MATIKO AMBANANISHA WAZIRI KAIRUKI SAKATA LA AJIRA, SPIKA AINGILIA KATI KUKAZIA - "WEKENI UTARATIBU"

  Рет қаралды 26,123

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@nduwimanaelias
@nduwimanaelias Жыл бұрын
Ungekuwa karibu waziri ningekupa Soda kubwa. Mungu akupe maisha marefu. Achana na wakina tulia wasiojua shida. Uko vzr sana Mungu akuinue kabisaa
@estherdominic1673
@estherdominic1673 Жыл бұрын
Hasanteni viongozi na waheshimiwa kazi yenu ni nzuri wachukueni wazoefu kwaza mzoefu ni muhimu kwanza alafu ni mvumilivu hasante sana mama samia suluhu hasani mungu akutunze
@tediusmwachipindi6123
@tediusmwachipindi6123 Жыл бұрын
Ester matiko hana hoja,ndio maana hatuta wachagua 2025 Waziri kairuki anaakili mno,maana aliye maliza chuo 2015 huu mwaka wa 9,analea familia unataka akajitolee, alafu mtoto wa headmaster au doctor mkuu kahitimu 2022 Yuko pale kwa mgongo wa kujitolea ,then apate afu Huyu mtoto wa mkulima wa 2015 abaki nyumbani. Tujitafakari kama taifa
@mbushimtela8654
@mbushimtela8654 Жыл бұрын
Jamani yaani tukajitolee alafu tutakuwa tunakula uko kujitolea, angalie kigezo cha mwaka wakuhitimu wengine tangu tumalize tunamiaka saba mtaani alafu mnasema leo hii tukaanze kujitolea ndipo mtupe ajira daaa hii nikuumizana tu
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 Жыл бұрын
Wanawake mnaweza
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Жыл бұрын
Spika hapana.familia zimetofautiana.akijitolea familia itakufa njaa.bora akauze nyanya.waziri wa Tamisemi yupo vizuri. Ssnaa.
@DianaShayo-io1pz
@DianaShayo-io1pz Жыл бұрын
Safi sana tulia Mungu akubariki mara mia
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 Жыл бұрын
Nimefuatilia sana sijui mhe. Spika huwa anakuwa na shida gani anapenda sana kuwakatisha sana wabunge wanavyokuwa wanawasilisha hoja au kuhoji jambo fulani bungeni. Napata shida sana kumwelewa spika mtindo anaotumia naona kama ni wa kibabe sana. Hivi huwa anasoma comments za watu au ndo walewale?. Hebu tumwombe spika awe na subira kuwasikiliza wabunge wanapokuwa aidha wanatoa hoja au wanawasilisha jambo au kuuliza swali kwa sbb yote yanalenga kujenga.
@harrisonmachange5050
@harrisonmachange5050 Жыл бұрын
anaongozwa nakanuni za bunge mkuuu,kikubwa mtoa maada ndo anapaswa kuunda hoja iandane na muda na sio stori
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 Жыл бұрын
Time management bro...lazma ulinde muda
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Жыл бұрын
Well done speaker🔥🔥🔥
@neemakawonga9544
@neemakawonga9544 Жыл бұрын
Safi Sana waziri, hakuna mtu mwenye uwezo wa kujitolea zaidi ya miaka mitatu, na ana familia inamtegemea sio kweli, Kuna udanganyifu mkubwa Sana huko
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Ko kujitolea ni upuuzi kwenye hii nchi, daaah inauma 🤔😳
@omaryonga1776
@omaryonga1776 Жыл бұрын
Hawa mawaziri wa elimu wa namna hii hatufiki mbali..
@LucasNtalima-wq6ok
@LucasNtalima-wq6ok Жыл бұрын
Waziri Yuko sawa sana mfumo wa kujitolea hauko wazi.
@zalfahashimu9393
@zalfahashimu9393 Жыл бұрын
Sio huko tu jamani tumsaidie na utumishi jamani ajira zitoke kwa mwaka wa kuhitimi rusaidieni
@gloriaachiula5622
@gloriaachiula5622 Жыл бұрын
Kweli mh madame spika, wanaojitolea wako wengi sana, na sidhani kama Kuna mkuu wa shule anayefanya hivyo! SI mhakikishe, taarifa mtaipata.
