Sheikh nakuomba nitafuti Mariamu kwa Ajili ya Allah
@saidasaidjuma35053 жыл бұрын
Imenifanya machoz yatoke kwa furah na wallah.......mashallah mashallah mashallah kika la khery kwa marym
@shaibumanda57643 жыл бұрын
Mazinge na mashekh wenzako mnafanya kazi ngum Sana Sana Allah atawalipa mashekh
@ramadhanihudhaifani43763 жыл бұрын
Mimi nawaombea kila la kheiri katika kazi yenu ya kuitangaza na kuineza dini ya haki na ya kweli ya Allah,mashehe wetu. Allah Awalipe Jannah Firdaus,Amiin!
@hassanmsipi40943 жыл бұрын
Allahumma Aaaamin
@lovvy8543 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@halimaramadhan29753 жыл бұрын
Amiin Thumma amiin
@fbfungameza35973 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa umri kwa kazi ya mwenyezi mungu unayofanya hakika wewe ni mwalimu .
@sidkas23183 жыл бұрын
Katika watu nawaheshimu ni wahadhiri Kazi hii ni kubwa na ngumu mpaka Allah akuchague sio wote wanaiweza....Wanahitaji support aina zote Allah atawafanyia uwepesi
@julioshomy11013 жыл бұрын
hongera dada mariam kwa kuingia ndan ya dini ya haki mbele ya Allah
@abdullahhashimu23803 жыл бұрын
Sio kuingia bali ni kurudi ktk dini yake ya awal
@issakaroli15173 жыл бұрын
@@abdullahhashimu2380 masikini Allah amwekeye wepesi Allah amlinde na ukafili Allah amlinde na ufakili popote Ulipo Usihau Dini ya Allah uiheshimu sana na uifuate iyi dunia tunapita
@mubarakgajjali90033 жыл бұрын
mashallaah mashallaah
@abuutwalhatlabu59143 жыл бұрын
masheikh huyu bnt ajaolewa ebu fanyeni utaratibu tumnusuru huyu bnt
mariam hongera tumekupata kukuona kutoke uholanzi.mungu akusaidie furaha na amani.
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Nimefurahi mpaka nimelia wallay kwa ukarimu wa waislam walivyo mpokea huyu bint masha Allah
@aishaaisha96363 жыл бұрын
Sheikh Mazinge,,,Mungu akujaalie,, akulinde na akupe nguvu uzidi katika kuitangaza dini.inshallwah Mungu atakuongoza
@neemahassan57265 ай бұрын
Mashaallah shekhe mazinge Allah awajalie afya njema wote munao fanya kuitangaza dini Allah awajalie subra Katka kazi zenu na Allah amjarie mariamu kuingia Katka uisilam apate Mume mwema
@abdulsaid45793 жыл бұрын
takbir.......ndg yng mazinge wewe kweli kiboko. manake una majibu y kila suali utakaloulizwa.... Mwenyezi Mungu amekujaalia sana....jazakallahu khair 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤝🏿👊🏿🤲🏿👍🏿
@abuualban56393 жыл бұрын
Nimefurah sana kuona huyo msichana aliye slim jins ambavyo amejaa na tabasam na namna ambavyo wamemlaki hao wanawake wengine, Allah atulipe kwa nia zetu.
@ibrahimhaji35753 жыл бұрын
Masha Allah, shekh mazinge Mungu azidi kukuweka bado tunakuhitaji na bado tunahitaji kujifunza mengi kutoka kwako. Mungu atujaalie mapenzi baina yetu waislamu wa bara na visiwani, nchini na mabarani. Mungu akupe afya njema na nguvu uzidi kulingania Dini ya Allah. Tunakupenda sana waislam
@abdallahahmedmmary2253 жыл бұрын
Allahu akbaru bora limeanza hili jambo an niliomba wanaosilimu wapate jins ya kupata elimu likianzinshwa hilo nami ntachangia inshaallah
@mushikwaclaude36903 жыл бұрын
Sheikh mazinge Allah akupe mwisho mwema nafwatiliyaga sana mihadhara unayo ifanya Allah azidi kukulinda na mitihani ya duniani na Muomba Allah atujaliye na sisi woote ambao hatujajaliwa na neema Allah aliyo kupatiya atuwezeshe na sisi piya kutokana nakuipenda dunia piya Allah asikuondowi duniani kabla huja wacha ujuzi wako kwa wa nafunzi wako ili duniani mihadhara ya kusilimisha wasiyo iendeleye. Allah na mabalaa ya duniani
@yussufyussuf99973 жыл бұрын
Hongr dada angu mariam kuingia ktk uislam na ni umeokoka na moto wa jahannam........real more
@sumahtanzania49912 жыл бұрын
Usitadhi mazinge mungu akupe afya njema na hitaji la moyo wako shehe wetu nakupenda kwa ajili ya Allah
@richardsineno67203 жыл бұрын
MAASHAALLAAH Dada kaonyesha wazi kwamba ALLAH ni mmoja,maoni yangu ni kwamba mkalimani wa lugha ya ishara mumemficha haonekani moja kwa moja na wako watu wengi ambao ni mabubu na viziwi wanaotaka kujua Bwana Mazinge anasema nini.
