MUNGU TU sababu tupo hai mpaka sasa. Naamini tutakutana hapa tena Dec 2024 tukiwa wazima na tuliofanikiwa sana pia.🙏🙏🙏🏻
@tiffanymaithya664424 күн бұрын
😊
@upendonsemwa4573 Жыл бұрын
UNAJUA sana,nakupenda Bure,najitabilia mabaya hayana nafasi, ASANTE KWA JUMBE ZAKO NA UMENIRUHUSU KU DOWNLOAD ASANTE SANA,NAAIKILIZA NYIMBO ZAKO MUDA WOTE
@elishatkenya3843 жыл бұрын
Hii song nimeirudia kusikiza Mara sijui mia ,,I tell you inaniblessssss tu sanaa
@angelmunisi97893 жыл бұрын
Me siku ya pili Leo najiskia kusikiliza hii song tuh
@angelmunisi97893 жыл бұрын
Me siku ya pili Leo naskiliza tuh hii nyimbo ina ni bless hadi sio poa watu wa Mungu
@stumairamadhani65083 жыл бұрын
Me tooooo
@theresialubida73353 жыл бұрын
Huchoki kusikiliza huu wimbo umejaa mafuta 💪
@novatimushi76633 жыл бұрын
@@angelmunisi9789 r
@thegoldendeer47364 жыл бұрын
If you can feel the Anointing in this song...Press like🇹🇿🇺🇬
@bakitha-um9oj4 жыл бұрын
Nice
@anastaziaemanuel8664 жыл бұрын
.
@elizabethmwaisaka50774 жыл бұрын
Deep anointing on this song 🙏🙏
@giftnoel56284 жыл бұрын
Nimebarikiwa mnooo
@obedimwakagali77553 жыл бұрын
Da song ya maana had mtu waweza lia
@amourdaty8528Ай бұрын
How else is here 2024❤
@jael2450Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉
@jossy8740Ай бұрын
Jan to Dec ni Mungu
@touma.__.7368Ай бұрын
Me
@valerierwamba915525 күн бұрын
Thanks to praise party Dj Krowbar
@CatherineShayo-ue7xh14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@KainzwaBuzohera2 күн бұрын
This song gives me strength to move on..... 😔
@salomemkude83410 күн бұрын
It's 2025 by his Grace🙏
@upendoaloyce71573 жыл бұрын
Kama umekuja kipindi hiki Cha kuondokewa na kipenzi chetu gonga like twende sawa...huu wimbo ukafanyike faraja kwetu sote
@matha93202 жыл бұрын
Mambo kaka
@florenceelikana30402 жыл бұрын
Kuondokewa na nani tena
@Remy6899 ай бұрын
Mbn mnatuchangny nan tn uyoo
@marrypius5766 ай бұрын
Nani huy aliyeondoka
@judithcharles59643 жыл бұрын
Wale wanataraji kufika nchi ya ahadi likes plzz
@gildamashuda Жыл бұрын
Good music
@sandeygrory-nf1ev Жыл бұрын
Nabalikiwa nanyimbo zako nazipenda
@JeskaAlex9 ай бұрын
Nyimbo Zina ujmbe wakat wote zinanifarij kwel❤
@evalynependo38249 ай бұрын
Amazing song ❤❤❤
@ElizabethNyabu-q1x3 ай бұрын
2po hukuu
@gracefaida23178 ай бұрын
Ngonga like kama bado unasikiza 2024
@PhoibeChiduo5 ай бұрын
😆😆mm
@janengaga29284 ай бұрын
Sana tu.Bado naburudika sana nahuu wimbo.Nahisi Niko paradiso
@MancerNkya3 ай бұрын
Mm hapa 😂
@judithjulius59932 жыл бұрын
Leo nikitaka kuacha kazi ,sababu TU ya moyo kukata tamaa sababu y changamoto za kazi lakini niliingia Instagram nikakuta mtu anacheza wimbo huu nilisikia kipande kidogo TU ,nikapenda nikakumbia you tube kutafuta ,mungu wangu nimeskia roho mtakatifu ananiambia usikate tamaa kupitia wimbo huu thanks ,
@danielmalongo6 ай бұрын
ujumbe umeenda shule. hii nyimbo huwa inanikumbusha mbali mno
@KanadeMrangu2 ай бұрын
@danielmalongo AMEN ❤❤❤❤❤❤
@darlingqueendee3822Ай бұрын
Sauti nzuri wimbo mzuri.. for the first time listening to it. On December 2024 bila kusahau mungu amenilinda hio miezi ya mwanzo bila upungufu . Ni wewe bwana. Be blessed
@witnesskunyatila44794 жыл бұрын
Nimechelewa sana kuujua, m blessed with this song
@lugendolila50944 жыл бұрын
Heheh its never too late to find a right thing. This song is surely a right thing everyone should find.
