RIP MAGUFULI Mbeba Maono, Heko kwa Dr. Samia kwa Kukamilisha Miradi ya Kimkakati.
@zephaniazacharia5192 ай бұрын
Rip Jpm
@zobakazizi76372 ай бұрын
Kuna watu walipinga ujenzi wa treni hii. Nashukuru wametumbuliwa.
@shedracknelson54862 ай бұрын
rip jembe magufuli.huyu alikuepo hapo alishindwa kufanya hayo bip up magufuli
@thamani58422 ай бұрын
@@shedracknelson5486 ungefanya ww
@nguruwekikwete16352 ай бұрын
Zee jinga sana
@alfinmbilinyi59852 ай бұрын
Yeah big up jakaya kwa kuikubali kazi ya JPm na Samia ila nakumbuka 2010 ukiwa shinyanga ulisema serikali itajenga SGR.Ila Sasa J k saidia mama kupata pesa tujenge pia reli ya Samia SGR Lindi mtwara Ruvuma Mozambique na madaba Ili tz uchumi upae.
@mosesnyelo13802 ай бұрын
Huo ukanda wa kisini washaanza kukusanya pesa nadhani soon ujenzi utaanza
@samwelimoshi56142 ай бұрын
Sasa kusin kuna nn kwa wamakond uko
@alfinmbilinyi59852 ай бұрын
@samwelimoshi5614 ukitaka kujuwa kusini Kuna Nini nenda masasi Kaa pale barabarani utakubali kusini ni tishio Tanzania kwasasa inauza sana makaa ya mawe Toka Ruvuma tuna chuma , urenium kule songea na makaa ya mawe kule liganga na kule mbinga.pia tuna mafuta na gas katika ziwa Nyasa pia tuna gas na mafuta kule Lindi na mtwara chezea kusini wewe!
@abuudharishahidy30742 ай бұрын
wakushukuriwa Allah,serekali ya awamu ya 5 na 6 hao wengine wacha tuwajipakulie manyama ila mh Magu na mama ❤❤❤
@katemachanda70352 ай бұрын
Ulikua Rais wetu. Tunakupenda!
@ROZITHOMAS-y4q2 ай бұрын
Rais hongera. Mama umepambana
@AlbertSabo-hp3ss2 ай бұрын
Sio asilimia 30, asilimia 30 ni bwawa la Nyerere.
@zobakazizi76372 ай бұрын
Tengenezeni barabara. Barabara za kuelekea station ni mbovu sana.
@thamani58422 ай бұрын
Ahsanteni nyoote marais wetu, wastaafu, mpk mama Samia. KAZI IENDELEE
@jameskapele4412 ай бұрын
Hongera sana Serikali ya Tanzania🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Hongera kiongozi mambo mazuri hii SGR umependeza kweli kweli kabisa 🎉🎉🎉
@omariabeid32912 ай бұрын
Well said Horn Adam Malima.
@ernestkomba54032 ай бұрын
R.I.P John Pombe Joseph Magufuli.
@dudemussa67152 ай бұрын
Congratulation mama for your best job in our country.
@dullybrown78412 ай бұрын
Wazo la ujenzi alikuja nalo JPM wangine wanataka na wao waonekana wana mchango hakuna mambo mazuri yote tz ni magufuli hakuna kiongozi waliopita na wajao wa kumshinda jpm
@FahadAbubakari2 ай бұрын
Viongo sana hivi vizee kila kitu wazo lilikuepo ye mbona hakufanya uongo uongo tu wakati watu tunaakili tunaelewa
@bakarijumakupaza43512 ай бұрын
Na mtasema Mwendokasi kaanzisha nani? Wakati kaanzisha Kikwete. Terminal namba tatu kajenga Kikwete akishirikiana na BAM Uholanzi. Nyerere Bridge ile ya Kigamboni kajenga Kikwete. NIENDELEE?
@pascofp1452 ай бұрын
Umeandika mapendi nahisia
@thamani58422 ай бұрын
@@dullybrown7841 muache chuki na roho nyeusi, loo
@thamani58422 ай бұрын
@@FahadAbubakari Acha roho mbaya haikusaidii kitu
@starjay30522 ай бұрын
tena bila kukopa ela magufuli alikua mtu kazi
@kwisa48992 ай бұрын
punguza ujinga
@starjay30522 ай бұрын
@@kwisa4899 sipunguzi
@modestwenceslaus92 ай бұрын
Eti bila kukopa na huo mkopo wa Dola Bilioni Moja kutoka Starndared charterd Bank kwa ajili ya ujenzi wa SGR JPM aliupeleka wapi😮😮😮
@starjay30522 ай бұрын
@@modestwenceslaus9 ata jua yeye
@uwembatvonline2 ай бұрын
Huu ni mkopo hamna uwezo wa kujenga mradi mkubwa kodi zenyewe mnakwepa 😂😂
@msafirisaimoni95612 ай бұрын
Nakukubali sna pale unapokubali kuhsu magufuli alikufa watu wakiwa wnampenda mstaafu unajua siasa safi😊😊😊 hongera
@zawadix95742 ай бұрын
Kwa kweli lazima tu tunze hizi reli wa bongo waharibifu sana sana wata anza eba fenci copper kila kitu!!!!!