@bundatelcom27343 жыл бұрын
Wasalam haleekm mashekh. Nawapata. Nendeni basi na sehem nyingine. Mkaitangaze din. Bunda kule ndani ndani hawajuhi chochote: mkipiga kambi miezi mi3. Mtawakomboa😢😢😢
@ayshakayeko20433 жыл бұрын
Sana tu ilawafadhili pia wajitokeze kuwaunga mkono wanajitoa sn
@bundatelcom27343 жыл бұрын
@@ayshakayeko2043 nikweli usemayo mimi uko nimekaa sana; walaaah unakuta mtu ajui chochote kuusu uislam. Toka ninejifunza na kuuelewa mahisi wenzangu wamepotea 😢😢😢 nani wa kuwakomboa kama syo hao mashek 😢😢😢😢. .. kijiji akina hata mtu mmoja muislam, daah uuu,msibaaa
@asmaali87333 жыл бұрын
Q
@saidomarwanje85053 жыл бұрын
Asalam alaikum warahamathullah wabarakathullah professore mazinge mwenyezi Mungu akulinde
@aishahussen76983 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah takbir Allah akbar Allah azidi kukupa moyo dada maryam,ustadhi mazinge Allah azidi kukupa hikma Amiin
@matorahusseni9363 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo ya juu ya firdaus shekh mazinge
@mulhathaji9233 жыл бұрын
Na mie namuombea ivo ivo
@abdulbogoyo12433 жыл бұрын
HAKUNA WATU NAWAHESHIMU KATIKA HII DUNIA KAMA HAWA WAHADHIRI WANAOITANGAZA DINI YA ALLAH ☝️
@saiditanzania61843 жыл бұрын
pfesa mazinge mungu akupe umli mrefu wakuwakumbusha wasilaamu
@iddisongolo73943 жыл бұрын
Nimekuelewa vzuri sana shekhe,ulivo mwambia dada hapo asifate waislamu,bali afate uislam!!
@balozibalozi44833 жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah mashaAllah hakika hii dini ina raha saana na ya khaki machozi yamenitoka jinsi wanawake wa kiislaam walivyompokea mwanamke mwenzao hakika ni raha na upendo wa hali ya juu!
@issakaroli15173 жыл бұрын
ALLah atuwekeye wepesi Dunia tunapita 😅
@AbdulAbdul-vp2np3 жыл бұрын
Mashallah sheikh Mazinge, Mariam na waislamu wote Allah awalipe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera
@lovvy8543 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@babyhamisi53313 жыл бұрын
Ameen ameen ameen
@oman77103 жыл бұрын
Allahumma amiiin
@helenamusa4323 жыл бұрын
Aamiin pamoja nasie
@ibrahimgeorge61643 жыл бұрын
To
@swalehkiuga1673 жыл бұрын
Maashallah huyo Dada nimemwelew sana natamani ningemjua zaid
@hassanmsipi40943 жыл бұрын
Wacha uroho mufti utamnusuru!???
