Kila upande umekosea kwenye nafasi yake, kwann Simba SC hakuomba au kutoa taarifa ya delay ya payment...
@JosephTibu3 ай бұрын
SIMBA HATUJAWAI KUSHINDWA
@DenisMusa-g5z3 ай бұрын
Simba nguvu mojaaaaa waoo karb lawi simbazi
@BakariHamisi-ke6zv3 ай бұрын
nasema mpaka Sasa lawi nichezaji wasimba naviongozi wakosti nisawa wanajitekenya wenyewe alafu wanacheka wenyewe Simba nguvu moja
@saidsuleiman17533 ай бұрын
Hii kesi hata Simba wakishindwa waipeleke CAF ni lazima watashinda
@babycandycharles78163 ай бұрын
Unaweza kuona ndowa imeshafungwa lakini mzazi anaweza akarenguwa iyondowa vilevile
@kakorejrboyz64473 ай бұрын
SIMBA MUSIMUACHE
@BakariHamisi-ke6zv3 ай бұрын
viongozi wakosti wameleta huuni yatamaa tuu Yani mpaka Sasa Simba himekwenda sahii
@edsonleonci51133 ай бұрын
Mchezaji huyo ni wa Simba ila , coastal itashinda kutokana na viongozi wa TFF wengi wana vina saba na Coastal union …. Msisahau ata kadi nyekundu dhidi ya Yanga tena kwa huyo mchezaji ilifutwa …..!!!
@emanuelkamaghe26473 ай бұрын
Mm nimewasoma kostol lengo lao kufanya mitandao iwazungumzie hii kiki yao
@DenisMusa-g5z3 ай бұрын
Ubaya ubwela hatuna ndogo Hilo ni Jambo la mda
@davismuzahula9073 ай бұрын
Nyie nao kasomeni, suala la Dube na Azam nitofauti na suala la Coastal na Simba kama kiongozi kwenye meza ya maamuzi ana vinasaba na mmoja wao hapo kuna ngongano wa kimaslahi ni sahihi mwenyekiti kutolewa
@zuhurajabiri39003 ай бұрын
Kweli anacheo ktk timu ya coast
@drallan68793 ай бұрын
huyu kiongozi WA coastal ni ignorance of law; huyu mchezaji ni WA simba
@drallan68793 ай бұрын
mchezaji tarehe 6/5/24 pamoja na viongozi WA coastal na lawyer WA simba
@drallan68793 ай бұрын
coastal wamegongwa lawi ni wetu simba
@drallan68793 ай бұрын
kurudisha pesa haina justification ya kuvunja mkataba
@sadih53333 ай бұрын
Viongozi wa coastal union msilinganishe mambo yenu ya ndoa za Tanga na masuala ya mikataba ya soka tunarudisha pesa biharusi bado anasoma
@muksinimbaruku12333 ай бұрын
Hahaha! Wajinga sana hawa jamaa, uswahili mwingi saba mpka wanakuwaga mashamba
@sekrommbaga62343 ай бұрын
Yaani hamjui kuwa mtu mwenye maslahi ya upande mmoja. Haikibaliki kuwa sehemu ya maamuzi
@DM_153 ай бұрын
hadi iPhone 15😂 kijana anajisnap tuu , cost tamaa mbaya