Mazungumzo Kuhusu Hali ya Kisiasa na Amani Afrika | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S18

  Рет қаралды 4,995

The Chanzo

The Chanzo

7 ай бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 16
@danielmwihava9779
@danielmwihava9779 7 ай бұрын
Ni mazunguzo yaliyojaa hekima na pia kutuonyesha tulikotoka, tulipo,na tunakokwenda katika kuwafundisha watawala wa afrika kuwa ili waepukane na machafuko ya nchi zetu wanatakiwa kurudisha madaraka kwa wananchi wao.MUNGU akubariki Jenelali Ulimwengu na mgeni wako kwa mjadala mzuri,mmependeza sana.
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc 7 ай бұрын
Mh Jenerali unacheza namba zote,ni resource person, unafundisha mengi sana, lakini pia kama mchokozi wa mada kama mwandishi (Host) , congratulations.
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 7 ай бұрын
Jeneral uko vizuri natamani kukuona anakwaana sijui nifanyaje Kibamba ni tofauti kidogo hanyooki ktk ukweli Naomba ajirekebishe bila woga,Ila huyu mzee ni mkweli na sio muoga
@valentine467
@valentine467 7 ай бұрын
Upo vizuri
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 7 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@IsmailClassictz
@IsmailClassictz 7 ай бұрын
KAONGEA MENGI MAZURI LAKIN KUNA MOJA IVI SUALA LA USHINDANI MFANO CHADEMA AND ACT IKIWEKA NGUVU YAO PAMOJA TAYARI UMOJA NI NGUVU 🇹🇿
@paulhintay6916
@paulhintay6916 7 ай бұрын
Nzuri
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 7 ай бұрын
Ndg Jenerali na mgeni wako shukuranini kwa mjadala uliosheheni ufahamu mwingi wa mambo! Huyu Deus ni mjenzi mzuri wa hoja, na inapendeza kwa nchi yetu kuwa na watu wanaodadavua mambo kama Deus, shukuran.
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 7 ай бұрын
Wananchi wamekosa kali juu ya mambo muhimu yanayohusu maisha yao ya kila siku.Vikundi au kikundi cha watu ambao pia ni raia wamezoea kumilki mamlaka na mali za wananchi.Hao vikundi ambao kwa sasa ni wanasiasa watawala.Wamepofuka na mamlaka na mali za wananchi.Wananchi wakitambulika katika jamii ya Taifa;kwa haki zao,mamlaka zao,mali zao,tutaanza kuamini kuwa uhuru tunautamani unawezekana.Kwa sasa,nafasi ya Rais,ni tatizo kubwa sana katika jamii yetu.
@bulayamoffatmwmbilu5750
@bulayamoffatmwmbilu5750 7 ай бұрын
Deus umenena kweli.Nakumbuka Rais Moi wa Kenya na Rais Mkapa wa Tanzania wakati mmoja waliikataa Ruanda na Burundi kujiiungs na mtangamano wa Afrika Mashariki.Leo tunaona Ruanda ,Burundi ,Sudani ya Kusini na sasa having kuna hatihati ya Somalia nchi zenye matatizo lukuki utulivu hakuna
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 7 ай бұрын
Tusidanganywe na WANASIASA AFRIKA MPAKA MUWE MASHOGA NDIO MTAAMBIWA MKO HURU 🤒🤒🤒🤒HAWA WANASIASA WAKO NA MASLAHI YAO SIO KWA AJILI YA WANANCHI
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 7 ай бұрын
wengine walikuwa na msemo wa chama kinilinde pale walipokuwa wakitaka kutoka michango yao
@bestman8182
@bestman8182 7 ай бұрын
Deus kwa mkwara! Eti It seems you are overstaffed here. U easily lose temper for no reason. 😂😂
@suremabusi4469
@suremabusi4469 7 ай бұрын
Jenerali, limaanza yai au kuku? Je, kunatofauti gani banana ya ukoloni na kujitawala? Cheo ni dhamana je, chama kimoja kutawala ni dhamana pia ? Kujitawala na kutawala ni kitu kimoja? Kwa maoni yangu kujitawala ni umoja na kutawala ni ubinafsi hata ndani yA watawala wenyewe.
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 7 ай бұрын
HIVI MNATEGEMEA WATAWALA WAWE VILE MNAVOWATAKA WAWE WAKATI AFRIKA NZIMA NI TEGEMEZI
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 7 ай бұрын
Hueleweki
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 5 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 60 МЛН
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 379 М.
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 5 МЛН