MITIMINGI # 675 JIFUNZE KUKATA KIUNO KUBORESHA TENDO LA NDOA

  Рет қаралды 567,824

MITIMINGI ONLINE TV

MITIMINGI ONLINE TV

5 жыл бұрын

KWA WANANDOA TU - Ili kuongeza thamani yako wewe kama mwanamke. Jifunze kukata kiuno kuboresha eneo la tendo la ndoa katika ndoa yako.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39

Пікірлер: 143
@raminsafari8297
@raminsafari8297 4 жыл бұрын
Hakika Mungu are not limited,kuona yeye ni juu ya mambo yenye tulifikiria kubwa kizima kutoka kinywani mwake mtu yeyote ile hadharani. Yesu apewe sifa zote!
@aishahaisha4941
@aishahaisha4941 5 жыл бұрын
Aki asante nimejifunza fundisho Kali lenye na nguzo zote za kuenjoy tendo la ndoa nimefurahi na umeniboost sana sina cha kukupa ila mungu Wa mbinguni aliyekupa hii Neema ya kufundisha mambo haya ya thamani na sema azidi kukubariki nyanja zote
@judithcherono2595
@judithcherono2595 5 жыл бұрын
Hahahaha pastor am single Umeniamsha aki😀😀aty kata kiuno😂😂mbaka nmeskia utamu😀😀Aki apo mwenye ajui kuinua leo amejua Awesome man❤❤😘😘😘
@janempoki1709
@janempoki1709 5 жыл бұрын
Mamboo ya kuzima taa si mahabaa ni kuwangaaa washenii taa waonee shangaa jaaaamanii kama umeona ni kweli nipe like
@musamwapinga361
@musamwapinga361 4 жыл бұрын
Sijui kwa nini umenyakuliwa mapema Mwalimu Wanguu 😍
@holySpiritchoir24
@holySpiritchoir24 5 жыл бұрын
Mambo makubwa hayo...!! Kila la kheri wanandoa..🙌🙌
@abedymigodela1314
@abedymigodela1314 5 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumish wa Mungu kwa kuponya na kuokoa ndoa za watu mamia na zaidi
@omarikintu8642
@omarikintu8642 5 жыл бұрын
Patamu hapooo mtumishi wa Mungu
@bandekepaul6955
@bandekepaul6955 5 жыл бұрын
Kwel kabisa walio wengi hawana radha maan wakina baba wengi wanalalamika kwa marafik zao mpaka kunazuka ugomvi ndan kwaajir ya kutafuta kuridhishwa.
@roseindekhwa7637
@roseindekhwa7637 5 жыл бұрын
Safi kabisa Kenya tunakukubali mafundisho mazuri sana
@makolemwita9736
@makolemwita9736 4 жыл бұрын
duuuuu hakika mipango ya mungu haina makosa mungu ukupunguzie dhambi ulale salama mchungaji R. I. P mbelee yako nyuma yetu pumzika kwa aman
@stephanochungu5959
@stephanochungu5959 4 жыл бұрын
Kama una amin wana wake ngangali wapo wengi gonga like
@edwardmahemba8189
@edwardmahemba8189 5 жыл бұрын
Asante sana mchungaj nimekuelewa sana mngu aendelee kukulinda ili utufundisha meng
@hassanrashid5935
@hassanrashid5935 5 жыл бұрын
Hapo patamu sana sasa nafanya mpango wa kuoa.
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 5 жыл бұрын
Wanaume wengi hawapendi wake zao wafanye kazi,wala kujishughulisha
@christophermlaponi534
@christophermlaponi534 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu, RIP mtumishi wa Bwana ! Tuliipenda sana huduma yako. Na ukweli ulikuwa ni muwazi na wa tofauti sana katika eneo hilo. Rest in peace brother, Mioyo yetu inalia, ila pia ina furaha kwa kuwa tunajua upo salama pamoja na mzee Ibrahim, Lazaro pamoja na watakatifu wengine mbele za uwepo wa Mungu Baba wakati huu mkiendelea kulisubiri Kanisa na kuungana nalo kuingia mji ule Mtakatifu ambao haki ya Mungu inakaa ndani yake !
@franciscarlaizer1435
@franciscarlaizer1435 5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. Barkiwa mchungaji
@wilfredmtumkubwa9854
@wilfredmtumkubwa9854 5 жыл бұрын
Thankyou .Remember my country with prayer God be with u all
@mealemalika7565
@mealemalika7565 5 жыл бұрын
Asante mchungaji mafunzo bomba kipindi chako chanifunza mengi yenye sikuyajua
@heavenlightmushi649
@heavenlightmushi649 5 жыл бұрын
Nakupenda Dady God bless you Man of God
@isayakalinga6475
@isayakalinga6475 5 жыл бұрын
Nakupenda bure mwalimu @mitimingi
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 5 жыл бұрын
Duh hahahaaa yani wee acha tu mtumishi inaonekana idara iyo yuko vizur😱😱
@neemalucas4582
@neemalucas4582 4 жыл бұрын
RIP baba hakika mafunzo yako yataendelea kuishi tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza imani umeilinda😭😭😭
@wilfredmtumkubwa9854