@TichaMwalim-gv7ne
@TichaMwalim-gv7ne Жыл бұрын
Kujitolea ni vyema ila vijana tunapoteza umri wetu kujitolea wakati nyuma yetu tuma majukumu ya kifamilia jamani watakula nini watoto ikiwa tutajitolea na asiejitolea ajira itampita
@StellaJames-z3e
@StellaJames-z3e 5 ай бұрын
Mimi nimejitilea hosp miaka 7 nabado sjawahi pata nafasi kila ninapoaplai. Naninaexpriensi miaka 11 nakazi ya afya. Umesoma kazi hakuna bado eti serikali inatupenda?
@gloriaachiula5622
@gloriaachiula5622 Жыл бұрын
Je watoto wa arts muda kwao haupiti?
@RwegereleRwebilumi-kb9ms
@RwegereleRwebilumi-kb9ms Жыл бұрын
Hili bunge lipo tu iweje kila kitu mnapiga makofi???
@LinahBenjamin-xg8ui
@LinahBenjamin-xg8ui Жыл бұрын
Nyimbo za marlow
@chrispinboniface3329
@chrispinboniface3329 Жыл бұрын
dunia ya sasa kujitolea ni kujichosha tu ,,,bora uuze hata machungwa utakuta mtu ananeng'eneka eti jitoleeni mpate uzoefu alaf mtu huyo hata hajui kujitolea kunafanyikaje😺😺😺😺😺😺😺
@alexmgusi2534
@alexmgusi2534 Жыл бұрын
Wanazani kujitolea ni kaz rahis
@prospermango6526
@prospermango6526 Жыл бұрын
Kwa hyo wale aa HISTORY na Kiswahili wakajiue au?
@whajavfsb5154
@whajavfsb5154 Жыл бұрын
Wabunge wengi wanapiga tu makofi bila hat kukielewa wanachopigia kelele waandae mazingira mazuri ya watu kujitolea af Wayne kama watu hawatojitolea na pia mtu hawez jitole buree for years bila kuwa na means ya kujikim wabunge nyie mnaweza kujitolea miaka miwili bila kulipwa mkakubali au mnahic wengine hawana Familia, yan mtu aache kutafuta chakula asubiri ajira wakati anajitolea si atakufa njaa ..ila wabunge bhana sema mnafikiria hivo kwa sababu mmeshiba, kikubwa pambaneni kuhakikisha kila kijana anayehitim anapata ajira sio kupigania watu wajitolee ili waajiriwe.
@ludovickbenjamin6104
@ludovickbenjamin6104 Жыл бұрын
Ndo maana kuna mdaa nawaza kupambana zaidi mtoto wang ajue kusoma na kuandika tuu hasifikirie ajiraa za serikali, afikirie kazi ya baba ake namna ya kuziendeleza
@dr.sarahosima8066
@dr.sarahosima8066 Жыл бұрын
Wafanyakazi wanaojitolea wakumbukwe. Kweli wanafanya kazi nzuri sana
@yasrkhan
@yasrkhan Жыл бұрын
We waziri huna hoja kujitolea ndonin
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 Жыл бұрын
Jenesta mhagama waziri wa hovyo kuwai
@stevenaigihugu7053
@stevenaigihugu7053 Жыл бұрын
Yuko vizuri mno...wewe endelea kujitolea
@adeodatusludan
@adeodatusludan Жыл бұрын
Legitimacy ni kitu muhimu sana 😂😂😂
@AlliChibwana-xp3xw
@AlliChibwana-xp3xw Жыл бұрын
Waziri Aondolewe hawezi kusimamia wizara
@AkswaZo
@AkswaZo Жыл бұрын
Unajitolea bure wakati watu wanaiba mabilioni, mimi siwezi kujitolea
@RwegereleRwebilumi-kb9ms
@RwegereleRwebilumi-kb9ms Жыл бұрын
Mhhhhhh,waziri kailuki mpola kazilo
@paschalurassa6648
@paschalurassa6648 Жыл бұрын
kwa namna hii hata kujitolea inakuwa deal na ndio ilivyo yaan daah hii ndio bongoland ujinga ni mwingiiii
@nduwimanaelias
@nduwimanaelias Жыл бұрын
Huyu wiziri anaakili Kubwa mno. Hawa ndio waliosoma na Elimu zao zinawasaidia kupambanua vyema. Kuna rafikiangu ameomba kijitolea zaidi ya hospital mbili Ametumia nauli zaidi ya laki 2 kwenda kufanya interview na akafaulu akaambiwa ata itwa kwa njia ya simu now anakaribia miaka 3 mtaani bila sikia simu. Na chakushangaza Kuna vijana ata hawakwenda kwenye interview written alikutana nao Kwenye Oral Wanajitolea ndugu zao kama huna ndugu yoyote hupati.
