KWA WANANDOA TU - Ili kuongeza thamani yako wewe kama mwanamke. Jifunze kukata kiuno kuboresha eneo la tendo la ndoa katika ndoa yako. Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39
Пікірлер: 143
@raminsafari82974 жыл бұрын
Hakika Mungu are not limited,kuona yeye ni juu ya mambo yenye tulifikiria kubwa kizima kutoka kinywani mwake mtu yeyote ile hadharani. Yesu apewe sifa zote!
@aishahaisha49415 жыл бұрын
Aki asante nimejifunza fundisho Kali lenye na nguzo zote za kuenjoy tendo la ndoa nimefurahi na umeniboost sana sina cha kukupa ila mungu Wa mbinguni aliyekupa hii Neema ya kufundisha mambo haya ya thamani na sema azidi kukubariki nyanja zote
@judithcherono25955 жыл бұрын
Hahahaha pastor am single Umeniamsha aki😀😀aty kata kiuno😂😂mbaka nmeskia utamu😀😀Aki apo mwenye ajui kuinua leo amejua Awesome man❤❤😘😘😘
@janempoki17095 жыл бұрын
Mamboo ya kuzima taa si mahabaa ni kuwangaaa washenii taa waonee shangaa jaaaamanii kama umeona ni kweli nipe like
@musamwapinga3614 жыл бұрын
Sijui kwa nini umenyakuliwa mapema Mwalimu Wanguu 😍
@holySpiritchoir245 жыл бұрын
Mambo makubwa hayo...!! Kila la kheri wanandoa..🙌🙌
@abedymigodela13145 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumish wa Mungu kwa kuponya na kuokoa ndoa za watu mamia na zaidi
@omarikintu86425 жыл бұрын
Patamu hapooo mtumishi wa Mungu
@bandekepaul69555 жыл бұрын
Kwel kabisa walio wengi hawana radha maan wakina baba wengi wanalalamika kwa marafik zao mpaka kunazuka ugomvi ndan kwaajir ya kutafuta kuridhishwa.
@roseindekhwa76375 жыл бұрын
Safi kabisa Kenya tunakukubali mafundisho mazuri sana
@makolemwita97364 жыл бұрын
duuuuu hakika mipango ya mungu haina makosa mungu ukupunguzie dhambi ulale salama mchungaji R. I. P mbelee yako nyuma yetu pumzika kwa aman
@stephanochungu59594 жыл бұрын
Kama una amin wana wake ngangali wapo wengi gonga like
@edwardmahemba81895 жыл бұрын
Asante sana mchungaj nimekuelewa sana mngu aendelee kukulinda ili utufundisha meng
@hassanrashid59355 жыл бұрын
Hapo patamu sana sasa nafanya mpango wa kuoa.
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Wanaume wengi hawapendi wake zao wafanye kazi,wala kujishughulisha
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu, RIP mtumishi wa Bwana ! Tuliipenda sana huduma yako. Na ukweli ulikuwa ni muwazi na wa tofauti sana katika eneo hilo. Rest in peace brother, Mioyo yetu inalia, ila pia ina furaha kwa kuwa tunajua upo salama pamoja na mzee Ibrahim, Lazaro pamoja na watakatifu wengine mbele za uwepo wa Mungu Baba wakati huu mkiendelea kulisubiri Kanisa na kuungana nalo kuingia mji ule Mtakatifu ambao haki ya Mungu inakaa ndani yake !
@franciscarlaizer14355 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. Barkiwa mchungaji
@wilfredmtumkubwa98545 жыл бұрын
Thankyou .Remember my country with prayer God be with u all
@mealemalika75655 жыл бұрын
Asante mchungaji mafunzo bomba kipindi chako chanifunza mengi yenye sikuyajua
@heavenlightmushi6495 жыл бұрын
Nakupenda Dady God bless you Man of God
@isayakalinga64755 жыл бұрын
Nakupenda bure mwalimu @mitimingi
@angelsylvester47955 жыл бұрын
Duh hahahaaa yani wee acha tu mtumishi inaonekana idara iyo yuko vizur😱😱
@neemalucas45824 жыл бұрын
RIP baba hakika mafunzo yako yataendelea kuishi tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza imani umeilinda😭😭😭
@wilfredmtumkubwa98545 жыл бұрын
Amina mi nko kenya but uwa napenda mfunzo yko
@jayma15375 жыл бұрын
Duu somo limeshiba kwel..kwel
@bettyoluoch97745 жыл бұрын
Pwaaaaah niokotwa Kenya
@elizabethjuma48395 жыл бұрын
Duuuuuh somo nzuri
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Alafu weee miti mingi wewe😃😃😃😃
@patiencemwende44515 жыл бұрын
wow barikiwa mtumishi
@carolmuchiri99214 жыл бұрын
Duuh kwa nzia reo nitakua nikimpa Mume wangu kira siku asante Mchungaji na swari nyigine jee nakama nina Maziwa madogo!