@wilfredmtumkubwa9854 5 жыл бұрын
Amina mi nko kenya but uwa napenda mfunzo yko
@jayma1537
@jayma1537 5 жыл бұрын
Duu somo limeshiba kwel..kwel
@bettyoluoch9774
@bettyoluoch9774 5 жыл бұрын
Pwaaaaah niokotwa Kenya
@elizabethjuma4839
@elizabethjuma4839 5 жыл бұрын
Duuuuuh somo nzuri
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Alafu weee miti mingi wewe😃😃😃😃
@patiencemwende4451
@patiencemwende4451 5 жыл бұрын
wow barikiwa mtumishi
@carolmuchiri9921
@carolmuchiri9921 4 жыл бұрын
Duuh kwa nzia reo nitakua nikimpa Mume wangu kira siku asante Mchungaji na swari nyigine jee nakama nina Maziwa madogo!
@matirdakarlo1233
@matirdakarlo1233 5 жыл бұрын
asante mwalim somo nzuriiisana
@user-no5iy4fx2t
@user-no5iy4fx2t 5 жыл бұрын
Asante sana barikiwa ninaendelea kujifunza na kubarikiwa pia
@angelinaelishachisongela7859
@angelinaelishachisongela7859 5 жыл бұрын
Hii kali ila ina mafunzo ya kujenga
@trophainamagogwa1163
@trophainamagogwa1163 5 жыл бұрын
Mnatuchanganya mchungaji Daniel Mgogo anawataka wanawake waombe Pesa kwa waume zao wewe unafundisha Kuwa wanawake wajishughulishe,kipi tushike?
@emanuelmushi6878
@emanuelmushi6878 5 жыл бұрын
Mmm aya bana'wenye viuno vigumu mnalo
@boniventuremarrirey6930
@boniventuremarrirey6930 5 жыл бұрын
God bless you for your good teaching Mwalimu Dr Mitimingi
@janejoseph8467
@janejoseph8467 5 жыл бұрын
Asante Kwa mafunzo
@lornaongayi1595
@lornaongayi1595 4 жыл бұрын
Thank you for enlightening women.I've liked it.
@tumpeernest9690
@tumpeernest9690 4 жыл бұрын
So sad umekufa ndo nimeanza kukufuatilia ulikuwa amazing Sana mchungaji 😘😘
@hudahope8613
@hudahope8613 5 жыл бұрын
nimecheka wallah asante kwa somo
@shantaaswad9523
@shantaaswad9523 5 жыл бұрын
Thank you
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 5 жыл бұрын
😂😂😂nimecheka kweli funzo nzuri
@rabansinkala5219
@rabansinkala5219 5 жыл бұрын
Mbarikiwe
@isaacwafula9527
@isaacwafula9527 4 жыл бұрын
I'm touched. By miti mingi
@focustz4408
@focustz4408 5 жыл бұрын
.leo nimecheka sana ila jambo naumwa apo kwa wanawake umewafikisha kweli
@karolibunyinyiga4672
@karolibunyinyiga4672 4 жыл бұрын
Rest in peace, your teaching will leave for a long time
@lydiahann1737
@lydiahann1737 4 жыл бұрын
Good teaching Dr mitimingi
@bettyoluoch9774
@bettyoluoch9774 5 жыл бұрын
Wamama mko smart sana be blessed
@hamidakassim4
@hamidakassim4 5 жыл бұрын
hapohapo mchungaji! ushanenaaaa kwa kukata maunoo😃😃😃😃😃😃😃
@jordiegradie6604
@jordiegradie6604 3 жыл бұрын
Somo nzuri kabisa
@prettynesspastory3111
@prettynesspastory3111 4 жыл бұрын
Bado mapema sana!! Tutapata wapi material haya? Mungu watie nguvu familia,kanisa na taifa zima mana hili pengo halizibiki!! Mungu tuhurumie! Pumzika kwa amani baba yetu
@soudysaid2836
@soudysaid2836 4 жыл бұрын
R I P zeee
@lourinechanzu2060
@lourinechanzu2060 3 жыл бұрын
Am enjoying this 🙏
@janethishengoma4959
@janethishengoma4959 5 жыл бұрын
Barikiwa sana,asante
@christopherwesa9323
@christopherwesa9323 4 жыл бұрын
Nice teaching
@exaverykapiry1811
@exaverykapiry1811 4 жыл бұрын
Safi saaaana mchungaji umesema kweli
@maryjoeljoel
@maryjoeljoel 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 thank you so much mwalimu be blessed.
@trophainamagogwa1163
@trophainamagogwa1163 5 жыл бұрын
Tanzania mnafundisha saana mambo ya Ndoa lakini Talaka ni nyingi kwa nini?
@edinalihedule3421
@edinalihedule3421 5 жыл бұрын
Aiseeeee!
@charlsehizza1914
@charlsehizza1914 5 жыл бұрын
asanteeee ubarikiweee mtumishi
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 4 жыл бұрын
kweli wema,hawadumu ktk dunia dah! pumzik kwa,aman baba
@fidelismukandara932
@fidelismukandara932 5 жыл бұрын
Nakuelewaa sana mtumishi
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 4 жыл бұрын
This guy was too much funny, true. Lesson.
@allanjoseph7759
@allanjoseph7759 4 жыл бұрын
Daaah maneno matam saaanaaa 🔥 🔥
@suzanmbaigwe5340
@suzanmbaigwe5340 5 жыл бұрын
mh nmeipenda hii
@agripinagerald9616
@agripinagerald9616 4 жыл бұрын
Thank you dady