@dullyyesu90363 жыл бұрын
@@hassanmsipi4094 😂😂😂😂
@salehsaleh5483 жыл бұрын
😀😀😀
@maherzain6153 жыл бұрын
@@hassanmsipi4094 😃😃😃
@zubedarichard23113 жыл бұрын
Nmetoa machozi wallah mashaallah Kwa marium
@rufaihassan22733 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili Allah (s.w)
@asiakinia93443 жыл бұрын
Allahumma amiin jazaka llahukhaira shehe wetu mazinge Allah atuongoze kwa sote
@sakinat25273 жыл бұрын
Ameen
@fatmamsiliwa84853 жыл бұрын
Nimefurahi had najikuta nalia jimekumbuka cku nilioslim, mariyam karibu sana Uislam mzuri sana ukiifata
@aminatatu56923 жыл бұрын
Mansha allah
@mussahassan10993 жыл бұрын
Mashallah mungu na cc atujalie mwisho mwema waislamu sote kwa ujumla🤲🏻🤲🏻
@thuvakonde25843 жыл бұрын
Allahummah Ameen
@lovvy8543 жыл бұрын
Allahuma Amin
@oman77103 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@halimaramadhan29753 жыл бұрын
Amiin yaa Rabb
@helenamusa4323 жыл бұрын
Aamiin
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Alhamdulillah mashaa allah karibu dada kwenye uislaam dini ya kweli mungu azidi kukupa maisha marefu mazinge 🤲🙏
@JumanneShabani-lp7gf3 жыл бұрын
Mashaallah
@nyerere12593 жыл бұрын
Mimi mkristo ila nimekuelewa Sana shekhe
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Mungu yakusamehe kila jambon mbaa yakupe Imani yadini yakisilamu
@jumakhamis2263 жыл бұрын
Ma sha ALLAH shekh mazinge ALLAH AKUPE MAISHA MAREFUUU
@moridohome47903 жыл бұрын
Subhannallah Allah atuongoze tuwetunatoa lnshaallah
@mckoba24283 жыл бұрын
Mashaallah marry yupo mbali tungefanya nusra
@werehadija1533 жыл бұрын
Hongera sana dada Mariam Allah akuzidishie heri.Hata mimi nimejawa na furaha
@ust.shamsaalkindiya48323 жыл бұрын
Mashaallah barakallahu fiki mamy kwa kuingia katika dini ya Allah na Allah akupe taufiki na thabat duniani na akhera yaa Rabil’alamina 🤲🤲🤲
@jamilaoman72073 жыл бұрын
Amina
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
@@jamilaoman7207 Amiina yaa rabbal a'lamiina 😭
@supumoto68193 жыл бұрын
USTADH mazinge ma sha ALLAH Kwa ufaswaha wako na akuzidishie hekima ILI da'wa izidi Kua mzuri
@jamalathman62193 жыл бұрын
Shukran sheikh mazinge Allah akulipe pepo,pamoja na Huyo Dada alesilimu mungu amuongoze amfanyie wepesi kuifahamu dini ya uisilamu.
@kibibimwamoto35843 жыл бұрын
Mashallah Allah amzidishie kila la kheir Allah ampe mume wa kiislamu Allah amjalie kizazi vhema kinacho ambatana na uislam
@Ukhtyzuhura3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Tabaraqallah Hongera mdg wetu karibu katika dini ya haki
@AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын
Jazakallah kheir sheikh mazinge
@hamzaulanda37923 жыл бұрын
Hongera dada Allah akusimamishe vizr kwenye dini ya kiislam
@khalidsalmin76823 жыл бұрын
ASSALAAM ALYKUM ALHAMDULILLAH.... MASHAALLAH kwa kila la kheri ALLAH S.W ametujaaliya neema na fadhila kuwepo katika uislamu YAARABBIIY Mjaalie sheikh Mazinge pepo iliyo bora na ya juu pamoja na waislam sote na kila umpendae kwa upendo wako ALLAH S.W na rehma zako ALHAMDULILLAH AMIN AMIN....
@lovvy8543 жыл бұрын
Ameeen yarrabil alamin 🤲 insha'Allah
@shaibumanda57643 жыл бұрын
Mazinge umeangauka sana kuipambania din ya Allah
@halimamwakucha26373 жыл бұрын
Allah awape nguvu, Afya pmoja uzima muish kwa miaka mingi hil muweze kuwatoa wtu gizan
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Mungu amsamehe madambi yake, Sheikh wetu pia Mungu ampe umri mrefu azidi kutufaidhisha, amiin
@hajitindi16783 жыл бұрын
Mazinge unafanya yanayo mpendeza mungu wetu mlez
@mrskaboma92923 жыл бұрын
Mash Allah allah akupe umri mrefu Shekh mazinge nakupenda sana Baba angu wote mnao elimisha watu wajue ipi dini ya kweli allahum Aamina 🤲🤲🤲
@maxmilian25113 жыл бұрын
ASSALAM ALEYKUM SISI TULOKUA MBALI NA NINYI TUNAOMBA MUTUWEKEE NAMBA MAALUM YA KUWASILISHA MICHANGO YETU NA ILI KUTUEPUSHA NA MATAPELI IWE INATAJWA NA MASHEIKH MLIOPO IN SHAA ALLAH..!