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Jpm in our heart
@eliassangisangi2 ай бұрын
Huna hata aibu
@AbuuMuhyiddin2 ай бұрын
Tunashukuru kwa jitihada za viongozi wetu pia usafiri uwe wa uhakika na safari ziongezwe walau ziwe tatu kwa siku.
@J4UPro2 ай бұрын
Magufuli alikuwa Mwamba kweli
@AzizMasenga2 ай бұрын
Nalola amanzi aya pamzi pali sumbuwanga.
@UnitedAfrica-uw9ct2 ай бұрын
Ameongea vizuri , sasa najua watu wanapenda , kusifia sehemu moja tuu , kna watu wengi wamehusika kwenye hili , kipekee Dr JPM alikuwa na uthubutu wa kufanya hii kazi , na Rais S S Hassan kuhakikisha anamalizia kazi , ndivyo nchi inavyoendeshwa
@jamesmethusela11482 ай бұрын
Magufuli ndio kajenga, watanzania karibu wote tunaelewa kipi ni kipi msitafute ujiko wa bure.
@JakoboKazilo2 ай бұрын
Jk kikwete muongo, Hukuwa na uwezo wa kufanya vitu vikubwa maana ww ulikuwa bize kupiga madili tuu, ndo kinachoendelea hata hv
@whatisthetruth.87932 ай бұрын
Tumuulize mji wake mpya wa kingamboni alituenyesha mpaka michoro , ulliishia wapo ? Vp nao kesha umaliza 😂😂😂
@kilumbasalumwakulichombewa38442 ай бұрын
Tunaomba watu wenye ulemavu Watembelee usafiri huo ili wajiridhishe na huduma kwa ajiri yao kama zinakidhi mahitaji yao
@material_liv46742 ай бұрын
Halina hata haya hilooo. R.i P magufuli. Ongera Samia
@liberatedpeople60542 ай бұрын
Natumai kila mtu kujilipia nauli hapo sio mwakani kwenye ripoti ya CAG tunasikia shirika linaendesha kwa hasara
@mopalmo58182 ай бұрын
Mchongoko iko wapi ???
@modenasayi2 ай бұрын
@@mopalmo5818 hata mimi siwaelewi elewi kabisa
@SaadEbrahim2 ай бұрын
Rais Mstaafu Kikwete alishindwa kujenga Treni SGR Marehemu ameanza Mam amemaliza anajitetea Tu Rais Mstaafu lakini alishindwa kujenga Treni ya SGR Mama amemaliza .
@ceciliaonyango53672 ай бұрын
Alikuwa anasafiri safiri nje ya nchi wazo bila utekelezaji ni Bure JPM hoyeee🎉🎉❤
@thobiasmnyasenga79502 ай бұрын
Hongera sana Mh kikwete Kwa kuanzisha hili wazo. Ukweli lilikiwa na brilliant idea
@whatisthetruth.87932 ай бұрын
Uwanja wa ndege wa dar tuu kikwete ulimshinda , mpaka mkamdarasi alirudi kwao Japan kwa sababu ya kukoaa malipo yake , kusema sio kutenda , matendo hayahitaji kusemewa 🫣🫣🫣
@hafidhyakoub83692 ай бұрын
Halafu muka muwa magufuli
@DAVIDMARTIN-ou6br2 ай бұрын
App yenu ya kufanya bookng inazingua
@badrimanu24682 ай бұрын
Dar es Salam old capital of Tanzania isnt she
@magorymara55152 ай бұрын
Baadh ya watanzania hawana adabu huo wizi wa kijinga nikuwafunga miaka 30 huyo ni muwaji mkimkamata achukuliwe kama gaid
@tanzaniakwanza16992 ай бұрын
Ujenzi wa Sgr, akiba ya dola kwa miezi 6 kwa kila African country na barabara ni azimio la AU kuwa Afrika iunganishwe na barabara pia Sgr. Kama Mkapa na Jk hukuanza kwa miaka 10 yoote, nyamaza. Watz watakutukana tu kwani JPM aliyatekeleza yote. Akatuachia dollar za miezi mi3 BOT. Wewe na Mkapa kaka yangu hukuweza. Pumzika usife kwa ma presha ya watz.
@SATZ-news2 ай бұрын
Hana lolote kapanda train aliyotengeneza mwenzie na uongo wake hakuna lolote unafiki tuu na uswahili mwingi huna lolote😏😏
@richwase65502 ай бұрын
🇹🇿🚈
@prosperitymaarifa33242 ай бұрын
mungu amlaze mahali pema peponi magufuli..kweli kifo hakina huruma kaanzisha kupanda hajapanda..wanapanda wengine halafu wanajifanya kujisifia ndio sababisho so s😢