@whajavfsb5154
@whajavfsb5154 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa wao wanafikiri wasiojitolea wanapenda kama wanataka hicho kigezo kitumike waandae mazingira ya kila mtu kupata nafasi na wapewe frdha ya kujikim sio wanakuwa wanapiga tu makofi bila kufanya tafiti big up to kairuki.
@olivermbawala2055
@olivermbawala2055 Жыл бұрын
Kwa kweli inauma sana watoto wapo nyumbani wengine toka mwaka 2016 sasa nini maana yake?
@Switielie
@Switielie Жыл бұрын
Kujitolea ni upuuzi, wapewe tu kipaumbele
@khajiussi6588
@khajiussi6588 Жыл бұрын
Serekali kwa nn isione haja ya kuondoa masomo ya art maana kuna vijana mpaka wamesau kua wamesoma mtaani
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 Жыл бұрын
Tatizo hili
@JP-lx1le
@JP-lx1le Жыл бұрын
Spika aongoze miaka 650
@gloriaachiula5622
@gloriaachiula5622 Жыл бұрын
Watoto wetu walosoma masomo ya arts waendelee kusota nyumbani maana naona wao kwenye ajira hawapo!😢😢
@merygodfrey3709
@merygodfrey3709 Жыл бұрын
Hivi neno kujitolea limetoka wapi.Kumbuka kuna mtoto wa maskini amesoma kwa shida kwao hawajui watakulanini.Alafu mnazungumzia kujitolea.Wengi ukiangalia kujitolea panahitaji nauli panahitaji kula.Ukiangalia sana hii kujitolea kuna sababu.Kwa nini iwe kigezo cha ajira?Simamieni Utaratibu wa sheria ya Akira acheni kuyumbishayumbisha.
@bensonsanga3471
@bensonsanga3471 Жыл бұрын
Mmeharibu mchakato wa ajira mbwa nyie, mnataka watu wangapi tujitolee
@JP-lx1le
@JP-lx1le Жыл бұрын
Kuna mabunge humu hayana hakili kazi yao ni kupiga tu makofi,kama hayo mawili hapo hayana hakili 😂😂😂
@mumukinga8327
@mumukinga8327 Жыл бұрын
nyie mnataka 2jtolee miaka yte ili familia ze2 ziendelee kua maskin
@MusaMalungula-ju3dv
@MusaMalungula-ju3dv Жыл бұрын
Vip waliosoma masomo ya art Hawa wakaombe ajira nchi Gani mbona hatuwaelewi nyiee mbona mnatukatisha tamaa tuliosomo masomo ya arts daa sawa
@MusaMalungula-ju3dv
@MusaMalungula-ju3dv Жыл бұрын
Àcheni ubaguzi sisi sote ñi watanzania harafu sote tumemaliza vyuo kama hào wa masomo ya sayansi , kamà vipaumbele ñi masomo ya sayansi basi ayo masomo ya geography, history, kiswahili, civic,yanafaida Gani basi
@mateipascaly6955
@mateipascaly6955 Жыл бұрын
Kwakweli kumbe mpo bungeni tu lakini amfikiriii kabisa nina mke na Nina watoto nijitolee wale chaki kama chakula na wino kama chai shame on you woooote
ALLY KAMWE "MITEGO YAO TUMETEGUA SAA 9 USIKU | ILIKUWA ISIWE HIVI"
11:30
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,2 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34