@zouzou28493 жыл бұрын
Waleikum salam warahmatullah wabarakatu naam hata mimi nikiwa ufaransa tunahitzji swawabu kama hizi huku hatuna jamani nimehawi kupeleka sadaka ya zakatul fitri walenirudisha nayo na wakanipa wawo wakanambia nyinyi hamna chochote sisi njo wakuwapa wallah nema tunayo ila hatuna uwaminifu wa afrika wengi matapeli wanatumia uwongo ya rabbi
@fahadfaraj64743 жыл бұрын
@@zouzou2849 kabisa yani waswahili tunaendekeza mnoo njaa utapeli mwingi sana
@abuualban56393 жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 namba zao wameweka hapo hadi ya mazinge
@hidayaisimairy15533 жыл бұрын
YA RABII walipe kila LA kher wahadhiri wote wa kiislam, waepushe na husda na qadar za watu,wape mwisho mwema YA RABII, NA SISI PIYA YA RABII tuongoze njia iliyo nyooka
@user-os9ul5iu5y3 жыл бұрын
Amiin
@rayamohammed1303 жыл бұрын
Mashaallah Allah azid kukupeni afya masheikh wetu mupate kulingania uislam
@somoeismail96653 жыл бұрын
Mashaallah nimekuelewa vyema shekh mazinge
@khadijaangore44083 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah
@sabrahtwalib51943 жыл бұрын
MaashaAllah mashekhe Allah awalipe kila kher
@babyhamisi53313 жыл бұрын
Ana sauti nzuri Sana mariam mashaAllah tabarakaAllah Allah amuongoze katika kheir
@maalimrajabu16343 жыл бұрын
Hakika dini ya haki mbee za mwenyezi mungu ni uislamu
@charlesjoseph20923 жыл бұрын
Si kweli
@malaikawatatutv.ufunuo14.843 жыл бұрын
Nani kasema hayo maneno kama sio Mohammed?
@rajabmshengeli16243 жыл бұрын
Kweli hujakosea maana waislam tuna mwenyezmungu wengine wana Mungu..... Natukumbuke miungu ipo miiingi Kama mungu jua mungu ng'ombe etc ila ila Mwenyezmungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa nahakuna anayefanana nayeye............. Pia mwenyezmungu hatumii nguvu kuujua uwepo wake
@charlesjoseph20923 жыл бұрын
@@rajabmshengeli1624 Nikweli Hujakose lakini Mwenyezi Mungu Anajina lake labda ungetuambia Mungu unaemuabudu Jina lake nani?
@malaikawatatutv.ufunuo14.843 жыл бұрын
@@rajabmshengeli1624 Hujasoma Qur'an wewe kumbe ..miungu iko na waislamu ..kwani kwenye Qur'an husema "Sisi" na sio "Mimi* Qur'an 18:50
@walaadmarjaan75553 жыл бұрын
: Sheikh Mazinge Mashallah..wewe kiboko.
@yusufmsaa56933 жыл бұрын
Mashallah allah amlipe bint huyo nakama atahtaji mume mm ni suisilam na nahitaj mke ishallah kama atakubali
@lovvy8543 жыл бұрын
🤣
@rahmaoman51223 жыл бұрын
Masha Allah binti maliam
@lehemaabdallah78643 жыл бұрын
Subuhanallah ewemola wetu tuple mwisho mwema piya Moe afya she he wetu zaidi kutukumbusha ya ahera
@abdirashidsuraw33803 жыл бұрын
Mungu awalinde na awalipe siku ya qiyama
@user-eg1dr6so4c3 жыл бұрын
Ameen
@husnakh51363 жыл бұрын
JazzakAllah kheir babaaaa
@husnaodhiambo68483 жыл бұрын
Mashallah Allahu Akhbar
@sharmilarashid54013 жыл бұрын
Laa ila haillallah muhammadi rasulu llwahi .maneno mazito sheikh Allah atujalie minal faizina atupe stara ya dunia na akher ummaty muhammadi amiin insha Allah
@saliynahnassoro84063 жыл бұрын
Mashallah mashallah Allah awajaalie kheli viongoze wetu wa dini na awalipe pepo wao pmj ns sis
@fatmamshangama98243 жыл бұрын
Nimejikuta tu nalia tena kwa hisia kali nilipoona hio video allaah akujaalie dada nangu au mdg angu
@ibnhassan99803 жыл бұрын