@leticiatungaraza31014 жыл бұрын
@@lugendolila5094 siwem jamess
@leticiatungaraza31014 жыл бұрын
Siwema James
@ema4west6893 жыл бұрын
@witness kunyatila sasa mi ndo nimeujua leo😩
@charlesnassary66893 жыл бұрын
bonge la song hawa jamaa ni noma sana nawaona kwa mbali wakienda kuwapoteza akina, Joel lwaga, Goodluck gozbert, na paul klement
@dr.mbaga-tz4 жыл бұрын
Kaka Godfrey MUNGU akubariki sana.... Una sauti tulivu sana... Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa MUNGU ulio hodari yeye atakukweza kwa wakati wake.
@mariamatillya58934 жыл бұрын
The song gives me blessings and much couragers... Nikiuckiliza ckat tama nazid songa mbele😘😘😘
@stevenmaketa80514 жыл бұрын
Huyu jamaaa ni mkali csaana Mungu ambarki sana
@constancemwamure96783 жыл бұрын
Amen Amen 🙏
@jacklinebenjamin99754 жыл бұрын
From January to December nimejua ulienilinda ni wew😭😭😭😭😭😭ninapokosa ujasiri na nguvu zitaponiishia msaada wangu ni ww,,mwisho wa njia ni nzuri kuliko mwanzoni
@graceramsey22094 жыл бұрын
Hayupo mwengine ila ni wewe bwana
@sharifaamiri26713 жыл бұрын
Be blessed brother
@lucyntajames23923 жыл бұрын
@@graceramsey2209 ikkjnupppppll
@lucyntajames23923 жыл бұрын
Long oki
@lucyntajames23923 жыл бұрын
Oo
@loycedavid8352Ай бұрын
2024 mwaka nimepass through various mountain and valley but God he is still alive in me
@poulmalingumu8332 жыл бұрын
Wimbo huu unanipa faraja sana na unanfanya nijisikie fahari kuwa mkristoo
@gracemasawe69943 жыл бұрын
Wimbo unanipa faraja wakati huu ambapo raisi wangu mpendwa ameondoka magufuli😭😭😭😭😭
@elizabethmhina15062 жыл бұрын
😭😭
@nickalreadyknows Жыл бұрын
Hakika ❤
@pascalhaonga25613 жыл бұрын
Leo mara ya elfu 1000_ kusikiza hii nyimbo ndani ya siku 5 mbarikiwe sana nyie watu
@artsandentertainment45344 жыл бұрын
Nyimbo inaleta amani ya moyo sana Mungu simamia kila mmoja wetu na nchi yetu Tanzania iwe na amani siku zote🤲🏿🤲🏿
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Ameeen ameeen🙌
@nativeinfotv96203 жыл бұрын
Amen
@rodapesambili76503 жыл бұрын
Amina
@africanmusichd96003 жыл бұрын
Amina kaka yangu mungu azidi kukutia nguvu
@franktarimo48683 жыл бұрын
Amina mungu atupe nguvu za wokovu
@CedricremmyАй бұрын
i just love this song, nilikua wapi kusikiza it has really blessed me
@EdinaMaro-ln9qx12 күн бұрын
We like you
@ulsurachrispine85214 жыл бұрын
Sina mwingine ila wewe tu bwana ......ufutae uso wangu aibu na fedhea....ninapo kosa ujasiri na nguvu kuniishia msaada wangu ni ww......nani mwingine anapata hisia anaposikiliza huu wimbo ....
