Wewe usigombee maana huwa naona unampinga kila mtumishi wa mungu mbingu ni ya mungu na wale wampendao
@Ntemiupdates-h9b9 сағат бұрын
Nchi hii inahitaji mtu mwenye akili na mwenye utu, haki kama wewe Mbarikiwa
@SubiranTimo2 сағат бұрын
Umesema kweli mtumishi nakwamini
@ugalidona-cs2yn5 сағат бұрын
Tuendako ni kugumu lakini ndo kwenye tumaini la kweli na la haki ya milele.
@jamesjahasa33482 сағат бұрын
Hayo ndio mahubili ya kuhubiri watu ambao hawapo katiyako
@paullukanga-xn8prСағат бұрын
gwajbishop rais 2025-35 halafu mm 2035-45
@AyubuChacha-u6u2 сағат бұрын
Nchi hii inaitaji kiongoz wa kusema na kutenda haki akiwa ccm au upinzan kiongoz ambaye mtu akitekwa na kuawa au kupotezwa ajitokeze akemee na kujukua maamzi sahihi ya kudhibiti kitendo hicho kibaya maana kiongozi ni mchungaj je mchungaj gani mjinga ambaye kondoo au ng'ombe wake akipotea akae kimya eti anasema kuna aman kweli huyo hafai kabisa kukabidhiwa kundi la kuchunga.