Suala la Ushoga Latawala Bungeni I Wabunge Kupimwa I Wanaume kwa Wanawake I Katani Ahmadi Alikomalia

  Рет қаралды 15,957

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Жыл бұрын

Mbunge wa Tandahimba Mhe. Katani Ahmadi Katani, ikiwa anachangia bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, amesema kutokana na suala la kimaadili kupungua/kutoweka mtaani hivyo wao ni wawakilishi wa wananchi ni Kioo cha Jamii lazima wapimwe kama ulivyo utaratibu wa Jeshini ukienda lazima upimwe.
Mhe. Katani, amendelea kukazia suala hilo na kumtaka Waziri mwenye dhamana na Afya kuwa jambo hilo halitakiwi kusubiriwa kama kuna wataalamu wapo waje wapime Wabunge.
Stori zaidi za Bungeni tumekuweka kwenye akaunti yetu ya KZbin “Clouds Media”.
#7bisha
#MoyoWaMawingu
#KutokaBungeni

Пікірлер: 41
@BelinaAntony
@BelinaAntony 16 күн бұрын
Yani we baba mungu akuliede kwa hoja yako nzuli sana
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 4 ай бұрын
Baba umeongea vizuri,, watu wapimwe hadi huku mitaani wapimwe
@SumiraMengi-tu1hs
@SumiraMengi-tu1hs Жыл бұрын
Mheshimiwa katani umenifurahisha sana mungu akubariki kwamaono mazuri
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Yes umesema vyema sheria ni muhimu. SHERIA IWE KUNYONGWA TU.
@stephaniahaule691
@stephaniahaule691 Жыл бұрын
Oooh jmn sio waovyo nijambo la msingi tujue chanzo ninini ushoga kuongezeka kwa speed ya ajabu
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Safi sana katani natamani ungekuwa raisi
@kassimrajabu56
@kassimrajabu56 Жыл бұрын
Msukuma bhana eti “Wasenge”😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Hili jambo haliwahusu CCM nanyi hili Bunge ni CCM tupu kama mnaliona kuwa ni janga basi kutungwe sheria ya kunyongwa wote bila kigugumizi cho chote.
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 4 ай бұрын
Huyo msukuma Kuna Nini mbona anapinga ?
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 10 күн бұрын
Wapimwe na atakaegundulika,asiingie kwenye ukumbi wa mkutano Bungeni na kuondolewa majukumu ya kuwa kiongozin sehemu yoyote,na ahukumiwe na kuadhibiwa
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Mm nakuunga mkono wekeni shelia yakuwanyonga2 nasio shelia nyingine
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 Жыл бұрын
Taarifa zingine hazina maana mumuache aongee
@user-cw3ku7ww3l
@user-cw3ku7ww3l Жыл бұрын
Inatakiwa kutungwa sera ya upimaji wa afya mtaa Kwa mtaka atakaejulikana anafanya huwo mchezo Sheria ifuate mkondo
@allymohamed4065
@allymohamed4065 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Жыл бұрын
Hamna kazi ya kufanya.
@SileIsmail
@SileIsmail 26 күн бұрын
Hii nchi ilikuwa inafaa kutawaliwa na mtu kama joseph Stalin
@justerclement6437
@justerclement6437 Жыл бұрын
TENA HIYO KAZI YA KUWANYONGA NIPENI MIMI HATA BILA MALIPO FRESH
@terckatercka5548
@terckatercka5548 Жыл бұрын
Utaweza
@justerclement6437
@justerclement6437 Жыл бұрын
@@terckatercka5548 Naweza dear
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Madaktar waje wawapime, na unakuta madaktari wenyewe wanapelekewa moto😂😂
@leticiachunga9118
@leticiachunga9118 Жыл бұрын
Halafu kweli🤣🤣🤣, Kuna hospital moja hapa ninapoishi kunamuhudumu mmoja ni shoga kabisaa
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
@@leticiachunga9118 🤣🤣
@hanifa9153
@hanifa9153 Жыл бұрын
​@@leticiachunga9118 😂😂😂🤭🤭🙌
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Жыл бұрын
Tungeni. Sheria munyimwe hizo pesa kwani nani anufaika nazo kama siyo nyinyi sisi tutafurahi sana tufanane.
@alimbarouk1647
@alimbarouk1647 Жыл бұрын
Mbn km unashabikia ushoga 😥
@wisdomsingersbanana
@wisdomsingersbanana Жыл бұрын
Waache kutuzuga, Kamakweli wanalichukia wapitishe Sheria kama Uganda tuwaone, wapime kwa gharama ya nani? Alafu wakikutwa watafanywa nini? Hiyo nguvu watumie kwakupitisha sheria then wapimwe🙄🙄
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Жыл бұрын
Mumeshidwa kutunga sheria madereva wanatunyonga kila kuchapo. Lipi baya zaidi mimeshidwa kutunga sheria wachawi wafanyabiashsra wamefuga misukure wengine humo bungeni mumekariamahirizi bira hivyo msingekuwepo.
@SileIsmail
@SileIsmail 26 күн бұрын
Huu ni upuuzi mtu mzima anaongea mambo ya msingi wajinga wanacheka hii ni nini kama aio dharau
@karthala6676
@karthala6676 Жыл бұрын
Watcheni halo. Kuna mambo muhimu yakufanya
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 Жыл бұрын
Unaogopa kupimwa?
@abbasel-sabri1108
@abbasel-sabri1108 Жыл бұрын
😅😅
@kassimrajabu56
@kassimrajabu56 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@karthala6676
@karthala6676 Жыл бұрын
@@edwardmizambwa237 atanipima Nani? ATA Quran inavosema hawafwati.
@harrybanks-qy5qq
@harrybanks-qy5qq Жыл бұрын
Wabunge wa hovyo haijawai kutokea
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 Жыл бұрын
Wache waongee maana Serikali iko kimya na hili janga. Au wewe unaogopa kupimwa?
@leticiachunga9118
@leticiachunga9118 Жыл бұрын
Wewe ni basha au shoga? Mbona hutaki hili swala lizungumziwe na wakati hadi vita u vya dini vimezungumzia hujawahi kusoma nini? Hapo bunge linasisitiza tu, itabidi tuwatilie shaka na nyie ambao hataki hili swala kuzungumzia
@harrybanks-qy5qq
@harrybanks-qy5qq Жыл бұрын
Yaani wanaacha kujadili mambo ya msingi Leo wanajadili wasenge
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 Жыл бұрын
Hili ni janga au na wewe unaogopa kupimwa usije umbuka ?
@leticiachunga9118
@leticiachunga9118 Жыл бұрын
Ngoja mtoto wako aje avunjwe au wewe uje utaitishwe na basha ulawitiwe ndio utajua umuhimu wa hiyo kitu
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
Kwa hiyo kwako hili si jambo la msingi kwa taifa kujadiliwa??? Watanzania tunafikiri vipi??
@SileIsmail
@SileIsmail 26 күн бұрын
Itakuwa kashaliwa mkundu huyu
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 33 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 32 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 4,8 МЛН
Mbunge wa Mbogwe  amwaga  machozi bungeni
11:31
Mwananchi Digital
Рет қаралды 132 М.
Why did the Budget ruffle Rahul Gandhi?
4:26
Brut India
Рет қаралды 1,6 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 33 МЛН