@ditlindarutekiza14283 жыл бұрын
Nimeusikiliza huu wimbo Leo na nimeurudia mara kadhaa aisee huu wimbo umenibariki sana. Asante kaka Mathias. Mungu akamtimizie kila mtu anaesikiliza wimbo huu kila hitaji la moyo wake.🙏🙏
@residentidiot96942 жыл бұрын
Mungu ni wokovu na uhai wa milele siyo kutimiza hitaji la mioyo yetu. Sisi twatakiwa kutimiza hitaji lake Bwana Mungu Wetu. He is not a genie granting wishes. Only by His Grace.....
@vituspeles15534 жыл бұрын
I HEAD THIS SONG FROM THE STATUS OF MY FRIED ON WHATSAP I DECIDED TO FIND IT SO THAT I COULD HAVE A COMPLETE SONG, IT REAL BLESSING ME GO KEEP BLESSING YOU MAN OF GOD
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
GLORY TO THE KING JESUS 🙏
@vituspeles15534 жыл бұрын
@@mathiaswalichupa AMEN
@francismngumi51254 жыл бұрын
Like wise to me
@malietamashimba12634 жыл бұрын
The same to me
@suzankasile4844 жыл бұрын
Same to me niliuona status kwa MTU nkaudownload hakika umenibariki
@brotqout560 Жыл бұрын
It 2024 thank u lord
@mariamandulile96643 ай бұрын
Wapo wap wanaotaka Bwana Yesu awafute machozi, Bwana wewe ni ujasiri na msaada wangu
@annmmbone7525Ай бұрын
Blessed 🙏🙏🙏 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in the house
@moriscollins44943 жыл бұрын
Tangu mawio hadi machweo ulinipa mwangaza ni wewe....milimani, mabondeni kote unakuwa nami.....Nchi ya ahadi
@mejumaamwachirero73244 жыл бұрын
Oyeee!Am a Muslim but this song has touched my heart ❤️ so much impressive and encouraging.May God bless you InshaAllah
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Ameeen ameeen endelea kuguswa zaidi mpendwa 🙌
@paulajones48243 жыл бұрын
I like u
@marlynhangali94633 жыл бұрын
Amen
@beatricemsele48443 жыл бұрын
Kilaaa siku lazimaaa niusikilizeee asubh na wakati wa kulala
@alertforendangeredwildlife28463 жыл бұрын
Amen
@josephinajosephu68593 жыл бұрын
Cjawah kuuchoka hii song jmn♥️♥️♥️
@gracekesh529212 күн бұрын
From Jan to Dec 2024 God niko hapa...ni wewe 🙏🏽🙏🏽...God even the rest of my life in your hands my Savior ❤️
@lwiticomwalukumba41484 жыл бұрын
kutoka kwa baba keigan wimbo mzuri barikiwa sana
@bongomaudaku48264 жыл бұрын
Tunaofunga mwaka na hii nyimbo like zenu plz🙏🇶🇦
@pendomasaga69423 жыл бұрын
Nabarikiwa sana nahii nyimbo
@evelynkilawe53794 жыл бұрын
huu wimbo daah nimechelewa kuujua daah wimbo mtamu na unanibariki kila kukicha aisee ubarikiwe Mathias endelea kutupa mambo mazuri yenye kutupa amani ya rohoo 😍🥰🥰🥰😍😍😘😘love from,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Halleluyah halleluyah 🙌
@ericafrancis77710 күн бұрын
Praise the Lord 😅😅😅
@ednanekesa8685Ай бұрын
Have just discovered this song and let me tell you it touches my heart😊,it deserves millions views and million subscribers 😊 this is more than talent ☺️
@lidyakisota103 жыл бұрын
Nilisikia huu wimbo kwenye radio tu na ukanipa amani moyoni sana😊. Nisiwe muongo huu wimbo nimeutafuta sanaaa kwanza sauti yako imenichanganya nikafikiri ni Joel lwaga🙆🏿♀️ ......wapiiii nikaandika ni wewe Bwana hatimaye nipo hapaaa😃. Barikiwa sanaa mtumishi wa Mungu👋🏾🙏🏽
@favoured_wiwi51269 ай бұрын
Same here nilijua n Joel lwaga😅
@hollopaschal-y1f24 күн бұрын
huu wimbo kwa siku nausikiliza mara kumi naupenda sana
@sophiashillah34004 жыл бұрын
Nyakati za huzuni furaha zote unanpa Amani 😭😭🙏🏼🙏🏼
@siscatherineebenesar34673 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.