@videosongspeter9496
@videosongspeter9496 5 жыл бұрын
Jifunzen wadada kukata kiuno.
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 жыл бұрын
Jifunze kukata kiuno ,,makavu live bila kupepesa macho
@sayunibange8997
@sayunibange8997 5 жыл бұрын
Amina Mungu akubariki mtumishi nimejifunza kitu
@toallilllookpolloimbila386
@toallilllookpolloimbila386 2 жыл бұрын
Rip mwalimu wetu tutaendelea kujifunza ulicho tuachia
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 4 жыл бұрын
Umelala Dr.ila maneno yako yataishi milele
@tabithajames218
@tabithajames218 5 жыл бұрын
Mmh umetisha
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 4 жыл бұрын
M nikizimiwa taaa naghair.
@anastasiamainaministries2700
@anastasiamainaministries2700 4 жыл бұрын
Rest in peace 💔💔💔
@hillyminajtv1257
@hillyminajtv1257 4 жыл бұрын
Rest in paradise 😭😭😭
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
intaneti mzigo huu
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 жыл бұрын
Kiuno utadhani tofali la block
@batulemwamwaja6524
@batulemwamwaja6524 5 жыл бұрын
real talk
@allanjoseph7759
@allanjoseph7759 4 жыл бұрын
Nakukumbuka saana rip
@treziamasebo6457
@treziamasebo6457 5 жыл бұрын
Heheeeeeeeeee,uwiiiiiiiii jaman Dr umeniacha hoiiiii
@salamamchingama3033
@salamamchingama3033 5 жыл бұрын
Amen
@jellysemwali3509
@jellysemwali3509 4 жыл бұрын
Jamani kifoooooo uwiiiii
@dariushalala5888
@dariushalala5888 4 жыл бұрын
Good
@lucydaniel3456
@lucydaniel3456 5 жыл бұрын
Mh asante
@jenipherkusaya9860
@jenipherkusaya9860 2 жыл бұрын
Asant kwa semina baba
@SallykenyaKenya
@SallykenyaKenya 5 жыл бұрын
God bless you.
@faidhaanderson300
@faidhaanderson300 5 жыл бұрын
Hahahhahahahaah hapo umesema KBS bila kiuno hamna kitu pasta
@mohamedinamaona8117
@mohamedinamaona8117 4 жыл бұрын
Pumzika kwa amani😭😭
@shellymagdalene3791
@shellymagdalene3791 2 жыл бұрын
Continue resting in peace forever in our heart.
@julianagunna3248
@julianagunna3248 4 жыл бұрын
Good say
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 4 жыл бұрын
Very true
@derrickmichael6030
@derrickmichael6030 4 жыл бұрын
Dah , .... Rest in Peace
@robertlazaro9951
@robertlazaro9951 4 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani
@anniefrankie8110
@anniefrankie8110 4 жыл бұрын
A year later....Rest in peace baba
@saimonnyambega5741
@saimonnyambega5741 5 жыл бұрын
Asante
@zainaswalo7976
@zainaswalo7976 5 жыл бұрын
😁😁😁asanté mitimingi
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Ameen
@ChancyLuhasa
@ChancyLuhasa 5 жыл бұрын
Wewe unajua je kama ya mama hawakate viuono?'bakutazame vizuri pasta
@rehemapeter8692
@rehemapeter8692 5 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha nimecheka Leo
@djbless6201
@djbless6201 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 kazi kwelikweli
MITIMINGI # 184 SIRI IWAMALIZAYO WANAUME WASIFANIKIWE
24:43
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 495 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 34 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 97 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 140 МЛН
THE UNTOLD STORY OF APOSTLE JAMES MAINA NGANGA  COMMANDER-HUMBLE BEGINNINGS PART 1
1:00:30
TENDO LA NDOA LIFANYIKE KWA UFANISI MKUBWA //SHEIKH OTHMAN MAALIM
38:56
WANAUME HATUFI#PASTOR MGOGO#HANANJA#BONGO MOVIES
1:25
SERASH PRO
Рет қаралды 12 М.
MITIMINGI # 562 ILI KUFIKIA MALENGO YAKO EPUKA KUJIHURUMIA
29:27
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 18 М.
HARUFU MBAYA INAHARIBU UJASIRI WA MWANAUME KATIKA NDOA "PASTOR MGOGO
22:40
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 216 М.
MITIMINGI # 885 UKITAKA MKE WAKO AKUPENDE WEWE TU ZINGATIA HAYA
20:51
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 128 М.
MITIMINGI # 554 VITA YA MAWAZO
30:20
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 97 М.
Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa
13:33
Chris Mauki
Рет қаралды 248 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 34 МЛН