Tatizo tulilo nalo mara baada ya kusilimu namna ya kusoma mfano hai nenda mpiji magohe mtaa wa kibesa eneo la msikiti wa makuti
@zwinsalhabsu2643 жыл бұрын
Mashaallah allah amuongoze katika njia ya kheir
@raziaidd23923 жыл бұрын
Ma shaa Allah tabarakallah.nakupenda sheikh mazinge kwa ajili ya Allah
@thuvakonde25843 жыл бұрын
Allah Akbar hongera dada Mariam
@faizanassor63363 жыл бұрын
Mashallah takbiriii
@user-eg1dr6so4c3 жыл бұрын
Allahukbar
@allynassor91273 жыл бұрын
Namtaka Maryam nimuowe
@harbisulub3 жыл бұрын
Mashallah tabaraka Allah. May Allah bless her and all that welcomed her in this beautiful way
@chidydahoma30973 жыл бұрын
Allah Akbar awalipe ujira ulio kua bora zaid wahadhir wa kislam Yarabbi tujualie mwisho mema na utuingize ndani ya nyoyo zetu amiin
@linzatv27253 жыл бұрын
Ishalah mungu akulefushie maisha
@mswakisaid23203 жыл бұрын
ALLAAH amifanyie wepesi mufike mkoa wa Mara. Huku kuna uhitaji mkubwa sana tena sana. Karibuni sana tutakuwa pamoja Inshaa ALLAAH.
@omargargaar56113 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika pmoja masheikh wtu MashaAllah MashaAllah Allah awabariki kwa ukmbusho kwa ajili ya Allah
@fatumjumaa55633 жыл бұрын
Munguawazidishie umri muzidi kutufahamsha
@mamyomar12413 жыл бұрын
Aslm alkm, shekh mazonge. Mimi naomba No yako binafsi.
@nyangeathumani55083 жыл бұрын
Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar Wallillah lihamdu
@masmslajus553 жыл бұрын
Mwenyezimungu akupe afya nzuli uendelee kulingania dini ya haki uislam
@musstoamiry11913 жыл бұрын
Mashallah
@sifahamisi58723 жыл бұрын
Shekh Allah Akulipe
@mozasaid38693 жыл бұрын
Mashaallah Mariam Allah amuongoze katika uislamu, Namba ipi inaweza kuwafikia michango? Wekeni namba!
@sheikhsharifmakarama30603 жыл бұрын
Namba zetu ni+255758251725 M-pesa na +255658333372 Tigo pesa jazakumullah khayra
@mozasaid38693 жыл бұрын
@@sheikhsharifmakarama3060 Amiin
@gwakisajosephgwakisajoseph56583 жыл бұрын
😓😓balikiwa mazinde mwenyez mungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha
@aminaabdallah77023 жыл бұрын
Yabarikiwe mh rais PJM kwa Imani yake mbele yausilamu
@zuhuramuhanga54003 жыл бұрын
From mascat oman ninawapata vizuri masha Allah
@fikiripazi96303 жыл бұрын
nashauri chini yawe yanatoka maandishi ya kiingereza yakitafsiri maneno ya muadhiri
@OoOo-rl8mk3 жыл бұрын
ALLAH KAREEM MASHAA ALLAH
@sultanshamte41103 жыл бұрын
Mashaallah Allah hakulipe unacho fanya shekh mazinge
@firdausali59193 жыл бұрын
Mashaallah mazinge mawaidha mazuri Allah atawaifadhi ww na wenzako munaotoa mawaidha ya Allah
@abdulitendesheki32313 жыл бұрын
Walaah! Inasikitisha sana hadi wa cristo wanatoa msaada wa kutengeneza mskiti? Allah tufanyie wepesi na utusamehe mazambi yetu.
@radhiaoman24543 жыл бұрын
Allah awaongezee umri kwakweli muzidi kumtangaza Allah
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Huyo binti mimi nimempenda ili nimuowe na mimi Muislamu nipo Zanzibar
@komboissa20163 жыл бұрын
Kama upo serious nicheki kwa namba 0716443949 nitakuunganisha na shekhe atakaefanikisha azma yako insha'Allah
@badalichauchau69833 жыл бұрын
Lakini uwe mkweli mbele ya Allah nia thabiti
@angelineahmed68803 жыл бұрын
Allah akbar baraka allahfikum
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Mashalla Allah mungu atuongoze na sote yarabbil Allah