@rotridashineneko70284 жыл бұрын
Nabarikiwa kupitia huu wimbo. umenikumbusha uwepo wa Mungu ni Mkubwa kwenye maisha ya mwanadamu kwa wakati wowote... Mungu azidi kuwaongezea nyimbo za kumsifu na kumuabudu .. mbarikiwe
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Ubarikiwee Sana YESU azidi kukijaza kikombe chako🙏
@priscillakaraba74824 жыл бұрын
wimbo huu umefanyika baraka kwangu,Mbarikiwe watumishi wa Mungu
@evelynelazaro26183 жыл бұрын
Good song
@JacquelinemremiJacquelinemremi12 күн бұрын
Amen Amen 🙏🙏❤
@roselove102Ай бұрын
Hi nyimbo Ina hit ndo nmejifungua kijana wangu mpk saiz mtt Wang amefunga mwaka mmojaa nikiiskia nakumbuka meng naipenda na haichuj❤
@mwalimulucas35223 жыл бұрын
Kazi nzuri yenye viwango!!!hakika ni baraka iliyokamilika katika kila eneo
@praiseandworship62933 жыл бұрын
Whoever reading this, God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen
@fibybeo33963 жыл бұрын
Ameen
@marry23863 жыл бұрын
Amen
@veeJesus2 жыл бұрын
Amen
@happyfaniajoseph460 Жыл бұрын
Amen 🙏
@queenie367710 ай бұрын
Huyu godfrey watu hawampi thamani anayostahili jamaa anaimba mpaka unaona kama umesamehewa dhambi zote wale wa 2024 comments hapa
@sophiekagwiria12 күн бұрын
31st Dec 2024 at 11:47 PM, thanking the Almighty for His mercy and grace throughout the year. Abundant blessings in 2025
@Naomi_ongaga9 ай бұрын
Ni wewe Bwana ...Sina mwingine...hayupo mwingine wakunifuta machozi ..msaidizi wangu
@SophiaChanz Жыл бұрын
Naipenda sana inyimbo mung akujalie kwaujumbe mzuli wamung
@julianapeason62545 ай бұрын
imenichukua muda kujua kama mpo wawili tofauti, amazing do another song together pls
@patiencemmasi295Ай бұрын
Dec 2024, My birthday is on 17th Dec, and I can only attribute everything to God🙏🙏♥️♥️
@GracielaBonner-dg7me6 ай бұрын
Just what my heart needed, thank you for this song ooh, ubarikiwe sana, keep ministering to many, i discovered you from tiktok and i am grateful for that..
@mretamreta8058Ай бұрын
Napitia wakati mgumu sana 2023-2024 Mungu kawe mfariji kwangu ❤
@Sheesonmedics4 жыл бұрын
"Nchi ya ahadi ni nzuri imejawa na asali" this verse give me courage and hope to march on...be blessed brothers 🙏
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Ubarikiwee zaidi aisee🙌
@fadhilanyeho99773 жыл бұрын
Mwisho wa njia........
@theresiamanyanda11253 жыл бұрын
God is in control of this song,very interested ...