@matirdakarlo12335 жыл бұрын
asante mwalim somo nzuriiisana
@user-no5iy4fx2t5 жыл бұрын
Asante sana barikiwa ninaendelea kujifunza na kubarikiwa pia
@angelinaelishachisongela78595 жыл бұрын
Hii kali ila ina mafunzo ya kujenga
@trophainamagogwa11635 жыл бұрын
Mnatuchanganya mchungaji Daniel Mgogo anawataka wanawake waombe Pesa kwa waume zao wewe unafundisha Kuwa wanawake wajishughulishe,kipi tushike?
@emanuelmushi68785 жыл бұрын
Mmm aya bana'wenye viuno vigumu mnalo
@boniventuremarrirey69305 жыл бұрын
God bless you for your good teaching Mwalimu Dr Mitimingi
@janejoseph84675 жыл бұрын
Asante Kwa mafunzo
@lornaongayi15954 жыл бұрын
Thank you for enlightening women.I've liked it.
@tumpeernest96904 жыл бұрын
So sad umekufa ndo nimeanza kukufuatilia ulikuwa amazing Sana mchungaji 😘😘
@hudahope86135 жыл бұрын
nimecheka wallah asante kwa somo
@shantaaswad95235 жыл бұрын
Thank you
@nzisakasau82345 жыл бұрын
😂😂😂nimecheka kweli funzo nzuri
@rabansinkala52195 жыл бұрын
Mbarikiwe
@isaacwafula95274 жыл бұрын
I'm touched. By miti mingi
@focustz44085 жыл бұрын
.leo nimecheka sana ila jambo naumwa apo kwa wanawake umewafikisha kweli
@karolibunyinyiga46724 жыл бұрын
Rest in peace, your teaching will leave for a long time
@lydiahann17374 жыл бұрын
Good teaching Dr mitimingi
@bettyoluoch97745 жыл бұрын
Wamama mko smart sana be blessed
@hamidakassim45 жыл бұрын
hapohapo mchungaji! ushanenaaaa kwa kukata maunoo😃😃😃😃😃😃😃
@jordiegradie66043 жыл бұрын
Somo nzuri kabisa
@prettynesspastory31114 жыл бұрын
Bado mapema sana!! Tutapata wapi material haya? Mungu watie nguvu familia,kanisa na taifa zima mana hili pengo halizibiki!! Mungu tuhurumie! Pumzika kwa amani baba yetu
@soudysaid28364 жыл бұрын
R I P zeee
@lourinechanzu20603 жыл бұрын
Am enjoying this 🙏
@janethishengoma49595 жыл бұрын
Barikiwa sana,asante
@christopherwesa93234 жыл бұрын
Nice teaching
@exaverykapiry18114 жыл бұрын
Safi saaaana mchungaji umesema kweli
@maryjoeljoel5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 thank you so much mwalimu be blessed.
@trophainamagogwa11635 жыл бұрын
Tanzania mnafundisha saana mambo ya Ndoa lakini Talaka ni nyingi kwa nini?
@edinalihedule34215 жыл бұрын
Aiseeeee!
@charlsehizza19145 жыл бұрын
asanteeee ubarikiweee mtumishi
@linahsemindu95754 жыл бұрын
kweli wema,hawadumu ktk dunia dah! pumzik kwa,aman baba
@fidelismukandara9325 жыл бұрын
Nakuelewaa sana mtumishi
@dickaugustino22144 жыл бұрын
This guy was too much funny, true. Lesson.
@allanjoseph77594 жыл бұрын
Daaah maneno matam saaanaaa 🔥 🔥
@suzanmbaigwe53405 жыл бұрын
mh nmeipenda hii
@agripinagerald96164 жыл бұрын
Thank you dady
@videosongspeter94965 жыл бұрын
Jifunzen wadada kukata kiuno.
@ibrahimgwasma2354 жыл бұрын
Jifunze kukata kiuno ,,makavu live bila kupepesa macho