With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!
@nzizajovinpaul49555 ай бұрын
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
@martinisadru98995 ай бұрын
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
@anoldjose77935 ай бұрын
Tuyataje au tuyaache😂😂
@user-kk9jn8dp9m5 ай бұрын
Yataje
@user-oz6zp8fr1c5 ай бұрын
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
@sultansallah87725 ай бұрын
Ndio nn
@Tzflower5 ай бұрын
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
@walidmgonja3644Ай бұрын
Machoko utayajua humu
@HassanMoha-rc8oq5 ай бұрын
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
@J4UPro5 ай бұрын
Hongera sana baba huko uliko
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
@salimsaid98525 ай бұрын
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
@victormbagga18215 ай бұрын
Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo
@davidluangisa45155 ай бұрын
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
@KomboHajj5 ай бұрын
Ongea kiswahili wew
@vero575 ай бұрын
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
@edwinmakingi36315 ай бұрын
Bado hawajamaliza, bado sana
@halunimnenwa52245 ай бұрын
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
@ramadhanimtetu36565 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@ramadhanimtetu36565 ай бұрын
@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
@maniamba.tz_5 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
@idrisadalluc44985 ай бұрын
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
@J4UPro5 ай бұрын
Hakuna aliyekamilika mkuu.
@user-ir5mc7vk8b5 ай бұрын
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
@alfinmbilinyi59854 ай бұрын
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
@seifwashule2745 ай бұрын
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
@Calex-the-Pilot5 ай бұрын
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
@user-zy6vq6lz7z5 ай бұрын
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
@lameckmagunya70135 ай бұрын
Hongera kwa serikari
@jkifutu79365 ай бұрын
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
@TwoBrother-tc2cu5 ай бұрын
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
@peaceisrael81585 ай бұрын
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
@selemanisalum76855 ай бұрын
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
@harounkiyungi72885 ай бұрын
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
@mwinyimatopa22835 ай бұрын
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
@patrickKitambo5 ай бұрын
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
@KiongoziMwandamizi5 ай бұрын
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
@brysonkaale30035 ай бұрын
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
@evansokemwa65875 ай бұрын
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
@martinstarford62095 ай бұрын
lazima mtaje Kenya
@user-yi8qv1lg5e5 ай бұрын
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
@jkomedikaduli5 ай бұрын
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
@letthedeadburythedead21485 ай бұрын
Nani kakwambia yupo mbinguni
@dullahmmebela56245 ай бұрын
Mimi nimesema!!!@@letthedeadburythedead2148
@adkajisi45365 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
@piusgadau63285 ай бұрын
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@radhiaomary55915 ай бұрын
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
@mamasalhat5 ай бұрын
mashaAllah kama ndege❤
@outzone665 ай бұрын
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
@TwoBrother-tc2cu5 ай бұрын
Mh!umemuona kumbe?
@user-uo8xw9kr4b5 ай бұрын
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
@robertmkude82345 ай бұрын
Thanks JPM & SSH
@mancholotrasco83505 ай бұрын
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
@awadhsalim26805 ай бұрын
Pole😅
@robertphilip3855 ай бұрын
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@mancholotrasco83505 ай бұрын
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@robertphilip3855 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@robertphilip3855 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
@susanmauno82075 ай бұрын
Congratulation tanzanian thats a big step
@evancymassawekenya75215 ай бұрын
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
@rasjamal98545 ай бұрын
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
@maftahmusa95135 ай бұрын
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
@user-fl3fb5gh6b5 ай бұрын
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@maftahmusa95135 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@awadhsalim26805 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
@MursalLusinde5 ай бұрын
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8@@user-fl3fb5gh6b
@user-xk8nc2ii2u5 ай бұрын
Hongera sana kazi inaendelea
@ABUBAKAROMAR-vz7jl5 ай бұрын
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
@abdallahkihanza4825 ай бұрын
Ubinadamu KAZI, tayari mmeshamsahau muanzilishi wa huo mradi hazungumziwi magufuli kabisa sifa zote mnapa mtu mwingine, msiwe waizi wa fadhili, mpeni Maua yake hatakama hayupo duniani
@adkajisi45365 ай бұрын
Yani Kuna mpuuzi mwingine huko juu eti Jakaya ndo alitoa wazo
@tonotvonline30705 ай бұрын
...R.I.P MAGUFULIII🙌
@ZawadianaMwangosi-is2jm3 ай бұрын
Hongera mama samia
@user-kg2fe7dd2v5 ай бұрын
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
@jbmaru965 ай бұрын
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
@trophywilson72115 ай бұрын
is Coming
@BakariIssa-nx3yf5 ай бұрын
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
@faudhiasalum72795 ай бұрын
Naomba kazi
@ismailisungura34915 ай бұрын
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
@salimshuba58045 ай бұрын
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
@twalebleboss96875 ай бұрын
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
@jaffjeff69124 ай бұрын
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
@nassrabarwani15485 ай бұрын
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
@kevoowade27945 ай бұрын
Nice one
@salmanmagwe26125 ай бұрын
Kwa namna ya usafi wa wa Tz na kutokujali mambo nina wasiwasi wa kujaa kunguni humo. Tukijengewa hata masoko mazuri ghafla utaona wengine wanauza bidhaa chini na kujipikia hovyo hovyo ktk mazingira machafu, Kwa kifupi hatupendi kulinda usafi
@piusjaphet27605 ай бұрын
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
@youngrich66615 ай бұрын
Tanzania on top
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
@QueenMushi5 ай бұрын
Tunaomba ifike na kilimanjaro arusha jamani 😊
@timotheeciza15925 ай бұрын
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
@awadhsalim26805 ай бұрын
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.