Siku ya leo amezikwa Mchungaji Peter Mitimingi nyumbani kwake Kawe Jijini Dar Es Salaam. Marehemu ameacha mke na watoto wa nne.
Пікірлер: 63
@memoryngambi70034 жыл бұрын
Mama mtumishi , Asante kwaujasili,nimejifunza mengi kupitia speech yako,ndivyo inavyotakiwa, kusali kuna raha.
@memoryngambi70034 жыл бұрын
Amepanda mema kwa watu wengi,alioyoyaacha yatafanya kazi duniani kote, Asante pastor mitimingi ulifanya kazi nzuri mungu asimame kwenye familia yako mema yako yasitoke.
@ikupamwaisoba41184 жыл бұрын
Kwani hajui kiswahili? Ni jambo jema sana kwenda na mazingira na nyakati iliyopo,hongera mwanangu kwa kusoma kingereza.
@rastimoniquelion6114 жыл бұрын
Mungu amupokeye
@memoryngambi70034 жыл бұрын
Kwa mtu ambaye hajaokoka na hamjui mungu,hawezi kuelewa kitu,lakini mimi nimefurahi sana kwakua mmesimama kiimani,inatakiwa tue hivo,mungu awabariki sana,baba amelala hajafa.hongera sana,kwakizazi hizi so wengi wenye imani kama hii familia,we are together in spirit ,bodly am far,I'm in tunduma,mungu azidi kuwainua nnamengi yakuzungumza kiasi kwamba nimelewa kwa neno la mtoto wewe ni shujaa wa yesu, hongera sana sana sana.
@sekelajackob29054 жыл бұрын
Mungu aendeleee kuwatetea familia
@mariamchiguma74654 жыл бұрын
Amina. Jamani. Imeniuma. Sana
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Poleni sana family ndgjamaa marafiki na waamini wote. Na pumzika kwa Amani KIONGOZI bishop Peter Mitimingi.
@hepineskazinili99354 жыл бұрын
Polen xana apumuzike kwaaman
@gaudensiamganga16954 жыл бұрын
Amina, Mungu awatunze
@zainabumagaiwa40973 жыл бұрын
.pole
@florencehinz71784 жыл бұрын
Poleni sana...mungu awape nguvu
@selinamoshi25694 жыл бұрын
Mungu apumzike roho yake mahali pema peponi
@sadibatangalwa58904 жыл бұрын
Pole sana
@asmahanyally32254 жыл бұрын
Pole sana familia ya miti mingi.....R.I.P papa
@drcelinekavira56544 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu, Kanisa LA bwana. Tutazidi kuwaombea
@christerrodgers65194 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@rosejoseph22284 жыл бұрын
Polen sana wanafamilia
@baranmohamedmbashir52994 жыл бұрын
Mambo ya mungu haina makosa poleni sana sana
@marwalzzy59834 жыл бұрын
Inauma sana
@saitotisaitoti67344 жыл бұрын
Sasa kwanini mnapenda kuongea kiingereza wakati watu wengi wanaokuwa eneo la tukio ni waswahili na hawajui kiingereza??
@saidhamad38974 жыл бұрын
Hili jambo limenitia hasira sana anapenda mauzo kupitia English
@japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын
Hata mm inanikera sana mtu yupo msibani tena kwa bb yake anajifanya anajua kingereza jinga kweli
@lightnesstumsifu65934 жыл бұрын
Uende salama mtumishi
@freshamwangishow21174 жыл бұрын
We thank God kawapa nguvu
@mamkefondofondo93864 жыл бұрын
Poleni
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Innalillahi wainnaillaihi rajiun
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Amiina
@francisnyaji50004 жыл бұрын
R.I.P
@princeobeid6634 жыл бұрын
Carry umeleta mapinduz kwenye hii tasnia ya habari kama unakubaliana na mm bas 2pia like
@Carrymastory4 жыл бұрын
🙏🙏🔥
@juliakiluge53284 жыл бұрын
Rest In Peace Man of God
@childofgod44124 жыл бұрын
Poleni sana ila hizo mask mlivyozivaa
@johndieme64024 жыл бұрын
Docta mwaka nikonaonabptuyahuzuni unanireteyamambo yamichepuko unatakaninimiyesitakimutunamumoyakamahujuwe
@japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын
Anakera sana huyu kijana kwani hajui kiswahili,?au anaona ifahari badala ahuzunike msiba wa baba yake,jinga kweli
@hilalisaidseif84834 жыл бұрын
Ndo kusema hujui kiswahili vizuri au vipi
@lindambilinyi6253 Жыл бұрын
Bongo sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@benedictihhando50604 жыл бұрын
kweli kizuri hakidumu
@tatuselemani884 жыл бұрын
R I P Peter Miti Mingi
@rebekayotam23684 жыл бұрын
Rip
@rizikimsingili3304 жыл бұрын
Hawa ndio wanajisomeshia sadaka vingireza vingi
@childofgod44124 жыл бұрын
Yaani akaachwa gwajima😭😭
@dinatinaeliah42974 жыл бұрын
Du
@priscadaniel49644 жыл бұрын
We acha ujinga
@HiHello-nl8lq4 жыл бұрын
Jmn
@victoriadaizy52774 жыл бұрын
Rest in peace papa 💔💔🙏
@androydthegully63904 жыл бұрын
Eti furaha, hatari sana Usiwe unafurahia mahela alio acha kimoyomoyo
@freshamwangishow21174 жыл бұрын
Mungu kawapa nguvu wataka walie ndio nini,,,,elewa kizungu
@danielombela12374 жыл бұрын
Mingereza sana jewasiojua luga itakuaje
@saidhamad38974 жыл бұрын
Hahaha
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Smina
@azizizuberi71774 жыл бұрын
R.I.P papa peter mitimingi we remember you...
@mawaidhatvonline46014 жыл бұрын
Huenda wamefurahi kufariki huenda walikuwa hawampendi mbona na mama yake anafuraha