@vikramofficialmwakyoma30893 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/r2PVamprf5yGZ80
@ruthwalter18483 жыл бұрын
Jamani nilikuwa wapi kuckiza huu wimbo,Wako na sauti nzuri sana, ujumbe ulio ndani ya huu wimbo ni faraja kubwa sana kwangu, Nawapenda mnooooo!
@nyanjilaneke49313 жыл бұрын
Sijachelewa sanaa kukufaham leo nmeona nyimbo zako upendo kwenye selection aisee sijui nilikua wap kupata huduma yako nzurii ubarikiwe sanaa kwangu hii nyimbo inaimba rohoni namtukuza Mungu kwaajil yako mtumishi mafuta mabichi yawe nawe yamiminike zaidi
@steve-zf4tj15 күн бұрын
Haleluya, from January to December 2024 thanks Jehovah
@ElizaMadaha21 күн бұрын
Ahsante sana nimebarikiwa na wimbo mzuri leo desember 23.2024
@joyfulbukori2893 жыл бұрын
Ninaposikia huu mwimbo nalia sana nikifikilia maisha niliyopitia nashukuru mungu am so blessed ini wewe bwana ahsante mungu
@franklwiwa49472 жыл бұрын
i feel happy more
@auntysamweli95723 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kila ninapousikia huu wimbo
@mckalongola85164 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Leo 🙏🏾
@mathiaswalichupa3 жыл бұрын
MC WETU PENDWA 💌
@leilaismail671810 ай бұрын
First time here. Heard the song kwa mat and I'm obsessed ❤
@BrightnessJohn-l3sАй бұрын
From January mpk December hiii MUNGU bado umenipiganiaa umenilinda ahsanteeee MUNGU pamoj na changamoto zote umekuw namiiii
@smallscaleminingsupplies96703 жыл бұрын
Nìlimpoteza mdogo wangu mwaka jana, huu mwimbo umenipa amani sana RIP young bro
@tembodeo45813 жыл бұрын
Kama umerudia hapo mwanzo kam mm gonga like😇
@novatimushi76633 жыл бұрын
Zyra 1
@novatimushi76633 жыл бұрын
M
@novatimushi76633 жыл бұрын
Aàaàqqqq.
@novatimushi76633 жыл бұрын
Àà
@alicekazaura2018 Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana, sichoki kuusikiliza, ni wimbo wangu wa mwaka. Ni wimbo ambao unabeba ushuhuda wa maisha yangu, unafariji na kutia moyo sana hasa ukitaka kukata tamaa kwenye maisha wimbo unakukumbusha kuamka na kukung’uta mavumbi na kusonga mbele ukiamini ni Mungu Pekee wa kukuvusha salama. Mbarikiwe sana kwa nyimbo tamu, nyimbo zako zote nazipenda na zinanibariki sana🙏
@neemadaniel511418 күн бұрын
Nakubal san broo from 1 january 2024 mpk december 2024🙌🙏
@HappinessMsongole Жыл бұрын
Wimbo wangu pendwa
@prophetessmarylight4343 жыл бұрын
I was having misunderstood with my husband , but when I pray this song my husband call me . I thanks God for this song .
@alfanmunis2612 жыл бұрын
😢
@jenifersongoyo9572 жыл бұрын
It's so amazing 😍
@patriciagodfrey86914 жыл бұрын
May God bless you dears, Wimbo unabeba ushuhuda wa mtu, wimbo unagusa maisha moja kwa moja, hakika hakuna mwingine awezaye kuyafanya haya bila kuchoka ispokuwa ni BWANA YESU, nikitafakari tunavyokosea na bado Yeye anatuhurumia na anayafanya hata kama hatustahili, HAKIKA NI YEYE, maombolezo 3:22-23 Mbarikiwe sana sana sana.. Mungu awajaze kwakweli
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Barikiwaa Sana dada YESU akubariki
@maduhurehema80704 жыл бұрын
Inanibarik sana jaman
@maduhurehema80704 жыл бұрын
Siwezi kulala bila kuusikiliza wimbo huu,kiukwl ni wimbo unaonibark sn.Mbarikiwe sn na mfike mbali.
@Abbydedan Жыл бұрын
Ujazaye podo langu mishale vitanii🙇♀️
@shahidiligenzi90013 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰huu wimbo unanibarikii mno ninapo usikiliza
@christinasanga32153 жыл бұрын
Mungu akuongezee maarifa ya kumsifu yeye
@hildadaudi61094 жыл бұрын
This song is so nice it deserves more views 😭
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Ooh hallelujah
@elizabethleonce10893 жыл бұрын
Stress zote kwisha after listening this song
@beautymasatu12003 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi wa Mungu kwa nyimbo nzuri ✊🔥
@neemaagustino67363 жыл бұрын
Nyakati za uzuni furaha zote unanipa amani kwa kipindi hiki kigumu cha simanzi moyoni mwangu kwa kuondokewa na rais wangu 😭😭😭 🇹🇿
@faridamhairo16523 жыл бұрын
Huu wimbo unanibariki mno uwepo wa MUNGU unashuka
@everlyne26959 ай бұрын
Huu wimbo mtamu kama asali
@miriammsuya44543 жыл бұрын
tuliotoka kwa wolpertylish kuja hapa tujuane blessed
@goodluck3734 жыл бұрын
Wow! Niliisubiri hii video kwa hamu kubwa sana. Audio yake ilishanipeleka mbele za Mungu Mara zisizohesabika nikimpa utukufu, Leo nimepata unafuu kwa kuiona hii video maana sikutulia kwa shauku ndani yangu. Hakika ninamfurahia Mungu kwa ajili yenu. Mpangilio Wa sauti zenu, muziki hadi video ni kazi zenye ubora na zinazoinua mioyo ya kila asikilizaye na kuutazama huu wimbo. Natamani kila mtu anayejua maana ya kumtukuza Mungu autazame huu wimbo, hakika Mungu awabariki na kuwapandisha viwango juu zaidi, nainua mikono yangu kwa Mungu nikimtukuza na nikitazamia kuwaona juu zaidi na zaidi......
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Sifa na utukufu vina YESU kwakweli 🙌
@bajiremacho22354 жыл бұрын
Am blessed indeed najikuta machozi ya bubujiko yananitoka hakika Mungu yu hai ndani yao
@joanitanisa83713 жыл бұрын
I cant get enough of this song! Been listening and watching this number for months now! Be blessed both. Just awesome!! Where is the repeat button someone!
@florenciasimba51123 жыл бұрын
Really
@happinesspepoli4043 жыл бұрын
Cmm
@belvainmveledi129310 күн бұрын
Asante yesu kwakunilinda miye na familiya mzima natuko bazima ni Wewe mungu
@ZawadiNgowi-j5w22 күн бұрын
Mpk December amenilinda thanks God for here I am ❤❤❤
@samwelkasandiko51934 жыл бұрын
Yani this is my favorite song.....aseeh mmefanya kitu kikubwa Sana nyimbo inautulivu I feel connected in spirit
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Utukufu kwa YESU mwema hakikaa 🙏
@goodwillsecondaryschoolcha4463 жыл бұрын
Fabulous and fantastic item
@joycekisilo6783 жыл бұрын
Daaah real huu wimbo umenifungua san na kunifny nijitafakarii sana😥😥😥😥😥😥
@eliudbalige95723 жыл бұрын
Huu wimbo unanifariji mno,,, ni kweli msaada wangu ni yesu,,
@annabenny38383 жыл бұрын
Mngu akubaliki sana
@mariamabeid81754 ай бұрын
This song changed my life.. thank you so much.
@innocentnkya59163 жыл бұрын
Nimebarikiwa na nyimbo na kunifariji kipindi hiki cha kuondokewa na mpendwa wetu Rais John Pombe Magufuli Mungua awabariki kwa kazi nzuri vijana wenzangu🙏🙏🙏
@stewartnairo48978 ай бұрын
May 2024 anybody?
@naiemmanuelmollel95834 жыл бұрын
mhhhhhh yeaaah From January to December Nimejua ulinilindaa eheee ni weweeee Tangu mawio machweo Ulinipa huu mwangaza Ni weweeee Nyakati za huzuni furaha Zote unanipa amani Milimani mabondeni Kote unakuwa nami Nchi ya ahaadii nzurii Imejawa na asali (iyeeee iyeeee) Mwisho wajia (ahaaaa ahaaaa) Mzuri kuliko mwanzoni Wa kunifikisha pale ni wewee(eeeeeeeh) Ni weweee Bwanaaa (Bwana) Ohhhhh ni weweee (Ni weweee Bwanaaa) Ni weweee Bwanaaa Ni weweee Sina mwingine Ni weweee (ila wewe tu Bwana wangu) Bwanaaa Ohoo ni weweee (ooooh Bwana) Ni weweee Bwanaaa Ni weweee Ujazae podo langu mishale Vitani ni wewe Bwana Uufutae uso wangu aibu na fedheha Ni wewe Bwana hayupo mwingine wa kunifuta machozi yangu ila ni wewe ninapokosa ujasiri na nguvu zijaponiishaia msaada wangu ni wewe Nchi ya ahaadii ni nzurii Imejawa na asali (iyeeee iyeeee iyeee iyeee) Na mwisho wajia (ahaaaa ahaaaa) Mzuri kuliko mwanzoni wa kunifikisha ni wewee( Bwana) ni weweee Bwanaaa ni wewe (Ni wewe Bwana ) ohhhhh ni weweee (hayupo mwingine ila wewe ) Ni weweee Bwanaaa Ni weweee ni wewe msaidizi wangu Bwana Ni wewe Bwana Ni weweee ( ila wewe tu Bwana wangu) Bwanaaa ohoo ni weweee (Ni wewe) Ni weweee Bwanaaa Ni weweee
@mathiaswalichupa4 жыл бұрын
Doooh aiseee nimekunyoshea mikono🙌🙌
@naiemmanuelmollel95834 жыл бұрын
@@mathiaswalichupa I am blessed imebidi nisikilize niandike naamini nimeenda sawa. Glory to God
@salomemollel5403 жыл бұрын
Hongera sana kaka.ktk shda zangu nalimwita bwana.nakutana na magumu lkn najua Mungu anakwenda kunifuta machozi mda wwte kuanzia sasa.
@salomemollel5403 жыл бұрын
Ni weeeee..eeehh bwana ni wewe hakika sina mwingine...
@franklwiwa49472 жыл бұрын
kabisa bila mungu sio chochote
@neyleenature13 күн бұрын
Here at 2024 Asante Mungu and all the best to us in 2025 🙏
@rhodah_mutheuАй бұрын
Start your day with a prayer.
@juddithnoah78633 жыл бұрын
Just lost my mom a month ago God you know better than us human this song hit me different God give me and my family strength 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@rufinalemau73183 жыл бұрын
Cant hold my tears. Kila ninaposikiliza ninalia tuu. Daah.MUNGU awabariki sans.
@rosejoseph98114 жыл бұрын
Kwakweli!wimbo huu niliusikia ukipigwa radio ya T.l.f.ikabidi niingie hapaniutafute nimebarikiwa sana.nakuombea kwa mungu akuinue.
@Amisambelejosephine2 ай бұрын
Fadhili zake n za milele yote AMEN 🙏🤞🤞 Akuna Kam yeye Alinihon toka mbali akaniita kutoka gizan Akika YESU ww wa tosha thank you so much my lord 🙏🙏🙏🤞🙏🤞 AMEN Ubarikiw sana mtumish wa YESU Mtumikie BWANA wako kwa roho n kweli kaka yang n yeye aliye juu ya yote atakushika mkono Asante 🙏🤞🤞🙏🤞
@Myright8888 ай бұрын
I’m so blessed 🙏🙏
@jacklineminja14193 жыл бұрын
Aisee godfrey Steven sauti yako ni fire 🔥.?Mungu azidi kukuinua sana.